Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
Gonga94 · Stories

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

*__________________________________*

*SEHEMU YA KWANZA*

Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni kweli kuomba omba kuna dhalilisha sana , kuomba omba kunafanya tuonekane kama watu tusiojituma, ila kuna muda binaadamu tunatakiwa tusihukumu jambo ambalo hatujui undani wake…..

Naitwa salha, ni mtoto pekee kwa wazaz wangu, na nikiwa na umri wa miaka 15 wazaz wangu walifariki kwa ajali ya gari, na walifariki wote kwa siku moja, lilikuwan pigo zito sana kwangu, walikuwa na mali chache, kwa maana walikuwa na nyumba na mashamba, ila ndg walichukua kila kitu na wakasema watanilea ila haikuwa hivyo, kwa maana nilichukuliwa na mjomba ambae hakuwa na shida ila mke wake alikuwa na roho mbaya sana, kiasi kana kwamba mjomba akisafiri alikuwa ananifukuza akisema kuwa namjazia choo, yaan namjazia choo kwenye nyumba ambayo wamejenga baba na mama yangu, niolikuwa najisikia vibaya sana ila sikuwa na la kufanya….

Siku moja mjomba alirudi safari, maana alikuwa ni tour guid, alipofika akawa kuna kitu anatafuta ila sikujua ni kitu gani, mara shangazi akatoka na hicho kitu, ilikuwa ni saa na pesa kama laki mbili, shangazi akasema kuwa ameviukuta kwenye begi langu, aisee nilipigwa sana, mpaka nikajikuta nakimbia nyumban, nilishachoka maisha ya kunyanyaswa, nilishachoka maisha ya kuonekana kama sina akili, maisha ya kutukanwa na kupigwa kila siku, basi nikatoka nyumban na kuanza kuomba omba watu chakula na nikawa nalala kwenye majumba mabovu…….

Siku moja nikiwa nimelala zangu kwenye jumba ambalo halikuwa limeisha walikuja vijana wawili, nikawa nawasikia wanasema “ nyama hii huku…
Nikakurupuka na kutaka kuondoka maana sikuona kama yale maeneo ni maeneo salama kwangu, ila walinifata na kuanza kunikimbiza mwisho wakanibaka…..

Nililia sana kwa maana kwanza sina pa kuishi na pili anatokea mtu ananibaka, nilijiona kama nina gundu, huenda labda niliumbiwa kuteseka, huenda labda mungu alipanga maisha yangu yote yawe ni ya kuhangaika…
Basi niliendelea na maisha yangu, hayo hayo ya kuomba omba, mara nikashangaa sioni siku zangu, sikuwa na wasiwasi kwa maana sikuwah kwanza kulala na mwanaume tofaut na hao waliuonibaka, na ninakawaida ya kuruka miezi bila kuona siku, hivyo sikuwa na wasiwasi, ila nikashangaa miezi mitatu inavuka sioni siku zangu, bado sikuwa na mashaka hata kidogo, ikapita miezi mitano, ndio nikaanza kusikia kama kitu kinacheza tumbon, nikajikuta naogopa sana, kwa maana niliamin labda kuna ugonjwa ninao, na tumbo langu likaanza kukuwa, ila sijui ndio utoto au ni nini, kwa maana sikuwaza chochote kile, mpaka kuna siku nilipita sehemu nikawa nawasikia wamama wawili wanasema “ yaan nilijua tu hawa watoto wa mtaan wanakuwaga Malaya sana, kaone haka, hakana hata pakuishi ila kameshafanywa huko mpaka kamepata mimba, ile kauli ilinishtua sana, ila sikuwa na hata akili ya kwenda hospital, kwa maana nilijua lazima nikienda hospital basi nitatakiwa pesa, na sikuwa na pesa hata kidogo, hivyo nikawa ni mtu wa kulia kila wakat, kwa maana mimi kama mimi siwez kujitegemea alafu nije kuwa na mtoto tena, na ndio kwanza nilikuwa na miaka kumi na sita…

Nilikuwa ni mtu wa kulia kila siku, na nilikuwa najua kilio changu hakiwez kubadilisha hali ya halisi, ila ndipo sikuwa na lakufanya zaidi ya kuwalaan walionifanyia vile, na kulaan wale vijana walionibaka..

Basi maisha yakawa yanaendelea na tumbo likawa linakuwa sasa, na sikuwa na chakufanya zaidi ya kuomba omba kila siku, basi siku moja nilikuwa na njaa sana, nikaenda kwenye bakery moja, nikaanza kuomba mkate ila wakanifukuza, mara nikaanza kuhisi maumivu ya nyonga, yalikuwa makali sana,. Mpaka nikaanza kupiga kelele, watu wakanizunguka, kumbe nilikuwa nimefikisha muda wa kujifungua, kuna wamama walikuwa wanapita pale wakajua kuwa natakiwa kujifunguam basi wakanizunguka pale dakika za kuhesabu, kisha wakanizalisha, na baada ya hapo, mama mmoja akanichukua, kisha nikaenda nae kwake, akanipa maji nioge kisha akamuogesha na mwanangu kisha akanambia kuwa atanisaidia mpaka mtoto akikatika kituvo, maana anajua mm ni omba omba kisha ataniacha nikaendelee na maisha yangu….

Kweli alikuwa ananijal sana, siku moja nikiwa zangu nimekaa ukumbini, kwenye nyumba ya huyo mama, na hapo hadi nilikuwa nimeanza kunawiri, akaja mume wake, alikuwa amesafiri, alipofika na kuniona, akaanza kutabasamu, na mimi nikamsalimia maana alikuwa ni mtu mzima sana kwangu, kisha akasema “ naona wife ameniletea nyama mpya, si alisema hataki madada wa kazi huyu, sikuzingatia maneno yake, na nikawa namuangalia tu….

Mara akaanza kuzunguka nyumba nzima kana kwamba kuna kitu anatafuta, kumbe alikuwa anaangalia kama mke wake yuko ama laa, alipoona mkewe hayupo akanifata kisha akawa ananiangalia kwa matamanio, ila sikumzingatia, nikashangaa ananisogelea kisha akanambia kuwa “ nitakupa kila kitu ila naomba unisaidie nimebanwa, sasa maskin ya mungu sikujua hata amebanwa na nini, na wakat huo mwanangu alikuwa amelala, basi nikasimama na kwenda kumtafutia dawa, maana kwa akili zangu nikajua labda amebanwa ni kwamba anaumwa, ila nilioposimama akaanza kunivuta na kutaka kunivua nguo, kana kwamba anataka kunibaka, sasa katika purukushan za hapa na pale Yule mama akatufuma, alimuangalia mume wake kwa hasira kisha akanifata na kuniambia kuwa “ unatakiwa kuondoka sasa mwanangu naamin kwa nilipokusaidia utajua pa kuanzia, kisha akanipa na kama elfu 20 kisha tukaagana, basi mimi huyo nikambeba mwanangu na kutoka nae nyumban kwa yule mama, ingawa sikuwa najua hata naenda wapi ila nikaondoka tu, kwa maana sikuona kama nastahili kukaa pale kabisa, basi nikambeba ,mwanangu na kwenda sokoni, kisha nikanunua nyanya, karoti na vitunguu, nikatafuta sehemu nikawa nimeviweka ingawa ilikuwa ni chini, nikamshkuru sana Yule mama kwa maana angalau kanipa mtaji, ila kwa kweli biashara haikuwa nyepesi kiasi hicho, na mbaya zaidi pesa yote nilinunulia vitu vya kuuza, sikuwa nimekula wala kumnyonyesha mwanangu, kwa maana nilikuwa na njaa, hivyo nilikuwa na wasiwasi kuwa, inawezekana maziwa yasitoke….

Nikiwa pale natafuta rizki yangu mara mvua ikaanza kunyesha, kwa aina ya eneo ambalo nilikuwa hakukuwa kuna hata sehemu ya kujibanza, nikajikuta namkumbatia mwanangu asinyeshewe, mara likapita gari jeusi, alafu liukasimama mbele yangu, nikashangaa anashuka kijana akiwa na mwamvuli kisha akanambia “ hata kama wewe umeshakomaa ila hii mvua itamfanya mtoto aumwe, chukua huu mwamvuli umfunike mtoto, nikawa kimya nalia, alipoona nalia, akanishika mkono kisha akanambia kuwa niende kwenye gari kweli, tukiwa kwenye gari alikuwa kila analoniuliza mm nalia tu, kwa maana maisha yangu yamekuwa kama fimbo ya chuma ambayo inanichapa kila siku na kunisababishia maumuvu makali….

Ila nikama Yule kaka alijiongeza, tukaenda sehemu, akanunua nguo yangu na mwanangu, basi tukabadilisha pale, kisha akatupeleka kwenye restaurant moja, ambapo alitununulia chakula kisha akaniuliza “ huyo mwanao anaumri gani, nikamuambia mwezi mmoja, basi wakat huo huo akanyanyuka na kwenda dukan, ambapo alikuja na maziwa ya unga yameandikwa lactogen kisha akanambia utampa na mtoto, na pampers kisha baada ya hapo akaniachia elfu kumi kisha akaondoka zake….

Nilimuona kama malaika ambae ametumwa kwangu kwa muonekano wa kibinaadamu, kwa maana alininulia pampers na maziwa ya mwanangu, na hicho ndio kitu kikubwa zaidi ambacho niliona kama amenisaidia sana, basi mvua ikaisha nikaerudi kwenye shemu nilipoacha nyanya zangu, nikakuta zimekanywagwa kanyagwa na gari, maana kwanza nilikuwa nimeziweka chini tu…

Kwa kuwa nilikuwa nimeshiba siku hio nikatafuta jumba bovu la kulala, na kweli nikalala zangu mpaka asubuh, ila palipopambaziuka nikamuandaa mwanangu kisha nikatoka na kwenda kuanza kutafuta chochote kitu, nikiwa barabaran nikamuona mwanaume kwa nyuma akiwa ameshika kitu kisha akasema “ surprise, na mbele yake kulikuwa na bint mrembo sana, ila Yule bint hakuonekana kupenda kabisa ile surprise, hakuonekana kama anamfurahia huyu mwanaume, akaikataa ile zawad, kitu kilichomfanya Yule mwanaume ajisikie vibaya kisha akaitupa ile saa na kuondoka zake….

Nilienda na kuiokota, maana nilihisi labda ameidondosha bahat mbaya, ila nilipomfata mpaka alipo nikakuta ni sura ya Yule kaka alienisaidia jana yake …..
Akanianga kisha akasema “ unaniangalia nn, umeniona namna nilivyodhalilika kwa hio umekuja kunicheka, wanawake ni washenzi sana na hamstahili kabisa kuonewa huruma , kisha akapanda kwenye gari na kutaka kuondoka….

NAKUJA…………………

PENZI LA OMBA OMBA 2

“ kaka mbona una madharau sana, nimekuja kukupa saa yako, nikasema na Yule kijana akashuka na kusema “ najua una dhiki sana, haya kauze maana hio ni gold original, unaweza ukapata mtaji…

“ sasa wewe na Yule mwanamke wako mnatofauti gani, au ndio hivyo ndege wanaofanana huruka pamoja si ndio, Yule mwanamke amekataa zawad yako na wewe umefanya nn, umekataa kumsikiliza mtu ambae hata hana shida na wewe, laity ingekuwa pesa ndio kila kitu basi mpenzi wako angepokea zawad yako kwa moyo mmoja na sio kuikata zawad ya gharama kama hii, najua huwez kunielewa ngoja niondoke zangu, nikasema kisha nikaanza kuondoka na mwanangu mgongoni, nikashangaa nashikwa mkono, na kitendo cha Yule kijana kunishika mkono wakat huo huo mvua ikaanza kunyesha, ikabidi aniingize kwenye gari, tukakaa kwenye gari pale kwa muda mpaka mvua ilipokata kisha akanambia kuwa anataka kunipeleka ninapoishi, nikamuambia kuwa mimi sina ninaposihi so yeye anishushe tu ili ikaanze kuandaa mazingira yangu ya kupata chakula na sehemu pa kulala….

Alishangaa sana kisha akanigeukia na kuniangalia kisha akasema “ una maanisha nn ?
“ mm ni homeless sinaga sehemu maalum ya kulala na wala sinaga uhakika wa kula, na nashkuru sana kwa maana angalau umempa mwanangu chakula hivyo umenifanya nimekuwa na aman sana, nikasema ….

Akaniangalia kisha akaanza kuendesha gari bila kunisemesha neno lolote, tulienda mpaka sehemu moja ni lighorofa, akanambia nisishuke maana yeye anakuja, kweli alikaa huko kwa karbu masaa mawili, na aliporudi muda ulikuwa tayar umeshaenda, akanambia kuwa kwa siku hio nitaenda kulala kwake, na kesho yake atanitafutia sehemu ya kuishi, kweli tukatoka hapo mpka kwenye jumba moja kubwa sana, kwa level ya maisha ambayo nilikuwa naishi nilikuwa namuona kama bonge moja la tajiri, kwa maana nmeishi maisha ya kuunga unga yaan nilikuwa nikimuona hata mtu anasehemu pa kulala tu namuona bonge la fogo….

Akanipa chumba akanambia tutalala hapo, akaagiza chakula tukawa tunakula pale, na alikuwa aonekana kama mtu mmoja mpweke sana, na ile kampan yangu ilikuwa kama inamfariji, kwa maana tulipiga story mpaka saa sita ya usiku, mwisho tukaagana na kila mmoja akaenda kulala anapostahili…

Baada ya muda mrefu hatimae siku hio nililala kwenye kitanda, nilala sehemu safi mno, nililia kwa aman sana, na hata mwanangu hakuwa anashtuka shtuka kama vile tunapolalaga kwenye majumba mabovu, basi niliamka mapema sana na kuanza kufanya usafi, kisha nikaandaa chai, Yule kijana alikuja kuamka kwenye kama saa moja na madakika akakuta chai mezan na nyumba yake safi, alikuja mpaka nilipo kisha akasema “ nadhan unastahili kuishi hapa kwa maana nina muda mrefu sana sijala chakula kilichopikwa nyumban, asante sana, akasema yule kijana …..


“ boss unaitwa nani, maana sikujui jina…
“ naitwa shureym, alafu haya maswala ya kuitwa boss huwa siyapendi kabisa, unatakiwa kuniita shureym na sio boss, akasema shureymu…
“embu nambie wewe na kijana wako mnaitwa kina nani, maana sitak hata kuamin kama tumepiga story weee na hata hatujuani majina, akasema shureymu ………….

“ naitwa salha na mwanangu anaitwa saidi, nikasema …
“ owww kahandsome chako kazuri kweli, sasa mm siwez kuaweka hapa muda mrefu kwa maana mpenzi wangu ni mtata sana, kwa maana hawez kutulia akikukuta hapa na ninaamin anaweza kukudhuru buree, akasema shureym …
“ nimekuelewa ngoja nimuandae mwanangu tuondoke, nikasema kisha nikaingia kwenye chumba ambacho ndio nilikuwa nimepewa maelekezo kuwa natakiwa kulala hapo, nikamuandaa mwanangu kisha tukatoka, nikamkuta Yule kaka amekaa ukumbini, alikuwa ni kama anahuzuni, kwa maana alikuwa anaonekana anaupweke mwingi, akaingia mfukoni mwake na kutoa kama laki kisha akanipatia…

Mara tukasikia mtu anapiga makofi kisha akasema “ well well well…. Nilijua tu ndio maana sikutaka kupokea zawad yako hadharani, maana najua wewe mwanaume ni mnafki, embu nambie huyu mwanamke humu ndani ni nani, wewe Malaya kwa hio ndio umeamua kutembea na mwanaume wangu, akasema Yule dada wa sauti ya kejeli….

“ samahan dada, nikasema kisha nikawa natoka zangu, kwa maana sikutaka kabisa kusababisha matatizo yoyote yale…
Ila wakat naondoka shureym ni kama hakuwa anajisikia vzr, alikuwa kama anataman tubaki ila hakuwa tayar pia kumkera mwanamke wake, nikaondoka zangu na kuanza utaratibu wa kutafuta kachumba cha bei rahisi nianze kuishi na mwanangu, na wakat wote nilikuwa nimembeba mtoto na alikuwa amelala, sasa ile namshika nashangaa mtoto anakakamaa, nilihisi kuchanganyikiwa na kuamua kumkimbiza hospital, ambapo niliambiwa ananeumonia, na pia homa ilipanda sana mpaka ikamletea degedege, wakampa pale dawa, na kutokana na hali ambayo mtoto alikuwa nayo tukalawa, basi tukalala pale hospital kwa takriban wik nzima ndio mtoto akakaa sawa, nakuja kuangalia pesa niliokuwa nayo, nashangaa najikuta na shilling elfu kumi na mbili, nilihisi kuchoka kwa maana hio elfu kumi na mbili haikuwa inatosha kitu chochote kile zaidi ya kula tu…..

Nilijisikia vibaya, na kuona labda mm ndio nimeumbiwa kuteseka pekee yangu, maana kila ambapo naanza kuona mwanga, basi matatizo mapya yanaanza kuniandama, basi nikaona ile pesa niifanye ya kula tu, na nikawa nakula mlo mmoja tu, wa asubuh, alafu nazunguka kutafuta kazi hata za mama ntilie, ila sikuwa Napata kwa sababu nilikuwa na mtoto, wakawa wananiambia kazi za chakula hazifai mtu awe na mtoto….

Nilihangaika mpka ile pesa ikaisha, nikawa sina tena pesa ya kula, nikarudia kuomba omba kwa maana sikuwa namna nyingine ile ya kufanya…

Sasa siku hio nilienda kwenye duka moja nikawa namuomba walau anipe hata mkate kavu maana sio siri nilikuwa na njaa sana, nikashangaa Yule baba ananitazama kwa matamanio sana, kisha akasema “ yaan mmn nakuasaidiaga na hujawah kunipa hata mara moja, sasa usijal nitakupa maisha ila naomba uniaidie na mm…

Nilimuangalia Yule baba sikumpatia jibu, nikaanza kuondoka zangu, kwa maana niliona kama kukaa pale huenda akaanza kunidhalilisha, ila nilivyokuwa naondoka, nikashangaa ananishika kisha akasema “ huna unapoenda zaidi ya kunipa ninachotaka, maana katoto kamalaya sana wewe, lakin shida yako unagawa kwa kuangalia sura badala utupe sisi ambao tunaweza kukutunza, tukaanza kuvutana, ewatu walikuwepo ila walikuwa wanatuangalia tu, kwa maana toka nimezaa watu wengi wananichukulia kama Malaya, bila kujua kama nilikuwa nmebakwa, sasa katika purukushan, nikashangaa yule mzeee kasukumwa huko kisha akawekwa ngumi ya haja, na kuja kugeuza macho nakutana na sura ya shureym….
NAKUJA…..


PENZI LA OMBA OMBA 3

Nilimuona shureymu kama mkombozi wangu, maana nilishakata tamaa Kabisa na kuona kana kwamba ndio ninaenda kudhalilishwa hivyo, maana ni kama watu waliridhika kuniona nafanyiwa udhalilishaji, waliridhika kuona nafanyiwa ukatili, lakin shureym ndiuo akatokea kama mkombozi wangu, basi shureymu alimpiga sana Yule mzee kisha akasema “ huyu si sawa na mwanao?, kwanini unamdhalilisha, alafu ulivyo huna hata aibu wewe mzeee, yaan unaona kabisa watu wanakuangalia alafu unazidisha sifa, yaan wewe ndio umenifanya nielewe maana halisi ya kuwa wajinga huwa wanazeeka pia, akasema shureym …

Yule baba akacheka kwa dharau sana kisha akasema “ naona Malaya umepata mkombozi wako, sasa kijana kwanini unaongea mambo usiyoyajua, huyo ni Malaya tu, na tulikuwa tunamuona namna ambavyo alikuwa anakitembeza mtaa mzima mpaka akapata mimba, sasa kuna ubaya gani kwa mtu kama mimi ambae huwa namsaidia na y eye kunisaidia walau mara moja moja, akasema Yule mzee, shureym akaona kama kuendelea kuongea na Yule mzee ni kama kupoteza muda tu, akanishika mkono kisha akawa anaaondoka na mimi….

“ umenikazia tu, ila najua pia na wewe unaenda kumalizana nae, kwa maana unaonekana kabisa unaupwiru, akasema Yule mzee, aiseee shureymu alimrudia na kuanza kumkunja tena kisha akauliza “ unasema je ?...
“ najua hauwez kumchukua mwanamke mrembo hivyo, alafu ni pisi ya bure alafu ukaiangalie tu, acha kunikazia tule wote bwana, akasema Yule mzee, shureym akataka kumpiga ila nikamzuia na kumtaka tuondoke zetu, kwa maana ukiendelea kubishana na mjinga na wewe pia ni lazima utaonekana mjinga…

Basi nilitoka na shureymu kwenye yale maeneo, na siku hio hakuwa na gari, tukakaa sehemu akatakaa nimsimulie ilikuwaje, na maisha yangu yaliendaje wakat wote ambao tuliachana, wakat wote ambao hatukuonana…
Nikajikuta naanza kulia maana maisha yangu hayajawah kueleweka, akaanza kunibembeleza pale kisha akawa ananipiga piga nyuma ya mgongo akisema ‘ ni sawa, ni sawa … lia mpaka uchungu uishe mamaa, kwa maana najua umepitia magumu mengi sana…
“ ni kweli nimepitia mambo ya hovyo sana, najua ulikuwa na lengo zuri na mimi, ila nisikudanganye ile pesa yote ambayo ulinipa iliishia kwenye matibabu ya mtoto, kwa maana nilishangaa mwanangu anapata joto alafu anakakamaa, nikasema embu ngoja nimpeleke hospital, ndipo alipogundulika ana phneumania na homa ilikuwa juu sana, kiasi kwamba ikawa inamletea degedege, tukajikuta tumemaliz pesa yote kwenye matibabu, na maisha yangu yakaendelea kuwa yale yale ya kuomba omba kama kawaida yangu, nikasema….

Shureymu aliniangalia kwa huruma sana kisha akasema “ nitakusaidia mamaa, pole sana na wakat wako wa mateso unakaribia kuisha mama, wakat wako wa kuteseka unakaribia kukukimbia, haya twende, akasema shureymu kisha akanishika tukasimama pale ambapo tulikuwa tumekaa, lakin kabla hatujaenda popote mara simu ya shureymu ikaanza kuita, akaitoa mfukonin na kupokea, ilikuwa imeandikwa my mom, akasogea pemben kidogo akawa anaongea nae, alikuwa anaonekana kama kuna jambo limetokea, alipokata simu akanifata kisha akanipa pesa aliokuwa nayo ilikuwa ni kama elfu sabini, kisha akasema kanunue simu, alafu akatoa busness kadi na kusema, hakikisha unanitafuta, kisha akaondoka zake..…

Nilimshukuru sana, na kwelin wakat huo huo nikaenda kutafuta simu ya elfu 20, ila tatizo likawa ni kusajili line, kwa maana sikuwa na kitambulisho chochote kile, ambacho kinaweza kuniwezesha kusajili line, yaan hata sikjuwaza kabisa kuhusu kusajili line, nikajikuta nakuwa mnyone sana, kwa maana nilijua kuwa, kuja kukutana na shureymu tena ni majaliwa….

Kwa unyonge nikaenda mpaka sehemu ambayo huwa nalala, nikakuta mwenye hioo nyumba amekuja na anataka kuendeleza ujenzi, nikamuomba nichukue vitu vyangu, alikuwa ni mmama, akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha akaniuliza “ wewe ndio huwa unakaa hapa…

“ ndio mama, huwa sina pa kulala, hivyo nikimaliza kuzunguka huwa nakuja kupumzika hapa, nikasema…
Yule mama ni kama aliumia na maneno yangu, akaniangalia kisha akasema “ nisubiri hapo nje, basi kweli nikakaa sehemu nikawa namsubiri…
Kweli alikuwa anaongea na wale wajenzi na baada ya dakika chache akatoka, kisha akaniambia, kuna sehemu nakupeleka utaishi hapo, ingawa serikali wanataka kuinunua hio sehemu, ila naamin utakaa siku chache ukiwa unajipanga, na nisamehe kwa maana sio mazingira rafiki, ila utakuwa na uhakika wa kulala sehemu ambayo inausalama kwa kiasi fulan kuliko kuja kulala kwenye majumba mabovu,simulizi hii ya bahari ya simulizi
maana wahunin wanaweza kukufanyia jambo lolote lile baya, akasema Yule mama, kiukweli nilimshukuru sana, akanipeleka huko nje ya mji, kulikuwa ni huko uswahilin ndani ndani, asilimia kubwa ya watu ambao walikuwa wanaish maeneo yale walikuwa ni wavuta bangi, ila sikuona kama tatizo kwa maana angalau ninayo sehemu ya kulala inayoeleweka……
Akanipa na kama elfu kumi akaniambia itanisogezea siku, sasa nikawa nina kama elfu 60 ukijumlisha na ile pesa ambayo alikuwa amenipa shureymu…
Basi nikapumzika sikun hio, na kesho yake nikatoka nje kusoma mazingira, na kiukweli hakukuwa na mtu wa maana kwenye huu mtaa, nikaja kugundua kitu kimoja kuna walecvi wengi sana kwenye yale maeneo, na huwa wananunua mawashwash au mapupu kwa mama mmoja hivi na huwa wanalalamika sana kuwa anapika kichafu sana, nikapata wazo hapo hapo, nikaanza kujichananya na wale walevi kisha nikawaambia kesho yake nitaanza kuwapikia, na mtu akileta wateja watano anapata bakuli moja bure….

Ilikuwa kama maskhara, lakin wale wale walevi wakanielekeza mpaka sehemu yanapopatikana, na sikutaka kuchukua mzigo mkubwa kwa maana sikuwa najua Napata wapi hata sufuria wala jiko, ndipo wakanielekeza nyumba moja ambayo naweza kukodi sufuria kubwa kwa siku elfu tano, basi nikaenda kununua bakuli zangu za plastic kumi, kisha nikatengeneza na pilipili mpoja pambe sana nikaanza kuuza supu ya mapupu….

Haikuwa rahisi kwa sababu ni kazi ambayo sikuwah kuifanya kabla, ila wale walevi walikuwa wapo na mimi na walikuwa wananitia nguvu sana, na siku ya kwanza namshukuru mungu nilipata faida kama elfu kumi na tano, na hapo nimetoa gharama za kila kitu, na nilikuwa nafanya kazi na mwanangu ,mgongoni kwa maana sikuwa na mtu ambae ningeweza kumuamin nimuachie mwanangu, na kuna muda wale walevi walikuwa wananisaidia kumbembeleza na hatimae maisha yakawa yanaenda, na kwa mara ya kwanza kwenye maisha yangu nikaanza kuyafurahia maisha ambayo nayaishi, kwa maana ingawa nilikuwa nachoka sana, ila nilikuwa na uhakika wa kula na kulala sehemu yenye usalama kidogo na wale walevi wakawa wananipenda sana, yaan mpaka wezi wote wa mtaa wakawa wananijua, na walikuwa wananiheshimu hatar…

Na wakat huo nilikuwa ni bint mdogo tu wa miaka 19, na mwanangu alikuwa ameshaanza kukua, maana alikuwa na miezi kumi, na miezi yote hio sikuwah hata siku moja kukutana na shureymu kwa maana nilihisi kwanza sipaswi tena kuonana nae, kwa maana alipotakiwa kunisaidia basi ameshanisaidia, na niwakat wangu wa kuyapambania maisha yangu,Kumbe bana mimi nawaza yangu na mungu nae anamipango yake kwenye maisha yangu ……

NAKUJA…

PENZI LA OMBA OMBA 4

Basi siku moja nikiwa nimemaliza majukum yangu, nilikuwa naenda gengeni kununua baadhi ya vitu nije kupika chakula cha mchana, mara nikaona wale wezi wa ule mtaa wanawakaba watu wawili, niliwaangalia wale watu, nikajikuta navutiwa sana kuwatazama, si ndio nikamuona shureymu, alikuwa amevaa yale makofia sijui ni yachuma, ila wanavaaga sana mafundi ujenzi wa majumba makubwa…

Nikawafata wale wezi kisha nikawambia wale ni kaka zangu na walikuwa wamekuja huku mtaan kunitafuta, nikashangaa wananiangalia kisha wakaniambia “ sister tupe basi hata buku, nikatoa elfu moja nikawapa, wale wezi wakamuangalia shureymu na mwenzake kisha wakasema “ siku nyingine mkiwa mnakuja sehemu kama hizi mume mnajitambulisha, na vaada ya hapo wakaondoka zao…

Shureymu ni kama hakuamin kama anaemuona mbele yake ni mimi, akawa ananiangalia hanimalizi, kisha akasema “ mbona hukunitafuta salha, yaan nilikuwa nasubiri sana unitafute ila haukunitafuta kabisa na wakat namba zangu nilikuachia…

“ nilikuwa nataman sana kukutafuta, na nikaenda kabisa kununua simu ila sikuwa na line, wala uwezo wa kusajili line, na ndio maana nikashindwa kabisa kukutafuta, nikasema, na shureymu akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha akanikumbatia na kusema “ haujui nilikuwa na wasiwasi kiasi gani juu yako, sasa wakat wote Yule mwenzake akawa anatushangaa tu, mwisho akaona avunje ukimya na kusema “ shemu kwanini umeamua kuja kuishi huku, na wakat mwamba anamawe ya kutosha..

“ came on.. yaan wewe kwa kurahisisha mambo hujaqmbo, huyu anaitwa salha na anamjua warda vzr na baadhi ya matukio ambayo warda ameshawah kunifanyia anayajua kabisa, sasa naomba uache kumuita shemeji yako, kwa maana ni rafiki yang utu, akasema shureymu na mimi sikuwa na chakufanya zaidi ya kutabasamu, sasa nilikua nimembeba mtoto mgongon wakat wote huo, nikasikia mwanangu anasema ‘ baba….
“ unaona sasa mpaka mtoto amekukubali wewe kama baba yako si unasikia, akasema Yule rafiki yake shureymu na hatukuwa na lakufanya zaidi ya kucheka tu…..

Basi akaniambia kuwa yeye ni mkandarasi wa majengo na lile eneo ambalo tulikuwepo limenunuliwa na mtu, hivyo basi tunatakiwa kuhama siku sio nyingi, niwaambie na majiran zangu, akasema shureymu…
“ lakin hapa kuna watu wamezaa na kuzaliwa hapa, naomba msiniingize mm kwenye mambo yenu, kwa maana najua kabisa nitaumiza mioyo yawatu wote ambao wanaishi maeneo haya, nikasema…
Tukiwa pale tunashangaa shangaa, nashangaa naona zoa zoa linapita na balozi wa maeneo yale anapita na kispika kisha akawa anasema ‘ muda umeisha, na kila mtu ameshapata stahiki zake na mlipewa muda na wakat umeisha, amkeni amkeni na kila mtu aondoke aende sehemu ambayo alishapanga kwenda, tunatoa masaa matatu…

Nilihisi kuchoka, maana kuna watu wapo pale miongo kwa miongo, wamezaliwa pale, mpaka wamezeekea pale, nilijikuta napatwa na hasira kwa maana niliona kama matajiri ni waonevu sana…
Shureymu alitaka kyuondoka na mimi ila nilikataa kabisa, ikabidi anifate, ndio akaona kuna bibi nilikua nakaa nae jiran na alikuwa mzee sana, yaan hata kutembea ilikuwa ni shida, shureymu aliingiwa na huruma sana, akapiga simu sehemu, kisha akaniambia naangalie watu wangapi ambao wanahitaji msaada zaidi, basi hapo hapo nikaandika majina, likaja gari kama costa likamchukua Yule bibi, na baadhi ya wazee, walemavu na watoto wadogo, kiukweli sikujua hata wanapelekwa wapi, ila angalau nilihisi amani moyoni mwangu….

Nilimshukuru sana shureymu kwa moyo wake wa dhahabu, kwa maana sikutegemea kabisa kama anaweza kuwasaidia watu kwa kiasi chote kile…

Basi akaniambia ni zamu yangu sasa yakujua wapi nitaishi mm na mwanangu…
Akanichukua mm na mwanangu, tukaenda mpaka kwenye gari lake tukapanda, basi akamchukua Yule rafiki yake mpaka anapoishi na baada ya hapo ,Tulienda sehemu moja kulikuwa na geti kubwa, tukaingia pale kisha akampigia mtu, na baada ya muda akaja kijana alikuwa kama dalali, akatupeleka kwenye chumba kimoja kilikuwa ni single self, kulikuwa na chumba kimoja, jiko na choo, nikaona shureymu kalipia pale kisha akapiga simu kwa mtu akaanza kumuagiza vitu vya ndani, na baada ya kama lisaa limoja, nikashangaa kirikuu kinakuja kimejaza balaa, kilikuwa na kitanda, hivi vya bedi sofa, kabati la nguo, vyombo, jiko na vitu vidogo vidogo, shureymu akaanza kunisaidia kuvipanga pale, wakisaidizana na huyo dereva kirikuu na baada ya muda wakawa wamemaliza na Yule kijana akaondoka, baada ya hapo nikamsikia shureymu anasema kuwa “ nina njaa sana, naomba unipikie pilau basi…

Sikuwa na hiyana, maana kanifanyia jambo kubwa sana, sasa mimi kukaa na kupika tu haliwez kuwa jambo kubwa sana, nikamuomba hela ya kwenda kununua vitu, nikashangaa ananyanyuka kisha akasema “ ni kweli nimeshachoka sana, ila ngoja nikanunue mwenyewe, ili usije ukapotea bure, akasema nikajikuta nacheka tu…

Basi aliondoka na baada ya muda mchache alikuja na vitu vya kupika vya kutosha, yaan alinunua unga wa ngano, mchele, unga wa ugali, samaki nyama, maharage, na mwanzo alininunulia kafridge kadogo, so alipofika akaanza kupanga vitu kwenye fridge, na mm nikaanza kuandaa vitu kwaajili ya kupika, basi bibi mimi nikaanza kulikarangiza, na wakat ambao nilikuwa napika, yeye alikuwa anasaga juice, lakin muda mwingi macho yake yalikuwa kwangu, kiukeli sikumfikiria ka lolote, kwa maana nilikuwa najua anampenzi na anampenda sana, hivyo niliona kama anatakiwa kubaki kuwa rafiki tu, yaan namaliza kupika, nikakuta juice tayar, basi nikamtengea pale, akaanza kula…..
Sasa akawa anakula huku ananiangalia kisha anatabasamu si siri nilikuwa naona aibu vibaya mno, sasa sikatoto change kakaamka, kakasema tena baba, nikashangaa shureymu ananiangalia kisha akasema “ huenda mm ndio nilikuwa nastahili kuwa baba yake, maana kanaonekana kananipenda sana…
NAKUJA……….


PENZI LA OMBA OMBA 5

Alianza kula kimya kimya, nikawa namshangaa anataka nimuongeze na wakat nilikuwa nimemuwekea chakula cha kutosha, nikamuongeza kwa maana kwanza yeye ndio katoa pesa, sasa kwann asishibe, amemaliza kula, akanigeukia na kusema “ nataman ningekujua mapema kwa maana ningeshaacha kabisa kula vyakula vya hovyo, yaan na hivi tunakaa karibu karbu, basi jiandae, kwa maana kuanzia chai asubuh mpaka chakula cha jioni nitakuwa nakuja kula hapa, yaan mavyakula ya hovyo bye bye, kula restaurant goodbye, akasema shureym
“ kwani Yule mwanamke wako, huwa hakupikiagi? Nikauliza, nikashangaa anaanza kucheka kisha akasema “ yaan mimi sijui nina bahat mbaya, au ni nini, kwa maana kuanzia nimeanza kujitegemea, sijawah hata siku moja kupikiwa na mwanamke wangu, yaan kila siku utasikia “ twende sehemu flani tukapate lunch, mara twende sehemu flani tukapate dinner na hayo ndio yakageuka maisha yangu, yaan sijui hata nakwamaga wapi, kwa maana wanawake wangu wote hakuna kitu ambacho wananipa zaidi ya tendo la ndoa, kwa maana hata kunifulia na kutandika kitanda huwa hawawezag, ukimuuambia mbona hujatandika kitanda, utasikia tu ‘ kucha zangu, mara kichwa kinaniuma, yaan sijawah kumpata mwanamke ambae ananihandle hata kidogo, na maisha yangu yote ni maisha ya kutafuta wafanyakAzi wa kulipwa kwa siku kunifanyia usafi na kila ninachohitaji….
“ ila tatizo lako unatafutaga mapisi kali wewe, acha yakuhangaishe, nikasema na tukajikuta tunaanza kucheka…
“ sasa hao ndio wanawake ambao wapo kwenye maeneo ambayo mimi nipo, kwa maana kwa maeneo ambayo mimi huwa naenda, ni ngumu sana kukutana na mwanamke ambae amelelewa kama mwanamke na sio hawa wachunaji, akasema shureymu…

“ embu nambie mwanamke wako anaendelea je? Nikamuuliza…
“ yaan Yule mwanamke ananitesa ila nampenda sana, kwa maana kuna memories ambazo amenitengenezea najikuta nashindwa kabisa kumuacha, akasema shureymu…
“ eheee usikute mtoto fundi kama nini, nikasema
“ si bora hata angekuwa fundi nisema kweli nimebahatika, yaan ni mwanamke flan hivi anasauti tamu, yaan akiniamuliaga najikuta hata siwez kukataa jambo lolote lile, ambalo ananiomba, au akiwa anataka kunipiga kibomu cha maana ni ataniimbia, atanibembeleza, atanilisha, yaan najikutaga sijui wapi, mpaka najikuta kama nikimuacha kuna kitu kitapungua kwenye maisha yangu, ila ananinyanyasa sana, kwa maana anamatumizi makubwa mno, yaan badjet yake kwa siku ni zaidi ya laki, na hio pesa mm ndio naitoa, akianza kutaka kwenda saloon sasa, anaweza maliza laki tatu, akaendelea kusema shureymu…

Nilishangaa sana kwa maana mimi nilikuwa naona kama laki ni pesa yangu ya matumizi ya mwezi mzima na inabaki, alafu kuna mtu anaitumia kwa siku, kweli kwenye maisha hatujawah kufanana……
“ mbona sasa unaonekanaga mpweke sana na mwanamke wako anakuhandle vizur hivyo? Nikauliza…

“ yaan hio care huwa ananifanyia akitaka kitu, ila tfauti na hapo tunaishi kama watu tusiojuana kabisa, ndio maana muda mwingi najikuta mpweke sana, akasema shureymu….

Basi nikasimama kisha nikachukua glass na kuanza kusema “ haya mr shureym ni muda wa kusema upweke bye bye, ok, aiseee alicheka kwa maana hakutegemea kama nitasema vile, kisha nikasimama na kumuomba awashe mziki kwenye simu yake, akaniuliza aweke nyimbo gani…
“ wewe weka nyimbo yoyote iliochangamka bana, basi akaweka rege, nikamshika mkono kisha tukaanza kuruka ruka, na siku hio mwanangu hakuwa anasumbua kabisa, basi nikamchangamsha pale, alikuwa na furaha sana sikuwah kumuona akiwa na furaha kiasi kile, mwisho akazima mziki kisha akaniangalia machoni na kusema “salha asante sana, angalau umeanza kuufufua moyo wangu, angalau yale majonzi na upweke umeanza kuondoka kwenye moyo wangu, naomba uendelee kuwa rafiki yangu na mtu wangu wa karibu.……
“ usijal nipo kwaajili yako mr shureymu , nikasema na shureymu akajikuta anatabasamu ..


sasa tukiwa tunaongea mara simu yake ikaanza kuita, nikashangaa amepokea kwa wasiwasi sana, yaan ule ujasiri wake wote ukayeyuka, nikamuona amenyong,onyea kisha akasema “ warda … warda… kwann unanifanyia hivi lakin, au kukupenda wewe ndio imekuwa kosa…..

“ embu nambie ulikuwa wapi siku zote hizi, kwa maana haukuwa unapatikana kabisa,na wala sms hazikuwa zinaenda, nambie ulikuwa wapi kwa maana umenipa wasiwasi mno, akawa anasema shureymu…
“ si nilikuambia kuwa naenda kwa bibi yangu, na kule ni kijijini mtandao haushiki, nikasikia upande wa pili unajibu, na kweli alikuwa na sauti tamu sio utani…

Shureymu akashusha pumzi alafu akapoa kidogo, nikaona eheee sauti imeshamlegeza mwamba, kisha akasema “ lakin ungeniaga, mbona ukitaka chochote kile unasema, kwann ukitaka kwenda sehemu huagi, au unanichukuliaje, maana mm ni mwanaume wako, na wewe mwenyewe unajua nakupenda kiasi gani, akasema shureymu…

“ ni kwamba umeamua kunisimanga au ni vipi, usinisimange bana, kwa maana sijakutuma unipe chochote kile, alafu bby naomba basi uje nyumban tuongee, nikasikia upande wa pili wa simu ya shureymu unasema hivyo…

“ niko busy siwez kuja sasa hivi, akajibu shureymu, nikashangaa Yule dada anacheka kicheko flan hivi cha dharau kisha akasema kwa sauti ya ukali kidogo kuwa
“ nimesema uje nyumban dakika hii laa sivyo tuachane, maana naona kama hauniitaji tena, nikamuona shureymu kawa mnyonge sana,akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha akakata simu, na baada ya hapo akawa ananiaga kisha akanisogelea na kunikumbatia na akasema “ najua sisi sio wapenzi na hatuwezi kuwa wapenzi ila naomba uendelee kuwa pemben yangu wakat wote, naomba usije ukawaza kuwa mbali na mimi, hii sio ombi ni amri salha kisha akaondoka zake….

NAKUJA

PENZI LA OMBA OMBA 6

Kiukweli sikumjali kabisa, kwa maana shureymu mwenyewe ndio ameamua kuishi maisha kama yale, maisha ya kupelekeshwa na mwanamke, maisha ya kupangiwa nn cha kufanya na mwanamke, hivyo nikaona nikishauri jambo lolote lile, ni lazima nitaonekana mchawi kwenye penzi la watu bure, kwa kuwa yeye mwenyewe ameamua kuishi maisha yle na kunihuduia mimi kama rafiki yake, basi natakiwa kuliheshimu hilo sana….

Basi muda ulienda na jion ilifika shureymu alinisajilia line kwa kitambulisho chake, hivyo nilikuwa na line sasa, ila sasa simu yangu ilikuwa ndio hizi vunja chawa, basi nikala zangu mimi na mwanangu chakula cha usiku, sasa wakat tunajiandaa kulala nikasikia simu yangu inaita, nilishangaa kwa maana niliamin hakuna mtu ambae alikuwa na namba yangu, nikaona nipokee tu, maana huenda kuna mtu amekosea namba…. .

Nilipopokea nikakutana na sauti ya shureymu alikuwa anaongea kinyonge sana, ikabidi nimuulize shida ni nini, na kwanini anasikika kama hana furaha vile, akahema kidoo kisha akanambia, “ niombee kaka yako, maana hapo nilipoingia ni dampo, ila najikuta siwez kutoka kabisa…

“ umemaanisha nini shureymu? Nikauliza…
“ unaweza amini warda kapigiwa simu sasa hivi na shoga yake kaniacha mimi kitandani kisha ameenda kwa huyo shoga yake, nikamuuliza kwanini asingeenda asubuh, akanaiambia hawez kumkera rafiki yake kwa sababu yangu, nimekuja kupiga simu na ikapokelewa na mtu, na nikawa nasikia makelele kana kwamba yuko club, naumia sana salha, naumia sana salha, kwa maana nataka kumuoa warda , ila nawaza naowa mwanamke wa aina gani, mwanamke anaewaza bata, hajawah kuwaza jambo lolote lile la maendeleo, ila tatizo nampenda sana warda, kuna muda nahisi kama ameniloga na kuona kama hizi sio akili zangu kabisa, akawa analalamika shureymu, nilikuwa namuonea huruma sana ila niliogopa kumshauri chochote kile, kwa maana hata mm mwenyewe sijawah kuwa na mahusiano hata mara moja, na kama tunavyojua huyu mtoto nilibakwa, so sijampata kwa mapenzi yangu…..

Sikuwa na cha kumsaidia zaidi ya kumuambia pole tu, “ embu nambie na wewe mahusiano yako yalikuwaje? Akauiza…
‘ sikuwah kuwa na mahusiano na mimba ya huyu mtoto nilibakwa, yaan nikabakwa siku hio hio na mimba, ila kuhusu mahusiano kama mahusiano nadhan sina uzoefu wa kutosha, nadhan siyajui vizuri, nikasema, shureymu akashusha pumzi kisha akanambia nakuja hapo kwako sasa hivi…
“ sasa ukija utalala wapi na unajua mm naishi chumba kimoja? Nikamuuliza…
“ kwamba unanifukuza si ndio, mkija kusikia nimejifanyia jambo lolote lile msinilaumu, akasema shureymu…
“ unataka kujifanyia nini? Nikamuuliza…
“ nakuja kukuambia nikifika, akasema kisha akakata simu, na baada ya kama dakika kumi na tano shureymu alikuwa ameshafika nyumban kwangu, akabisha hodi, na sikuwa na hiyana nikamfungulia, kwa maana yeye kwanza ndio ananiweka mjini, sasa nawezaje kukataa kumfungulia mlango kwenye nyumba anayolipa kodi yeye mwenyewe….

Akaingian ndani kisha akanikumbatia na kusema “ nahisi upweke sana salha, najihisi mnyonge sana, naomba usinizuie kukukumbatia mara zote ninazo hitaji…
“ usijal mimi ni wako, na utakapokuwa na jambo gumu lolote nitakuwa tayar kulibeba na wewe, nipo tayar tulibebe pamoja, nikasema …
Shureymu akaniangalia kisha akatabasamu na kusema “ mungu anakusudi lake kunikutanisha na wewe, kisha akaenda kukaa kitandani…

Akawa anataka nimpigie story kwa maana alikuwa mpweke sana, sasa mimi story zangu zote ni zakuhuzunisha, kwa maana mambo ambayo nimepitia yanatisha sana, sasa nikawa nawaza namusimulia nini huyu kijana wa mungu, nikaona nianze kumtafutia story za uongo ili walau acheke, huenda nikatibu kwa asilimia kadhaa majeraha ya moyo wake…
“ mbona umekaa kimya sema chochote kile bana, naomba nichangamshe changamshe, akasema shureymu….
Nikaangalia chini kwa sekunde kadhaa kisha nikawa namuangalia shureymu kisha nikaanza kusema “ nina mengi ya kukuambia, ila nina wasiwasi utanifikiria vibaya…
“ usijal siwez kukufikiria vibaya, najua wewe huwez kuongea jambo baya, akajibu shureymu….

Nikashusha pumzi kisha nikaanza kuhesabu vidole kisha nikasema “ mimi salha abdillah nikiwa naakili zangu timamu naomba niseme jambo ambalo huwa kila wakat linausisimua mwili wangu, jambo ambalo linanitesa na limekuwa likinitesa kwa muda mrefu, na jambo lenyewe bwana shureymu ni kwamba, nilipofika hapo nikameza mate kidogo kisha nikaendelea kusema kuwa “ nasikia njaa…

Aiseee shureymu alicheka sana kisha akasema “ yaan akili zako sijui kama zinafanyaga kazi, hivi kuanzia umezaliwa umeshawah kwenda kupimwa akili na uliambiwa akili zako zinafanya kazi asilimia ngapi , yaan nilijua leo mwamba natongonzwa, kumbe naishi na kabint cha hovyo, haya twende tukapike mama saidi, akasema shureymu akiwa anacheka …
“ sawa mjomba saidi, nikajibu, nikashangaa shureymu anaanza kucheka tena, kisha akaniambia, hakika umenifanya nijisikie vizuri maana nilikuwa nahisi moyo wangu unataka kupasuka kwa maumivu, akasema shureymu…
sio kwamba nilikuwa nasikia njaa, ila nilikuwa na uhakika kuwa shureymu hakuwa amekula tangu alipokula mchana, nikahisi ni lazima atakuwa na njaa, kwa maana kuna muda nilisikia tumbo lake linalia, nikaona ni bora nimpiukie, ila nikajua kama atajua naenda kumpikia yeye usiku ule, huenda asingekubali kabisa, hivyo nikaona nitumie mbinu hio, basi nikapikaq ugali na samaki na kachumbari pale, na shureymu ni kweli alikuwa na njaa, maana alikula kama hajala kwa muda mrefu, na alipo maliza kula akasema ‘ yaan nilikuwa nasikia njaa balaa, ila nilikuwa naona aibu kukuambia, nilihisi huenda ukaniona mlafu…

“ hapa ni nyumban kwako, kwanini unaogopa kusema kuwa unasikia njaa, na nilijua tu, kwa maana mimi nilikula zangu kiporo kilichobaki, ila nikahisi utakuwa na njaa, nikasema, shureymu akaniangalia kisha akasema “ nashkuru sana kwa kunielewa, nilikuwa nataman sana hata warda angekuwa ananielewa kama unavyonielewa wewe, huenda ningekuwa ni mwanaume mwenye furaha sana kwenye hii dunia…

“ Yule atakupa vya kuwapa wanaume, mimi nitakuwa hapa kukujali, kuhakikisha umekula, kuhakikisha unakaa sehemu safi, kwa maana kiukwei sijui hata naweza kukulipa vipi, nikasema…
“ kwa hio wewe huwez kunipa vya chumban na wakat wewe ni mwanamke, nikitaka je? Akauliza..
‘ ukitaka utapata kwa warda, kwani umeshawah kuona wapi kaka anamkula mdogo wake, ila kaka huwa anapikiwa, kufuliwa na kupiga story na mdogo wake, na anaweza kufanya nae jambo lolote lile tofauti na kukulana, nikasema….

“ bravo ni kweli kaka hawez kumkula mdogo wake, ila anaweza kumkiss si ndio, akasema…
‘ ewaaa anaweza kumkiss, busu ya kwenye nyayo, nikajibu, nikashangaa shuryamu anacheka kisha akasema “ well itabidi siku na mimi nimkiss mdogo wangu busu la kwenye nyayo…

‘ umeona akili zako, unafikiria kwabisa nitakuwekea kaguu kangu kalaini ukabusu, subiri siku nikiwa na magaga, nihakikishe ukitoka kubusu hizo nyayo, lips zote zimechubuka, nikajibu , shureymu akawa anafurah tu, basi siku hio tulishinda trunapiga story tu, kwa maana hakuna sehemu ambayo ingeruhusu mm na shureymu kulala pale, basi kulipopambazuka nikaingia jikoni nikaanza kuandaa chai, ila wakat natoka nikakuta shureymu amemuogesha mwanangu, amemvalisha, katandika kitanda anacheza nae, sio siri nilijisikia vizuri sana na kuona kama mwanangu yuko na baba yake, nikajikuta nawaangalia nikiwa natabasamu tu, shureymu akaniona nikiwa nawaangalia akasimama akiwa amembeba mtoto na kunisogelea, kisha akaawa anataka tupige picha, sijui nilipatwa na pepo gani kwa maana nilianza kuhisi mwili wangu unasisimka mno, nikawa nataman shureymu angeendelea kukaa karibu yangu, jicho likawa linalegea tu, sijui ndio hisia zilikuwa zinanisumbua au ndio nini, na shuereymun alihisi hilo, akasogea pemben haraka haraka, kisha akasema “ njoo tunywe chai nikaangalie kama warda amesharudi nyumban….
NAKUJA…….


PENZI LA OMBA OMBA 7

Sijui ilikuwaje kwa maana nilikuwa nasikia moyo wangu unaniuma sana, “ warda.. warda warda, kwann kila saa hii nyumba hatuwez kukaa kwa amani bila jina la warda kutajwa, nikajikuta nachukia mpaka jina la warda, kwa maana nilikuwa nahisi kama nimeshaanza kumpenda, ila shureymu kila dakika ni warda warda, sijui warda alikuwa amempa kitu gani, basi alikunywa chai haraka haraka kisha akaniangalia na kusema “ unatakiwa na wewe utoke ukatafute mwenza wako, ili ujue utamu wa mapenzi si ndio mdogo wangu…

Nikaitikia tu kwa kichwa maana alikuwa ameshauvuruga kabisa moyo wangu, basi akaondoka zake, nikaendelea na shughuli zangu za pale ndani, ila kila dakika nikawa namuwaza shureymu tu, kila sekunde nikawa ntaman sana kuwa na shureym, nikaanza kukemea hio hali, kwa maana nilijua kuwa shureymu sio wangu na hawez kuwa wangu hata nifanye nini……..

Kwenye mida ya kama saa saba mchana shureymu akanitumia sms ilikuwa inasema “ leo nina furaha sana nakuja hapo nyumban…
“ sawa karibu , nikajibu…

Kweli kwenye kama saa nane mchana alikuja, akawa ananiambia kuwa anasikia njaa sana, basi nikaingia jikoni, ila nilikuwa nimepooza, maana kila nikimuona nilikuwa najisikia vibaya, kwa maana nilikuwa nimeshaanza kumpenda, na nikama alikuwa anaelewa hali yangu, basi mara baada ya kumaliza kula, akaniangalia kisha akasema “ warda amekubalo kuolewa nae, sasa amekuja kukaa na mtoto na mm nijitoe out, aone kama nitakutana na mwanaume wa maisha yangu, akaniambia kuwa nivae nipendeze na dereva atakuja na kunichukua, kiukweli sikuamin maana hata mimi nilikuwa nataman sana kuwa kwenye mahusiano, nikaona kama anataka kunikwepa kwa namna hio, kiukweli sikuona shida kabisa, na kwenye majira ya kama saa kumi jioni, llikuja hio gari na kunichukua, na kweli shureymu akabaki na mwanangu…..

Dereva alinipeleka klwenye restaurant moja, yaan asilimia kubwa ya watu waliokuwa maeneo yale alikuwa ni fogo, nikawa nimekaa nashangaa shangaa, nikaagiza kinywaji, jiliagiza juice tu kwa maana huwa situmiagi kilevi, sasa wakat Yule muhudumu analeta akanipa na ujumbe unaosema “ nimeshalipa mrembo, ikabidi nimuulize Yule muhudumu ni nani ambae amempa hio karatasi, akanionesha mwanaume ambae alikuwa amekaa nyuma yangu, alikuwa ni mwanaume flan, yaan wale masuper handsome, nilipogeuka akatabasamu, kisha akasimama na kuja kwenye meza ambayo nilikuwepo…..

Alikuwa ni mzuri sana kimuonekano,ila tayar nilikuwa nimeshavutiwa na shureymu yaan nikawa namuona kama kinyago, yaan hakuwa amenivutia hata kidogo, na namna alivyokuwa anaongea ndio kabisa, yaan sikuwa nataka kabisa hata kumsikia….
Lakin nikawaza nikaona huenda ninachezea bahat, kwa maana shureymu yeye wakat wote ni warda warda, yaan ukiongea nae kidogo utasikia mara warda vile, mara warda hivi, nikaona huenda nachezea shilling kwenye tundu la choo, na ikidondoka nianze kujuta, maana shureymu mwenyewe ametaka nitoke ili nionekane na ikiwezekana na mimi niwe na mahusiano, sasa kwanini nimuangushe….

Basi nikaanza kumchangamkia Yule kaka, alinambia anaitwa muswahabu, tukapiga story pale, mwisho tukabadilishana namba, na baada ya hapo akataka kunipeleka nyumban, nikamjibu nina dereva wangu, akashangaa namiliki kiswaswadu alafu ninamiliki kiswaswadu, weee huogopi….

Akanambia nimpigie dereva ila akasema amepata dharura na atakuja baada kama ya nusu saa, nikashangaa muswaabu anasema kwa sauti ya juu kuwa “ usijal mimi nitampeleka nyumban, kisha nikakata simu, nikijua dereva lazima atakuwa amesikia…

Basi ntukaenda mpaka kwenye gari lake, alikuwa anamiliki hivi vialphard, nikapanda na akaanza safar ya kunipeleka ninapoishi, kweli alinifikisha na wakat nafika nikamkuta shureymu yuko nje anatembea tembea na mtoto, akaniona nashuka kwenye gari tofauti na lile ambalo ndio aliagiza linifate, akavunga, basi nikaagana na muswaabu hapo kisha nikaingia ndani, na shureymu akanifata nyuma akiwa amembeba mwanangu…

“ haya niambie Yule mwanaume ni nani, kwa maana sikumbuki kama nilikuambia ukadange, nilikuambia kuwa utoke ukaonekane, ili ikiwezekana na wewe uwe na mahusiano, ila badala yake naona mambo ni tofaut na nilivyotegemea, akasema shureymu…
“ anaitwa muswaabu, bado hajanitongoza ila anaonekana kuvutiwa sana na mimi, anaonekana nin kijana mwenye adabu na heshima sana, kwa maana alikuwa anaheshimu maamuzi yangu mno, so sijatoka kudanga bwana boss, ila bahat ilikuwa upande wangu, kwa maana nimetoka tu na nikaonekana, nikajibu…

Nikashangaa uso wa shureymu umebadilika ghafla, ila sikumjal sana ikabidi nimuulize kuhusu yeye na mtoto, nikawa namuona kama anajikaza kuchangamka ila hawez, akawa yuko kama kuna kitu kinamsumbua, ikabidi nimuulize kuwa anashida gani…
“ au ndio huyo warda wako anakuchanganya bado ? nikauliza, ila hakunijibu na badala yake akasimama na kuondoka, kumbe bwana kidudu wivu kinamsumbua….

Basi kwenye majira ya kama saa nne usiku muswaabu akapiga simu, alikuwa na sauti tamu huyu mwanaume sijawah kusikia, alikuwa kama anataka kunivuruga hivi, kwa maana hakunitongioza ila kwa namna ambavyo alikuwa ananisifia, nilikuwa nahisi kamoyo kanadunda spidi, sasa nikaongea na muswaabu kuanzia saa nee, sasa imefika saa tano na madakika, nikashangaa simu inaigia, kuangalia nin shureymu, ila hata sikumjali kwa maana kwa wakat ule nilikuwa natakiwa kutafuta na mimi mwanaume wa maisha yangu, na sio shureymu ambae kila dakika anamuongelea warda……

Nikiwa naendelea kuongea na muswaabu, shureymu akaanza kupia kama amechanganyikiwa, sasa nikawa nawaza namuambia vipi muwaabu kuwa kuna mtu ananipigia na ilikuwa ni saa tano karibu na nusu, hivyo nikaamua kujifanya sion kama shureymu ananipigia na tukaendelea kuongea, mpaka tulipoagana na akasema anataman kunijua zaidi kwa maana naonekana kama mwanamke mwenye maadili sana…….

Sasa kitendo cha muswaabu kukata simu nikashangaa naona sms zinaingia kama mvua, yakwanza ilikuwa inasema “ walikuwa wanasema kuwa wewe unadanga, nimeshaanza kuyaamin maneno yao, maana haiwezekani, mwanamke mwenye maadili akutane na mwanaume siku moja na aongee nae usiku kucha, yaan ndani ya masaa chache waliokutana ikufanye uongee nae usiku kuche, ila hata sikujibu, kwa maana sikujua hata alikuwa anapanic kwa sababu gani…..
Mara nikashangaa simu inaita, sikupokea nikawa najifanya nimelala, mara sms ikangia inasema “ najuta kukuamin wewe kama rafiki yangu kwa maana haunijal tena, hio sms siku ijibu, nashangaa asubuh na mapema mwamba huyu hapa, yaan kitendo cha kumfungulia tu mlango akapitiliza mpaka ndani, kisha akaniangalia kwa sekunde kadhaa na kusema “ nambie jana usiku ulilala wapi? Kwa maana kuna sehemu nilikuona….]
Nikawa nimetoa macho kwa maana sikuwa hata naelewa anasema nini, nikamuangalia kisha nikasema karibu chai, nikaenda jikoni nikachukua kikombe cha chai na kumiminia, nikashangaa amebweta mkono wangu , kikombe chenye chai kikadondoka na kuvunjika vunjika kisha akaondoka zake……
NAKUJA……..

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*


*__________________________________*

*SEHEMU YA KWANZA*

Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni kweli kuomba omba kuna dhalilisha sana , kuomba omba kunafanya tuonekane kama watu tusiojituma, ila kuna muda binaadamu tunatakiwa tusihukumu jambo ambalo hatujui undani wake…..

Naitwa salha, ni mtoto pekee kwa wazaz wangu, na nikiwa na umri wa miaka 15 wazaz wangu walifariki kwa ajali ya gari, na walifariki wote kwa siku moja, lilikuwan pigo zito sana kwangu, walikuwa na mali chache, kwa maana walikuwa na nyumba na mashamba, ila...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-omba-omba-1-7

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-omba-omba
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09
PENZI LA OMBA OMBA 10
PENZI LA OMBA OMBA 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

507
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

256
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

254
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

234
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

232
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

161
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

100

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.15K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.35K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11
@majario LIVE

“hivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamika… “ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

“ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema “ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hivi…. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest