Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
Gonga94 ยท Stories

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO....

Basi kama mwalimu nikamwambia Lizy apite akae, kweli na yeye akaenda na kukaa, kisha nikawatazama hao wanafunzi sasa walikuwa wananiangalia hao na mimi nikatoa mimacho yangu yote nje na mshipa wa kichwani nikaukaza sasa na kuzungumza

"Yoyote ambaye atamfukuza Lizy darasani nitakula nae sahani moja, nyie si mnajifanya ni sikio la kufa basi endeleeni maana hamjui cheo changu wala wazazi wangu kifupi mimi natembea na mabodyguard, kaka yangu ni police, baba yangu ni mwanajeshi na dada ni askari sasa mtu ajichanganye aone cha moto na hiyo mikasi yenu..."

Nilitoa mkwala kweli kweli, ambao kwa namna moja uliwafanya watulie na kuogopa, kisha nikaondoka zangu ๐Ÿ˜‚

Baada ya kutoka mle darasani nikaelekea mpaka staff nimefika huko nikakaa zangu, akaingia madam Penina, huyu dada alikuwa ameshanielewa kitambo tu ila sema anaogopa kuniambia

Basi Madam Penina baada ya kufika hapo akasogea mpaka kwenye meza yangu na kukaa kwa juu huku akinitazama kwa macho ya uchu nyie

"Nikusaidie nini..?"

Baada ya kuona ananiangalia sana ikabidi nimuulize

"Aaahh Sir Henry hivi umeoa..??"

( hili ndo lililokuleta hapa, hata hivyo fresh tu ukijichanganya nitakukula ohooo )

"Hapana muda bado wa mimi kuoa..."

"Mh lakini mbona unaonekana mdogo hivyo..??"

( ๐Ÿ™„ kama naonekana mdogo twende geto nikakuonyeshe kama mimi ni mdogo au mkubwa..)

"Aah ni mwili tu jamani..."

"Sawa.."

Alijibu kifupi huku akiniangaliaa, moyoni najiwazia tu ajichanganye aone namna nitakavyomshughulikia kwanza amenikera kwa kumpiga Lizy we ngoja

Basi madam penina aliniangalia sana mpaka alipotosheka mwenyewe akanyanyuka na kuelekea kwenye meza yake lakini hakuacha kuniangalia.

Muda ulienda hatimae break ilifika na wanafunzi wote wakaenda kwenye canteen kupata kifungua kinywa, upande wangu nilikuwa nimeboeka sana yani ikabidi nitoke nje nikazunguke zunguke huko ili kidogo nichangamshe akili

Basi nikatoka nikawa natembea tembea naangalia namna wanafunzi ambavyo wanachezesha makalio yao wanaponiona ๐Ÿ˜‚ lakini mimi sikuwa najali kabisa

Nikaendelea na safari lakini nilifika sehemu na kumkuta Lizy akiwa amekaa na msichana flan hivi wakiongea na kupiga story, japokuwa alikuwa anapiga story ila alionekana kuwa na njaa sana.

Nilimuonea huruma nikamuita, akaja mpaka nilipokuwa huku akimuacha rafiki yake anatuangalia sisi, nikaangalia huku na huko kama kuna mtu anatuona nikakuta kweli tunaangaliwa

Nilichofanya nikatoa buku, kisha kwa sauti kubwa ambayo mwanzo ilisikika kwa sauti lakini mwishoni ilikuwa ya kunong'oneza

"Nenda canteen, ( hapa nilitamka kwa sauti ) ukanywe chai (kwa kunong'oneza )

So ikawa kwa hivi

"Nenda canteen, ukanywe chai.."

Nilisema hivyo kwa sauti na wanafunzi wakaelewa namuagiza canteen , basi binti akanishukuru huyo akaongozana na rafiki yake mpaka canteen

Upande wangu nikabaki naabasamu tu, sijui huyu binti amenipa nini walah ๐Ÿ˜‚ yani najikuta namuonea huruma kabisa dah mniokoe mapema mimi nisije kujikuta nampenda mwanafunzi wangu jamani...

Muda nao ulikimbia mapumziko yakaisha na kila mtu akaingia kwenye majukumu yake, kama kawaida upande wangu nikaingia form two kwenda kufundisha kiswahili

Nilifundisha kalibia lisaa limoja, aisee toka mwanzo nawaambia kazi ya ualimu ni ngumu lakini pia inahitaji uvumilivu mkubwa sana.

Maana wakati nafundisha wanafunzi walikuwa wanapiga sana kelele, ikabidi nimwambie monter wa darasa aniandikie majina ya wapiga kelele hapo kidogo wakatulia..

Ilipita kama miezi miwili hivi, huku nikiwa na muwaza sana Lizy yani binti sijui hata aliniwekea nini walah, nilikuwa namuwaza mpaka kipindi cha kula ๐Ÿ˜†

Basi ikiwa ni siku nyingine kama kawaida kipindi cha remedial kilifika nilienda kwenhe group langu na kukuta wanafunzi wwangu wameshafika wananisubiri tu

Na siku hiyo nilikuwa nimewaambia wanafunzi wanunue counter book maalumu za kufanyia test, sasa hiyo siku nilitakiwa kukagua kama wamenunua kweli au laah

Basi nikaanza kukagua mmoja mmoja kumbuka kila kundi linakuwa na wanafunzi zaidi ya 10, so ilikuwa kazi ngumu,. Wakati nakagua kagua pale nikamfikia Lizy ajabu huyu binti hakuwa na hilo counter.

Nilimuangalia bila kummaliza kuna mwanafunzi akaongea

"Yani huyu Lizy amepewa pesa na shangazi yake ya kununua counter lakini amekula yote, saivi hapo amejitilisha huruma kweli..."
Mwanafunzi yule alisema kwa kunong'ona ila nilimsikia, nikamgeuki na kumuangaliaa, bana mimi Henry nilikuwa sitaki kabisa kumsikia mtu akimsema Lizy

So yule mwanafunzi ni kama alijichanganya walah nilimpiga fimbo ya mgongo hiyo ambayo ilimuingia kabisa mpaka kwenye utu wa mgongo, na vile alikuwa hajawaa sweta sasa awee ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿพ

"Me nafundisha unaanza kuongea nani amekupa ruhusa ya kuongea..??"

Nilimuuliiza kwa ukali..

"Samahani mwalimu..."

Alisema yule mwanafunzi huku akilia kabisa, kuna namna niliona nimemuonea bure lakini na yeye akome kuropoka hovyo hovyo ๐Ÿ˜‚

Niligeuka na kumuangalia lLizy, nakaona kanatetemeka yani kama kanasikia baridi, hapo nilijua tu ananiogpa bร da ya kumcha yule mwanafunzi

"Haya na wewe Counter lipo wapi..??"

Nilimuuliza kwa sauti ya ukali

"Aaah sir ah nili.... aah yani..."

"Ongea vizuri unaongea kama hujala asubuhi bana..."

"Sir naomba unisamehe, ukweli me naishi na shanngazi yangu amesema hana hela ya kununua..."

Yule mwanafunzi akadakia tena

"Uongo uongo, me Leah ameniambia kabisa kuwa umepewa hela ukaila yote.."

Nilichofanya ni kumshushia kiboko kingine kisha nikatulia ๐Ÿ˜‚

ITAENDELEA............

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8


SONGA NAYO....

Basi kama mwalimu nikamwambia Lizy apite akae, kweli na yeye akaenda na kukaa, kisha nikawatazama hao wanafunzi sasa walikuwa wananiangalia hao na mimi nikatoa mimacho yangu yote nje na mshipa wa kichwani nikaukaza sasa na kuzungumza

"Yoyote ambaye atamfukuza Lizy darasani nitakula nae sahani moja, nyie si mnajifanya ni sikio la kufa basi endeleeni maana hamjui cheo changu wala wazazi wangu kifupi mimi natembea na mabodyguard, kaka yangu ni police, baba yangu ni mwanajeshi na dada ni askari sasa mtu ajichanganye aone cha moto na hiyo mikasi yenu..."

Nilitoa mkwala kweli kweli, ambao kwa namna moja uliwafanya watulie na kuogopa, kisha...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/wewe-ni-wangu-sehemu-ya-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi wewe-ni-wangu-sehemu-ya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*MY WANGUโค๏ธ*   *sehemu ya 109 na 110*

*MY WANGUโค๏ธ* *sehemu ya 109 na 110*

1.06K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112

783
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 59 na 60

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 59 na 60

627
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

422
*REALLY LOVE Chapter 20

*REALLY LOVE Chapter 20

230
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

149
MY CRAZY BOSS 07

MY CRAZY BOSS 07

132
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

125
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

84
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*

81

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.94K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.7K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.49K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.43K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.33K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.32K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO ๐Ÿ’โค๏ธ*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO ๐Ÿ’โค๏ธ* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYOโ€ฆโ€ฆ โ€œWewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza โ€œHuyu ni nani tena?โ€ Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. โ€œSikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wakeโ€ nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. โ€œWorking with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Ucjali lia mimi tayari nimeshakusamehe na ninakuombea kwa mwenyezi mungu akuponye uweze kurudi kwenye hali yako ya kawaida.... lia aliomba msamaha kwa paschal kutokana na vishawishi alivyokuwa akimpatia na hivyo...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112
@majario LIVE

Nikasem na mm pia simkumbuki. Rahul akasema unamkumbuka mma.si yule alikua nanibeba . Nikasema simjuh mbona unanilazimisha. Mwanangu si ndo akakumbuk akasema ni elly bibi. Anaitwa bab elly. Uzuri...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Basi kama mwalimu nikamwambia Lizy apite akae, kweli na yeye akaenda na kukaa, kisha nikawatazama hao wanafunzi sasa walikuwa wananiangalia hao na mimi nikatoa mimacho yangu yote nje na...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6
@majario LIVE

Chapter 5 Kulikucha ila hata leo nilichelewa kuamka maaana dada pia inavyoonekana jana alichoka sana hivyoo na yeye pia alilala sana hakuamka pia nikajikuta nimeshtuka saaa moja ikabidi tu niwahi kujiandaa...

Baby Guddu, whose real name is Shahinda Baig, was one of the most loved child stars of her time. The daughter of filmmaker M. M. Baig Post Mpya
Baby Guddu, whose real name is Shahinda Baig, was one of the most loved child stars of her time. The daughter of filmmaker M. M. Baig
@majario LIVE

, she began acting when she was just three years old and quickly became a favorite among audiences for her innocent charm and natural expressions. During the 1970s and early...

Sad ๐Ÿ˜ข : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood  M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu, Post Mpya
Sad ๐Ÿ˜ข : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu,
@majario LIVE

na aliyeshiriki katika kutayarisha filamu kama Razia Sultan pamoja na kuongoza filamu ya Chhoti Bahu, alikutwa akiwa amefariki nyumbani kwake, msemaji wake bwana Hanif Zaveri amethibitisha. Kwa mujibu wa taarifa Baig...

Nottingham Forest beat Fenerbahรงe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. Post Mpya
Nottingham Forest beat Fenerbahรงe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie.
@majario LIVE

Nottingham Forest beat Fenerbahรงe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. The Vรญtor Pereira era is off to a winning start โœ…

Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school Post Mpya
Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school
@majario LIVE

. They met back in the 1980s and dated for almost nine years before getting married. Coming from different cultural backgrounds, their relationship did face resistance initially, but love and...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest