Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ 1,2
Gonga94 ยท Stories

THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ 1,2

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
01
Ninatamani kama isiwe ni kweli kwenye hili ambalo mimi leo hii nataka niwaweke wazi. Lakini hii sio ndoto, sijaota mimi, ni kweli nimeyaishi na yamenitokea kwenye maisha yangu. Maisha yangu yaligeuka hadithi kwa kila aliyenifahamu vizuri, maisha yangu yaligeuka funzo kwa vijana wengi wenye tabia kama ambazo nilikuwa nazo mimi. Mwisho wa yote mimi kama mimi nilijifunza kuwa hatima ya mtu haibadiliki kwa vyovyote vile.

Naitwa Rashid, hilo ndiyo jina langu nililipewa na mama yangu, na baba yangu. Jina ambalo nimelitumia vizuri tu shule, nikasoma vizuri na kumalizia elimu yangu ya chuo kikuu vizuri tu kama Rashid. Rashid jina zuri tu ambalo wazazi walipendezwa nalo ila mimi nikaona wamekosea sana ni vyema zaidi kama wangeniita Chiddy Bwooooy.

Kwasasa ndiyo wanaitwa vijana wa ovyo, sasa ndiyo mimi wa enzi hizo. Mimi nilikuwa ni kijana wa ovyo, tena ovyo mnoooo haswa kwenye masuala haya ya wanawake. Aaah, mimi kwenye masuala hayo sifai, ni ovyo kuliko ovyo yenyewe. Sijui ni ujinga gani huo mimi sijafanya kwenye masuala ya wanawake, mapenzi kwa ujumla. Nimefanya mengi sana, machafu ya sharehe na ya kuumiza hisia zangu, zao hao wanawake na hata jamii kwa ujumla.

Baada ya kuona mambo sio mambo sasa, maisha magumu sana na mimi kama kijana natakiwa kupata mtoto mkali, pamba kali, vitu vizuri vya kutambia ndiyo nilijiingiza kwenye biashara ya bodaboda.

Sikuwa najua hata nu kiasi gani nakosea. Nafanya kazi kwa bidii ila pesa haionekani. Inaishia kuvaa, kuhonga na kutafuta sehemu nzuri za kulala na watoto wakali, sehemu nzuri za kutamba, sehemu nzuri za kufurahia huku nikitaka kunogesha penzi Chiddy mimi ni lazima pesa itimike. Mtoto mzuri akiniita kwa madeko ty โ€œChiddy lakini kwanini, mimi sipendi unajua.โ€
Basi huyo tayari anakula hela yangu.

Wazazi wangu walijua wamepata kijana mzuri kumbe mimi muonekano wangu na uanaume wangu mzuri natumia vibaya sana ili tu kuchanganya mambo hapa duniani. Yaani kwangu burudani.

THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ02
Nani asiyemjua Chiddy, Chiddy mwenye jina langu kubwa. Umaarufu wangu sio kwasababu ya kusababishiwa na wengine. Mimi ni smart, mimi nina mvuto, nina ulimi mtamu yaani hata uwe kauzu vipi, nikikutaka kama hunijui unaingia kingi, labda uwe unanijua na kusikia sifa zangu.

Ninajua sana kubembeleza, ulimi mtamu wenye maneno mazuri na matamu, kijana mpole na mstaarabu ila ndani yangu kuna shetani mkubwa wa uzinzi na kuniachilia hataki.

Yaani mapenzi ndiyo starehe yangu tena sio na mwanamke mmoja, leo Fatumq, kesho Aisha, kesho kutwa Asha, Jesca, Gina, Prisca, Anna, Maimuna na majina mengine mengi ongezea hapo.

Siku moja nikiwa kwangu, asubuhi sasa ile nimeamka sina hata mia. Nimepanga sio sehemu mbaya. Ni pazuri tu. Ndani kwangu nimetengeneza vizuri hatari. Ila wanawake wanavyopishana sio poa. Mpaka muda mwingine ni aibu kwa wapangaji wengine na sitaki hata mara moja hawa wapangaji wengine wakutane na wageni wangu kwa maana mimi sio poa. Najua watapewa tu habari zangu.

Sasa hii siku nimelala na mwanamke , asubuhi kaondoka zake nimebaki mweupeeee, sina senti shilingi tano. Sina kitu. Ilinibidi nichukue simu yangu, nimpigie mama yangu. Mama yangu alipokea ile simu nami nilimsalimia โ€œshikamoo mama.โ€

Mama yangu alinijibu โ€œmarahaba Rashid, hujambo mwanangu.โ€
Mama yangu anavyosema Rashid naona kama ananiua yaani, naona anapunguza utamu wa jina langu natamani hata kupasuka.

Nilisema kwa sauti ya unyonge โ€œmama, biashara mbaya sana. Sina hata pesa ya kula leo. Najua mna hali mbaya pia ila niokoe mama, elfu kumi elfu 20 sio mbaya.โ€

Mama yangu aliguna na kusema โ€œRashid mwanangu, naomba nisikilize mwanangu. Mimi ni mama yako, mama yako ambaye nimekubeba, kiuno changu kimekutunza miezi 9 ukiwa tumboni mwangu na miaka miwili umelinyonya hili ziwa langu.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ 1,2

01
Ninatamani kama isiwe ni kweli kwenye hili ambalo mimi leo hii nataka niwaweke wazi. Lakini hii sio ndoto, sijaota mimi, ni kweli nimeyaishi na yamenitokea kwenye maisha yangu. Maisha yangu yaligeuka hadithi kwa kila aliyenifahamu vizuri, maisha yangu yaligeuka funzo kwa vijana wengi wenye tabia kama ambazo nilikuwa nazo mimi. Mwisho wa yote mimi kama mimi nilijifunza kuwa hatima ya mtu haibadiliki kwa vyovyote vile.

Naitwa Rashid, hilo ndiyo jina langu nililipewa na mama yangu, na baba yangu. Jina ambalo nimelitumia vizuri tu shule, nikasoma vizuri na kumalizia elimu yangu ya chuo kikuu vizuri tu kama Rashid. Rashid jina zuri tu...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/the-secret-message-1-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi the-secret-message
THE SECRET MESSAGE  3 to 4
THE SECRET MESSAGE 3 to 4
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*

644
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*

624
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*

165
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 12

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 12

157
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 11

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 11

153
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18

SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18

132
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*

120
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 13

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 13

117
THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ 1,2

THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ 1,2

81
Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire

Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire

8

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.34K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.09K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.73K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.16K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.57K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.38K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.36K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
THE SECRET MESSAGE  3 to 4 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 3 to 4
@majario LIVE

๐Ÿ’ฌ03 Sina sababu ya kukuficha lolote. Lazima nikuambie ukweli. Rashid wewe Mungu anakupenda sana, mwenyezi Mungu anakupenda mno. Unafanya kazi zako vizuri kabisa mwanangu, lakini cha ajabu mwanangu kila nguo mpya...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
@majario LIVE

Pully alishtuka sana baada ya kuniona akabaki akinitolea macho akiwa na wasiwasi sana, macho yake tu yaliweza kueleza Kuwa kuna kitu akiko Sawa kabisa. "ISHANI umemuona amina wangu?" Mama amina aliniuliza kwa...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*
@majario LIVE

alishangaa mno ikabidi amuulize maswali mengi mpambaji hii ni harusi ya shemeji sasa mbona unanipamba kama biharusฤฑ?": aliuliza fahima usijari maana nimepeewa maelekezo kuwa wewe utakuwa kama mlinzi wa bibi harusi hiva utapambwa kama...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 13 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 13
@majario LIVE

Nikasikia kuna nini hapoo???" Halafu muda huo Veda alikuwa ananitazama machoni na mie nimtazama yaani tunatazamana nina uhakima mioyo yetu ilikuwa inaongea maana kwa yale macho ya veda daah achaaaa Nikageuka...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana baada ya kukutana na madam groly Tena NYUMBANI kwangu. "Amepajuaje hapa ? Au amekuja na pully?" Nilijiuliza kimoyamoyo uku nikimuangalla madam Groly kwa wasiwasi uku nikiwaza amekuja kufanya nini...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kwanza nilishtuka sana, nilimuangalia Enzo kwa makini sana lakini enzo hakuwa na uwezo ata wa kuniangalia, muda wote alipepesa macho akiangalia pembeni tu wakati akizungumza. Maneno makali sana juu...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 12 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 12
@majario LIVE

Nilijitetea kwelii japo nilikwangua ka_akiba kangu ila niliona aibu sana kurudishiwa ile pesa aah nikasema acha nilipwe na Mungu tu .. Akanibembeleza sanaa nikakataa wakati naondoka akaniomba namba ya simu nikawaachia...

SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18
@majario LIVE

๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Sehemu ya 16 na 17. Mwandishi; lissa wa huru media kijana . Nakuuliza si unajifanya mjanja .basi tutasomana . Ata mimi ni mjanja wa zamani. Baba yangu alimuangalia sana adrian....

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 11 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 11
@majario LIVE

Ikabidi tu nikubali kinyongee ila roho iliniuma sanaaa yaani mpaka chozi lilinitoka aiseee... Tinner akabaki kunibembeleza na hapo hata sijui atakuja linii mjinga kweli huyu kakaa gari yangu tena aah roho...

Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire Post Mpya
Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire
@majario LIVE

for achieving the highest score of 719 and earning Rank 1 in the examination! ๐ŸŽ‰๐Ÿ‘ Your outstanding achievement brings pride not only to your province but also to your Isabelino...

Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto Post Mpya
Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto
@majario LIVE

yake kweli Mungu alisikia maombi yake akapata kazi kwenye hiyo Kampuni. Baada ya kupata kazi John safari yake ya kwanza tu akiwa na ile kampuni akapata ajali na kufarika hapo...

THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ 1,2 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ 1,2
@majario LIVE

01 Ninatamani kama isiwe ni kweli kwenye hili ambalo mimi leo hii nataka niwaweke wazi. Lakini hii sio ndoto, sijaota mimi, ni kweli nimeyaishi na yamenitokea kwenye maisha yangu. Maisha yangu...

MY CRAZY BOSS 15 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 15
@majario LIVE

"Watu wote waliohudhuria kikao waliondoka , chumbanai humo tulibaki mimi pamoja na Boss Erick, macho yake muda wote yaliangaza kwangu ." "Nimekumiss sana mrembo wangu, nimemiss sura yako, tabasamu lako,...

MY CRAZY BOSS 12,13,14 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 12,13,14
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 12 Kama ofisini hapafai naomba twende nyumbani,yaani twende sasa hivi,boss alizungumza. Hapana ,sio sasa hivi,nilijibu. "Sawa kama ni baadae,boss aliitikia" Nilitoka na kuagiza lunch kisha nikampelekea boss nakuendelea...

REALLY LOVE*  *   *SEHEMU YA 34* Post Mpya
REALLY LOVE* * *SEHEMU YA 34*
@majario LIVE

upande mwingine calor na mama yake walifika na kumkuta cathe akiwa anaosha vyombo, mama cathe alishangaa sana kuona mwanae anafanya kazi, cathe alipomuona mama yake alinyanyuka na kwenda kumkumbatia huku analia cathe...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest