AAAAH IMETOSHA BOSS ππ N0 45ππ
Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on π€·ββοΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea mjukuu wangu nini kimetokea kati yako wewe na paschal na kinaendelea kitu gani pendo?! Nini kimemkuta mwanangu?! Samahani baba paschal alidondoka bathroom bahati mbaya akaumia damu zikaanza kumtoka puani na mdomoni alipoteza fahamu pia baada ya kuwa kadondoka pale chini...... π₯Ήπ₯Ή my son cjy hata ni kwanini anakutana na vitu vya aina hii kila kukicha..... vipi hali yake anaendeleaje?! Hali yake siyo nzuri baba lakini nina imani atakuwa sawa tu.....yule baba ni mzungu anaelewa alinipa tu pole japo nilimdanganya sikusema ukweli kama mimi ndo niliyemsukuma paschal kule bafuni....... niliagana pale na Hemed akaondoka na mimi nikaingia ndani kwangu.......
Nilipiga got chini nikasali kwa ajiri ya amani katika mahusiano yangu pamoja na hali ya mchumba wangu paschal baada yahapo nilikwenda kuoga then nilikwenda chumbani kwa binti yangu kwa ajiri ya kumnyonyesha ili aweze kupata usingizi mzuri......usiku ule nililala kesho yake mapema baba yake paschal alikuja kunichukua tukaenda wote hospital huwa ananipenda sana yule mzee tulivyofika kule hospital tuliruhusiwa kumuona paschal tayari alikuwa amesharudiwa na fahamu zake...... Boo I'm sorry π π nilimwambia huku nikiwa natokwa na machozi alismile then akaniambia usijali niko sawa alinikumbatia na kunikiss kwenye lip's zangu mbele ya baba yakeππ......nilikuwa nimembebea uji wa moto anapenda sana uji wa lishe uleππ nilikaa pembeni nikaupooza nilimwacha aongee na baba yake sikutoka nje nilijiegesha tu pembeni kidogo nikawa nampozea uji baba yake alimuuliza ilikuwaje hadi ukadondoka nini shida au kuna tatizo kwenye mwili wako?! Hapana daddy nilikuwa tu nacheza na mke wangu lakini bahati mbaya niliteleza nikawa nimeanguka chiniπ€¨π€¨ oh pole sana kijana wangu utakuwa sawa unajisikiaje lakini....... I'm okay daddy..... khe nilishangaa kumsikia paschal akinitetea kwa baba yake ππ make nilishaanza kutetemeka vipi kama akimwambia kuwa mimi ndo niliyemsukumaπ nilimaliza kuupoza ule uji as a wife material π€ͺπ€ͺ nilijisogeza pale kitandani kwa baby daddy wangu nikaanza kumnywesha ule uji kwa kutumia kijiko...... alikunywa huku akiwa ananitizama machoni kwangu nilikuwa naona aibuπππ samahani et kiukweli cjy hata ningefanya nini endapo kama ungeshindwa kuamkaππ nilimwambia boo.....nisamehe mimi pendo mimi ndo sababu ya haya yote lakini bado nakupenda wewe tu.....
Niliendelea kumnywesha ule uji paschal alinishika mkono wangu akanizuia nisiendelea kumnywesha uji mmmhhπ³π³π³ kunywa why unanizuia kukunywesha?! Alinitizama kwa muda bila kuongea chochote baada ya muda aliniuliza kwa hiyo ulikusudia kabisa kuniua mimi?! Boo hapana hata wewe unajua siwezi kufanya hivyo kwako sikukusudia et tafadhari nakuomba usiniwazie hivyo nilijikuta tu nimekusukuma lakini sikutenda kwa kukusudia ni vile tu nilizidiwa na hasira...... hasira tu?! Ndiyo baby lakini najutia kwakila kitu..... naweza nikaamini kuwa kule bafuni hukutenda kwa kukusudia huenda kweli ni hasira ndizo zilizokupelekea wewe kufanya vile lakini hata huku hospital nini kilikuzuia wewe kunitolea damu mimi?! Hiyo inadhihirisha wazi kwamba wewe Huna tena mapenzi na mimi......
Noo haiko kama wewe unavyofikilia lakini pia kama umeshafikilia hivyo siwezi kukulazimisha wewe kuacha kufikilia hivyoπ€π€ unamaanisha nini pendo?! Kama hujui ninachokimaanisha basi hata nikikufafanulia pia hautoelewa Acha ibaki kuwa fumbo kwako...... kwa hiyo uliridhia lia anitolee mimi damu?! Ndiyo paschal nililidhia kwani kuna ubaya wowote Lia kukutolea wewe damuπ€·ββοΈπ€·ββοΈ pendo sielewi hata kwanini unanifanyia hivyo π₯Ήπ₯Ή kwa hiyo wewe hunipendi tena siyoππ?! Ndiyo sikupendiππ siwezi kumpenda mtu anayenisaliti mimiπ«°π«°...... paschal alilia machozi bahati nzuri mida ile ile alikuja lia pale hospital nyieeeeee πππ mgonjwa baada ya kumuona lia alipata na nguvu za kunyanyuka pale kitandani alienda akamkamata Lia akamwambia Lia naiweka hii mikono yangu mbele zako wewe nakuomba ukae mbali na mimi kaa mbali na mahusiano yangu sikupendi kimapenzi na haitokuja kukaa ikatokea mimi kumsaliti mwanamke wangu unamuona yule pale aliyekaa pale yule ni mke wangu mtarajiwa na ni mama wa mtoto wangu ninampenda kuliko kitu chochote kile ukishindwa kumheshimu basi nitakufundisha namna ya kumheshimu...... nyie paschal aliongeaππ lia na vile ni kimbau mbau kilianza kulia pale na kutia huruma shem Romeo aliingia pale akiwa na baba paschal nini kinaendelea hapa aliuliza shem Romeo...... Romeo nakuonya Leo na sitokuonya tena juu ya huyu mwanamke nilishakwabia kuwa tayari mimi ni mme mtarajiwa wa mtu na tayari nina mtoto na nina furaha ya kuotosha kwenye mahusiano yangu hiki unacholazimisha kitokee hakitotokea kamwe naomba u tambue ya kwamba nampenda sana pendo na yule ndo mke wa maisha yangu Acha huu upuuzi unaouendekeza kuanzia Leo lia usikanyage ofisini kwangu wala katika makazi yangu yoyote yale naombeni ninyi wawili muondoke mahali hapa....... kheee yamekuwa hayo tena mbona ghafla πππ«°
Paschal π³π³ alimuita Romeo kwa mshangao......namaanisha Romeo ondoka hapa wewe na Lia nimemvumilia sana huyu mwanamke na kila siku ninamuonya akome kujilinganisha na mwanamke wangu kwa sababu hawezi kumfikia hata kwa robo tuπ«°π«° nilishamwambia kule ofisini afanye kile kilichomleta lakini yeye anahangaika na vitu vingine swala la mapenzi mimi na wewe lia haliwezekani na halitokaa likawezekana stop huu ujinga wa kunifuata fuata unamfanya mwanamke wangu apoteze uaminifu kwangu nakuonya na usirudie...... paschal aliongea sana siku ile baba paschal aliwafukuza pale Romeo na Lia ili wasiendelee kutukeraa alitukarisha kikao palepale hospital alituunganisha tena tukawa wamoja tuliondoka pale hospital tukiwa na maelewano mazuri mimi na boo wanguππ sema ndo vile tena sikutaka kuonyesha furaha niliyoipata baada ya paschal kumuonya Romeo na lia mbele yangu asijevimba kichwaπππ yani nilishaamua awamu hii nitampenda kwa siri yani hatojua niko upande gani wa kumpenda au kumchukia atajua hajuiπππ
Penzi langu na buu wangu lilirudi mahala pake wataalam wanasema penzi penziniπ«°π«° alinionyesha penzi lake lote kwangu hakuficha hata chembe sema awamu hii ni kama nilishaanza kushtuka Fulani hivi kamoyo kangu kalishaanza kupunguza ule upendo uliopitiliza kwa Mr paschal taratibu nilianza kumuwaza zaidi Hemed nilijishangaa kila muda natamani kumuona Hemed kila nikiona msg yake nasmile kuna kafeeling Fulani hivi nilikuwa nakapata juu ya huyu mwanaume wa kizanzibarπππ hebu kwa pamoja tumkemee shetwanπ€π€
Itaendeleaaaa.......
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi