Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10
Gonga94 Β· Stories

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii
"Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani
"Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu midomo inatetemeka nikajikaza kweli nisimtazame Veda na ndo tukaw tumefika usawa wake .

Shingo iko ngaa inataka kugeuka kumtazama mie naikaza ile nampita tu kidogo nikajikuta nimegeukaa ..
Tukagongana macho, sijui nae alikuwa ananiangalia au bahati mbaya tu, akatabasamu lile tabasamu lake la pembeni, akanitikisia kichwa taratibu kama salamu sijui au alikuwa anamanisha nini mie sijui ila Sikujua nifanye nini shingo ikagoma kugeuka kunipa support natembea kiwili wili mbele uso wenye macho nimeacha nyuma, ikabidi nikaitikia kwa kichwa pia kisha.

Ndo akazidi kuachia tabasam mpaka nikaona vi meno kwa mbalii vyeupeee, Nyie hii nini tenaaa mie mjukuu wa babu na bibi yanguuu Huyu kijana ni nani hasa? Mbona moyo wangu unanichokoza hivi? Na umri huu jamani lakini nimekuwa kama mtoto wa form one alieanza kumendewa mendewa hajui mapenzi mie ama kweli mapenzi hayana umri haki tenaaa ..

"Shoga angalia mbele basi piki piki hiyo!!!!" Tinner akanishtua kwa kunisutaa, nikajikuta naona aibuu achaa, basi nikakaza mwendo nusu nijikwaee ...

Tukanunua mboga, Muda wa kurudi nikamwambia Tinner tubadilishe njia aisee akasema kisa nini sasa ???"
Nikamwambia "Sitaki kupita pale kila nikimuona huyo kaka nakumbuka tu alivyonibaka najisikia aibu kama alinidhalilisha "

"We naee, Sa ulibakwa hivi wakiitwa walio bakwa utaenda embu twende"

"Sitaki kuonana na huyo mjinga Tinner nielewe"

"Mh hayaa... njia ingine niya kuzunguka sana hapa mpaka boda ni mbali sana "

Bora tupite hiyo sitaki kabisaaaa kumuona huyo kakaa kama aliweza kunitumia mie bila ridhaa yangu ina maana anawatumia wengi halafu kwa Akili yangu tu ndogo niitumie kama anaongozana na Veda sehemu kama zile anashindwa vipi kununua wanawake inamaana yeye na Veda wote lao ni moja sa sitakiiii kashanitumia basi hasara kwangu, Tukachukua usafiri wa Boda tukarudi kwa njia ingine kabisaa ....

Usiku ulipofika, nikajikuta namuwaza tena, Lile tabasamu ule muda akanitikisia kichwa alikuwa anamaaisha niniii ...

Jamani huyu kakaaa nilikuwa nagala gala tu hukuu mpaka hukoo nikaanza kujuta kwanini nilibadilisha njia et haha si ningepita tu pale nikamuona Duh nikajukuta naongea mwenyewe
"Kutoka bangi… hadi baby? Dadeek" Nikacheka mwenyewe kitandani, nikajifunika shuka mpaka puani.

Mapenzi shikamooooo mtu mzima miee yamenirudisha utoto kabisaa ile unatamani kujipitisha mbele ya kijana hahaha wote tumepita huko eeh tumepita bwanaa .....

Basi asubuhi nikajiandaa zangu kuingia kazini na sikuwa hata na nguo maana niliondoka mwenyewe tu bila kujiandaa, nikachukua nguo za Tinner, Mwenzangu mbaba wake amemkataza kufanya kazi mwenzangu nae kweli kaacha, hayaa ngoja yamkute kama yangu atajijua mwenyewe..

Kwakua sina tena gari, Tinner akaniitia tu Boda, Basi tumefika pale chini wanakaaga wale wakaka si nikamwambia apunguze mwendo macho kupu kupuu namtafuta Veda hata hakuwepo kulikuwa na wakaka na wababa wanabishanaaa kuhusu mpira asubuhi asubuhi tu jamani sijui wanawaza nini mmh

Mie nikaenda zangu kazini, Ila ile kutokumuona Veda pale nikajikuta siku nzimaa namfikiria yeye tuu najuta kwanini sikurudia ile njiaa ...

Muda wa kutoka kazini nikaona ngoja tu niende kwangu maana D hakuwa amenitafuuta tangu ile jana nikaona amepotezea kuhusu mie, Nikarudi nyumbani ajabu nakuta Geti limefungwa mmh , funguo ninazo mie sasa nani amefunga geti, ikabidi nimpigie mwenye nyumba kumuuliza huenda ana funguo za dharula akasema mume wangu ndio kamwambia afunge na asifungue mpaka yeye atakapo sema kama nina shida ya kuishi humo ndani nimtafute yeyee duuh nilichokaaa ...

Kwa muda huo akili yangu ilikuwa imevurugika kweli kweli kwa hili swala kufungiwa nyumba, ikabidi tu nichukue Boda mpaka kwa Tinner , nimechanganyikiwa
Tinner akanishauri tumpigie tu ili nimsikilize anataka ninii kama vipi aniache nichukue vitu vyangu nimuachie nyumba yake, nikampigia kawaida hapatikani ikabidi nimpigie wasp call akapokea, tena kapokea anacheka kweliii yaani kama vile anaona ameniweza sanaa ..

Nikamwambia mie wala simuhitaji tena naomba tu nichukue vitu vyangu nikuachie nyumba yako akanambia Kwasasa nimesafiri nipo kenya ila nikija nitakutafuta sasa ole wako usipokee simu yangu, kinyonge na hasira nikasema sawa ...

Itaendelea.....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10



Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii
"Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani
"Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu midomo inatetemeka nikajikaza kweli nisimtazame Veda na ndo tukaw tumefika usawa wake .

Shingo iko ngaa inataka kugeuka kumtazama mie naikaza ile nampita tu kidogo nikajikuta nimegeukaa ..
Tukagongana macho, sijui nae alikuwa ananiangalia au bahati mbaya tu, akatabasamu lile tabasamu lake la pembeni, akanitikisia kichwa taratibu kama salamu sijui au alikuwa anamanisha nini mie sijui ila Sikujua nifanye nini shingo ikagoma kugeuka kunipa support natembea kiwili wili mbele uso wenye macho...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/from-bangi-to-baby-sehemu-ya-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi from-bangi-to-baby-sehemu-ya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 9
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 9
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 11
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU Y ishirini*

*AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU Y ishirini*

647
REALLY LOVE* *31&32*

REALLY LOVE* *31&32*

270
REALLY LOVE*  *   *SEHEMU YA 34*

REALLY LOVE* * *SEHEMU YA 34*

234
REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 33*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA 33*

226
MY CRAZY BOSS 12,13,14

MY CRAZY BOSS 12,13,14

207
MY CRAZY BOSS 11

MY CRAZY BOSS 11

169
SHAMIRA 21,22,23,24

SHAMIRA 21,22,23,24

165
SHAMIRA Sehemu ya 25&26

SHAMIRA Sehemu ya 25&26

157
SHAMIRA sehemu ya 27&28

SHAMIRA sehemu ya 27&28

125
SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15

SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15

95

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.32K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.07K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.72K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.16K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.56K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.44K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.38K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.35K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Sehemu ya 16 na 17. Mwandishi; lissa wa huru media kijana . Nakuuliza si unajifanya mjanja .basi tutasomana . Ata mimi ni mjanja wa zamani. Baba yangu alimuangalia sana adrian....

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 11 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 11
@majario LIVE

Ikabidi tu nikubali kinyongee ila roho iliniuma sanaaa yaani mpaka chozi lilinitoka aiseee... Tinner akabaki kunibembeleza na hapo hata sijui atakuja linii mjinga kweli huyu kakaa gari yangu tena aah roho...

Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire Post Mpya
Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire
@majario LIVE

for achieving the highest score of 719 and earning Rank 1 in the examination! πŸŽ‰πŸ‘ Your outstanding achievement brings pride not only to your province but also to your Isabelino...

Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto Post Mpya
Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto
@majario LIVE

yake kweli Mungu alisikia maombi yake akapata kazi kwenye hiyo Kampuni. Baada ya kupata kazi John safari yake ya kwanza tu akiwa na ile kampuni akapata ajali na kufarika hapo...

THE SECRET MESSAGE πŸ’¬ 1,2 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE πŸ’¬ 1,2
@majario LIVE

01 Ninatamani kama isiwe ni kweli kwenye hili ambalo mimi leo hii nataka niwaweke wazi. Lakini hii sio ndoto, sijaota mimi, ni kweli nimeyaishi na yamenitokea kwenye maisha yangu. Maisha yangu...

MY CRAZY BOSS 15 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 15
@majario LIVE

"Watu wote waliohudhuria kikao waliondoka , chumbanai humo tulibaki mimi pamoja na Boss Erick, macho yake muda wote yaliangaza kwangu ." "Nimekumiss sana mrembo wangu, nimemiss sura yako, tabasamu lako,...

MY CRAZY BOSS 12,13,14 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 12,13,14
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 12 Kama ofisini hapafai naomba twende nyumbani,yaani twende sasa hivi,boss alizungumza. Hapana ,sio sasa hivi,nilijibu. "Sawa kama ni baadae,boss aliitikia" Nilitoka na kuagiza lunch kisha nikampelekea boss nakuendelea...

REALLY LOVE*  *   *SEHEMU YA 34* Post Mpya
REALLY LOVE* * *SEHEMU YA 34*
@majario LIVE

upande mwingine calor na mama yake walifika na kumkuta cathe akiwa anaosha vyombo, mama cathe alishangaa sana kuona mwanae anafanya kazi, cathe alipomuona mama yake alinyanyuka na kwenda kumkumbatia huku analia cathe...

SHAMIRA sehemu ya 27&28 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 27&28
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana shoga akanishukuru mno. Bado nikamtoa lunch mimi sindo tajiri tena alikula alichokitaka nakwambia. Basi baada ya yote tukaenda charambe sasa .nikapita kwa...

SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Sehemu ya 11 na 12. Mwandishi; lissa wa huru media Basi nilivyotoka pale nikaeenda kutulia sebleni rohooo yangu kwatu. Sijuh ata alimalizanaje na mwanamke wake uko. Mida ya mchana mama akaniuliza...

REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 33* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA 33*
@majario LIVE

kwahiyo baba unanikataza mimi nisiende kwa dada yangu? wewe baba gani mbaguzi yani unamjali sana dada kuliko mimi? vipi kuhusi namimi hali yangu mbona hunijali alisema cathe kwa kumfokea baba...

SHAMIRA Sehemu ya 25&26 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi apo ndo maisha ya mimi na hamadi yakaanza. mwanzo nilikua simpendi sana ila siku zilivyooenda nikaanza kumpenda hamadi .mana nilikua naona anvyonipenda zile...

SIRI YA NABII YONA KUISHI NDANI YA TUMBO LA NYANGUMI SIKU TATU Post Mpya
SIRI YA NABII YONA KUISHI NDANI YA TUMBO LA NYANGUMI SIKU TATU
@majario LIVE

Nabii Yona (au Yunus) alipewa agizo na Mwenyezi Mungu kwenda mji wa Ninawi (Iraq ya sasa) kuonya watu waache maovu. Lakini Yona, akiona watu wale ni wakaidi sana, aliamua kukimbia...

MY CRAZY BOSS 11 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 11
@majario LIVE

"Asante sana Joy kwa kunikubalia kuwa wangu nakuahidi maisha bora kuliko unavyodhania, nitakupa maisha bora sana 😘😘😘". Nikamuangalia boss palee anavyojimalizaa ntafanyaje sasa ndo nsharopokaa mie acha tu niyakoge sina budi...

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 2 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 2
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEA Camilla alipotoka palee alikwenda moja kwa moja kwa aliyekuwa rafiki yakee muhimu sana kuna mambo alitakiwa kuyaweka Sawaa β€œ Karibu Camilla..” Alikaribishwaa ndani β€œ Asant sana ..”...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest