Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 2
Gonga94 · Stories

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 2

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Hivi unajua aibuu ya kumsema mtu nae anasikia hee!! Sa sikujua yule kaka amenisikia au ndo amefika sasa hivi..

Nilivyokutana macho na yule mkaka jamaniii, moyo ukanigonga ..
Yule mkaka hakuongea kitu, akatoa moshi mdomoni phuuuuuu, akaniangalia kuanzia juu mpaka chini kama ananipima bei sokoni , Nikasema nimekwisha miee

Nikajikuta nasema kwa sauti ya kipole sanaaa ile ya mtu anaetafuta kujikosha

😬 “Eeh… … aaah…sawa nakuja… dadaangu… hehehe…” yaani nacheka hata sijachekeshwa

Nikameza mate.
Ndani ya simu Tinner anapiga kelele:
“Verooo!!! unasema nini sasa?? "

Nikajibu haraka haraka:
“Aaaaah hakuna banaa… nimesema tuu… kuna upepo hapa…”

"Chukua Boda basi yaani muda wote huo sa hii ungekuwa ushafika nawewe duuh"

Kuna boda ikawa inapita muda huo nikamwambia Tinner nakuja nakujaa nikakata simu nikasimamisha Boda

Alikuwa mkaka tuu yaani ni wale wale kiatu kavaa kinabembea piki piki amekalia tako moja, Huo mziki mamaaaa!! Makeleleee yaani aah ...hivi huyu Tinner huuku sijui kapapendea nini pa hovyo hivi jamani daah

"Naenda hapo juu kuna geti jeupe mwisho wa hili kilima..." nikampa maelezo kama niliyopewa na mwenyeji wangu yule kaka akasema " Fresh pakia sisteri tuondoke " nikatenga kiuno piki piki inataka kuondoka tu, yule kaka ambae ndio alikuwa nyuma yangu wakati naongea na simu akasema

"Oyaa ...Mikaa zuia hapo" piki piki inasimama

Eeeeh mamaaaa!!!
Nikajikuta nasema ndani ya moyo:
Halafu wala hajajitingisha yaani kabaki vile vile kaegamia mti kipisi cha bange ndomoni ..

"Mikaa eeh mwambie huyo Demu aondoke na mataili yake na hivyo viti "

Mungu wangu!!!! Nikishindwa kujizuia aisee nilitoa jicho hiloo kama mjusi kabanwa na komeo , anaeongea ananikata hilo jichooo halafu huyo mika sijui ndo mika akawa hata haelewi ila mie nikaelewa

"Ohoo huyu eeh hahah basi amesikia" nafikiri mika alijibu tu kwa kuropoka yule kaka hakutoa jicho kwangu jamani nilitamani hadi kulia nikaanza kujichekesha natafuta neno la kuongea silioni

"Sikia we sister ..... usifikiri kila mtu ambae hanukii pafyum kama wewe basi ni mwizi sawa au mtu anaekaa kijiweni hana kazi za kufanya haya maisha mueshimu kila mtu sawa Sisteri, Hakuna mwizi anaeweza kuiba vitaili vya gari yako hii umesikia wewe...." nyieee niliona aibuuuu unajua huyu kaka anaongea sauti nzito ya taratibu ila ananipaka shombo hatari

"Ooh mjombaa imekuaje..."

"Sister anazingua bwanaa......." si akawaelezea yoooote niliyokuwa naongea na simu nyieee miee sina pozi, Napepesa machoo kama mchawi kakamatwa ndani ya ungo mtupuuu, , sura ikanishuka kama paka jiziii

“Aaaah… sio hivyo mie nilikuwa nataniana tu na rafiki yangu… yaani ni kawaida tu…” hapo naongea nacheka cheka, lakini miguu inanitetemeka kama niko kwenye tetemeko la ardhi

"Sasa sikia we Demu yaani hii gari usiache hapa kabisa yaani usiachee ... Beba ondoka nayooo kama utaibeba kichwani sawa ..Aisee sepaa yaan we unatuita sie wizi aiseee we kichaaa niniii oyaaa we Mika embu mshushee"

"Daah ...daah yaani tunaonekana wizi dada angu daa" yaani walinichachamaliaaa huyo kaka alieniamshia hili balaa akabaki kimyaa vile vilee kaegamia garii

Yule Boda akanigeukia, Nyie hata kushuka mie siweziii mwili umelowaaaa akanambia "dadaa umekosea sana yaani vijana wa huku mbona tuna adabu sana hatujui hata kuiba mia ya mtu iwe kaangusha basi tutamtafuta popote alipo tumpe mia yake hata iwe milioni... Umekosea sana Bangi ni sio uhuni ni wewe utakavyo iweka ndio itakuweka huku kwetu bangi ni starehe tu sister...."


Mie sura shuuuu yaani nimeshushuka nimesutwa miee uso chinii macho hayatulii sehemu moja, Tinner ndio anapiga simu huyoo ...
Nikamgeukia yule mkaka mwingine ndo alikuwa na hasira sanaa yaani kati ya wale niliwaona wamekaa pembeni

"Mie... yaani kaka zangu nilikuwa tu kwenye kutaniana na rafiki yangu nimetumia Utani mbaya naomba sana mnisamehe nawaomba sikuwa namaanisha kabisa" nikahitimisha kuongea kwa kumtupia jicho yule kaka alieegemea mti, tukakutanisha macho, jicho limekoza mibangi hatari

“ mika mpeleke....Usiogope, hatuibi hapa… tunavuta tu bangi zetu…” jamani nyiee sikuamini, Yaani ananiambia hivyo kwa kujiamini kabisa, kama anasema “tunauza karanga”.

Akawasha piki piki siaminiii mie tunakaribia kumaliza kilima kupandisha namuona Tinner anakuja kwa chini alipo niona akaanza kucheka mie hata hamu ya kucheka sina nikamwambia boda niache tu hapa hapa yaani natamani hadi kulie kwa ile aibu iliyo nipata kule daah ...

Tinner akasema "mie hela ipo ndani kaka mpeleke tu hadi kwenye ile nyumba pale" aah yaani hata sikuwa na hamu aisee nikamwambia "niache tu hela hii" nikatoa hela yangu nikampa yule kaka yaani sina hata hamu tena ya kuja kwa Tinner nimenuna uso wa haya umenishuka ....

Itaendelea...
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 2


Hivi unajua aibuu ya kumsema mtu nae anasikia hee!! Sa sikujua yule kaka amenisikia au ndo amefika sasa hivi..

Nilivyokutana macho na yule mkaka jamaniii, moyo ukanigonga ..
Yule mkaka hakuongea kitu, akatoa moshi mdomoni phuuuuuu, akaniangalia kuanzia juu mpaka chini kama ananipima bei sokoni , Nikasema nimekwisha miee

Nikajikuta nasema kwa sauti ya kipole sanaaa ile ya mtu anaetafuta kujikosha

😬 “Eeh… … aaah…sawa nakuja… dadaangu… hehehe…” yaani nacheka hata sijachekeshwa

Nikameza mate.
Ndani ya simu Tinner anapiga kelele:
“Verooo!!! unasema nini sasa?? "

Nikajibu haraka haraka:
“Aaaaah hakuna banaa… nimesema tuu… kuna upepo hapa…”

"Chukua Boda basi yaani muda wote huo sa hii ungekuwa ushafika nawewe duuh"

Kuna boda...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/from-bangi-to-baby-sehemu-ya-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi from-bangi-to-baby-sehemu-ya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 3
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.56K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.54K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.58K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.36K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.27K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.2K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.14K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.14K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.06K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest