Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5
Gonga94 Β· Stories

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Basi akanivuta kwa mkono mmoja akanibana kwenye kiuno chake baada ya salamu hapo kanipiga ma busu kama yotee halafu njeee hapo sema mitaa nayoishi ushua mwingi sana ..

Akanambia "vero .. huyu Veda ni kijana wangu anasimamia gari zote namuamini sana lakini pia ni dereva wangu wa muda mrefu sanaa huyu ......Veda huyo shemeji yako Vero leo imekuwa kama bahati mmekutana hivi " mie nikacheka cheka tu, Huyo Veda kama hanijui babaa!! Alinitazama juu mpaka chini hata salamu hakunipa akatazama pembeni haya bwana sikupenda pia ..

D akanipa begi lilikuwa kuwa hilo akanambia humo kuna zawadi zangu yeye anawahi nikasema sawa kinyooonge yaani mood yoote iliisha baada ya kumuona hapo Veda nishajua jina lake anaitwa Veda, nimeingia ndani akili inaita Vedaa ..

Nikampigia shoga angu Tinner nikamuhadithia kumbe yule kaka mvuta bangi anajuana vizuri na D na ni msaidizi wakee eeh basi tukabaki tunashangaa wote hapo, mana hata kwangu ilikuwa surprise kubwa ndo mana watu wanasema usimdharau usie mjua aisee leo nimeamini basi bwana hicho kitu kilikuwa kigumu sana kutoka kichwani ...

Nikafungua zawadi zangu aloo heheh ngoja kwanza nicheke kupendwa si ndio huku bwana, mamaaa nilikuwa nimeletwa pochiii sio pochi za afu kumi kumi Tandika sijui ilala Nooo!!! Pochi expensive wazungu wanasema viatu mamaa sio vya wahaaa vya afu tano tano kariakoo Hapanaaa!!! Viatu high quality mamaa!! Hizo nywele za wazungu jamani vi nguo ki sister duh heheh nikamtambia shoga anguu hatari, Mungu kanipa mwanaume wa maana kabisa huyuuu ..

Nakumbuka mpaka Usiku D hakuwa amenitafuta kabisa ikabidi nimpigie simu, nikawa nasikia kelele kelee simu inakatwa nikamtext "kwani upo wapi jamani mbona hivyoo!??"

Akanijibu "nipo sehemu najipooza na machungu ya kazi vipi unataka kuja??" Khaa nilisikia hasiraa ila nikajikaza yaani kaona kujipoza na kazi ni bora sana kuliko miee, Nikasema "ndio"
Akasema " request hapo njoo mpaka The land ni kasino ipo Morocco " duh haya mambo ya kasino tena jamani mbona mapya kwangu ila kwakua nimemkumbuka sana D wangu na hapo hakawii kukuambia hata kesho kuwa anasafiri .

Ikabidi niite usafiri tu niende huko huko, nikafika mpaka nje hapo ya hilo cassino kubwaaa kama kwa wazungu, nikampigia simu hakupokea akanitumia ujumbe ushafika nikasema ndio akasema okay namtuma mtu Akufate, basi nikajitengeneza vizuri hapo nimependeza mama weee hatari nawakaa nimevaa viwalo vipyaaa mtoto wa kike na ka wigi kangu so mwaah yaani nimewaka ...

Akanipigia simu akanambia simama karibu na hilo bwawa hapo ili akuone nikasema sawa kweli nikasogea karibu na hilo bwawa la kuogelea nikachukua simu nachat na udugu wangu Tinner hapo nishapiga picha kama zote mie mitiko ya hivi hata sijawahi nakutana na D nyumbani kwake basi .

Nikashtuka mtu amenisogelea karibu kuinua macho sa ngap nisimuone huyo sijui ndo Veda eeeh huyu tenaaaa heee!!! Nikaishiwa pawa kwakweli kaa!! Akasema nifate sauti kavuuu nene nzitoo, duh mpaka miguu ikaanza kukongana anatembea harakaa jamani mie nakiatu kirefu sijui alitaka nianguke daah ..

Tukaingia humo ndani nikamkuta D amekaa kwenye meza imejaa Pombe kali machupa makubwa makubwa, wanawake humo jamani jamani jamani Kuna mtu anasema et wote tutachomwa moto sawa?? Hapana jamani moto unazidiana mie kweli nina dhambi ila nilivyokutana na hawa wanawake walio jaa laana humu ndani wooiii niliishiwa pawaa !! Uchafu unaofanyika kwenye makasino jamani loo mungu atulindie vizazi vinavyokuja maana ni hatari ..

Basi nikakaa pembeni ya D, Veda nae akakaa pembeni akachukua kipisi cha Bange , D akamwambia "Mzee ya ngapi hiyo?? Ipo siku utaamka akili unaziacha kitandani " Veda akacheka kidogo yaani kidogo kama tu hajachekaa mana alisogeza tu mdomo pembeni afu akaweka ki Bange chake akaanza kupuliz wanawake wapo matako nje njee wanakuja kuhudumia mie naona aibu kuna wengine wanacheza pale mbele wapo uch mweeh watu wana enjoy kuna wacheza kamali yaani kila aina ya michezo haramu ipo mule nilijikuta sina amani tena ya kukaa hapo nasema hapana jamani hii sio Tanzania yanguu jamani mbona sijawahi hata kusikia haya mamboo ...

D akanimiminia Pombe akanambia kunywa hii mamaa!, nikasema mie hapana hata sinywi akanilazimisha nionje hata kidogo hapana sijawahi nikakataa kata kata akanambia sasa umekubali kuja huku kufanyaje au we unahisi starehe ni moja tu kufanya mapenzi eeh??" Niliona aibuu nikamtazaa hivi ananitania au nikamkuta yupo serious

Akanambia "ukiwa mwanamke wangu lazima ujaribu vyote sawa haya jaribu hii mie si ndio mumeo Nakupa kunywa" akawa ananipa kwa lazima nikasema hapana mie situmii jamani, basi tukawa tunabishana kweli

Mwisho akanambia basi nenda nyumbani nikitoka hapa nitakuja maana hapa sio Bar kusema utaagiza soda na wewe bado kashamba kashamba sana " yaani huyu anae ongea hapa ni mpenzi wangu ambae kila siku ananiahidi kunioa huyu, tuna karibia kufunga mwaka kwenye mahusiano yetu na nina mpenda sana tu ukiacha hela zake mana kanahela za kuoga haka kajamaa ...

Maneno yake yaliniuma ila nikahisi ni ka sababu amelewa tu ndo mana anaongea hivi hajawahi kabisaa kunivunjia heshima ..

Ilibidi tu niinuke kuondoka mtoko ushaingia doa kwanza sehemu enyewe inalaana kibao mie sio vitu vyangu hivi jamani hivi mume wa mtu anawezaje kwenda sehemu kama hii jamani au mie ndo mshambaa??

Akamwambia veda anisindikize sikuwa mbishi Veda akanitoa mpaka nje akaita boda akanilipia kabisa nikamuuliz sasa mnawezaje kuja sehemu kama hii jamani??" Nilijikaza sana uvumilivu mwenzangu ulinishinda, hata hakunipa jibu akanambia Nenda kapumzike"
Akageuka kuondoka zake dah nikaondoka yule boda akawa ana cheka tu akanambia hujazoea eeh, nikasema hata kwa bunduki aisee siwezi kuzoea huu uchafu akanambia kawaida tu wanaume wapenda anasa wakikosa hivi vitu wanaweza hata kufa kwa alosto aisee....

Moyo ukapasuka kwahiyo na D ni mpenda anasa eeh...

Inaendelea
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5


Basi akanivuta kwa mkono mmoja akanibana kwenye kiuno chake baada ya salamu hapo kanipiga ma busu kama yotee halafu njeee hapo sema mitaa nayoishi ushua mwingi sana ..

Akanambia "vero .. huyu Veda ni kijana wangu anasimamia gari zote namuamini sana lakini pia ni dereva wangu wa muda mrefu sanaa huyu ......Veda huyo shemeji yako Vero leo imekuwa kama bahati mmekutana hivi " mie nikacheka cheka tu, Huyo Veda kama hanijui babaa!! Alinitazama juu mpaka chini hata salamu hakunipa akatazama pembeni haya bwana sikupenda pia ..

D akanipa begi lilikuwa kuwa hilo akanambia humo kuna zawadi zangu yeye anawahi nikasema sawa kinyooonge...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/from-bangi-to-baby-sehemu-ya-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi from-bangi-to-baby-sehemu-ya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 4
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

552
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

534
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

440
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

390
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

305
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

234
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

188
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

135
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

102
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

95

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.02K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.26K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest