Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*
Gonga94 · Stories

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Kwanza nikashtuka na kumgeukia pully na kisha Nikamuangalia Enzo, kuna Namna ni Kama moyo wangu ulikubaliana na shida zote tu ninazozipitia, kabía Enzo ajajibu kitu chochote kile nikazungumza.

"Naona mambo ni Yale Yale aiseeeh, me naenda. muwe na usiku Mwema"

Nilimaliza kuzungumza ingawa kwa maumivu Makubwa sana kisha nikataka kuondoka lakini chapu, Enzo akadaka mkono wangu na kuzungumza

Ishani aendi kokote, ila Kama wewe Unataka kuondoka unaweza kwenda

Eeeeeeeeh Huyu Enzo ni Chizi au Yaani anataka mwanamke wake mtalajiwa aondoke halafu Mimi nibakı, nilibaki nikishangaa tu kama

Chizi aliyepoteza njia hivi

"Hivi Enzo anampenda kweli Huyu msichana ?"

Nilijultza kimoyomoyo, Maana enzo hakuonesha ata Chembe ya huruma au kujali kwa mpenzi wake.

Pully alionekana Kuwa na yeye ni msichana

Mwenye drama Zake kwakwell, kwa haraka akakimbilia Ndani na baada ya muda akatoka nje akiwa na mabegi yake mawili ya kubuluza, Yaani mtu anaamua kuondoka NYUMBANI kwake kwajili yangu Mimi, mtu ambaye ata kunijua anijul, ajawal ata kuishi na Mimi

akanitambua vizuri, Ila sishangal Maana Saa

hivi ubinadamu hakuna kabisa

"Naondoka enzo"

Alizungumza Pully akitililikwa na machozi Kama maji kwenye uso wake.

"Kila la kheri

Alijibu Enzo kisha Akashika njia kuelekea chumbani kwake, lakini baada ya hatua kadhaa akasimama na kugeuka nyuma.

"Muone kwanza, kumbe anampenda

Nilizungumza kimoyomoyo uku nikiamini Kuwa Enzo anamrudisha mpenzi wake Ndani, lakini

gafla akazungumza

"Usije ukaondoka na gari yangu ata moja

yalivyo hivi nyleeeeh kumbe mapenzi ndivyo Yaani unatikisa kibiriti halafu

kinakulamba kweli hakuna ata kubembelezwaa aaaaah me mniache tu na vile moyo wangu ni mwepesi sizani Kama naweza kustahimili hii

mikito kudadekt

"Nimeshaita bolt"

Alijibu Pully kisha akatoka nje kwa mwendo wa haraka sana.

Nikamuangalia enzo kwa muda na kumwambia,

"Ujue anaondoka kweli huyo"

Enzo akaniangalia na kunijibu.

"Fungu mlango mkubwa halafu nenda kalale"

Eeeeeh hil nayo Kali Walahi, sikuwa na chaguo zaidi ya kufanya kile ambacho enzo aliniambia

Mimi kufanya

My zangu kulala kwenye sehemu nzuri ni raha sana, Yaani nilijikuta nikilala sana na kupitiliza

tofauti na vile ambavyo nilikuwa naamka kule mtaani, Yaani mtaani Saa 11 asubuhi niko macho, lakini NYUMBANI Kwa Enzo, Saa 4

asubuhi Ndio najisikuma kuamka Tena sio

kwamba usingizi umeisha, Bali ni aibu ya Kuwa

niko kwa watu.

Nilikurupuka haraka baada ya kuona Kuwa nje

kumekuwa na jua Kali sana kumaanisha Kuwa muda umeenda sana, chapu nikatoka nje na nikajikuta nikikutana na Enzo akiwa anakuja

chumbani kwangu.

"Shikamoo

Nilimuamkia uku nikiangalia chini kwa aibu, ila na Mimi ni kanafiki jamani, Yaani sijawal kumuamkia enzo ile Leo nimemuamkia etia

"Acha ujinga wewe

Alijibu Enzo na kushika kichwa changu

Kuna Namna nilishindwa kabisa kumuelewa

Enzo, Maana ni mtu ambaye najua kabisa

anamichukia Mimi namchukla, lakini sasa

kuna Namna naona amekuwa na tabia Mpya, tabia ambayo sikuwa nikiielewa kabisa.

"Nisamehe nimechelewa kuamka"

Nilizungumza kwa sauti ya utulivu sana.

"Usijall, umeshaoga?"

Enzo aliniuliza.

"Hapana Ndio kwanza nimeamka, nilitakal

kufanya usafi kwanza halafu Ndio nije kuoga"

"Haina haja, nimeshamaliza kila kitu, fanya hivi

nenda kaoge halafu njoo kunywa chai, Maana pia Uko tayali nimeshaandaa

Alizungumza Enzo akiwa tabasamu pana

sana usoni mwake.

"Hivi Huyu ni Enzo Huyu Huyu au kuna malalka anaishi Ndani yake kwa sasa?"

Nilijuliza uku nikimuangalia Enzo kwa makini

sana

Pasi na kuzungumza kitu chochote kile

nikageuka na kutaka kurudi chumbani kwangu kwaajili ya kuoga, lakini gafla Enzo akanivuta

mkono, na kuzungumza.

"Aaah Twende kwanza ukale tu ill Twende.

tukafanye shopping kidogo Maana ata Ukisema Kuwa ukaoge hautakuwa na nguo nyingine ya

kubadilisha

"Sawa"

Nilijibu kisha Mimi na Enzo tukaenda kwenye meza ya chakula tukiwa tumeshikana mikono.

"Mmmmh Huyu ajanipanga kwaajili ya kunifanya

kafara kweli

Niliendelea kujiuliza tu kimoyomoyo Maana yooooh anazidi kunishangaza na matendo yake

mema dhidi yangu.

"Naweza kujua imekuwaje nimekukuta mtaani ukiwa na hali mbaya Kama ile 7 Cha kushangaza zaidi nimekukuta na nguo zile zile ambazo Mara

ya mwisho ulivaa wakati unatoka hapa

NYUMBANI?

Enzo aliniuliza, muda huo Mimi na yeye bado

tulikuwa Tunaendelea kupata chakula.

Nikamuangalia kwa muda na kumuuliza..

"Natakiwa kukujibu hapa hapa au naweza kujipa

muda kidogo

"Aaaaah kwa upande wangu naitaji sana kujua

lakini Kama hauko tayali kuzungumza sasa s

okay, siku ukiwa Sawa, Mimi niko tayali

kukusikiliza Ishani

Alijibu enzo na kuendelea kula.

Baada ya kimya kirefu kidogo enzo

akazungumza.

"Nisamehe sana kwa kila kitu ambacho

kimetokea hapo nyuma, Sijui ukweli wa mambo, lakini kwa situation ambayo nimekukuta nayo

najilaumu sana kwa nilichokufanyia siku ile"

"Ni Sawa usijali

Nilijibu nikionesha niko Sawa kabisa, lakini macho yangu yalishindwa kabisa kuvumilia

maumivu makali ambayo yalikuwa kwenye moyo wangu, na muda huo huo machozi yakaanza

kunitililika

"Am sorry"

Alizungumza Enzo uku akijaribu kunituliza

Kidogo

"Kwanini uliniwazia vibaya Kwanini ulitumia Pesa yako kuharibu usichana wangu?"

Nilijikuta tu nikimuuliza enzo.

"Am sorry

Enzo Alijibu Tena kwa utulivu akionesha kujutia

matendo yake mabaya dhidi yangu

"Unajua nini Enzo, Sijui Kama nitakuja kukusamehe wewe Wala mama yangu Mdogo, nyie watu mmenikosea sana"

Nilizungumza.

Kwa mshtuko wa hali ya juu Enzo akaniuliza.

"Mama yako Mdogo 7 Ni yupi Unaongea kuhusu nini?"

Nikamuangalia na kwa sauti ya kujiamini

nikazungumza.

"Unamuona Yule ambaye alikuwa akipokes Pesa

zako ulale Mimi? Umemuona Yule mwanamke ambaye Pesa ameweka mbele

kuliko chochote? Yule ni mama yangu Mdogo

Yule amezaliwa baba mmoja na mama mmoja

na mama yangu Mimi mzazi, kosa langu Mimi ni kuwaacha wazazi wangu wafe peke Yao, kosa langu Mimi kwenye hil dunia ni Mimi Kuwa

yatima tu, Enzo sikuwai kukukosea Mimi lakini umenipitisha kwenye maumivu mazito sana"

Enzo allibaki akizunguka uku na uku ni Kama Maneno yangu makali yalikuwa yakimchanganya

sana

"Kwanini ukuniamini nilipokuambia mimi ni bikra

Nilimuuliza enzo uku nikivuta Picha ya siku

usika, siku ambayo nilijidharau kuliko siku zote kwenye maisha yangu.

"chuki maumivu makali ambayo nilikuwa nayo, but am sorry"

Alijibu Enzo

Nikamuangalia na kwa hasira nikamuuliza.

"Chuki Enzo Kwanini unichukie na sikuwai

kukukosea

"Ishani chuki haikuwa dhidi yako, chuki ilikuwa

juu ya melisa, najua nakuchanganya lakini ukweli ni kwamba, siku ambayo Mimi nililala na wewe Ndio siku ambayo niliiandaa kwajili ya kumvika

mpenzi wangu melisa Pete, lakini siku hiyo hiyo

pia, nilisalitiwa

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*



Kwanza nikashtuka na kumgeukia pully na kisha Nikamuangalia Enzo, kuna Namna ni Kama moyo wangu ulikubaliana na shida zote tu ninazozipitia, kabía Enzo ajajibu kitu chochote kile nikazungumza.

"Naona mambo ni Yale Yale aiseeeh, me naenda. muwe na usiku Mwema"

Nilimaliza kuzungumza ingawa kwa maumivu Makubwa sana kisha nikataka kuondoka lakini chapu, Enzo akadaka mkono wangu na kuzungumza

Ishani aendi kokote, ila Kama wewe Unataka kuondoka unaweza kwenda

Eeeeeeeeh Huyu Enzo ni Chizi au Yaani anataka mwanamke wake mtalajiwa aondoke halafu Mimi nibakı, nilibaki nikishangaa tu kama

Chizi aliyepoteza njia hivi

"Hivi Enzo anampenda kweli Huyu msichana ?"

Nilijultza kimoyomoyo, Maana enzo hakuonesha ata Chembe ya huruma...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaash-boss-enzoo-12-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaash-boss-enzoo
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*
AAAAAASH BOSS ENZOO*    *Chapter 9*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *Chapter 9*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

442
WEWE NI WANGU 12 na 13

WEWE NI WANGU 12 na 13

225
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*

184
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

151
AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*

142
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9

137
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*

126
MY CRAZY BOSS 10

MY CRAZY BOSS 10

116
Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10

Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10

110
MY CRAZY BOSS 09

MY CRAZY BOSS 09

95

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.28K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.03K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.54K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.35K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REALLY LOVE* *26&27* Post Mpya
REALLY LOVE* *26&27*
@majario LIVE

walimpeleka katika bahari iliyopo kigamboni na kumtupa katika bahari hiyo kisha wakaondoka walifanya hivo ili kupoteza ushahidi, upande mwingine fahima alikuwa anabembelezwa na mpenzi wake ili ale chakula maana hakutaka kabisa...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*
@majario LIVE

Kwanza nikashtuka na kumgeukia pully na kisha Nikamuangalia Enzo, kuna Namna ni Kama moyo wangu ulikubaliana na shida zote tu ninazozipitia, kabía Enzo ajajibu kitu chochote kile nikazungumza. "Naona mambo ni...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana na muda huo huo moyo wangu ulingia ganzi kutokana na jinsi ambavyo namchukia sana enzo, Huyu kaka Walahi namchukia kuliko maelezo yangu. Niliamua ata kuachana na hiyo Pesa...

MY CRAZY BOSS 10 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 10
@majario LIVE

ENDELEA Nilirejea ndani huku nikiwa na bashasha ya kuangalia ni nguo za aina gani zilizopo ndani ya mfuko huo "Khaa!!! Kumbe sina taa jamani , hata siwezi kuona ni za rangi gani,...

(BARSISA....!)  Inasimuliwa kuwa Barsisa alikuwa mtawa miongoni mwa Wana wa Israeli. Post Mpya
(BARSISA....!) Inasimuliwa kuwa Barsisa alikuwa mtawa miongoni mwa Wana wa Israeli.
@majario LIVE

Alijijengea kibanda cha ibada mlimani, mbali na watu, akaamua kutoa maisha yake yote kwa ibada ya Mwenyezi Mungu peke yake...! Alijinyima starehe zote za dunia, akaishi maisha ya kujitenga na watu, maisha ya...

Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10 Post Mpya
Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10
@majario LIVE

Asubuhi na mapema, nilidamka na kuingia mtaani ili niweze kupata chochote kitu Maana nilikuwa Nina njaa sana kwa wakati huo. Najua wengi mtaniuliza nilipeleka wapi Pesa ambazo nililipwa kwa kina enzo...

AAAAAASH BOSS ENZOO*    *Chapter 9* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *Chapter 9*
@majario LIVE

Nilijikuta nikipata mshtuko na wasiwasi wa hali ya juu. "Ina Maana ma Mdogo amemlipa Enzo kuja kunirudisha hapa?" Nilijiuliza kimoyomoyo. Baada ya kimya cha muda mfupi kidogo, enzo akaniambia. "Haya Shuka tumefika" Nilimuangalia kwa macho...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*
@majario LIVE

seven alifurahi sana hata fahima nae alifurahi pia, seven alimsogeza fahima na kumkumbatia. asante sana mke wangu kwa kuniheshimisha akambusu fahima alisema seven kisha hongera sana mr seven sasa unatakiwa uwe sana...

MY CRAZY BOSS 09 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 09
@majario LIVE

SONGA NAYO Niliingia ndani , sikuwa na usingizi kabisa , ni ajabu sana kwani nilijikuta nikiwaza sana kuhusu Boss Erick muda wote. Kwenye maisha yangu yote nimewahi kukosewa na wanaume...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*
@majario LIVE

Baada ya kuzunguka sana na kuchoka nikajikuta nikkaa tu chini kuanza kulia, najua mtanicheka lakini ni Kama akili yangu ilifika mwisho kwenye kufikilia lakini pia kuangaika Muda huo huo kapita...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9
@majario LIVE

Nilikaaa nikimsubiri dada kwa hamu kweli na alifika, tulikuwa hyo siku nilikuwa nacheka cheka sana maan nilikuwa nina wazo ambalo nikimpa dada angu cha mdomo atalikubali, bika kunichamba enhe mwenzetu vipi?,...

WEWE NI WANGU 12 na 13 Post Mpya
WEWE NI WANGU 12 na 13
@majario LIVE

SEHEMU YA 12 Hii wanaelewa wanaume wenzangu jamani😂 sio mpaka niwaeleweshe akina dada mtaniua bure, basi baada ya kumaliza kula akanibusu shavuni kisha akaniaga kuwa anondoka nikamjibu poa Akaita boda boda baada...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

Kwanza kila mtu akashtuka na kuniangalia Mimi ambaye nilikuwa nikitetemeka sana. Kuna Namna niliharibu moment nzuri ya Furaha ya mama na Mtoto. Kwa upande wa mkaka buyo aliganda akinishanga na kujiuliza kimoyomoyo Kuwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120. Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
@majario LIVE

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴 🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴 Nikasusa chakura chakeee. Basi kaanza kujiombesha msamaha pale nisamehe mke wangu . Nisamhe basi. Mh namjua uyu . Nikaona asije akalia bule baba wa watu. Nikamwambia sawa nimekusamehe ila sitaki...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Japokuwa nilimfukuza lakini ukweli huyu binti nimetokea kumpenda jamani, Leo ndio naweka hisia zangu wazi maana siku zote nilikuwa nawaficha mnisamehe sana 🥹 Basi somo liliendelea na hatimaye kipindi changu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest