Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni wanawake wa zayd unazani nani mwengine na vile wanaona umewazidi kete. Na bwana kila.siku anakufatailia. Ndo wanakuonea wivu wala hawana lolote washenzi wakubwa ao. Yani hawana lolote lile. Ni wivu ndo unawatesa na rohoo mbaya ndo zinawasumbua doooh. Basi nikawasimulia shoga zangu kuwa kaka kakasilika na kanigombeza sana . Kumbe kaka mchumba wivu ndo ulimkamata. Basi . Zai akanmbia mh ila kaka yko ni handsome bwana uwii. Anaonekana ana pesa pesa. Alafu kapendeza ebu niunganishe nae jamani. Khaaa mpka nilicheka. Anajua nnavyompenda yule baba mie.nikasema kashaoa na ana watoto 3. Aya shoga utulie

Zai akacheka akasema mh ndo unishushue hivyo. Inaonekana wewe una wivu na kaka ako . Au. Unampenda sana wifi yako.nikasema nampemda sana wifi yangu hanaga shida. Basi zai akasema aya bwana akimuacha nambie mie nipo nimemuelewa broo wako. Basi bwana mie nikapumzika na hii siku wala hatukuenda prepo. Kesho yake asubuh nikaitwa na mwalimu mkuu. Nikajua teali mlige kashapiga simu kwa mwalimu mkuu kumuelezea.na kweli nafika pale namkuta zayd yeye kashaitwa .kesi ikaanza kuunguruma..mimi nikaelezea tu kuwa kweli natongozwa na zayd na nishamwmambia kuwa sitaki..ila anaendelea kunifatilia. Basi mwalimu mkuu akasema hivi zayd nikukupa suspension kwa hili kosa tena inakuwa ya ngapi. Zayd akajibu ya 4. Mwalimu mkuu akasema.nakuonea huruma sababu ww ni kidato cha sita. Una mitihani ya necta ila ukiendelea na hizi tabia. Zayd ntakufukuza shule zayd .hizi tabia zkmezidi sana. Ata kama baba yako ana share nyingi kwenye hii shule
Ila nitakufukuza. Apo anasemwa hana ata presha.yani kaweka mikono mfukoni. Doooh kaka ana zalau uyu acheni kabisaaa. Ila nilijua uyu kufukuzwa sio rahisi mana ata mkuu hamsemi ile kwa ghadhab. Ata kupigwa hakuna . Akasemwa tu akaambiwa et akiludia tu . Anafukuzwa shule. Basi mwalimu akaongea sana akanmbia akikutongoza tena njoo ofisini . Nikasema sawa .kisha tukatoka nje . Basi tumefika tu njee ananikonyezaa akhaa uyu ni kichaaa nini

Akanmbia asa unazani mi namuogopa mtu . Suspensio. Nimezoea ila ww lazima uwe wangu nakupenda kinoma .mpaka usiku nakuota faridah. Mi sijali lolotee. Sijuh kaka ako kajua sijuh nn . Kwani uyo kaka ako hataki mashemeji. Au anatka kukuoa yeye .mimi nikaamua kuachana nae nikaondoka zangu. Basi kuanzia hio siku ndo alizidi usumbufu. Ananitumia watu waniletee pesa nakataa mala naletewa zawadi naktaaa yani fujooo mnoo. Alafi sasa shuleni nilikuwa najitahidi yani napasua mnooo. Tukifanya mitihani ya kujipima Nakuwa wa kwanza au wapili. Basi zayd ananambiaga ahaa yani www ni mke wangu kabisa. Kwanza una akiri alfu mzuri we lazima nikuzalishe.

Yani alikuwa ananaisimbua sana zayd mpaka ikakata miez 4 nipo shulee. Siku iyo nakumbuka ilikiwa mida ya saa 5 usiku. Ndo tumemaliza prepo tunalidi bwenini sasa. Basi mie nikawa naludi tarabu. Na shoga zangu. Tinakalibia bwenini.hee zayd katokea mbele yetu. Et naomba tuongeee kidogo apo pembeni. Khaa saa 5. Mie nikasema.sitaki tena sitaki nakwmabia .zayd akasem sawa ngoja basi nikuongeleshe mbele ya marafikk zako na watu wote wasikie. Kesho iwe scandal apa shuleni. Mh . Zai akanmbia sikia faridah ebu msikilize. Nikasema.sawa .kisha nikasogea nae karibu na vyoo vya wasichana .kwa huu mda kulitulia sana. Mana mda wa usiku tunatumia vyoo vya ndani vya bweni na sio vya njee.

Basi kufika kule . Nyie hakutaka kuongea na mm lolote .akanidaka mdomo akaanza kunikisss. Aseeee mimi nguvu ya kujizuia kwa uyu kaka sikuwa nazo kabisa.nikajikuta tu begi limenianguka. Ana nukia kwanza pafyumu za kiislamu zile. Nyie nilikuwa sina ngivu za kumzuia akanishika kiuno changu. Na akazidi kunikisss nilitulia kimyaaa. Akanikisss aswaaaa . Yani sio ile kimasiharaaa.nyieee na mie nikanogewaa. Tukawa tunakiss ile serious. Yani ile tupo busy kukolisss si tukamulikwa na tochi . Mimi nilistuka nikamsukuma kwa nguvu zayd. Aseee tuasikia sauti ya haed master mwenyewe akasema khaaa yani nyie washenzi mnafanya ufiriuni shuleni. We si zayd ww. Zayd akasimama bila hofu. Ila mm nilikuwa natetemeka mnoo.aseee mwalimu akasema na ww si faridah. We sindo kaka yako aloleta kesi kuwa uyu anakusumbua kumbe ni mwanume wako mshenzi mkubwa ww. Nampigia kaka yako sasa hivi. Heee si akavuta simu na mda uo uo akampa tarifa mlige. Et kesho uje kumchukia dada yako nampa.suspension ya mwez mmoja. Amekutwa na mwanaume wapo wanakisiana . Khaaaa nyie nilihis kufa hii siku ama nilitamani iwe ndoto niamke nilikuwa natetemeka namjua mlige mm nitamueleza nn

Mkuu akasema nenda dom sasa hivi kimarya kitoto ww. Nyie mie nikakimbilia dom nikaacha sasa mkuu anambwatiza zayd ase nilichanganikiwa nimefika bweni nilikuwa nalia kama chzi ata kuongea siwez. Wenzangu waakaanza kuwa na shaka.na kuhisi uwenda zayd kanifanya kitu kibaya. Ila baadae ndo nikasimulia. Kuwa zayd alinibusu kilazima ndo mkuu katufuma na kesho kaka kaitwa. Wkanmbia yani apo lazima utapewa suspension hii shule ina suspension sana. Jamani huu usiku sikulala nawaza ntamwambia nn mlige. Ntamueleza nn mm yule baba. Tena na mwanaume uyo uyo zayd..si ataona nilikuwa ni mwanayme wangu mda . Aseeee sikuwa sawa kabisa. Yani nilikiwa naogopa sana.

Basi bwana . Asubuh na mapema kwanza tulitangazwa asamble. Nyie mie ndo nalia yani uyu kaka hana habali ni dont care kweli kweli.na tukapewa suspension. Ya mwez mmoja. Yani niliumia sana . Mnajua niliumia yani sikuwa sawa. Kwakua mzazi wangu hakuwa amefika niliambiwa nikae ofsini nimsubir . Yani daah ilikuwa ni shida. Uyo zayd ye alifatwa kama.saa 7 na wazazi wake..yani ata wazai wake hawakutaka maongezi na mkuu wakmchukua kijana wao wakaondoka mie ndo nilibaki pale.kila mwalimu akipita ananisema asa madame jamni uwii nilikoma.mi.nilijua mlige lazima achelewe si anatoka mbali. Yani katoka.shule kama.week.2 nyuma alafu analudi tena kwa kesi za kipumbavu kweli kweli. Sijuh ata nambebaje mie mlige. Naogopa mnooo .mpaka.nahisi kutetemeka wallah. Yani naogoapa mnooo

Basi saa 10 jioni. Ndo naona anaingia alikuwa kawaida sana. Nilizani atakuwa kaja kakasilika sana. Ila wala alipofika akaingia ofisini akaongea sana na mkuu uko. Alivyotoka sasa.akanmbia kachukue kila kilichochako bweni nikuludishe kwa wazee wako. Si shule imekushinda .Mh nikajua kazi ipo.basi kweli.mie.nikaenda nikachukua vitu vyangu vyote akaja akapkiza kwenye buti.yani mpka godoro alinambia kachukue. Basi nikaenda kuchukua. Nikaingi kwa gari. Tukaanza safari ya kuludi kagera.nyie njiani uyu baba hakuwa anaongea kabisa ni kimya. Anasikiliza mziki wa gari yake mpka mie ndo nikawa najistukia nalia. Il wala hakuniuuliza unakia nn. Hakuniuliza imekuwaje. Yani hakuniuliza lolote lile. Na safari yetu wala.haikuwa na kula. Mpka asubuh saa1 moja.mlige anapark kwemye uwanja wetu. Yani hakuna ata kunipitisha kwake runzewe hakuna iyoo. Nikajua uyu baba nimemuumiza sana. Kwa ujinga wangu daah sijuh itakuwaje.na apo bado Sielewi ntamwambia nn mama anielewe mm😭😭😭😭😭😭😭😭🙌🙌🙌🙌🙌

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62


Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni wanawake wa zayd unazani nani mwengine na vile wanaona umewazidi kete. Na bwana kila.siku anakufatailia. Ndo wanakuonea wivu wala hawana lolote washenzi wakubwa ao. Yani hawana lolote lile. Ni wivu ndo unawatesa na rohoo mbaya ndo zinawasumbua doooh. Basi nikawasimulia shoga zangu kuwa kaka kakasilika na kanigombeza sana . Kumbe kaka mchumba wivu ndo ulimkamata. Basi . Zai akanmbia mh ila kaka yko ni handsome bwana uwii. Anaonekana ana...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-61-na-62

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

915
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

722
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

691
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

506
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

400
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

252
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

175
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

104
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

101
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

71

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.56K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest