Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08
Gonga94 · Stories

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hivi….

Bsikutaka kuendelea kujiuliza maswali sana, na badala yake nikaendelea na majukum yangu, na kwenye majira ya kama saa tisa mchana, nikashangaa mlango unagongwa kwenda kufungua, nashangaa nakutana na shureymu, aliponiona akanikumbatia kisha akasema “warda amekubali nimuoe, embu nipikie nile nishibe ili nikampropose warda wangu, nan ataman iwe surprise kwa maana sikuwah kufikiria kama mwanamke ambae nimemuangaikia sana, kama atakubali kuolewa na mimi….

Hata sikumjibu nikaingia jikoni kisha nikampikia, na mara baada ya kupika, nikamtengea, akala pale haraka haraka kisha akanambia niombee ile pete alioinunua, isije ikakataliwa, basi nikamuombea pale, kisha akaondoka zake…

Ila baada ya kama lisaa alirudi nyumban kwangu akiwa ameshikilia kile kibox cha pete, akaniangalia kisha akasema ‘ ni kweli nilitakiwa kumuacha warda, muda mrefu sana uliopita kbala hajazidi kuubabuwa moyo wangu, nikamsogelea na kumkumbatia kwa maana niliamini kuwa ni lazima atakuwa kwenye maumivu makali sana, nikashangaa shureymu anaanza kulia huku akisema “ nimemkuta akifanya mapenzi, yaan alikuwa anafanya mapenzi na mwanaume mwingine salha, moyo unaniuma sana, yaan mimi najiandaa kenda kumuoa yeye analala na mwanaume mwingine, na mwanaume mwenyewe ni mzee, sijui sote anatichuna au vipi, kwa maana angalau hata angekuwa kijana ningesema kuwa anamvuto kuliko mimi, ila ni mzeee, ni mzee mno salha, mungu wangu moyo wangu uliingia kwa gold digger, naumia sana, akawa anaendelea kulalamika shureymu na sikuwa na lakufanya zaidi ya kumbembeleza pale, nikamtoa mtoto kitandani kisha nikamuambia alale pale atulize moyo na akili yake, kweli akakubali na baada ya dakika chache akawa tayar ameshapitiwa na usingizi…..

Alikuja kuamka kama saa mbili usiku, nilikuwa tayar bimepika ila hata hakuweza kula ikabidi nianze kumpigia story za kuchekesha, kwa mara ya kwanza hakuwa anacheka ila baadae akachangamka, tukawa tunafurahi pale….

Siku hio hakutaka kuondoka kabisa nyumban kwangu, basi tukashinda tunapiga story, kwa maana sikuwa najiamin kulala na mwanaume chumba kimoja alafu msifanye kitu,basi tukapiga sory mpaka asubuh na kesho yake ilikyuwa ni jumapili, shureymu akataka tutoke out, hapo Yule mwanaume wangu nachart nae tu, maana nilimuambia kuwa naishi kwetu, hivyo kuna wakat nitakuwan siwez kuongera nae, alionekana kunielewa, ingawa alikuwa anaenda sana kuongea na simu zaidi ya kuchart….

Basi tulienda sehemu mbali mbali na shureymu pamoja na mtoto, mtoto alikuwa anampenda sana shureymu na wakat huo mwanangu tayar alikuwa ameshafika mwaka, na kila ambae alituona alijua kuwa mim I na shureymu ni wapenzi na wengine wakawa wanahisi kuwa sisi ni wanandoa na saidi ndio mtoto wetu…

Sasa muda wmini saidi alikuwa anashinda na mimi, yaan tunapika pamoja tunakula pamoja, yaan nyumban kwake alikuwa anenda kulala tu, basi maisha yetu yakawa yanaenda hivyo, na shureymu hakuwah kuonesha ishara zozote zile za kunitaka, ingawa nilikuwa nampenda, ila nikaamua na mimi kumchukulia kama kaka, na niweke mambo ya mapenzi pemben, na kweli alikuwa anakuja tunapika tunakula na maisha yetu yakawa yanaenda hivyo….

Siku moja nikawa nimekaa na shureymu nikaona simu ya shureymu inaita na aliekuwa anapiga alikuwa ni mama yake, akawa anaipokea kwa wasiwasi sana, nikawa namsikia mama yake akisema “ nilazima kati ya mwaka huu au mwakani uwe tayar umeshaoa, na uwe na mtoto, maana hata kama wewe ni mchapakazi kiasin gani, ila moja ya sharia ya kurithi makampuni ya baba yako ni kuwa umeoa, akasema mama yake shureymu kwa sauti ya ukali kidogo…..

“ sijampata sasa mwanamke wa kumuoa mama, kwa maana kama ningempata mwanamke yoyote ambae atakuwa tayar kuolewa na mimi basin ningeshamuoa, ila badpo sijapata, akawa anajitetea shureymu……

“unamiezi miwili, kama hujaoa nitakuoea mwanamke ninae mtaka mimi, akasema mama yake shureymu kisha akakata simu…
“ yaan mimi sijui natakiwa kupumulia wapi, kwa maana familia yangu inanisumbua, mapenzi yananisumbua, sasa sjui hata napaswa kukimbilia wapi, akawa anasema shureymu kwa sauti ya uonyonge…

“ sasa miezi miwili utampata nani, ila ndio uanze kupambana upate mwanamke ambae hata ikitokea la kutokea unajuwa kuna mtu wa kumpeleka mbele ya macho ya mama yako, nikasema…
“ sawa ngoja nipambane, akajibu shureymu

Sasa tukiwa pale si muswaabu akanipigia simu, nikaongea nae kwa dakika chache kwa maana alikuwa anataka kutoka na mimi, kwa sababu toka ile siku ya kwanz tuliyoonana hatujawah kuonana tena zaidi sana tulikuwa tunaongea tu…

Ikabidi nimuombe shureymu akae na mwanangu maana mm nataka kutoka, alikubali kwa sababu sio mara ya kwanza kukaa nae ikiwa sipo, basi shureymu akamchukua mtoto na kutoka nje ili nivae, na kweli siku hio nikavunja kabat, sasa wakat natoka nashangaa shureymu ananifata kisha akaniuliza kwa sauti ya ukali kuwa “ unaenda wapi?....

“ kukutana na mtu, kwani kuna shido, nikasema ..
“ mwanamke au mwanaume? Akauliza..
“ mwanaume ofcoz, Yule shemeji yako wa siku zile, nikasema…
Akaniangalia kwa hasira kisha akaniambia, haya nenda, mm hata sikumjali nikaupara zangu nimetoka huyo, nafika nje nikamkuta muswaabu akiwa amepaki gari ananisubiria…

Kumbe shureymu hakutaka kukaa kinyonge bana, si akaanza kunifuatilia, nay eye akamuita dereva wake na kumuagiza atufatilie, mm wakat huo sina kitu ninachokijua…

Basi tukafika sehemu moja ilikuwa ni tulivu sana, tukawa tumekaa tunapiga story, tukaagiza vinywaji na chakula, tukawa tunakula taratibu huku tunapiga story, na sio siri alikuwa ni mcheshi sana, kwa maana niliinjoy sana kampan yake, kumbe shureymu yuko maeneo yale, na kuna muda nikawa nasikia sauti kama ya mtoto wangu analia, ila nikawa najiambia kuwa ni mawazpm yang utu, kwa maana sikuamin kama shureymu anaweza kunifata…

Basi tukakaa pale tunaongea kwa karibu masaa manne, mpaka kagiza kakaanza kuingia, ndio muswaabu akawa anataka kunipeleka nyumban, na kweli alinipeleka mpaka nyumban kisha akaondoka zake, na akanambia kuwa ananipenda na hana shida atasubiria jibu langu hata kama ni baada ya muda gani, ila alikuwa anaamin kuwa nitamjibu vzr, basi nikamtoa hofu pale kisha tukaagana…

Ila sasa wakat naiia ndani nikashangaa nakutana na sura ya shureymu kanuna balaa, akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha akasema ‘ mtoto kalala, kisha akawa anaondoka zake…
“ shida nini, mbona kama haupo sawa? Nikauliza…
Nikashangaa anacheka kwa dharau kisha akasema “ unavyoongea ni kama unanionea huruma, kisha akaondoka zake….
JE NINI KITAENDELEAAA!! "

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08



Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hivi….

Bsikutaka kuendelea kujiuliza maswali sana, na badala yake nikaendelea na majukum yangu, na kwenye majira ya kama saa tisa mchana, nikashangaa mlango unagongwa kwenda kufungua, nashangaa nakutana na shureymu, aliponiona akanikumbatia kisha akasema “warda amekubali nimuoe, embu nipikie nile nishibe ili nikampropose warda wangu, nan ataman iwe surprise kwa maana sikuwah kufikiria kama mwanamke ambae nimemuangaikia sana, kama atakubali kuolewa na mimi….

Hata sikumjibu nikaingia jikoni kisha nikampikia, na mara baada ya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-omba-omba-sehemu-ya-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-omba-omba-sehemu-ya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

507
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

256
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

254
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

234
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

232
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

160
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

100

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.15K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.35K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11
@majario LIVE

“hivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamika… “ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

“ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema “ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hivi…. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest