Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

REALLY LOVE* *29&30*
Gonga94 · Stories

REALLY LOVE* *29&30*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea

sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima

ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu" alisema seven huku akaitizama simu, fahima akaichukua simu na kuipokea kisha akaweka. laud spika

seven seven pis baba yangu nakuomba unisamehe baba tuongee yaishe baba yangu nimekosa mimi seven nimejifunza nihurumie nateseka mimi naumiaaaa ona nimekukosa wewe nimemkosa devi nimekosa ndoa jamani mimi nitaenda wapi na devi hanitaki kaniacha wakati na mimba yake seven nisidie hata kidogo tu hata ukiniambia nitoe mimba mimi naltoal wallah hata sasahivi seven nakupenda ***

baada tu yakupokea simu maneno mfululizo yalisikika kutoka kwa cathe alizungumza huku akiwa analia kwelikweli, fahima hakutaka tena kuyasikia maneno hayo alifyonyaaaaa kisha. akaikata simu

et seven nisamehe nycoo wakati unamuumiza mbona hukumuhurumia ety nakupenda pumbavu ungempenda ungemchiti nyau wewe alisema fahima kwa mtindo wa kubana pua akionesha amekerekwa sana na maneni ya cathe, seven alicheka kimya kimya kitokana na namna anavyofanya fahima

nawewe unacheka nini unamtaka au kama unamtaka mfate shika funquo hij alisema fahima kwa hasira tayari akakasirika hapo hapo haraka seven akamuwahi na kumkumbatia

noooo babyy i love you nakupenda wewe tu sitaki mwingine wewe ndo hisia zangu usirudie tena kusema hivo my unaniumiza alisema seven kwa hisia nyie kwakweli alimpenda sana binti fahima, nae akajituliza chezea maneno matamu tena, basi seven. akambeba kipenzi chake na kumpeleka

kitandani

afu nimekumbuka inatakiwa nimuongeze mtoto mikono maana hana alisema seven nakufanya fahima acheke sana

hebu niache huko alikwambia anataka mikono alisema fahima

jamani sasa atazaliwa bila viungo kama hujui sasa baba ndio muwekaji wa viungo nipe kidogo bhanaaaa" alisema seven na kuanza kumtekenye fahima huku akicheka hatimae waliingia mchezoni yani binti muda mwingi sana. alikuwa anapata dozi si unajuwa ujauzito tena

upande mwingine calor aliondoka uku ndani cathe alikuwa ni mtu wa kulia tu muda wote alilia tu, maa fatuma na fatuma hawakuelew chochote wakawa wanabaki kumuangalia tu,

maisha yaliendelea ilipita wiki moja sasa kidogo cathe alikuwa kashazoea maisha ya uswahilini huku siku moja moja calor akija kumuona, siku hiyo mzee fahad alipewa taarifa na seven kuwa fahima ni mjamzito hivo anataka afanye haraka taratibu za ndoa haraka iwezekanavyo kabla hajajifungua, aliwataarifu mzee fahad na mama yake mzazi hivo wakashauriana wote wakutane nyumbani kwa seven ili waweke kikao na waweze kujadili vizuri

nae mzee fahad akakata shauri bora ampeleke cathe kabisa ili kumtambulisha mbele za watu wote, kipindi chote hiko cathe alipata habari nyingi kuhusi fahima maana alikuwa akizungumziwa sana tu na mama fatuma,

kwahiyo mambo mengi kuhusu fahima allyajuwa akatamani aje kumuona ili ajue anaishi maisha. gani maana amesikia tu alitoroka nyumbani na kwenda kutembea na mume wa mtu kisha ndo akawa mama mjengo hizo ndio taarifa alizozijua

cathe,

sasa siku hiyo wakajiandaa vema kutoka, cathe alikuwa na shauku sana ya kumjua huyo ndugu yaje ambaye wamechangia baba tu, basi wakatoka na mzee fahad had nyumbani kwa seven, walifika na kuingia ndani wakakuta familia nzima iko sebleni wakisubiriwa wao tu

ebwan eee kila mmoja alipomuona cathe alishangaa sana na cathe alipowaona ndugu wa seven na seven alishangaa sana hakuamini macho yake, haraka akachomoka kutaka kwenda kumkumbatia seven lakini akazuiliwa na

mama seven kwa sauti moja kali

ishia hapo hapo alisema mama seven kwa ukali sana

wewe shetani umefuata nini hapa mbwa koko wewe muuwaji mkubwa alisema mama seven, mzee fahad hakuwaelewa ikabidi amtambulishe ili wamfahamu

jamani samahani kwa kuja na huyu mgeni wangu bila kuwaambia, huyu ni binti yangu nadhani fahima nilishawahi kukuhadisia juu ya mdogo wako sasa ndio huyu nimempata juzi na hivi sasa naishi nae nyumbani nilipotezan nae kwa muda mrefu sana jamani mtanisamehe kw kuwashtukiaza alisema mzee fahad kwa

wasiwasi sana akijuwa huwenda wameksirika kwakuwa hakusema kama anakuja na mgeni,

mzeeee wangu nadhani ulisikia story nzima. kuhusi kumfumania mchumba wangu sasa mchumba mwenyewe ndio alikuwa huyo catherin cyrton sasa nashangaa unavosema ni mwanao alisema swwwn kwa mshanhao sana

hata mimi baba nachanganyikiwa nilivomuona huyu binti nilichukia sana maana sikuile alinitukana na kunisukuma mbele za watu kumbe ni mdogo wangu cathe?? kumbe wewe ndo ulimdhalilisha seven? alisema. fahima kwa masikitiko sana.

cathe hakuwa na chakujibu ianza kulia tu alijiona ni mtu mwenye mikosi sana muda wote matatizo tu alilia sana

yani katika shetani ninaye mchukia ni huyu apa yani cathe wew ni zaidi ya ibilisi ulitakal kuniua mimi hadi wanangu wewe mnyama sana cathe nakuchukia wewe mtoto sana hata kama ni ndugu wa fahima mtanisamehe siwezi

kumsamehe huyu shetani mkubwa aliyetutia

hasara mimi na familia yangu alituaibisha sana uyu alisema mama seven kwa uchungu mkubwa sana

haraka cathe akapiga magoti chini huku akiomba msamaha alilia sana

nisameheni jamani mimi sio mkamilifu nawaomba mnisamehe nimejuwa makosa yangu mama jisamehe namtaka seven mimi mama nampenda nimejua mimi siwezi bila yeye nateseka tangu aniache mama nisamehe alisema cathe jwa uchungu sana

kelele mbwa wewe tena nyamanza tena ole wako uingilie kati maisha ya mwanangu cathe safari hii nitakuua nitakusambaratisha cathe seven ni mume wa mtu na baba mtarajiwa na mke wake ni fahima ambay dada yako wewe si

ulipata dhahabu ukaichezea ukaiona mavi sasa walioljua thamani yake washalokota tena nakuonyaaa endapo utayasogelea maisha ya mwanangu nitakuua cathe endapo ukaivuruga furaha ya mwanangu nitakusambaratisha vibaya aiseeeeee mama cathe alitoa maneno

makali sana tena makali mnoa,

cathe alipiga magoti na kutambaa hadi miguuni kwa seven alitaka kuigusa lakini seven. akaikwepa na kurudi nyuma, cathe akamgeukia. fahima huku analia

dada yangu ada ee niwewe tu pekee uliyebaki. kunisaidia nionee huruma nisamehe mimi dada najuta sana mimi pls niachie seven wangu pls. dada alisema cathe kwa uchungu sana hukua analia, maneno hayo yalimkera sna fahima, hakuweza kumjibu kwasbabu hakupenda sana kuongea haraka akageuka nyuma na kuondoka,

seven akajuwa tayari kimenuka haraka akamfuata nyuma fahima huku anamuita.

wife wife wife

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

REALLY LOVE* *29&30*



*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea

sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima

ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu" alisema seven huku akaitizama simu, fahima akaichukua simu na kuipokea kisha akaweka. laud spika

seven seven pis baba yangu nakuomba unisamehe baba tuongee yaishe baba yangu nimekosa mimi seven nimejifunza nihurumie nateseka mimi naumiaaaa ona nimekukosa wewe nimemkosa devi nimekosa ndoa jamani mimi nitaenda wapi na devi hanitaki kaniacha wakati na mimba yake seven nisidie hata kidogo tu hata ukiniambia nitoe mimba mimi naltoal wallah hata sasahivi seven nakupenda ***

baada tu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/really-love-29-30

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi really-love
REALLY LOVE* Chapter 19
REALLY LOVE* Chapter 19
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
*REALLY LOVE Chapter 20
*REALLY LOVE Chapter 20
REALLY LOVE* Chapter 18
REALLY LOVE* Chapter 18
REALLY LOVE* 16
REALLY LOVE* 16
REALLY LOVE* *22&23*
REALLY LOVE* *22&23*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
REALLY LOVE* Chapter 17
REALLY LOVE* Chapter 17
REALLY LOVE* *26&27*
REALLY LOVE* *26&27*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*
*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5*
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
REALLY LOVE* *31&32*
REALLY LOVE* *31&32*
REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 33*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA 33*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

622
*AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU Y ishirini*

*AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU Y ishirini*

378
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

288
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

238
REALLY LOVE* *31&32*

REALLY LOVE* *31&32*

170
SHAMIRA 17,18,19,20

SHAMIRA 17,18,19,20

134
SHAMIRA sehemu ya 15&16

SHAMIRA sehemu ya 15&16

124
SHAMIRA sehemu ya 13&14

SHAMIRA sehemu ya 13&14

121
SHAMIRA 21,22,23,24

SHAMIRA 21,22,23,24

104
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10

101

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.31K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.06K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.15K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.37K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.35K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 33* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA 33*
@majario LIVE

kwahiyo baba unanikataza mimi nisiende kwa dada yangu? wewe baba gani mbaguzi yani unamjali sana dada kuliko mimi? vipi kuhusi namimi hali yangu mbona hunijali alisema cathe kwa kumfokea baba...

SHAMIRA Sehemu ya 25&26 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi apo ndo maisha ya mimi na hamadi yakaanza. mwanzo nilikua simpendi sana ila siku zilivyooenda nikaanza kumpenda hamadi .mana nilikua naona anvyonipenda zile...

SIRI YA NABII YONA KUISHI NDANI YA TUMBO LA NYANGUMI SIKU TATU Post Mpya
SIRI YA NABII YONA KUISHI NDANI YA TUMBO LA NYANGUMI SIKU TATU
@majario LIVE

Nabii Yona (au Yunus) alipewa agizo na Mwenyezi Mungu kwenda mji wa Ninawi (Iraq ya sasa) kuonya watu waache maovu. Lakini Yona, akiona watu wale ni wakaidi sana, aliamua kukimbia...

MY CRAZY BOSS 11 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 11
@majario LIVE

"Asante sana Joy kwa kunikubalia kuwa wangu nakuahidi maisha bora kuliko unavyodhania, nitakupa maisha bora sana 😘😘😘". Nikamuangalia boss palee anavyojimalizaa ntafanyaje sasa ndo nsharopokaa mie acha tu niyakoge sina budi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 2 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 2
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEA Camilla alipotoka palee alikwenda moja kwa moja kwa aliyekuwa rafiki yakee muhimu sana kuna mambo alitakiwa kuyaweka Sawaa “ Karibu Camilla..” Alikaribishwaa ndani “ Asant sana ..”...

Alishika namba 1 kitaifa matokeo ya mitihani Kidato cha sita mwaka 2006, Elias Kihombo Post Mpya
Alishika namba 1 kitaifa matokeo ya mitihani Kidato cha sita mwaka 2006, Elias Kihombo
@majario LIVE

pichani aliyesoma PCM alipata division 1.3 akiwa na A za juu katika masomo yote kuliko wanafunzi wengine wote wa michepuo mingine kitaifa. Alihitimu secondary ya Tosamaganga Kidato cha nne pia...

REALLY LOVE* *31&32* Post Mpya
REALLY LOVE* *31&32*
@majario LIVE

alifika mpaka chumbani akamkuta fahima analia ila mimba hizi yaani analia machozi kabisaaa nahasira sana hivi huyu nwanamke katokea wapi halafu baba asinichanganye mimi nawezaje kuwa na ndugu shetani kama huyu...

*AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU Y ishirini* Post Mpya
*AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU Y ishirini*
@majario LIVE

Asubuhi na mapema Enzo akaamka na kwenda Nyumbani kwake, na Mimi nikaanza mandalzii ya safari, kwanza nikafua nguo ambazo zilikuwa chafu, kisha nikaanza kuchagua nguo ambazo nitaenda nazo safarini. "Kweli Enzo...

SHAMIRA 21,22,23,24 Post Mpya
SHAMIRA 21,22,23,24
@majario LIVE

sehemu ya 21&22 Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafungua mlango wa gari nikaingia ndani akasema vp mamy .nikasema powa najifanya nimenuna nakwambia ahh wap uongo mtupu😂. Akanambia shamira unajua...

SHAMIRA 17,18,19,20 Post Mpya
SHAMIRA 17,18,19,20
@majario LIVE

sehemu ya 17&18 Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Mala akafika ashaa.naona na yeye alitoka akakuta natandikwa sasa. akasema shem nn jamani ebu muache , akasema unaona uyu mwanamke alivyo mjinga yani...

SHAMIRA sehemu ya 15&16 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 15&16
@majario LIVE

Watsapp 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akanmbia ooh umelala kipenzi changu mbona mapema sana na uajua saa 5 lazima nikupigie jamani. nikasema sipendi kuzulula usiku baby kwaiyo naamua kupumzika mpema...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11
@majario LIVE

“hivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamika… “ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

“ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema “ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hivi…. Bsikutaka kuendelea...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest