Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18
Gonga94 Β· Stories

SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼

Sehemu ya 16 na 17.

Mwandishi; lissa wa huru media

kijana . Nakuuliza si unajifanya mjanja .basi tutasomana . Ata mimi ni mjanja wa zamani. Baba yangu alimuangalia sana adrian. Akasema we kijana siku nikikukuta na binti yangu ndo siku unayoenda jelaaa kweupe hautaamini nakwambia . Adrian akanyamaza kimya . Bba na mama wakanichukua tukaludi mpaka nyumbani. Aseeeee uko mama alinisema sana. Yani alinambia hayuko tena proud na mimi. Mana nimewahi kukimbilia mambo ambayo ni chini ya umli wangu sana. Aseee hii siku mama yangu aliongea mno mpaka analia.nikaona kabisa nimemkosea sana mama yangu. Aseeeee nilijisikia vibaya na kuumia sana. Nikajua aya mambo yote aliyoyapika ni baraka lipumbavu hili ntalikomesha na ntahakikisha anaondoka kwetu mbwa uyu.

Nilibaki ndani nna hasira sana. Yani nilikuwa na hasira mno. Kwanza nimepigwa kudadeki apo. Alafu sasa mwili umevimba . Yani umetutumuka kweli kweli. Ila nikawa najua yote aya kayasababisha baraka. Nikatulia ndani tu.ata kula chakura cha usiku hii siku hatukula yani ata wazazi nao hawakuwa sawa. Walikuwa chumbani kwao .na sikujua ata walikuwa wanajadili nini uko. Basi mie kufika saa 6 usiku. Nikanyanyuka nikaingia chumbani kwa baraka . Yani niliingia kama chooni ata hodi sikugonga mimi. Na nilikuwa na hasira kweli. Nilimkuta kajilaza kitandani anachati.na simu yake. Aseee nilimimd mno. Nikasema kwaiyo we mpumbavu una furaha sasa kunigombanisha na familia yangu si ndio. Hivi umekuja apa kuwa mgombanishi nakuuliza. Baraka akainuka akakaa kisha akasema sasa wewe unahisi mimi ndo nna kosa. Au wewe ndo unashida na tabia zako za kipumbavu. Unazani kama ungekuwa ni binti mtulivu tungefikia uko. Nikabaki natwetwa ka hasira. Nikasema kama vp undoka kwetu . Unajaza choo tu apa hatukutaki nakwambia. Baraka akaniangalia akasema hivi unahisi mimi napenda sana kukaaa kwenu. Hapna sipendi kabisa. Ila napambana nipate elimu nisaidie ndugu zangu. So wala sina plan za kuishi kwenu milele usijisumbue. Aseeee nikachukia nikajikuta nimemvaa baraka .kisha nikaanza kumpiga mangumi. Alafu uku juuu hakuvaaa shart. Yani alikuwa kifua wazi.

Akaniacha tu . Nilitandika kweli kweli . Mpaka mimi ndo nikachoka sasa. Nikabaki namuangalia. Akaniangalia tu kisha akaniuliza . Umeridhika ? Nikabaki natwetwa kweli kweli. Akasema aya nyamyuka uende chumbani kwako sasa nataka kupumzika .kesho nawahi shule. Yani nikasema ntahakikisha unaondoka kwetu mbwa ww. Akabaki kimya ananiangalia tu.kisha nikanyanyuka kwa hasira nikaingia ndani kwangu. Aseeee hii siku sikulala mimi mawazo yalikuwa mengi. Nikikumbuka mwanaume wangu kanikana live kwamba hanijuh mbele ya wazazi ndo naishiwa power kabisaa . Moyo unauma mno. Yani moyo unauma kweli kweli kudadeki. Na nnavyompenda adriani ndo anikane vile . Ata kama nilienda na wazazi ndo vile jamni . Moyo uliniuma sana yani sana tu.

Kesho yake sasa . Nilijiandaa asubh kwa ajili ya kwenda shule. Basi nikvaaa vizuri nikatoka sasa chumbani nikamkuta mama anafagia sebleni.nikamsamilia .shikamoo mama. Mama akasema endelea kutombwa na ww utapata yako sasa hivi. Nyoooo mshenzi wewe. Mtoto mdogo ushaanza kuingizwa na mavitu makubwa. Muone mboo zilivyomkomaza sula kwanza . Daaah mama jamani. Nikabaki kimya limenishuka shuu. Mama akasema sasa kuanzia leo ole wako uludi apa saa 11 jioni.nishampigia mwalimu wako kanmbia shule mnaruhussiwa saa 8 kamiri. Saa 8 na dakika 10 nakutaka nyumbani utajua ww unatembeaje mpka kwangu ufike uo mda. Unanaisikia we maraya mtoto.nikasema ndio mama. Akanmbia aya kwenda uko muone kwanza. Ata pesa ya kutumia sikupewa na mimi sikuomba ..weee nikaona mama atanisokomeza mineno mengine bule .ikawa shidaa apa

Basi nikasepa zangu mpaka shule. Nikiwa na mawazo sana . Nikasema apa ata sijuh nafanyaje . Basi ratiba zikaendelea za masomo. Ila sikuwa na fatilia chochote kinachofundishwa pale. Na mimi akiri ya darasani nilikuw nayo tu.ila teali kichwa kilishakuwa na mambo mengi kweli kweli. Na tulivyoruhusiwa iyo saa 8. Oyaa nilipita nakimbia kuludi nyumbni .mana nilishajua nikizingua tu nimechelewa mama yangu ananivunja hapa . Basi nikawahi kuludi. Mama akanmbia mbona umechelewa dakika moja ulienda kwa uyo msenge mwenzio.nikasema hapana mama sijaenda .mama akaningalia akanmbia nenda kaoge uje apa. Nikasema sawa mama. Basi nikaingia chumbani kwangu. Nikaoga .kisha nikavaa vizuri ndo nikatoka sasa . Mama akanmbia nenda kale .chakura kipo mezani. Basi nikaenda nikala.nilipomaliza sasa mama akaomba kuongea na mimi.

Nikasogea nikakaaa na mama sasa. Mama akanmbia yule adrian ndo mwanaume wako na ndo alokutoa bikra. Nikaona kumekucha.nikamuitikia mama kumuoneshea ndio. Mama akanmbia wewe unaona yule mwanaume anakupenda? Nikabaki kimya .mama akasema yule mwanaume hakupemdi wala hakuhitaji. Yule mwanaume anakutumia tu .kwanza mwanaume anayekupenda hawezi kukukana vile . Mwanaume anakukana kama hakujuhi kumbe ndo ulikuwa unalala nae. Sasa sikia mtoto mimi kma mama yako ndo nakwambia pale mwanaume hakuna. Alafu wewe ni mtoto mdogo sana shakira. Unaelewa kuhusu mimba na UKIMWI wewe. Ebu nikuulize vizuri. Unaelewa kuhiuu ayo mambo eeeh. Kwa umli wako wewe sio wa kuwa ushaanza kushiriki mapenzi shakira. Umeniangusha sana. Umeniumiza sana. Nna ona aibu mbele ya kila mtu mimi naonekana nimekulea vibaya. Baba yako anaona nilikuwa sikuangalii na sikuwa nakuchunguza . Leo naumbuka mimi uwiiii. Mama akawa analia kabisa. Nikamsogelea kisha nikapiga magoti nikasema nisamehe mama. Nisamehe mama mimi siludii tena nimeshaacha mama. Na yule mwanaume naachana nae mama. Sasa ntakuwa busy na kusoma. Mama akawa analia tu pale na mimi nalia uku naomba msamaha . Daaaah.

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼
SASA NAKUPENDA
Sehemu ya 18

Mwandishi; lissa wa huru media

Mama akanambia sawa nimekusamehe mwanangu ila nataka ubadilike .nataka ubadilike kabisa. Naomba uachane na yule kijana.na usome mwanangu. Naomba usome. Wewe ni mwanamke wa kesho. Unahitaji kuwa na familia na kujiheshimu. Unaelewa binti yangu nikasema ndio mama. Ntajitahidi sana. Akanmbia sawa binti yangu. Ukitaka pesa yoyote nambie mimi ni mama yako .ntakupa. kama sina ntamwambia baba atakupa sawa . Na ukipenda chochote nambie mimi mama yako sawa. Nomasema sawa mama. Basi mama akanielewa vizuri tu. Na tukamaliza hivyo.

Na ata usiku baba alivyoludi baba akanisema sana. Yani alinisema mno. Akanambia hataki upumbavu kabisa. Kma sitaki kusoma basi niolewe full stop. Upumbavu hataki . Aseeee nikamuomba sana baba msamaha. Yani sana tu. Nokamtaka msamaha kweli kweli baba yangu na nikamuhaidi nitapambana na kusoma kwa sasa . Sitaludia tena. Basi mzee akanisamehe. Et na akamshukuru baraka kwa kusema ukweli ambayo anayajua kuhusu mimi. Mana ningealibika daah . Basi baraka akasema naelewa mjomba shakir ni ndugu yangu .siwezi kumuacha akialibika. Na kama atabadilika itakuwa bola zaidi na nitajivunia yeye. Akwende uko . Ajivunie mimi kanizaa loooh.

Bsi kuanzia hii siku mahusiano ya mimi na adrian ni kama yalivunjika. Mana sikuwa naenda kwake na mama aliongeza sana umakini na mimi. Mana alikuwa na namba mpaka ya mwalimu wangu wa darasa. Nikichelewa atamuuliza . Na nikitoka anamuuliza kama nimeruhusiwa . Kwaiyo apao sasa nikawa nabanwa weeek end ni kushinda ndani. SImu sina mana ile mama aliivunja. So nikatulia. Yani mama alikuwa ananichunga jamani uwiiiii. Ata dukani hataki mimi niende kabisa . Yani mama aliongeza umakini jamani. Nikawa mtu wa ndani tu. Apo mama sio kwamba ndo anampenda baraka wala . Hatumpendi wala nini na tukipata nafasi ya kumsema tunamsema vizuri na kumsimanga tunamsomanga.kuna siku tunamsingamia chakura mpaka ananawa anasema kashiba yani. Apo sie ndo furaha yetu.

Basi na mama akanisimamaia jamani mpaka nilimaliza form foir. Yani nilikuwa na miezi 6 sijamuona adrian. Mana kuna mda mama ananipeleka shule. Nikitoka namkuta et kaja kunifata kudadeki. Aseeee mama jau jamani uwiii. Basi sasa sikuwa najua lolote kumuhusu . Na mimi bado nilikuwa na hasira nae. Yani ile kunikana as if hajawahi kuniona jamani niliumia .yani niliumia sana. Nikaona bola tu niachane nae nipambane na kusoma. Basi na barka nae nikawa siongei nae tena nalichukia jamani yani nipo tayali kumsingizia lolot baraka si simpendi tu. Ila na yeye akajitahidi aakamaliza sasa kidato cha sita akawa anangoja matokeo yake ya kumaliza shule . Yani akafanya mtihani wake wa mwisho. Nikawa namaind kwa nn haondoki na ameshamaliza shule. Baba akasema baraka ataondoka akimaliza chuo na akipata kazi. Nikaona uyu ntamueka .nikawa nawaza sana cha kumfanyia barka ambacho kitafanya baba amfukuze umu ndani. Sindo nikapata wazo bwanaa nikasema apa naenda chumbani kwake . Navua nguo zangu napiga kelele ananibaka kudadeki. Yani nilikuwa simpendi tu baraka mimi.

Basi siku iyo usiku sana kama saa 8 hivi. Nikatoka chumbani kwangu. Nikaenda chumbani kwa barka .nikakuta kalla chali alafu kalala na boksa tuuu. Nikasema yes . Leo namkomesha na baraka huwa hanaga kawaida ya kufunga mlango wake wa chumbani. Basi shoga yenu .nikaanz kuvua nguo yani nilishapanga kufanya tukio. Nikatoa gauni langu juu .nikabaki na chupi tuuu na sidiria.kisha nikaanza kupiga kelele et nabakwaaaaaaaa. Mama nisaidieeeennnnnn. Nabakwaaaaa. Yani hizo
Kelele ndo zilimuamsha barka. Akastuka ananikuta na chupi tu alafu napiga kelele za kubakwa . Barka akanyanyuka harka akanmbia wewe una shida gani mbona upo hivi akavuta shuka aje kunifunika . Aseeeee ile kunifunika akafanya kama kanikumbatia . Alafu wazazi wakaingiaaa. Oyaaaaaa . baraka akastuka mno. Akaniachia kwa nguvu. Mie ndo najiliza nakwambia nikasema alitaka kunibakaa jamani .... oyaaaaaaaaaa itaendeleeaaaaaa

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18


🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼

Sehemu ya 16 na 17.

Mwandishi; lissa wa huru media

kijana . Nakuuliza si unajifanya mjanja .basi tutasomana . Ata mimi ni mjanja wa zamani. Baba yangu alimuangalia sana adrian. Akasema we kijana siku nikikukuta na binti yangu ndo siku unayoenda jelaaa kweupe hautaamini nakwambia . Adrian akanyamaza kimya . Bba na mama wakanichukua tukaludi mpaka nyumbani. Aseeeee uko mama alinisema sana. Yani alinambia hayuko tena proud na mimi. Mana nimewahi kukimbilia mambo ambayo ni chini ya umli wangu sana. Aseee hii siku mama yangu aliongea mno mpaka analia.nikaona kabisa nimemkosea sana mama yangu. Aseeeee nilijisikia vibaya na kuumia sana....

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/sasa-nakupenda-16-mpaka-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi sasa-nakupenda
SASA. NAKUPENDA One to sex
SASA. NAKUPENDA One to sex
SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15
SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 7 na 8.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 7 na 8.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU Y ishirini*

*AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU Y ishirini*

718
REALLY LOVE* *31&32*

REALLY LOVE* *31&32*

278
REALLY LOVE*  *   *SEHEMU YA 34*

REALLY LOVE* * *SEHEMU YA 34*

260
REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 33*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA 33*

237
MY CRAZY BOSS 12,13,14

MY CRAZY BOSS 12,13,14

237
MY CRAZY BOSS 11

MY CRAZY BOSS 11

179
SHAMIRA 21,22,23,24

SHAMIRA 21,22,23,24

167
SHAMIRA Sehemu ya 25&26

SHAMIRA Sehemu ya 25&26

165
SHAMIRA sehemu ya 27&28

SHAMIRA sehemu ya 27&28

138
SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15

SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15

97

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.32K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.07K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.73K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.16K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.56K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.44K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.38K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.35K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Sehemu ya 16 na 17. Mwandishi; lissa wa huru media kijana . Nakuuliza si unajifanya mjanja .basi tutasomana . Ata mimi ni mjanja wa zamani. Baba yangu alimuangalia sana adrian....

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 11 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 11
@majario LIVE

Ikabidi tu nikubali kinyongee ila roho iliniuma sanaaa yaani mpaka chozi lilinitoka aiseee... Tinner akabaki kunibembeleza na hapo hata sijui atakuja linii mjinga kweli huyu kakaa gari yangu tena aah roho...

Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire Post Mpya
Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire
@majario LIVE

for achieving the highest score of 719 and earning Rank 1 in the examination! πŸŽ‰πŸ‘ Your outstanding achievement brings pride not only to your province but also to your Isabelino...

Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto Post Mpya
Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto
@majario LIVE

yake kweli Mungu alisikia maombi yake akapata kazi kwenye hiyo Kampuni. Baada ya kupata kazi John safari yake ya kwanza tu akiwa na ile kampuni akapata ajali na kufarika hapo...

THE SECRET MESSAGE πŸ’¬ 1,2 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE πŸ’¬ 1,2
@majario LIVE

01 Ninatamani kama isiwe ni kweli kwenye hili ambalo mimi leo hii nataka niwaweke wazi. Lakini hii sio ndoto, sijaota mimi, ni kweli nimeyaishi na yamenitokea kwenye maisha yangu. Maisha yangu...

MY CRAZY BOSS 15 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 15
@majario LIVE

"Watu wote waliohudhuria kikao waliondoka , chumbanai humo tulibaki mimi pamoja na Boss Erick, macho yake muda wote yaliangaza kwangu ." "Nimekumiss sana mrembo wangu, nimemiss sura yako, tabasamu lako,...

MY CRAZY BOSS 12,13,14 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 12,13,14
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 12 Kama ofisini hapafai naomba twende nyumbani,yaani twende sasa hivi,boss alizungumza. Hapana ,sio sasa hivi,nilijibu. "Sawa kama ni baadae,boss aliitikia" Nilitoka na kuagiza lunch kisha nikampelekea boss nakuendelea...

REALLY LOVE*  *   *SEHEMU YA 34* Post Mpya
REALLY LOVE* * *SEHEMU YA 34*
@majario LIVE

upande mwingine calor na mama yake walifika na kumkuta cathe akiwa anaosha vyombo, mama cathe alishangaa sana kuona mwanae anafanya kazi, cathe alipomuona mama yake alinyanyuka na kwenda kumkumbatia huku analia cathe...

SHAMIRA sehemu ya 27&28 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 27&28
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana shoga akanishukuru mno. Bado nikamtoa lunch mimi sindo tajiri tena alikula alichokitaka nakwambia. Basi baada ya yote tukaenda charambe sasa .nikapita kwa...

SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Sehemu ya 11 na 12. Mwandishi; lissa wa huru media Basi nilivyotoka pale nikaeenda kutulia sebleni rohooo yangu kwatu. Sijuh ata alimalizanaje na mwanamke wake uko. Mida ya mchana mama akaniuliza...

REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 33* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA 33*
@majario LIVE

kwahiyo baba unanikataza mimi nisiende kwa dada yangu? wewe baba gani mbaguzi yani unamjali sana dada kuliko mimi? vipi kuhusi namimi hali yangu mbona hunijali alisema cathe kwa kumfokea baba...

SHAMIRA Sehemu ya 25&26 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi apo ndo maisha ya mimi na hamadi yakaanza. mwanzo nilikua simpendi sana ila siku zilivyooenda nikaanza kumpenda hamadi .mana nilikua naona anvyonipenda zile...

SIRI YA NABII YONA KUISHI NDANI YA TUMBO LA NYANGUMI SIKU TATU Post Mpya
SIRI YA NABII YONA KUISHI NDANI YA TUMBO LA NYANGUMI SIKU TATU
@majario LIVE

Nabii Yona (au Yunus) alipewa agizo na Mwenyezi Mungu kwenda mji wa Ninawi (Iraq ya sasa) kuonya watu waache maovu. Lakini Yona, akiona watu wale ni wakaidi sana, aliamua kukimbia...

MY CRAZY BOSS 11 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 11
@majario LIVE

"Asante sana Joy kwa kunikubalia kuwa wangu nakuahidi maisha bora kuliko unavyodhania, nitakupa maisha bora sana 😘😘😘". Nikamuangalia boss palee anavyojimalizaa ntafanyaje sasa ndo nsharopokaa mie acha tu niyakoge sina budi...

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 2 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 2
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEA Camilla alipotoka palee alikwenda moja kwa moja kwa aliyekuwa rafiki yakee muhimu sana kuna mambo alitakiwa kuyaweka Sawaa β€œ Karibu Camilla..” Alikaribishwaa ndani β€œ Asant sana ..”...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest