MIMI SIKUACHIπ₯° 19 MPAKA 20
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘
Sehemu ya 19
Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini ya mto. Kisha nikaenda bafuni kujimwagia maji. Nilipotoka sasa. Nikavuta simu nilikuta princess kanitumia sms kibao . Sijuh anashukuru kwa penzi. Sijuh nimemvuruga najua sana mahaba. Yani alituma sms kama zote . Mi nikamtumia moja tu. Nikamwambia kwaiyo umeacha hii chupi ili lemi aoene kama ulikuja au . Aya kashaona umelidhika sasa . Kisha nikaweka. simu pembeni nikawa naendelea na mambo yangu . mida mida . mtoto anapiga nikapokea simu chapu. Mana lemi alitoka kidogo.
Akanmbia samahani haji naomba uje parking tuje kuongea. Nikasema mimi nimechoka sana..akanmbia basi ntakuja mm apo room kwenu. Mh asa naongeaje na lemi katoka kidogo tu analudi sio mda. Nikamwambia ningoje nakuja. Basi nikambebea na kibikini chake .nikaenda mpkaa parking. Nikaona gari yake. Mana aliniwashia taaa. Hii siku alikuja na harrier nyeupe. Nilijua tu demu kwao wapo njema uyu. Sio fala fala kama mie..basi mie nikafika nikafungua mlango wa gari nikaingia.. akatabasamu akanmbia woow . Nimefurahi kukuona haji unaendeleaje
Nikamkazia sura.nikamuuliza kwaiyo ulikuw ana maana gani kuacha nguo yako ya ndani . Na unajua mule sie tunakaa wanaume wawili eeeh. Akanmbia samahani haji. Nilipitiwa . I ams sory sijafanya makusudi haitajiludia iyoo.nikasema powa akataka kushuka kwa gari. Akasema haji. Nikasema ndio .akanambia leo ni week.end si tunaweza kuwa pamoja baadae. Ata uje kwangu. Nipike kwa ajili yako. Nikasema hapana ntakuwa busy na mambo yangu . Nikampa chupi yake.kisha nikashuka nikaludi zangu hostel
Aseeee mchana naona muamala wa pesa umeingia kwa simu yangu. Naangalia laki 8 nimepokea imetoka kwa prkncess.nyie nilishangaaa kinoma.alafu akatuma sms et baby samahani nimekosea kutum pesa kwa bahati mbaya ndo.nimekutimia ww. Ila basi usiludishe. Kaa nayo tu nitunzie.utanipaga mbele. Mie nikamuuliza kwaiyo unataka kunitega kwa pesa .akasema hapana ni bahati mbaya tu.Mi sikumjibu tena..nikamludishia muamala wake .kisha nikakaushaaa. Aseeeee akawa sasa akija chuo . Ananiletea na zawadi mala.viatu mala nguo. Ila sikuwah kupokea ata siku moja zawado zake. Bado aikuwa nataka kuweka ukalibu nae. Nklihofia sawa . Isije kuwa shida baadae. Na bado nilikuwa namkwepa.kwepa sana.
Siku iyo.sasa ilikuwa j nne sema niliamka vibaya sana ..yani kama.niliamka.na homa .sikuwa sawa kabisa ata class sikuweza kuingi..nilienda kujichek.nikakauta nna malalia na nikapewa dawa nikaludi zangu kupumzika hostel. Nikiwa nimelala mda wa mchana sasa
Nasikia mlango unagongwaaa. Daah nikajua ni mwanangu lemi .nikasema fungua mlango upo wazi. Daah kumbe ni princess
Basi akaja mpka kitandani kwangu akakaa. Akanmbia pole haji. Nimekutana na lemi leo asubuh. Nikamuuliza mbona upo mwenyewe haji yuko.wapi. ndo akanmbia unaumwa ndo nikaona nije tu kukuona
SEHEMU YA 20
Nikasema aya si ushaniona .naendelea vizuri. Eeh unataka nn lengine..princess akanyamaza kimya kisha akaningalia sana . Akaniuliza kwani kwa nn hunipendi na unanichukia.sana haji. Kwani mimi sikuvutii wewe. Mbona unakuwa mkali kwangu kwa kila kitu. Naumia haji nna moyo na mimi mbona unanitesa sana. Nikasema so kama una moyo. Kaa mbali na mm basi .kwani shida inakuwa nn?. Princess akanyanyuka kwa hasira akavuta pochi yake akaondoka ila.sasa kwa pembeni aliacha mfuko nilipoucheki. Alikuwa kabeba chakura na matunda.. daah kiukweli hii siku nilimuonea huruma mana ni mwanamke ambae anajituma sana kwangu alafu namkazia sana.na ni mzuri sana uyu dada.sio kwamba namchukia hapana. Anavutia sana.ila sitaki kujichanganya na mahusiano mengine. Tofauti na ya fatuma
Nilijua nimekosea.nikampigia simu akawa hapokei. Nikampigia tena akawa hapokei.nikapiga tena nakuta kazima cimu.yani hapatikani. Mi nikaachana nae.ila mchana ndo nilikula kile chakura chake. Na matumda yale aloleta . Na alipoludi lemi akanmbia mh ulishuka chini kuchukua chakura mana nilishakubebea.nikasema yaa nilimuagiza mtu. Lemi akanmbia powa kaka. Basi nijaiuguza kwa siku 2. Demu hajanipigia wala.kuniulizia .na nikimpigia hapokei. Basi mi siku ya 3. Nikajisikia powa .nikaingia chuo bwana. Basi tukapiga pindi mda wa breki kama saa 8 . Mi nikaenda kumvizia parking. Sijamaliza ata dakika 5. Naona mtoto anakuja . Ana jeans kali kiatu kirefu kweli kweli. Anatembea kama twiga kudadeki. Basi akasogea mpka kalibu na gari lake. Na mimi ndo nikajitokeza sasa. Aliponiona akajifanya kanuna.
Nikamuuliza kwaiyo ww ndo umejinunisha sio. Akabaki kimya .nikamuuliza mi naumwa leo.siku ya 5. Mbona huniulizii hali na nikikupigia hupokei.kisha unasema unananipemda sio. Akanyamaza kimya . Nikamwambia sawa . Saa 4 njoo hostel .nimekumisss. na kweli nilikuwa namtamani sana uyu demu kumtafuna kwa hii siku. Akaningalia akanambia sitaki. We haunipendi utakuja kunijibu vibaya moyo wangu utaumia tu. Nikamuangalia nikamwmabia sawa .nikaanza kuondoka akaita haji. Nikasimama kisha nikageuka .akanmbia basi ntakuja. Nikasema karibu kisha nikasepa zangu nikaludi kukaaa na wadau wangu wa faidaa yani washikaji tu
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
