Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni wanawake wa zayd unazani nani mwengine na vile wanaona umewazidi kete. Na bwana kila.siku anakufatailia. Ndo wanakuonea wivu wala hawana lolote washenzi wakubwa ao. Yani hawana lolote lile. Ni wivu ndo unawatesa na rohoo mbaya ndo zinawasumbua doooh. Basi nikawasimulia shoga zangu kuwa kaka kakasilika na kanigombeza sana . Kumbe kaka mchumba wivu ndo ulimkamata. Basi . Zai akanmbia mh ila kaka yko ni handsome bwana uwii. Anaonekana ana pesa pesa. Alafu kapendeza ebu niunganishe nae jamani. Khaaa mpka nilicheka. Anajua nnavyompenda yule baba mie.nikasema kashaoa na ana watoto 3. Aya shoga utulie

Zai akacheka akasema mh ndo unishushue hivyo. Inaonekana wewe una wivu na kaka ako . Au. Unampenda sana wifi yako.nikasema nampemda sana wifi yangu hanaga shida. Basi zai akasema aya bwana akimuacha nambie mie nipo nimemuelewa broo wako. Basi bwana mie nikapumzika na hii siku wala hatukuenda prepo. Kesho yake asubuh nikaitwa na mwalimu mkuu. Nikajua teali mlige kashapiga simu kwa mwalimu mkuu kumuelezea.na kweli nafika pale namkuta zayd yeye kashaitwa .kesi ikaanza kuunguruma..mimi nikaelezea tu kuwa kweli natongozwa na zayd na nishamwmambia kuwa sitaki..ila anaendelea kunifatilia. Basi mwalimu mkuu akasema hivi zayd nikukupa suspension kwa hili kosa tena inakuwa ya ngapi. Zayd akajibu ya 4. Mwalimu mkuu akasema.nakuonea huruma sababu ww ni kidato cha sita. Una mitihani ya necta ila ukiendelea na hizi tabia. Zayd ntakufukuza shule zayd .hizi tabia zkmezidi sana. Ata kama baba yako ana share nyingi kwenye hii shule
Ila nitakufukuza. Apo anasemwa hana ata presha.yani kaweka mikono mfukoni. Doooh kaka ana zalau uyu acheni kabisaaa. Ila nilijua uyu kufukuzwa sio rahisi mana ata mkuu hamsemi ile kwa ghadhab. Ata kupigwa hakuna . Akasemwa tu akaambiwa et akiludia tu . Anafukuzwa shule. Basi mwalimu akaongea sana akanmbia akikutongoza tena njoo ofisini . Nikasema sawa .kisha tukatoka nje . Basi tumefika tu njee ananikonyezaa akhaa uyu ni kichaaa nini

Akanmbia asa unazani mi namuogopa mtu . Suspensio. Nimezoea ila ww lazima uwe wangu nakupenda kinoma .mpaka usiku nakuota faridah. Mi sijali lolotee. Sijuh kaka ako kajua sijuh nn . Kwani uyo kaka ako hataki mashemeji. Au anatka kukuoa yeye .mimi nikaamua kuachana nae nikaondoka zangu. Basi kuanzia hio siku ndo alizidi usumbufu. Ananitumia watu waniletee pesa nakataa mala naletewa zawadi naktaaa yani fujooo mnoo. Alafi sasa shuleni nilikuwa najitahidi yani napasua mnooo. Tukifanya mitihani ya kujipima Nakuwa wa kwanza au wapili. Basi zayd ananambiaga ahaa yani www ni mke wangu kabisa. Kwanza una akiri alfu mzuri we lazima nikuzalishe.

Yani alikuwa ananaisimbua sana zayd mpaka ikakata miez 4 nipo shulee. Siku iyo nakumbuka ilikiwa mida ya saa 5 usiku. Ndo tumemaliza prepo tunalidi bwenini sasa. Basi mie nikawa naludi tarabu. Na shoga zangu. Tinakalibia bwenini.hee zayd katokea mbele yetu. Et naomba tuongeee kidogo apo pembeni. Khaa saa 5. Mie nikasema.sitaki tena sitaki nakwmabia .zayd akasem sawa ngoja basi nikuongeleshe mbele ya marafikk zako na watu wote wasikie. Kesho iwe scandal apa shuleni. Mh . Zai akanmbia sikia faridah ebu msikilize. Nikasema.sawa .kisha nikasogea nae karibu na vyoo vya wasichana .kwa huu mda kulitulia sana. Mana mda wa usiku tunatumia vyoo vya ndani vya bweni na sio vya njee.

Basi kufika kule . Nyie hakutaka kuongea na mm lolote .akanidaka mdomo akaanza kunikisss. Aseeee mimi nguvu ya kujizuia kwa uyu kaka sikuwa nazo kabisa.nikajikuta tu begi limenianguka. Ana nukia kwanza pafyumu za kiislamu zile. Nyie nilikuwa sina ngivu za kumzuia akanishika kiuno changu. Na akazidi kunikisss nilitulia kimyaaa. Akanikisss aswaaaa . Yani sio ile kimasiharaaa.nyieee na mie nikanogewaa. Tukawa tunakiss ile serious. Yani ile tupo busy kukolisss si tukamulikwa na tochi . Mimi nilistuka nikamsukuma kwa nguvu zayd. Aseee tuasikia sauti ya haed master mwenyewe akasema khaaa yani nyie washenzi mnafanya ufiriuni shuleni. We si zayd ww. Zayd akasimama bila hofu. Ila mm nilikuwa natetemeka mnoo.aseee mwalimu akasema na ww si faridah. We sindo kaka yako aloleta kesi kuwa uyu anakusumbua kumbe ni mwanume wako mshenzi mkubwa ww. Nampigia kaka yako sasa hivi. Heee si akavuta simu na mda uo uo akampa tarifa mlige. Et kesho uje kumchukia dada yako nampa.suspension ya mwez mmoja. Amekutwa na mwanaume wapo wanakisiana . Khaaaa nyie nilihis kufa hii siku ama nilitamani iwe ndoto niamke nilikuwa natetemeka namjua mlige mm nitamueleza nn

Mkuu akasema nenda dom sasa hivi kimarya kitoto ww. Nyie mie nikakimbilia dom nikaacha sasa mkuu anambwatiza zayd ase nilichanganikiwa nimefika bweni nilikuwa nalia kama chzi ata kuongea siwez. Wenzangu waakaanza kuwa na shaka.na kuhisi uwenda zayd kanifanya kitu kibaya. Ila baadae ndo nikasimulia. Kuwa zayd alinibusu kilazima ndo mkuu katufuma na kesho kaka kaitwa. Wkanmbia yani apo lazima utapewa suspension hii shule ina suspension sana. Jamani huu usiku sikulala nawaza ntamwambia nn mlige. Ntamueleza nn mm yule baba. Tena na mwanaume uyo uyo zayd..si ataona nilikuwa ni mwanayme wangu mda . Aseeee sikuwa sawa kabisa. Yani nilikiwa naogopa sana.

Basi bwana . Asubuh na mapema kwanza tulitangazwa asamble. Nyie mie ndo nalia yani uyu kaka hana habali ni dont care kweli kweli.na tukapewa suspension. Ya mwez mmoja. Yani niliumia sana . Mnajua niliumia yani sikuwa sawa. Kwakua mzazi wangu hakuwa amefika niliambiwa nikae ofsini nimsubir . Yani daah ilikuwa ni shida. Uyo zayd ye alifatwa kama.saa 7 na wazazi wake..yani ata wazai wake hawakutaka maongezi na mkuu wakmchukua kijana wao wakaondoka mie ndo nilibaki pale.kila mwalimu akipita ananisema asa madame jamni uwii nilikoma.mi.nilijua mlige lazima achelewe si anatoka mbali. Yani katoka.shule kama.week.2 nyuma alafu analudi tena kwa kesi za kipumbavu kweli kweli. Sijuh ata nambebaje mie mlige. Naogopa mnooo .mpaka.nahisi kutetemeka wallah. Yani naogoapa mnooo

Basi saa 10 jioni. Ndo naona anaingia alikuwa kawaida sana. Nilizani atakuwa kaja kakasilika sana. Ila wala alipofika akaingia ofisini akaongea sana na mkuu uko. Alivyotoka sasa.akanmbia kachukue kila kilichochako bweni nikuludishe kwa wazee wako. Si shule imekushinda .Mh nikajua kazi ipo.basi kweli.mie.nikaenda nikachukua vitu vyangu vyote akaja akapkiza kwenye buti.yani mpka godoro alinambia kachukue. Basi nikaenda kuchukua. Nikaingi kwa gari. Tukaanza safari ya kuludi kagera.nyie njiani uyu baba hakuwa anaongea kabisa ni kimya. Anasikiliza mziki wa gari yake mpka mie ndo nikawa najistukia nalia. Il wala hakuniuuliza unakia nn. Hakuniuliza imekuwaje. Yani hakuniuliza lolote lile. Na safari yetu wala.haikuwa na kula. Mpka asubuh saa1 moja.mlige anapark kwemye uwanja wetu. Yani hakuna ata kunipitisha kwake runzewe hakuna iyoo. Nikajua uyu baba nimemuumiza sana. Kwa ujinga wangu daah sijuh itakuwaje.na apo bado Sielewi ntamwambia nn mama anielewe mm😭😭😭😭😭😭😭😭🙌🙌🙌🙌🙌

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62


Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni wanawake wa zayd unazani nani mwengine na vile wanaona umewazidi kete. Na bwana kila.siku anakufatailia. Ndo wanakuonea wivu wala hawana lolote washenzi wakubwa ao. Yani hawana lolote lile. Ni wivu ndo unawatesa na rohoo mbaya ndo zinawasumbua doooh. Basi nikawasimulia shoga zangu kuwa kaka kakasilika na kanigombeza sana . Kumbe kaka mchumba wivu ndo ulimkamata. Basi . Zai akanmbia mh ila kaka yko ni handsome bwana uwii. Anaonekana ana...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-61-na-62

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 19  na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 19 na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

597
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

545
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

376
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

374
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

323
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

52
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

41
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

37

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.99K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.26K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest