REALLY LOVE* *SEHEMU YA 33*
kwahiyo baba unanikataza mimi nisiende kwa dada yangu? wewe baba gani mbaguzi yani unamjali sana dada kuliko mimi? vipi kuhusi namimi hali yangu mbona hunijali alisema cathe kwa kumfokea baba yake, mzee fahad hakuipenda sana hiyo tabia
***wewe unanifokeamimi ? au ndo adabu ulizofundishwa na eva? yani mimi nakuelewesha kitu kwa upole halafu unanikoromea wewe mpumbavu nini tena kama huko ulikotoka hukufunzwa vizuri basi hapa utanyooka si unakaa na mama fatuma utanyooka vizuri alisema baba fahima kisha akaingia ndani,
mama fatuma na mwanae wakaanza kumcheka
***hehehheheeehehe halooooooow kujifanya mtoto wa kishua wakati sura yenyewe mavi tu":" alisema fatuma huku anacheka
wewe unasemaje.? yaani sura yangu kama mavi??? alisema cathe kwa hasira
sasa kama ungekuwa keki si ungesifiwa shoga yangu hhahahhaaa hilo wigi lenyewe la kuazima alafu unajifanya mzuuuuuri wakati tako huna hehheheheh haloooo00000000000*** alisema fatuma kisha wakacheka na mama yake,
cathe alipatwa na hasira sana akamvamia fatuma na kuanza kupigana, mama fatuma akaingilia akamkamata cathe na kuanza kumpiga kipigo huku fatuma nae akimchangia walimpiga sana akabaki analia tu bila kufanya lolote.
nyooooo we si mbabe haya nyanyuka nyau wewe nyanyuka paka shume wewe sikia kama huko ulikotoka hawajakwambia unakuja kwa nani basi kawaambie wakwambie, mimi ndo mama fatuma yaani nitakutuma mpaka uote. sugu za matako hapa ndo kwenyewe yaani funga kazi kamuulize fahima anaijuwa vizuri shuhuli yangu kenge wewe alisema mama fatuma, huku fatuma akicheka na cathe akilial
sana
***lakini haya maisha gani mimi siyawezi napigwa bila kosa siwezi lazma niondoke alisema cathe aiseee alikosea sana kusema hivo yaani ile anataka kunyanyuka tu alipigwa konde. moja la mgongo hilo kama bomu likampeleka hadi chini
unamkunjia nani mdomo wewe, nani unamkaripia yaani mimi unanipandishia sauti. paka wewe usiyekuwa na mama nyoo0 mlaaniwa mkubwa wewe ety naondoka usinipe
kesi hapa msubiri baba yako akirudi ndo uondoke mbele yake sitaki ujinga mimi haya sogea hapa ufue haraka sogea nitakuongezea lingine alisema mama fatuma kwa ukali haraka cathe akasogea na kuanza kufua nguo huku analia, huyo ndo mama fatuma bhana
muda ulienda ikafika usiku siku hiyo upande wal seven na fahima kulikuwa ni raha tu ila kwa upande wa cathe kulikuwa ni karaha na majonzi
basi siku nyingine tena iliwadia katika nyumba. ya mama calor siku hiyo alitaka kwenda kumuona mwanae cathe ikabidi wajiandae yeye na calor wakatoka kwenda kumuona.
ndani ya super market moja alikuwa seven akikusanya nguo viatu yaani mazaga zanga kibao ya kila aina na size, alinunua nguo nyingi sana basi alipomaliza akaondoka kuelekea. kwenye moja ya ukumbi mzuri sana uliopo mlimani city,
alifika na kupokelewa na walinzi alifanya siri sana familia yake wasijue lolote, alikagua ukumbi huo ulikuwa umeandaliwa vizuri na kupambwa vizuri ulipendeza sana alikagua kila Idara ya kila kitu kilikuwa sawa kabisa, alipoona kila kitu kipo sawa akaamua kupanda gari na kuondoka kuelekea nyumbani
alifika nyumbani na kuwakuta mama yake na
dada yake wamevaa vizuri sana alifika na kuwapa ishara kuwa kila kitu tayari na wakae kimya kabisa, basi aliingia ndani na kumkuta fahima akikunja nguo kuweka kabatini ndipo seven akamkumbatia kwa nyuma na kumkiss. sikioni
i miss you wife alisema seven.
i miss you too husband০০০ alisema fahima, seven alitabasam kisha akamgeuza fahima wakawa wanaangaliana
ujue sikutegemea kabisa kama nitakuja
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni