Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

REALLY LOVE* 16
Gonga94 · Stories

REALLY LOVE* 16

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

waliondoka wakiwaacha familia ya cathe wakiwa na majonzi makubwa sana hawakuamini kabisa kilichotokea walitamani iwe ndoto

upande mwingine kwa mama fatuma alikuwa akimshangaa mumewe tangu asubuhi yuko ndani tu hakutaka kula chochote "kwani leo unashida gani jamani alisem

mama fatuma

hebu niache alijibu baba fahima sasa nitakuacha kivipi isema mama fatuma

mama fatuma jamani niacheeee hunielewi™ isema bba fahima, ikabidi mama fatuma atoke chumbani humo akatoka nje ile anatoka tu akaja wadada watatu wakiwa wamevaa vjola na kiunoni wamefungwa kanga, walikuja kishari kwelikweli

nyie vipi mbona hivo alisema mama fatuma

unatushangaa kwani tunachekesha tuambie kinyago wako yuko wapi yeye si anajifanya bingwa wa kukatikia viuno waume za watu sasa tuambie yukowapi alisema mmoja kati ya madada hao watatu

nyle watoto mnapokuja kwangu muwe wastaarabu alisema mama fatuma

"ustaarabu huo ungeanza kumfundisha mwanao kwanza we mzee usituletee weusi tutakuvuruga sasa hivi alisema mdada mwingine kati ya hao

mnamtaka nani alisema mama fatuma

hautuelewi au afu we mzee wewe unazeeka vibaya sasa ngoja sauda anaua hizo nguo zao zote nawewe mwaju beba jiko lile alisema mdada huyo kuwaambia wenzie na wao wakaanza kuanua

Jamani nyle vipi sasa mnaanua nguo zangu nimefanyeje mme wanguuuuuuu we baba fahimaaaaa mama fatuma alianza kumulta mme wake huku analiaa maana walianua nguo

zote na jiko wakalibeba

sasa bado hujalia ukitaka nenda polisi

ubadilishe muswada upo nyonyo halafu akija huyo mwanao mwambie bado hatujamalizana nae na labda ajifungie ndani milele lakini tukimuona tutampasua vibaya mxieeeeeeew alisema mdada huyo kisha wakaondoka zao, mama fatuma akaanza kulia

uwiiiiiii nguo zangu nzuri wamezichukua sasa namgojea arudi mshenzi huyu atazilipia mbwa huyu uwilli jiko langu mimi alizidi kulia huku

aklingia ndani

upande mwingine john yeye aliwasindikiza tu mpaka walipofika kisemvule kisha akageuza na kurudi kazini huku seven na familia yake wakaingia ndani hakika kulipendeza sana waliingia seblen seven alipiga jicho kwenye dining rooom sehem ya kula chakula aliona mapochopocho kibao yamefunikwa vizuri kwamaana chal ilishaandaliwa alitabasam na kuwakaribisha

"mama karibuni hapa nilipanunua nadhani

niliwaambia mda kuwa kuna nyumba nainunua sasa huyu binti nimeamua kumuweka hapa awe muangalizi wa nyumba maana hakuna wa kuiangalia istoshe bado anaumwa na mazingira ya kwao sio mazuri kabisa kwahiyo karibuni sana alisema seven kwa tabasam

mh mwanangu nina muda sijaona tabasam lako ndokwanza sasahivi mbona unafurahia sana jamani alisema mama seven nae kwa tabasam

hata mimi mama nimeona yani tangu tunaingia hapa kaka anatabasam tu sijui kwanini

alisema sarafina nae

sara hebu acha umbea kwani nikitabasam kuna ubaya gani alisema seven

"usituone watoto hapa unaonekana unaamani ya moyo hebu tuitie huyo wifi atuletee maji tunakiu sisi alisema selina huku akifungua mkoba wake na kutoa simu yake dada mkavu

huyu

selina jamani msiseme kwanguvu alisema seven kuwakataza ili fahima asijekusikia

eee seven hebu tuitle huyo wifi jamani tuna

kiu alisema selina tena kwa nguuuvuuuu sana ikabidi seven atoke haraka kuelekea chumbani

kwa fahima, uku chumbani fahima alikuwa anasikia kila kitu akawa anatabasam tu akasikia mlango unagonjwa akajiweka sawa na kuufungua seven akaingia chumbani humo akiwa mwenye tabasam pana

"unaendeleaje fahima aliuliza seven

vizuri wageni washafika? alluliza fahama

ndiyo wanataka maji ya kunywa alisema seven

sasa si ungemuita mdada awape halafu

sijapenda unagaweni unaniambia usiku ghafla tu alisema fahima, seven alimuangalia mtoto wa kike alivokuwa anaongea kwa upole akasogea na kuushika mkono wake vizuri

am sooorry mimi mwenyewe waliniambia ghafla tu alisema seven kwa upole sana

sawa ni wageni gani aliuliza fahima

ni mama yangu mzazi na dada zangu alisema seven

"heeee seven mungu wangu naogopa sasa™

isema fahima kwa kushtuka.

sasa unaogopa nini hebu twende halafu nimesahau kukwambia alisema seven kisha akamsogelea fahima na kumnong'oneza sikioni

umependeza sana fahima wangu u are beautfull sana alisema seven kwa hisia kidogo wanasema hata uzifiche vipi hista hazifichiki, fahima akatabasam kwa mara ya kwanza seven analiona vizuri tabasam la mtoto wa kike fahima alikuwa kazuriiiii kasura kadogo dogo kama wema sepetu akabaki tu anamuangalia machoni nae fahima alizidi tu

kutabasam akilikumbuka neno hilo

ghafla seven alijikuta akiupeleka mkono wake na kutua shavuni kwa fahima fahima unajuwa umeweza sana kunituliza

mimi hadi moyo wangu, nilipata janga kubwa la njaa lakini umeweza kulizuia na kurudisha tena

uhai wangu ndani ya sekunde tu, sikujua kama kucheka lakini

nitakuja tena kila ninapokutazama najihisi mwenye amani sana na furaha kiukweli najitahidi sana kuzificha hisia

zangu juu yako lakini nashindwa, najikaza ila nashindwa fahima sitamani uje kuwa na mwanaume mwingine zaidi yangu naomba unipe nafasi katika moyo wako niwe mwanaume

wakwanza kwako na wa mwisho nakupenda

sana fahima wangu amani yangu ebwana

eeeee seven akishusha mzigo wake aliouweka

moyoni mwake kumwambia mtoto wa kike, fahima alibakia tu kumuangalia seven hakuwa najibu lolote lile ndipo wakashtuliwa na sauti ya

selina

we seven wewe seveeeeeen unatuua na kiu huku hebu muite wifi alisema selina hiyo wifi yani kama anamjuwa vile dada

chale huyu

The nani wifi alisema fahima

"kwani hujawasikia hapo hebu twende alisema seven kisha akakamata mkono wa fahima na kwenda nae seblen

walifika seblen aiseee dada wa seven walitabasam baada ya kumuona fahima na seven yaani copi safi kabisa kiukweli walipendezana sana fahima alifika na kumsalimia mama seven kwa kupiga magoti

ebwana eeee mpaka mama seven akatabasam

marahaba binti yangu mzuri hujambo alisema mama seven

mama nawewe unajisahau sio binti yako huyo alisema sarafina

hivi sara una shida gani wewe alisema seven

sasa kwani amekwambia anashida77

selina alisema akiwa mkavu kabisa mpaka seven akacheka kwa sauti maana dada yake huyo anavituko sana, basi walisalimiana vizuri sana kisha fahima akawakaribisha mezani aliwapa maji ya kunywa na kuanza kula chakula

aliwapikia chapati za kusukuma viazi vya lost la nyama na supu ya kuku, basi walikula na kufurahia chakula hicho

upande wa cathe aliwekwa chini na wazazi wake kisha wakaanza kumsema sana

"hivi cathe wewe wa kututia albu hivi jamani mama yako nitaiweka wapi sura yangu mimi jamani mbona nilikulea vizuri mwanangu nini shida mwanangu kama oesa tunazo sasa ukaenda kutembea na yule ambaye hana hata gari mwanangu umefanya niliinilli mama cathe huku analia. alisema

nilikuwa nakwambia sana watoto sio wa kuwaamini unalia nini sasa wakati ulisema mwanao umemlea vizuri isema baba cathe

huu sio muda wa kulaumiana baba cathe tujadili tujue tuna fanyaje alisema mama cathe, mara ghafla cathe akahisi kichefu chefu

cha ghaflaaaa alitaka kunyanyuka kwenda kutapika chooni lakini hakuweza alltapikia hapohapo seblen, mama yake alivoona anatapika vile alishtuka sana akaweka mikono

yake kichwani

mungu wangu jesus mimbaaaaa?

alisema mam cathe Itaendeleaaaaaa

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

REALLY LOVE* 16


waliondoka wakiwaacha familia ya cathe wakiwa na majonzi makubwa sana hawakuamini kabisa kilichotokea walitamani iwe ndoto

upande mwingine kwa mama fatuma alikuwa akimshangaa mumewe tangu asubuhi yuko ndani tu hakutaka kula chochote "kwani leo unashida gani jamani alisem

mama fatuma

hebu niache alijibu baba fahima sasa nitakuacha kivipi isema mama fatuma

mama fatuma jamani niacheeee hunielewi™ isema bba fahima, ikabidi mama fatuma atoke chumbani humo akatoka nje ile anatoka tu akaja wadada watatu wakiwa wamevaa vjola na kiunoni wamefungwa kanga, walikuja kishari kwelikweli

nyie vipi mbona hivo alisema mama fatuma

unatushangaa kwani tunachekesha tuambie kinyago wako yuko wapi yeye si anajifanya bingwa wa kukatikia viuno waume...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/really-love-16

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi really-love
*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5*
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

538
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

472
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

449
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

438
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

229
REAL LOVE  Chapter 15

REAL LOVE Chapter 15

188
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*

149
REALLY LOVE* 16

REALLY LOVE* 16

79
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

70
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

38

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.16K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.9K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MALAIKA SEHEMU YA 2 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 2
@majario LIVE

ALIMJARIBU 'BOI' WA NDANI ILI KUHAKIKISHA KAMA NI TASA Hapo ndipo Malaika alipohisi dunia nzima imemuelekea yeye. Kila kona aliyopita ilikuwa ni masengenyo, dharau za ndugu, na minong’ono ya majirani iliyomchoma...

MALAIKA  SEHEMU YA 1 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 1
@majario LIVE

“Malaika! Malaika mwanangu!” “Naam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?” Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni....

YENYE KIRUNGU  💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 09 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 09
@majario LIVE

MR AB TULIPOISHIA “Ndio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukule” “Yesu.....” Nilipagawa huku nikiwaza...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 08 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 08
@majario LIVE

NA MR AB Jerry aliendelea kuninyonya ulimi ndipo ghafla yule mwenzake akaondoka kwa hasira kuelekea mlangoni ** Haya mambo ni kama vile ukichaa, ilinibidi nimuachie Jerry na kusogea nyuma kidogo “Vipi mke wangu?...

YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚  SEHEMU YA 07 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚 SEHEMU YA 07
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA Piiiiiiiii, alipiga honi konda, nikasogea na kuchungulia vizuri, kweli ilikuwa kama nimetabiri hivi, nilimshuhudia Jerry anashuka kwenye pikipiki amevaa shati na suruali ya kitambaa akasogea “Mke wangu Anita” Alisema Jerry...

YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️  SEHEMU YA 06 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️ SEHEMU YA 06
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA “Wewe Anita......Anitaaaa” Ilikuwa sauti ya baba mmoja jirani aitwaye Ba Masoud. Nilishtuka na kufumbua macho nikatazama “Anitaaaa.....wewe binti” Sauti ya mwenyekiti ilisikika “Yupo kweli au ameshatekwa huyu, usikute ameuawa tuko hapa hapa”...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 05 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 05
@majario LIVE

MR. AB Tulipoishia Ile nimefika sebuleni kulikuwa na giza, nikapapasa swichi na kuwasha taa. Sikuamini, nimewasha taa hivi, naona mwanaume kasimama katikati ya chumba amevaa boxer tu, ana tattoo zake ameinamisha kichwa chini. Kuinua...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️
@majario LIVE

Na Mr AB SEHEMU YA NNE Alifanya kuniwekea kunako, akaisukumiza kikaingia kile kichwa tu “Ooohhh..bhaaan...” Nilihema kwa hisia huku nikijisukumiza nyuma ikawa inaingia taratibu hadi ulipoingia mpaka mwisho. Ilinitekenya halafu akaanza kuchochea...

YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU
@majario LIVE

"Daah mbona haisimami?" Nilimuuliza boss wa mume wangu "Ngoja niondoke nitarudi siku nyingine leo sijisikii vizuri" alijibu akipandisha suruali yake halafu akatoa shilingi elfu 20 akanipatia "shika hii" "Mh asante" nilisema...

YENYE KIRUNGU💛💚❤  SEHEMU YA PILI Post Mpya
YENYE KIRUNGU💛💚❤ SEHEMU YA PILI
@majario LIVE

Tulipoishia Asubuhi ilipofika Nilijikuta namtext boss wa mume wangu "Wewe" nilituma asubuhi na mapema maana niliamka na nye** vile vile "Niambie madam" "Ninahitaji mboo" Nilimuandikia ujumbe huo ili nione atajibuje, yaani akijibu vizuri tu...

YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞
@majario LIVE

Sehemu ya kwanza Mume wangu ni mtu msiri sana ambapo ni mara nyingi tumekuwa tukigombana hasa pale ninapogundua kwamba kuna mambo ya muhimu amenificha kwa muda murefu. Hata hivyo ugomvi haijaweza...

Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952. Post Mpya
Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952.
@majario LIVE

Alikuwa ni mwimbaji, mtunzi na mtayarishaji wa muziki kutoka India ambae alifahamika zaidi kama Disco King kwa kutengeneza muziki wa disco unaotumia ala za kielektroniki (synthesizer) kuwa maarufu katika tasnia...

Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai Post Mpya
Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai
@majario LIVE

Msanii maarufu “Toss”, anayefahamika kama hit maker wa Umlandu, kwa sasa anaripotiwa kuingia kwenye uhusiano mzito wa kimapenzi na aliyewahi kuwa mchumba wa marehemu rapa wa Afrika Kusini, AKA. Mrembo huyo...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘
@majario LIVE

Usiku mzima Hemed hakuniongelesha kitu chochote namm sikutaka kumuongelesha nililala zangu kimya nikajikausha mpaka asubuhi niliwahi kuamka nikamwandalia kiamsha kinywa then nilirudi chumbani kwa ajiri ya kujiandaa kwenda kazini.... nilivyotoka...

UTANIITA SHEMEJI*  SEHEMU YA 10 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Kauli ya ole wako uinuke na inuka zilikuwa nyingi hadi nikahisi kuchanganyikiwa ikawa ni mwendo wa simama kaa kama mtoto wachekechea . Mwisho Aunt Vero aliingilia kati na kusema "...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest