Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
Gonga94 Β· Stories

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SONGA NAYO

Kwanza nilishtuka sana, nilimuangalia Enzo kwa makini sana lakini enzo hakuwa na uwezo ata wa kuniangalia, muda wote alipepesa macho akiangalia pembeni tu wakati akizungumza. Maneno makali sana juu yangu.

"Enzo huyu sio wewe, Enzo wangu me nakujua umepatwa na nini jamani"

Niliendelea kulia nikimshikilia kwa nguvu ili asiweze kupanda gari na kuondoka bure

"Enzo, usinifanyle hivyo Mwenzio, nakupenda sana mume wangu mtalajiwa, nakupenda mno, please usinitese moyo wangu"

Nilikuwa nikizungumza uku nikilia kwa uchungu sana Tena mbele za watu, kwenye kupambania penzi langu sikuona albu ata kidogo zaidi nilitamani Enzo anielewe.

"Ishani Ebu niachie unanichafua Mimi"

Alizungumza Enzo na alipoona Kuwa naendelea kumng'ang'ania, haraka akanichapa kibao kimoja matata na kwa SAUTI ya hasira akafoka.

"Nimesema sikupendi, Sikultaji Mbona uelewe wewe"

Nilibaki nikiwa nimepigwa na bumbuwazi uku akili yangu ikikataa kabisa juu ya Maneno makali ambayo Enzo ananipatia.

Muda huo huo mlango wa gari ya Enzo ulifunguliwa na Pully akashuka kwa mwendo wa Madaha akiwa na tabasamu pana sana.

Polepole pully akamsogelea Enzo na mbele za watu akamkiss mdomoni na kuzungumza.

"Nakupenda mume wangu kipenzi

Enzo akatabasamu na kumkumbatia Pully vizuri kabisa, Yaani walikuwa ni Kama wananitambia hivi Binti wa watu mwaya.

Nilibaki nikiwaangalia uku machozi yakinitililika kutokana na maumivu makali ambayo nilikuwa nayo

"Huyu ndiye mwanamke wa maisha yangu, Ishani sahau kuhusu Mimi"

Alizungumza enzo kisha akanishika mkono Pully na moja kwa moja wakapanda gari Yao ya na kuondoka.

Siku hiyo Bwana nilikuwa kituko cha mtaa. mzima, Yaani Sijui niwaambie nini lakini ndugu. yenu nimejua kuzalilika, shoga yenu nimejua

kuaibika Tena mbele ya kila mtu Mpaka

wajumbe wa Nyumba kumi.

"Twende Ndani kipenzi

Alizungumza shoga yangu Pili na kuangaika kuninyanyua pale chini ambapo nilikuwa nimekaa.

"Pili Niache tu, nimeumbuka mimi

Nilijibu na kuendelea kulia tu.

Mashoga zangu wengine nao wakasogea na kunisaidia kunyanyuka kisha moja kwa moja wakanipeleka Ndani kwangu.

Siku ilikuwa nguvu sana na nzito kwangu, nilikuwa ni mtu Mwenye huzuni kuliko maelezo, nilikuwa ni mtu wa kulia tu Kama nimepatwa na

msiba

Nimepoteza vitu na watu muhimu kwenye maisha yangu lakini Mbona Kama Enzo

ameniuma zaidi au kwakuwa Ndio mwanaume wangu wa kwanza ? Au kwa Kuwa nimempenda sana kuliko nilivyojipenda Mimi Mwenyewe

Week nzima ilipita uku nikiwa ni mtu wa kujitenga tu peke yangu na kulia, chumbani kwangu kulikuwa Kama dampo Yaani, nguo

chafu kuzikuta kitandani ni kawaida, kukuta vyombo kwenye kabati la nguo ni kitu cha kawaida sana aiseeeh

"Hivi Ndio nimejisusa ikiwa Enzo anaendelea na maisha yake ?"

Nilijiuliza kimoyomoyo nikiwa nimesimama mbele ya kioo nikijitazama jinsi ambayo nimebadilika na Kuwa hovyo Ndani ya week

moja tu.

"Lakini Kwanini Enzo ? Kwanini ulinionesha kunijali sana? Kwanini ulinifanya niamini Kuwa unanipenda sana, nakuchukia Enzo, nakuchukia mno, sikupendi

Nilizungumza kwa SAUTI uku nikilia tu.

Baada ya muda nikaangalia chumba changu na kila kitu, Walahi sikupendezwa na kila kitu kilivyokuwa kimekaa.

Nikachukua mtandao wangu nikafunga tumboni kwa nguvu kabisa kisha nikaanza kufanya usafi uku na uku

Kuna Namna niliona Kama sifaidi hivi,

nikawasha sabufa langu na kuweka SAUTI ya juu kabisa, nikaweka taarabu zangu pambe tu Maana kipindi iko pia uswahili nilikuwa nauweza kuliko maelezo ni vile tu, Enzo alikuwa sio mtu

wa uswahili

Hapo nikafanya usafi wangu kwa raha mustarehe na nilipomaliza tu nikaenda nje nikaoga na kurudi Ndani kwajili ya kuvaa,

"Khaaaaaah week moja tu tayali mshape wangu. wote umepululuka aaaaah, mapenzi kubabako

Nilizungumza uku nikijiangalia kwenye kioo.

"Lazima nijikaze na life iendelee, Enzo hakuwa wangu"

Niliendelea kujipa moyo tu Maana sikuwa na chagua ikiwa mwanaume Mwenyewe Ndio ameshachagua njia yake.

Nikavaa mavazi yangu mazuri na kutoka nje

amsha ya hatari

"Wewe iko kigoma wapi Maana kimenipa amsha.

Nilimuuliza mpangaji mwenzangu ambaye yeye. ni mlokole

"Ni birthday ya Pili, Ndio wameenda kukipokea kigoma hapo stendi

Alijibu msichana huyo wa kilokole kisha akaingia zake Ndani Maana haya mambo ya kidunia na yeye ni vitu Sita tofauti.

Haikuchukua muda mrefu kigoma kikafika,

kwanza Ishani Mimi nikakipokea na sarakasi moja ya nguvu, hapo kwiza kila mtu akaganda. akinishanga maana hawakutalajia kabisa. kwamba Ishani Mimi naweza kufanya kitu Kama

iko kwa wakati huo

Siku hiyo Bwana nilikuwa Kama nimevulugwa vile, imagine sikulewa ata Pombe sikunywa lakini nilikuwa na vibe la hatari, Yaani Nilicheza

mpaka nikawa najiambia iki nini jamani

Hatimaye Giza likaingia na kigoma kikaondoka,

Walahi nilikuwa nimechoka, mwili uliniuma sana kutokana na misalakasi ambayo nilikuwa

naipiga kwenye kigoma.

Ila nyie maumivu ya mapenzi Yaacheni tu, imagine, nje nilikuwa nimechangamka sana,

lakini nilivyoingia tu chumbani kwangu, nikajikuta nikipata huzuni Tena na nikajikuta nikianza kulia upya.

Hatimaye week nyingine Tena ikapita uku nikiwa single, singula, singwengwella nyieeeh upweke unatesa Sana.

Kwa upande wa Enzo Sijui ata alikuwa na hali gani, lakini hakuwai kunitafuta ata siku moja na online namuona kila siku.

"Kwahiyo ni kweli Enzo unitaki Tena?"

Nilijiuliza nikiwa nimekaa kitandani na muda huo Ilikuwa ni Saa 4 asubuhi.

"Ishani, Ishani kuna mgeni wako"

Ilikuwa ni SAUTI ya shoga yangu pambe Yaani pili

"Nakuja"

Nilijibu, kisha nikajiuliza.

"Moeni? Mgeni gani Tena? Au shemeji nick? Itakuwa katumwa na Enzo mwaya

Nilijikuta nikifurahi sana uku imani yangu kubwa.

ikiamini Kuwa ni nick Ndio amekuja. kunitembelea.

Kwa shauku na Furaha Kama yote, nikashuka kitandani na kusogelea mlango, ile nafungua tu, mtumeeeeeeh uso kwa uso na mama mzazi wa

Enzo, Yaani madam groly.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*



SONGA NAYO

Kwanza nilishtuka sana, nilimuangalia Enzo kwa makini sana lakini enzo hakuwa na uwezo ata wa kuniangalia, muda wote alipepesa macho akiangalia pembeni tu wakati akizungumza. Maneno makali sana juu yangu.

"Enzo huyu sio wewe, Enzo wangu me nakujua umepatwa na nini jamani"

Niliendelea kulia nikimshikilia kwa nguvu ili asiweze kupanda gari na kuondoka bure

"Enzo, usinifanyle hivyo Mwenzio, nakupenda sana mume wangu mtalajiwa, nakupenda mno, please usinitese moyo wangu"

Nilikuwa nikizungumza uku nikilia kwa uchungu sana Tena mbele za watu, kwenye kupambania penzi langu sikuona albu ata kidogo zaidi nilitamani Enzo anielewe.

"Ishani Ebu niachie unanichafua Mimi"

Alizungumza Enzo na alipoona Kuwa naendelea kumng'ang'ania, haraka...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaash-boss-enzo-season-two-sehemu-ya-kwanza

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaash-boss-enzo-season-two-sehemu-ya-kwanza
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA*

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*

861
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8

659
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 15

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 15

322
MY CRAZY BOSS 16

MY CRAZY BOSS 16

293
SHAMIRA sehemu ya 29&30

SHAMIRA sehemu ya 29&30

185
SHAMIRA  πŸ€ sehemu ya 32&33

SHAMIRA πŸ€ sehemu ya 32&33

160
SHAMIRA sehemu ya 30&31

SHAMIRA sehemu ya 30&31

132
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6

97
MY CRAZY BOSS 17

MY CRAZY BOSS 17

85
 AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap

AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap

79

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.38K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.16K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.73K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.17K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.58K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.44K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.41K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.37K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.3K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.24K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY CRAZY BOSS 17 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 17
@majario LIVE

Haikuchukua muda sana , tuliwasili nyumbani kwa boss, tuliingia kiustaarabu sana na tulivyozama tu boss alianza kunionesha ukichaa wake. Alinisogelea karibu aligusanisha mdomo wake na wangu kwa fujo alianza kunipa...

 AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap Post Mpya
AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap
@majario LIVE

Huyu binti hapa anaitwa Aminata na ana umri wa miaka 11 tu. Aminata alikumbwa na changamoto ya biashara ya utumwa. Na baada ya kutekwa hapa tunawaona wakiwa wamepelekwa katika soko la utumwa...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Bila kusema neno lolote, Mr. Marvel aligeuka akaondoka. Basi Salmon alitakiwa kusimamisha party lakini kabla hajafanya hivyo alimwangalia Noela akamwambia β€œOndoka! Unasubiria nini tena?β€πŸ˜’ β€œHutanipeleka hostel?” β€œNo, sina muda” β€œKwa nini? Nitarudi vipi jamani?”...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
@majario LIVE

*SEHEMU YA SABA* Mimi na Enzo tulishtuka sana Walahi, lakini Mimi Ndio nilishtuka zaidi, Yaani hii ni zaidi ya sibu imagine mpaka baba mkwe sa hapa Ndio inakuja ile hali ya kutaka...

MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI Post Mpya
MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI
@majario LIVE

Sheila alikuwa binti aliyefanikiwa sana jijini. Alikuwa na kampuni ya uagizaji wa vipodozi na alikuwa akiishi maisha ya kifahari. Sheila alikuwa anajiandaa kufunga ndoa na Dr. Oscar, kijana kutoka...

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kiukweli uwaga namuogopa sana madam groly lakini safari hii imekuwa tofauti sana Tena sana. yaani sijasikia uoga wa aina yoyote fla na sikusikia Kuwa na wasiwasi juu ya uwezo...

SHAMIRA  πŸ€ sehemu ya 32&33 Post Mpya
SHAMIRA πŸ€ sehemu ya 32&33
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Bai tumefika nyumbani akanishusha mwenye gari. akanikokota mpaka chumbani moja kwamoja akanipeleka bafuni nilichafuka na mapombe kama yote. Mwanaume akaniweka kwanza chini akaanza kunimwagia maji...

SHAMIRA sehemu ya 30&31 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 30&31
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mie nikaongea na asha .akanambia shoga vijora vishafika nikamwambia changu nipelekee kwa fundi mwambie akitatue mpma mapajani na mgongoni kuwe wazi. kama kawaida yangu...

MY CRAZY BOSS 16 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 16
@majario LIVE

Siku moja nikiwa nimekaa boss alikuja ofisini kwa wafanyakazi wote ambapo mimi pia napendelea kukaa mahali hapo. "Nahitaji kuelekea kwenye party usiku wa leo najiuliza ni nani atafaa kunisindikiza, boss...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 15 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 15
@majario LIVE

Aliendelea kunipa juice kwa utaratibu, huku anaaacha ananitizima nikitaka kuongea ananipa tena juice, aweee hii ilikuwa tofauti kwangu asee ilikuwa tamu kuliko ya siku ile, nilijikuta natoa ushirikiano hasaaa kwenye...

SHAMIRA sehemu ya 29&30 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 29&30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi aisha akasema sawa akasema sasa jambo ndo linakalibia na bado siku 2 tu kama una agaa anza kumbembeleza mapema.nikasema sawa shoga ngoja leo akirudi niongee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Kwaiyo Mr Marvel akahairisha kwenda eneo la pool, badala yake akamfuata Noela nyuma na kumuona akiingia chooni. Huko ndani Chooni, Noela alikua anatoa tu machozi kama hana akili nzuri. Moyo ulimuuma...

Mother India (1957) is not just a film, it’s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar Post Mpya
Mother India (1957) is not just a film, it’s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar
@majario LIVE

. It was actually a remake of Khan’s earlier film Aurat (1940), but Mother India became much bigger in scale and impact. The story revolves around Radha, a poor village woman...

THE SECRET MESSAGE πŸ’¬05 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE πŸ’¬05
@majario LIVE

Alinitazama akiuma midomo yake akisema β€œChiddy unaweza acha pikipiki mahali, ukaingia kwa gari unisindikize mahali?” Niliona tayari fursa hii, nilitabasamu na kusema β€œbila shaka dada yangu mzuri.” Alitabasamu, basi kidume sikuwawia. Haraka...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 13 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 13
@majario LIVE

"Wee nae nilikuwa nakwambia kila siku yule sio mwanaume, unaanza kusema ooh amenitolea barua, mimi nilijua tu hili litakuja litokee siku tuu yaani huyoo mkaaka ni mpuuzi sana kha! Mh...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest