Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11
Gonga94 · Stories

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


“hivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamika…
“ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule mwanaume anaonekana kabisa ni muhuni ndio maana najitahidi kukuweka mbali nae, kwa maana asije kukuumiza bure, akasema shureymu…
“ muhuni!, embu nambie ulimuona wapi mpaka ukahisi ni muhuni, shureymu unajua kuwa muswaabu ananipenda sana, kwanini sasa unataka nimkatili mtu anaenipenda kiasi chote hicho, nikaanza kulalamika…

Shureymu akabana pua kisha akasema “ unajua kuwa muswaabu ananipenda sana, hivi wewe bnt unawajua wanaume vizur, yaan hapo ni unaona kama anakupenda kwa sababu hajalala na wewe, Ila akishalala na wewe ndio utaelewa ulikuwa na mwanaume wa aina gani, kwanza nasikia kichwa kinaniuma kanipashie maji ya moto uje kunikanda, akasema shureymu na sikumjibu, na wakat huo huo nikaenda jikoni na kupasha maji, kisha nikaenda kuchukua taulo na kuanza kumkanda, nikawa namkanda pale, alikuwa kama anasisimka flan, ila mm nilikuwa kimya namuwaza muswaabu wanu, na alijua kabisa kuwa sipo sawa, akawa kama anataka niwe sawa, ila tatizo lake sio muongea ji sana, kwa maana alikuwa kama anataman kunichekesha ila ndio hivyo niliweka ngumu nikawa sicheki kabisa, mwisho akanigeukia na kuniuliza “ una shida gani mama saidi...

“ kuna sehemu nataka niende, kama hutajal naomba unisaidie kukaa namtoto, nakuahidi kuwa sitachelewa kuerudi nikasema, nikashangaa shureymu kanyong’onyea kisha kwa sauti ya unyonge akasema “ haya nenda, nitakaa na mtoto kama unavyotaka…

Sikutaka hata kujiuliza mara mbili, kwa maana dakika hio hio nikajiandaa kisha nikatoka, kumbe nilikuwa namuacha shureymu katika hali mbaya ila sikuwa najua, basi nikaenda kukutana na muswaabu, aliponiona akawa na hasira sana , kisha akawa ananiuliza Yule ambae alisikika kwenye simu ni nani, na kwanini nilikiwa sipatikani….

“ naomba unisamehe kipenzi change, Yule ni kaka yangu, huwa hatakag kabisa niwe kwenye mahusiano, hata jana ulipopia simu yeye ndio aliizima na akaichukua, akisema kuwa nitaharibikiwa, ila mm nakupenda sana muswaabu, ndio maanan nimetorika nyumban ili nije kukuona, nikawa nasema…

Muswaabu akashusha pumzi kisha akasema “ haujui kiasi gani moyo wangu ulikuwa unauma, haujui kiasi gani sikuwa na raha, usirudie tena kunikalia kimya mamaa, kwa maana utaniua, yaan ulikuwa unaniteketeza kidogo kidogo salha wangu, akasema muswaabu…

Tulipana tukutane kwenye restaurant moja uchwara, maana ndio ilikua karibu na anapoishi, akasema tiutoke sasa out inayoeleweka, nikakubali, ila wakat tunatoka nikakutana na gari la shureymu nje, ila nikapuuza, nikahisi labda ni mtu mingine ila magari yanafanana tu, kwa maana sikuwa nafikiria kama anaweza kunifuata…

Basi tukaenda kwenye restaurant nyingine ilikuwa na hadhi flani hivi, yaan tukaagiza chakula tukawa tunakula na kutaniana,l yaan wakat wote tulikuwa tunacheka, ila sasa kuna muda nikasema nianalie nyuma, nikamuona mtoto kama wangu kanigeuzia mgngo, lakin namna alivyo na hata nguo alizovaa zilikuwa kama za mwanangu, alikuwa amekaa na kijana pemben yake, kuangalia viatu, nikashangaa naona viatu vya shureymu, “ kumbe kanifata? Nikajikuta naropoka…

“ nani tena huyo kipenzi change, akauliza muswaabu…n
“ kaka yangu kaamua kunifata mpaka huku, sasa shureymu akahisi tumemuona akaja na mwanangu mpaka kwenye meza ambayo nilikuwa nimekaa mm na muswaabu kisha akatusalimia na kuchukua kiti na kukaa…
“ salha ila siuliambiwa na mama kuwa ukae tu nusu saa, kwann umekaa na huyu boya wako masaa yote haya, akasema shureymu, nikashangaa kwann shreymu anaongea kana kwamba anataka kumkera muswaabu, na muswaabu akatabasamu kisha akasema “ shemu kwani hutaki mdogo wako awe na mume jaman, mm nampenda sana salha, na nasubiri ruhusa yake tu, ili niweze kumuoa, akasema muswaabu…

Shureymu akacheka kwa dharau kisha akasema “ ety kumuoa, unafikiri kuwa ndoa ni jamboa rahisi, au unahisi ndoa ni kama makalio kila mtu anayo, mwanaume mwenyewe una macho ya kurembua, una dimpos una mwanya, wewe ni mwanaume au ni pisi kali…
“ una sema nini wewe , akaongea muswaabu kwa ukali…
“ kwanza salha alikuambia kuwa alizalia shule, na huyu mtoto unaemuona ni wake, na hapo unavyomuona alikuwa anatakiwa awe kidato cha tano ila uhuni ukamponza akanzaa kabla ya umri wake, akasema shureymu, nikashangaa kwa nn anasema yote hayo na wakat anaujua ukweli wote…

“ salha embu nambie ukweli, huyu mtoto ni wakwako? Akauliza muswaabu…
“ naomba nikuambie kila kitu muswaabu, naomba tukae tuzungumze na nina uhakika utaelewa namna ambavyo nimempata huyu mtoto na sio kama kaka shureymu anavyosema, nikaanza kujitetea…

“ mahusiano yanakaribia kumaliza miezi mitano, kwann hukuniambia kuwa una mtoto salha, unajua nilikuwa nawaambia nn marafiki zangu, nilikuwa nawaambia kuwa naenda kuoa kabint kabikra kumbe umetumika kuliko maelezo, yaan kuanzia sasa mm na wewe basi, akasema muswaabu kisha akasimama na kutaka kupondoka, nikamshika mkono, kwa maana nilikuwa nataman kumsimulia kila ambalo nimelipitia kwenye maisha yangu, ila nikashangaa shureymu amenishika mkono kisha akasema “ embu tulia ww, unataka kumfata Yule boya wako badala ya kumbeba mwanao na twende nyumban…….

“ hivi shureymu una nini, kwann lakin unaniharibia kwa mwanaume ninaempenda, alafu embu nambie, ni kitu ani kilichokufanya mpaka ukanifata wewe na mtoto mpaka huku, nikaanza kulalamika…
“ kwasababu sikuwa namuamin mwanaume ambae ulikuwa nae, kwasababu sikuwa naamin kama ni mwema kwako, ndio maana nikaona nikufate, akaanza kujitetea shureymu…
“akiwa mwema au akiwa muovu wewe shida yako n inn, maana mm nampe…, kabla sijamalizia ninachotaka kuongea nikashangaa natulizwa na busu moja matata, na vile tulikuwa kwenye restaurant tukashangaa kila mtu aliekuwa pale anapiga makofi, hapo shureymu amenishika mm na mkono mmoja na mkono mwingine amemshika mtoto………..

JE NINI KITAENDELEAAA!! "
OFAAAAAAAA FULL

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11



“hivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamika…
“ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule mwanaume anaonekana kabisa ni muhuni ndio maana najitahidi kukuweka mbali nae, kwa maana asije kukuumiza bure, akasema shureymu…
“ muhuni!, embu nambie ulimuona wapi mpaka ukahisi ni muhuni, shureymu unajua kuwa muswaabu ananipenda sana, kwanini sasa unataka nimkatili mtu anaenipenda kiasi chote hicho, nikaanza kulalamika…

Shureymu akabana pua kisha akasema “ unajua kuwa muswaabu ananipenda sana, hivi wewe bnt unawajua wanaume vizur, yaan hapo ni unaona kama anakupenda kwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-omba-omba-sehemu-ya-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-omba-omba-sehemu-ya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

507
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

254
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

253
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

234
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

232
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

158
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

99

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.15K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.35K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11
@majario LIVE

“hivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamika… “ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

“ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema “ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hivi…. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest