Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 13
Gonga94 Β· Stories

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nikasikia kuna nini hapoo???" Halafu muda huo Veda alikuwa ananitazama machoni na mie nimtazama yaani tunatazamana nina uhakima mioyo yetu ilikuwa inaongea maana kwa yale macho ya veda daah achaaaa

Nikageuka kutazama haraka eeh si naliona li D, yaani sijui limetokea wapi, Nikamsukuma haraka Veda nyuma, D alikuwa anatutazama kwa zamu yale macho ya nini kinaendelea hapa.??

"Tunatakiwa kuongea....?" Veda hata hakujishughulisha na D akanambia afu akaachana na mie akaenda kupanda Honda yake akaondoka mwendo wa kasii hadi nikamuonea huruma yule mtoto jamani maana ule mwendo ni hatari

Uuh kwanza nikameza mate sijui niite fumaniz au nini
"Una issue gani na Veda, mmeanza lini mazoeaaa??" Nikashusha pumzi kwanza sikujua hata nijibu ninii kwa muda kidogo nikatafakari maana nisije kunyimwa hata ka gari kangu ka mkopo ...

"Aa...siii yaani huyo Veda alikuwa anaumwa mama yake yaani walikuja kumleta mama yao..." nilikuwa naogea huku najikuna kichwa

"Yaani Vero aisee nikija kugundua kama yule ms*nge anakugonga aisee nakuapia nitakuuwa kweupeeee ....Unaishi wapi siku hizi"

"Kwa rafiki yangu!!"

"Yupiiii, Mwanaume ??"

"Sioo...yule Tinner "

"Yaani unaishi kwenye majumba ya watu kama huna kwako bwana haya hapa tunaondoka unarudi kwako acha ujinga" yaani anavyoongea kama mie ndio ninamakosa jamani sioni hata kama anajutia alicho kifanya ile siku na sio ajabu alishasahau kabisaa

"Kule kuna nguo zangu nitaenda kuchukua afu kesho nitarudi nyumbani"

"Tunaenda wote unachukua nguo tunarudi wote " nilimtazama jicho la limwanaume jinga hiliiii

Nikakubali twende wote huko kwa Tinner nikamtumia sms Tinner shoga nakuja na D mie linanikeraa akachekaa akanambia Penzi pajaaa naona mapenzi yamerudi nikasema wapiii namzonga zonga tu hapa nipate vitu vyangu sina hata shida nae nikipata hata gari yangu tu mie mbele, Tinner akacheka akasema yaani wewe na hiyo Gari jamani Duuuh hahah hicho ndo kitu changu cha thamani jamani eeeh embu niacheni mieee ...

Nikapanda kwenye Gari ya D ananiambia story kibaoo mara atanichukua twende wote china nikashangae et mmh mie nasonya tu kimoyo moyo yaani alivyonitoka huyu kakaaaa sina hata hamu nae ila ingekuuwa kipindi kile yupo moyoni mmh hizi taarifa za kwenda chini jamani hata sijui ningeruka vipi kushangilia ...

Tukafika mpaka kwa Tinner , Akamchangamkia hatari et akampa laki mbili kwa kile kipindi alichonipokea, Tinner akawa hataki kupokea analinga linga wee nilimkata bonge wa jichoo mbona alipokea unaleta ushem wa kijinga hapaa ...

Tinner alikuwa ameshaivisha maana nilimwambia nina njaa sanaa, tukala kwanza ndio nikasema naenda kupanga nguo zangu, na hapo sikuwa na nguo wala nini, nilitaka tu kuongea na Tinner peke yetu, Tukaliacha sebleni limejaaa puuh, Tukaenda chumbani

"Enhee naww imekuwaje umekuwa nae tena "

"We acha tu embu kwanza tuachane na huyu mwehu, Kuhusu Veda.."

"Waooh Hizo ndio tam tamuuu enhee" Tinner akajiweka vizuri kitandani huku anacheka

"We mwenzangu kumbe yule mama niliekuwa nahangaika nae weeeeh kumbe ni mama ake Veda, Hehehe hakiamungu sina hamu"

"Nambie Koma"

"Koma dadaa na adabu ikushikee"

"Mmmh heheh yaani hata sijui nikuulize swali gani mwenzangu Eeh kwahiyo ulikuwa una muhudumia ma mkwe hahaha"

"Hahah we mwehu kweli weweee...... Eeh yaani nilipo muona mwenyewe yaani nilihisi kuzimia ...." nikamuhadithia ilivyokuwa kule hospital Muda wote alikuwa anatabasam mpaka Kile kipengele Cha D kutukuna aah akasonya huyooo

"Hivi Vero, kwanini usimpe nafasi Veda jamani"

"Sa kwani alisema ananipenda lini Tinner, Alinibaka tu hatukua na maongezi yeyote kabla"

"Mmh mie naamini ana hisia na wewe yule kaka"

"Tinner sikufichi rafiki yangu, Nampenda Mnoo Veda nampenda mno kiasi kwamba hata natamani asinitongoze ataniumiza sanaa kampani yake ndo huyo D, Kwenda makasino usiku unafikiri kuna mwanaume hapo tena Veda alivyo mzuri vile kuna mwanamke anachomoa hapo mmmh hapana nitalia kila siku mie sitaki bwana" ilibidi tu niutoe ukweli mchungu moyoni, na niliongea kwa kumaanisha kabisa

"Mmh ila mie sidhani kama Veda anaweza kuwa kama D bwana sijuii ila Wanaume wengi wavuta bange na wanawake ni maji na mafuta ila kwa nyeto haooo eeeeh yaani Jamaa ule mwichi unaisha siku mojaaa hahahah "

yaani Tinner alifanya nicheke hadi nikasahau matatizo yangu haki tenaa hahaha mwehu huyuu

"We mwehuu kwelii"

"Ohoo ndo nakwambia Embu fanya hivi mpe nafasi mjaribu ukiona ana ujinga mwingi unaachana nae bwana "

"We Tinner unasema tu, Hivi unafikiri mapenzi yanajaribiwa hivyo we mwehu wewe, hujui tu yaani nikimuona Veda nahisi kabisa moyo unataka kutoka kwa kulipuka Yaani basi tu daah "

"Fanya maamuzi kati ya huyo D au Veda kazi kwako"
Wakati tunaongea kengele ya Getini ilitoa mlio yaani kunamtu nje, Tinner akainuka kwenda mie nikabaki natafakari maneno ya Tinner, Sasa nimpe nafasi Veda kwani yeye alishasema ananipenda??

Kabla sijapata jibu nini nifanye akaja Tinner "shoga kuna mtoto yupo hapo anasema anashida na wewe"

"Mtotoo???" Nilishtuka kidogo mie huku nani ananijua jamani

"Mtoto gani??" Nilikuwa nauliza huku nimekunja sura

"Najulia wapi mie?? Nimemwambia pita ndani anasema hapana wewe nenda "

"Mmh"

"Kwahiyo??"

"Hata sijui"

"Kamsikilize ni mitoto tu hata sikujui mie cha kike labda kuna mtu kakuelewa hapa ndo kumtuma shoga una bahati hahaha waleleee"

"We chizi embu niache miee" nikainuka kutoka Sebleni alikuwa amekaa D katunaa kama kwake nikampita akaniuliz bado tuuu?? Nikasema nachukua viatu vyangu hapo tunaenda .. akasema sawa mie nikatoka Kweli nikamkuta mtoto getini hata simjui nikasogea akaniamkia Shikamoo Aunt nikaitikia huku namsogelea zaidi najaribu kuvuta kumbu kumbu niliwahi labda kumuona sehemu lakini hapana ....

Itaendelea....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 13


Nikasikia kuna nini hapoo???" Halafu muda huo Veda alikuwa ananitazama machoni na mie nimtazama yaani tunatazamana nina uhakima mioyo yetu ilikuwa inaongea maana kwa yale macho ya veda daah achaaaa

Nikageuka kutazama haraka eeh si naliona li D, yaani sijui limetokea wapi, Nikamsukuma haraka Veda nyuma, D alikuwa anatutazama kwa zamu yale macho ya nini kinaendelea hapa.??

"Tunatakiwa kuongea....?" Veda hata hakujishughulisha na D akanambia afu akaachana na mie akaenda kupanda Honda yake akaondoka mwendo wa kasii hadi nikamuonea huruma yule mtoto jamani maana ule mwendo ni hatari

Uuh kwanza nikameza mate sijui niite fumaniz au nini
"Una issue gani na Veda, mmeanza lini...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/from-bangi-to-baby-sehemu-ya-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi from-bangi-to-baby-sehemu-ya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 12
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 12
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 11
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 11
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 9
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 9
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*

628
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*

610
REALLY LOVE*  *   *SEHEMU YA 34*

REALLY LOVE* * *SEHEMU YA 34*

346
MY CRAZY BOSS 12,13,14

MY CRAZY BOSS 12,13,14

314
SHAMIRA sehemu ya 27&28

SHAMIRA sehemu ya 27&28

171
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 12

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 12

152
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 11

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 11

150
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18

SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18

132
MY CRAZY BOSS 15

MY CRAZY BOSS 15

127
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 13

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 13

103

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.34K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.09K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.73K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.16K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.57K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.44K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.38K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.36K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
THE SECRET MESSAGE  3 to 4 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 3 to 4
@majario LIVE

πŸ’¬03 Sina sababu ya kukuficha lolote. Lazima nikuambie ukweli. Rashid wewe Mungu anakupenda sana, mwenyezi Mungu anakupenda mno. Unafanya kazi zako vizuri kabisa mwanangu, lakini cha ajabu mwanangu kila nguo mpya...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
@majario LIVE

Pully alishtuka sana baada ya kuniona akabaki akinitolea macho akiwa na wasiwasi sana, macho yake tu yaliweza kueleza Kuwa kuna kitu akiko Sawa kabisa. "ISHANI umemuona amina wangu?" Mama amina aliniuliza kwa...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*
@majario LIVE

alishangaa mno ikabidi amuulize maswali mengi mpambaji hii ni harusi ya shemeji sasa mbona unanipamba kama biharusΔ±?": aliuliza fahima usijari maana nimepeewa maelekezo kuwa wewe utakuwa kama mlinzi wa bibi harusi hiva utapambwa kama...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 13 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 13
@majario LIVE

Nikasikia kuna nini hapoo???" Halafu muda huo Veda alikuwa ananitazama machoni na mie nimtazama yaani tunatazamana nina uhakima mioyo yetu ilikuwa inaongea maana kwa yale macho ya veda daah achaaaa Nikageuka...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana baada ya kukutana na madam groly Tena NYUMBANI kwangu. "Amepajuaje hapa ? Au amekuja na pully?" Nilijiuliza kimoyamoyo uku nikimuangalla madam Groly kwa wasiwasi uku nikiwaza amekuja kufanya nini...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kwanza nilishtuka sana, nilimuangalia Enzo kwa makini sana lakini enzo hakuwa na uwezo ata wa kuniangalia, muda wote alipepesa macho akiangalia pembeni tu wakati akizungumza. Maneno makali sana juu...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 12 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 12
@majario LIVE

Nilijitetea kwelii japo nilikwangua ka_akiba kangu ila niliona aibu sana kurudishiwa ile pesa aah nikasema acha nilipwe na Mungu tu .. Akanibembeleza sanaa nikakataa wakati naondoka akaniomba namba ya simu nikawaachia...

SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Sehemu ya 16 na 17. Mwandishi; lissa wa huru media kijana . Nakuuliza si unajifanya mjanja .basi tutasomana . Ata mimi ni mjanja wa zamani. Baba yangu alimuangalia sana adrian....

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 11 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 11
@majario LIVE

Ikabidi tu nikubali kinyongee ila roho iliniuma sanaaa yaani mpaka chozi lilinitoka aiseee... Tinner akabaki kunibembeleza na hapo hata sijui atakuja linii mjinga kweli huyu kakaa gari yangu tena aah roho...

Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire Post Mpya
Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire
@majario LIVE

for achieving the highest score of 719 and earning Rank 1 in the examination! πŸŽ‰πŸ‘ Your outstanding achievement brings pride not only to your province but also to your Isabelino...

Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto Post Mpya
Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto
@majario LIVE

yake kweli Mungu alisikia maombi yake akapata kazi kwenye hiyo Kampuni. Baada ya kupata kazi John safari yake ya kwanza tu akiwa na ile kampuni akapata ajali na kufarika hapo...

THE SECRET MESSAGE πŸ’¬ 1,2 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE πŸ’¬ 1,2
@majario LIVE

01 Ninatamani kama isiwe ni kweli kwenye hili ambalo mimi leo hii nataka niwaweke wazi. Lakini hii sio ndoto, sijaota mimi, ni kweli nimeyaishi na yamenitokea kwenye maisha yangu. Maisha yangu...

MY CRAZY BOSS 15 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 15
@majario LIVE

"Watu wote waliohudhuria kikao waliondoka , chumbanai humo tulibaki mimi pamoja na Boss Erick, macho yake muda wote yaliangaza kwangu ." "Nimekumiss sana mrembo wangu, nimemiss sura yako, tabasamu lako,...

MY CRAZY BOSS 12,13,14 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 12,13,14
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 12 Kama ofisini hapafai naomba twende nyumbani,yaani twende sasa hivi,boss alizungumza. Hapana ,sio sasa hivi,nilijibu. "Sawa kama ni baadae,boss aliitikia" Nilitoka na kuagiza lunch kisha nikampelekea boss nakuendelea...

REALLY LOVE*  *   *SEHEMU YA 34* Post Mpya
REALLY LOVE* * *SEHEMU YA 34*
@majario LIVE

upande mwingine calor na mama yake walifika na kumkuta cathe akiwa anaosha vyombo, mama cathe alishangaa sana kuona mwanae anafanya kazi, cathe alipomuona mama yake alinyanyuka na kwenda kumkumbatia huku analia cathe...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest