Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15*
Gonga94 · Stories

AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi

Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake.

"Shikamoo madam Groly"

Nilimsalimia madam Groly kwa woga wasiwasi

Madam Groly akaniangalla kwa kunipandisha na

kunishusha kisha akanijibu "Kuwa na upate zako Kama ni Mal Kisha madam Groly akamgeukia Enzo

kumuuliza

"Huu ni ujinga gani neusikia hapa?"

Yaani muda huo nilikuwa nikihisi joto na baridi lkwa wakati Mmoja Yaani jasho finanitika halafu mwill unatetemeka Nyeeeh haya mambo

mengine muyasikie tu.

"Mummy I can explain"

Alizungumza Enzo kwa utulivu sana

Madam Groly akanigeukia Mimi

bonge la sonyo kisha akazungumza

kuachia

Kutala

"Kabla sijasikia huo ujinga wako

Huyu kisebengo hapa, nataka aondoke sasa hiv hivi Enzo Una akili kweli wewe eeeh 7 Yaani unamtimua mchumba wako, Mke wako mtainjiwa kwaajili ya Huyu mjinga mmoja tu wewe ni mzima au? Yaani umepatwa na nini mpaka umekuja kumuamini Huyu msichana

Tena 7"

"Mama Nisikilize Baoi, ni Mimi Ndio nilimuwazia Ishani ubaya, lakini Ishani hana ubaya wowote ule, yeye ni mtu Mwema anayepambania maisha yake kwenye umri huu Mdogo alikuwa nao" Madam Groly akatuangalia kwa muda kisha

akacheka na kuzungumza

"Mtoto Mdogo si Ndio Mtoto Mdogo lakini

Ikapita na sasa hivi mpo mnakumbushia si Ndio

We Binti wa kimasikini muongo muongo

Ondoka Saa hivi, Yaani Narnaanisha sasa hivi

Eeeeh hii mikosi Sijui nimezaliwa nayo

Jamani Yaani kila nikipata msaada Lazima

Jambo Iitokee, haya kwa Mara nyingine Ishani

Mimi naenda Kuwa Mtoto wa mtaani

Kwa upole na maumivu makall nikatoka nje

kwajili ya kuondoka.

"Lakini Mbona Kama Enzo anataka kunisaidia

Naweza kumuomba mtaji si Ndio 7

Nilijiuliza kimoyomoyo baada ya kutoka nje ya

Nyumba kabisa

Baada ya Kama lisaa moja hivi, nikaona mama

Enzo akitoka nje akiwa na hasira sana akapanda

kwenye gari yake na kuondoka.

Kwa upande wangu kwakuwa nilikuwa

nimejificha kwenye UA, nikanyanyuka chapu

kurudi Ndani

"Enzo

Nilimuita enzo, kwa Furaha ya hali ya juu, Enzo akanifutaa na kunikumbatia kwa nguvu sana "Asante Mungu umerudi, nilikuwa nawaza

Utakuwa umeenda wapi

Alizungumza Enzo

Sio salama Mimi kuendelea Kuwa hapa,

nilikuwa tayali nimeshakubali na kuondoka,

Enzo, ukiachana na tofauti zetu, please Karma

Inawezekana Naomba nisaidie mtaji tu Mimi

nitarudi kule mtaani na nitajua nini cha kufanya

"Mtaani? Yaani Mimi Enzo nikuache wewe

Ishani urudi mtaani Tena? Hiyo haiwezekani"

"Lakini nitafanya nieisi sasa?"

"Sikia Kao hapo kwanza, natoka narudi, yeyote

Yule atakayegonga mlango usifungue

usiitikie

"Sawa"

Baada ya hapo enzo akachukua funguo za gari

na kuondoka zake.

Picha ikaanza sasa kwa upande wangu,

nikuta nikibaki kukumbuka jinsi ambayo Enzo

akinikumbatia kwa Furaha baada ya Mini kurudi

Ndani

Ishani huo ni umalaya sasa

Nilijsambla Mwenyewe kuanza kujicheka tu

"Kwahiyo anzo alikuwa anadate wanawake

wawill Ndio kabaki Huyu Pully baada

Melisa kuolewa au ?"

Mimi Tena

umbea sasa Yaani nilijikuta

nikianza kujiuliza mambo ya mahusiano ya

Enzo

"Lakini inawezekanaje mkaka

ana Pesa halafu anaachwa

Kama Huyu,

Niliendelea kujiuliza na sikuwa na majibu sahihi.

Baada ya kujiuliza sana, nikajikuta tu nikipitiwa

Ana usingizi na nikalala.

Upande

NYUMBANI Kwa madam Groly, siku

hiyo madam Groly alionekana Kuwa na hasira

sana, alikuwa ni mtu wa kufoka sana.

"Madam ungepunguza hasira utakuja

kupandisha pressha yako juu

Alizungumza mama zena, mtumishi kazi za

Ndani kwa madam Groly

"Mama Zena Kaa kimya kwanza, Yaani Enzo

naona anataka kunipanda lochwani kabisa,

anadiliki kuniambia Kuwa hayuko tayali kumuoa

Pully Squi ana mwanamke ambaye yeye

anampenda na sio Puly

Alzungumza madam Groly kwa hasira

mama zena akadakia

"Lakini ata kumuoa Pully hakuwai kukubali ni

mnamlazimisha tu muacheni achague

anachokiltaj

Madam Groly akamuangalia mama zena

kumuuliza

"Unajifanya umesahau alichofanyiwa na Melisa

si Ndio Melisa lilikuwa ni chaguo lake lakini

umeona alichomfanya? Kwa sasa Enzo ataoa

mwanamke ambaye namtaka Mimi na

mwingine ni Pully

Mama Zena akanna hi ngoma ngumu

akanyanyuka zake kwenda zake jikoni tu

akacheze na vitunguu na nyanya

Kwa upande wangu nililala sana, na nilikuja

kuamka muda ukiwa umeenda

Yaani tayali

Ko Giza Ka jioni kalishaanza kushika nafasi yake,

baada ya kuamka tu, Wala haukupita muda

mrefu sana Enzo nae akarudi

"Pole umekaa peke yako kwa muda mrefu

Alizungumza Enzo

kutaka kunikumbatia,

lakini kwa upande wangu sikumpa ushirikiano

kabisa hivyo akajishtukia na kuacha

"Tuondoke kabla mama hajatukuta hape Maana

yuko njiani anakuja

Alizungumza Enzo

Kukwell hakukuwa na muda wa kupoteza,

ukizingatia sikuwe ata mizigo ya kubeba,

nilichofanya re kutoka nje tu, na baada ya muda

mfupi safari yangu Mimi na Enzo ikaanza

"Nilikuwa nawasoma wakimbizi kwenye history

Leo hii mkambizi ni Mimi

Nilizungumza kimayomoyo lakini nikajikuta

nikiCheka kwa sauti ya juu

"Ni nini kinakuchekesha

Enzo aliniuliza

Nikamuangalla na kumuuliza

"Tofauti yangu na mkimbizi ni nini?"

Hapo ata Enzo Mwenyewe alishindwa kuvumilia

na akabaki akicheka sana.

"By the way where are you taking me?

Nilimuuliza Enzo.

"Unakingereza kizuri sana"

Enzo aliniambia, nikajikuta

nikiblash biash

mwisho nikageukia upande wa pili na kubaki

nikiangalia magari yanavyopishana

barabarani

Baada ya mwendo mrefu sana, Mimi

Enza

tuillingia kwenye mitaa Fulani hivi ya uswazi kiasi

no mwisho akapaki gari kwenye moja ya

Nyumba Fulars hit, nje kulikuwa na wadada

kama wanne hivi walikuwa wamekaa kwenye

mkeka wakipiga story za hapa na pale

"Hapa ni wapi?"

Nilimuuliza Enzo uku nikiogopa kushuka kwenye

gan.

"Umekiona kile chumba cha katikati 7 Kile ni

chumba chako, Leo nimefanya kazi ya

kuzunguka na madalali tu na Hatimaye nimepata

hiki chumba, Ishani, Utakuwa unakaa hapa

kipindi ambacho nitakuwa nikiweka mambo

Sawa na familia yangu"

Alizungumza Enzo akionesha kujali sana kuhusu

Mimi

Nikatabasamu na kumshukuru

"Asante sana Mungu akubariki

Baada ya maelezo mawill matatu, Mimi na Enzo

tukashuka kwenye gari na kusogelea mlango wa

chumba changu kipya.

"Za sa hizi?"

Niliwasalimia wadeda ambao walikuwa hapo

nje, kwa Pamoja wakatika

"Salama karibuni

"Asante

Basi Mimi na Enzo tukaingia Ndani, macho

yalinitoka baada ya kukutana na kitanda, godoro,

net na vyote vikiwa sipya.

"Usiniamble hivi vyote umefanya Leo?"

Nilimuuliza Enzo nikiwa siamini kabisa.

Nisingeweza kulala kwa amani

Kamna

nisingefanikisha hivi vitu siku ya Leo, by the way

sikuwa Mwenyewe, nilikuwa na Nick, Yule

mshikaji wangu aliyekusaidie siku ile

ulivyopotea

Nikajikuta tu nikimkumbatia Enzo kwa nguvu

sana na kumwambia.

"Asante sana Enzo

"Usijali,

sasa Pumzika nikakuangalizie chakula

kabla me sijaondoka

Basi Enzo akatoka nje

nikishangilia tu Mwenyewe

Mimi Nikabaki

Siku ziliendelea kusonga uku na uku na niseme

tu maisha yangu yamebadilika, Sawa si kwamba

nimeinuka sana lakini Nina amani, nalala pazuri,

Nina life yangu na sio yale maisha ambayo

nililikuwa nikishi mwanzo

Ukaribu wangu na Enzo ulizidi kamarika siku

hadi siku ilifika lepindi nisipomuona Enza

najisikia vibaya

Kwa upande

majilani yaaaaah I have them,

nyleeeeh majilani zangu pambe mpaka pambe

Tena

Ikiwa ni siku ya jumatatu, Majila ya Saa 4 velku

nikiwa naangalia movie Mashoga zangu

Ndani, gafla tukasikia hodi mlangoni kwangu,

kwanza Mimi na mashoga zangu tukaangaliana

na kuulizana

"Nani Tena Saa Hizi jamani

Muda huo huo SAUTI ya Enzo ikasikika.

Ishani ni Mimi fangua

Kwa mwendo wa haraka nikafungua mlango, na

Enzo aliponiona tu akanikumbatia kwa nguvu

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*



Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi

Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake.

"Shikamoo madam Groly"

Nilimsalimia madam Groly kwa woga wasiwasi

Madam Groly akaniangalla kwa kunipandisha na

kunishusha kisha akanijibu "Kuwa na upate zako Kama ni Mal Kisha madam Groly akamgeukia Enzo

kumuuliza

"Huu ni ujinga gani neusikia hapa?"

Yaani muda huo nilikuwa nikihisi joto na baridi lkwa wakati Mmoja Yaani jasho finanitika halafu mwill unatetemeka Nyeeeh haya mambo

mengine muyasikie tu.

"Mummy I can explain"

Alizungumza Enzo kwa utulivu sana

Madam Groly akanigeukia Mimi

bonge la sonyo kisha akazungumza

kuachia

Kutala

"Kabla sijasikia huo ujinga wako

Huyu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaash-boss-enzoo-14-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaash-boss-enzoo
AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*
AAAAAASH BOSS ENZOO*    *Chapter 9*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *Chapter 9*
 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

653
 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*

376
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*

212
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

188
REALLY LOVE* *26&27*

REALLY LOVE* *26&27*

167
MY CRAZY BOSS 10

MY CRAZY BOSS 10

146
Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10

Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10

122
MY CRAZY BOSS 09

MY CRAZY BOSS 09

109
AAAAAASH BOSS ENZOO*    *Chapter 9*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *Chapter 9*

93
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

75

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.28K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.03K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.54K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.35K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO......... Baada ya yule dada kuondoka akaiingia sir Joseph huyu ni mshkaji wangu sana yani huyu kaka nilivyo mimi ndivyo na yeye alivyo, anapenda mademu huyu na kibaya zaidi ametongoza...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14
@majario LIVE

"Hapana sir, lakini mbona sielewi chochote..." "Utaelewa tu shika viatu.." Nilisema huku nikichukua fimbo, basi kijana wa watu akashika viatu nikamchapa pale viboko kama vitano na kumwambia aende, na sirudie tena 😂 Mtoto...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

REALLY LOVE* *26&27* Post Mpya
REALLY LOVE* *26&27*
@majario LIVE

walimpeleka katika bahari iliyopo kigamboni na kumtupa katika bahari hiyo kisha wakaondoka walifanya hivo ili kupoteza ushahidi, upande mwingine fahima alikuwa anabembelezwa na mpenzi wake ili ale chakula maana hakutaka kabisa...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*
@majario LIVE

Kwanza nikashtuka na kumgeukia pully na kisha Nikamuangalia Enzo, kuna Namna ni Kama moyo wangu ulikubaliana na shida zote tu ninazozipitia, kabía Enzo ajajibu kitu chochote kile nikazungumza. "Naona mambo ni...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana na muda huo huo moyo wangu ulingia ganzi kutokana na jinsi ambavyo namchukia sana enzo, Huyu kaka Walahi namchukia kuliko maelezo yangu. Niliamua ata kuachana na hiyo Pesa...

MY CRAZY BOSS 10 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 10
@majario LIVE

ENDELEA Nilirejea ndani huku nikiwa na bashasha ya kuangalia ni nguo za aina gani zilizopo ndani ya mfuko huo "Khaa!!! Kumbe sina taa jamani , hata siwezi kuona ni za rangi gani,...

(BARSISA....!)  Inasimuliwa kuwa Barsisa alikuwa mtawa miongoni mwa Wana wa Israeli. Post Mpya
(BARSISA....!) Inasimuliwa kuwa Barsisa alikuwa mtawa miongoni mwa Wana wa Israeli.
@majario LIVE

Alijijengea kibanda cha ibada mlimani, mbali na watu, akaamua kutoa maisha yake yote kwa ibada ya Mwenyezi Mungu peke yake...! Alijinyima starehe zote za dunia, akaishi maisha ya kujitenga na watu, maisha ya...

Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10 Post Mpya
Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10
@majario LIVE

Asubuhi na mapema, nilidamka na kuingia mtaani ili niweze kupata chochote kitu Maana nilikuwa Nina njaa sana kwa wakati huo. Najua wengi mtaniuliza nilipeleka wapi Pesa ambazo nililipwa kwa kina enzo...

AAAAAASH BOSS ENZOO*    *Chapter 9* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *Chapter 9*
@majario LIVE

Nilijikuta nikipata mshtuko na wasiwasi wa hali ya juu. "Ina Maana ma Mdogo amemlipa Enzo kuja kunirudisha hapa?" Nilijiuliza kimoyomoyo. Baada ya kimya cha muda mfupi kidogo, enzo akaniambia. "Haya Shuka tumefika" Nilimuangalia kwa macho...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*
@majario LIVE

seven alifurahi sana hata fahima nae alifurahi pia, seven alimsogeza fahima na kumkumbatia. asante sana mke wangu kwa kuniheshimisha akambusu fahima alisema seven kisha hongera sana mr seven sasa unatakiwa uwe sana...

MY CRAZY BOSS 09 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 09
@majario LIVE

SONGA NAYO Niliingia ndani , sikuwa na usingizi kabisa , ni ajabu sana kwani nilijikuta nikiwaza sana kuhusu Boss Erick muda wote. Kwenye maisha yangu yote nimewahi kukosewa na wanaume...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*
@majario LIVE

Baada ya kuzunguka sana na kuchoka nikajikuta nikkaa tu chini kuanza kulia, najua mtanicheka lakini ni Kama akili yangu ilifika mwisho kwenye kufikilia lakini pia kuangaika Muda huo huo kapita...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9
@majario LIVE

Nilikaaa nikimsubiri dada kwa hamu kweli na alifika, tulikuwa hyo siku nilikuwa nacheka cheka sana maan nilikuwa nina wazo ambalo nikimpa dada angu cha mdomo atalikubali, bika kunichamba enhe mwenzetu vipi?,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest