BLACK BUTTERFLY π¦ 4
By Babie Love
Tsap 0742133100
Endelea
Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu.
Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda haraka na muda huo brayton alifika na kumtoa Mariana kwenye garii akiwaa hajitambui kabisa kisha akamlazaa kwenye kitanda cha Hospitali tayari kwa kuinginzwaa ndani ya Jengo hiloo .
β Taarifa kwa ufupi ?!?β Aliuliza Doctor huku wakikimbiza kitanda wodini
β Nahisi kaangukia jiwe limemchana kichwani haraka haraka kapoteza damu nyingi sana na mapigo ya moyo yakee yapo chini sana ...β alisema Brayton huku akisukuma kitanda hicho na kumuingiza wodini
β Jina lakee?!??β
β Aaah Mariana kama sikosei...β
β Sawa Brayton unaweza subir nje ..β
β Sawaa Doctor ..β
Brayton alitokaa na kuwa chia kazi yakee maana yeye hakuwa tayari kwa wakati huo hivyo alibaki nje
Akichekii saa ni saa tano usiku sasa ndipo alipomkumbuka Camilla na kuamua kumpigia simu
β Yes hallo..β ilisikika sauti ya Camilla
β Aaah nimepata dharura nikiwa narudi Nyumban hivyo nitachelewaa kurudi kipenz nisamehe sana ...β Aliongea Brayton kwa makini sana
β Sawaa ila mimi nilishaondoka kwako kwasababu hukurudi nikaona niondoke...β
β Eeeeh ?!? Camilla haupo nyumban?!?β Brayton aliulizaa
β Ndio ..β Camilla alijibu bila hofu
β Aaah Sawa maana yote makosa yangu kipenz hivyo uko wapi sasa nahisi sauti za mziki?!?β
β Aaah Niko club na rafiki yanguu...β
Brayton alikaa kimya kwa muda kisha akasema
β Okay Sawaa kama utahitaji kitu utaniambia ila kwasasa niko Hospitali kuna mgonjwa nimemletaa...β
β Okay na vipi kama utanifanyia muamala zaidi nika enjoy na rafiki zanguu?!?β
β Hakuna shida nita fanya hivyo s unajua ninavyokupendaa!! Nita fanya hivyo .β
β Okay ..β
β Naku.....β Brayton kabla hajamalizaa simu ilisikika kukatwaa na yeye Ndio aliyopigaa hakujali maana alimzoea Camilla ni mtu wa mamlaka sana hivyo akamtumia na kiasi cha pesa kabisaa kisha akamtumia sms
β Kuwa makini Nakupenda sana ..β
πΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉ
Upande wa Camilla yeye alikuwa kwa kelvin hotelini wakiwa wana pata raha zao huku mziki mkubwa wakiwa wamefungulia na Ndio maana brayton Alihisi hivyo ila Camilla hakusema ukweli.
β Unajua kelvin yule Brayton sijui ananichukuliaje vile ?!? Kaondoka sijui kaenda wapi et nikae nmsubirii wakati mimi bint mdogo Natakiwa kula maisha kama hivi pombe nini mziki mkubwa ...β
Maneno yake yalimfanyaa kelvin acheke sana huku akimpapasa makalio yakee na kumtandikaa busu takatifu kisha akimwambia
β Sawaa ila chengine Camilla kesho natakiwa kurekod album yangu ile niliyokwambia hivyo nahitaji kiasi kikubwa cha pesa si unajua nikimaliza tu nita kuwa tajir Sana na Mtoto mzur kama wewe Ndio utakuwa pemben yangu !?!?β
β Aaah kelvin una ongea sana kiasi gani unahitaji ?!?βCamilla aliulizaa
β Milion 5 babe...β
β Si tatizo kwangu nitakuwekea kwa account yakoo ngoja tumalizee kwanzaa hizi ..β alisema Camilla huku akimuonyeshaa chupa za pombe kali mezani
β Aaah hakuna shida kipenz Ndio maana Nakupenda sana unajua nini nataka ..β
β Sawaa pia naona kama nguo una anza rudia hilo sitaki kama mimi meneja wako nitashughulia hilo wee star sitaki ukae tafu hivyo kesho tutaenda manunuzi Sawa ..β
Kelvin akitabasamuu hakuwahi tabasam hivyo na ku simama huku Ali muomba kumbato
β Njoo babe unikumbatiee tafadhali..β
Camilla hakufanya makosa alinyanyuka na kumkumbatia roho yakee kwasababu alikuwa anampenda sana Kelvin
πΉπΉπΉπΉπΉπΉ
Yapata saa 6 usiku ndipo Mariana alipopata fahamu na kukurupukaa pale kitandani
Ndipo alipojiona yupo Hospitali kutokana na mazingiraa anayoyaona palee ndipo alipomkumbuka Isabel na usiku ushaingia sana tu
Haraka alinyanyuka na kuanza kutoa drip alizokuwa amewekewaa na kushuka pale kitandani kisha akatoka nje ya chumba hicho huku akiwa ameshikaa kichwa chake na kuchukua mkoba wakee aliuona kwenye kiti uliwekwa akauchukua ndipo alipotaka kuanguka maana alihisi bado kizunguzunguu...
Hakuona mtu zaid ilikuwa ni Doctor mmoja mmoja anapita msongamano wa watu haukuwepo sana ndipo akaanzaa kutembea ili atoke nje na kuondokaa ila hakuweza maana aligongana na mtu na alipomtazama usoni alikuwa ni brayton
Alistuka maana hakutarajia kama atamuona pale
β Wewee unaenda wapi?!? Bado unavuja damu ..β alisema Brayton huku alitaka kumshika ila Mariana alirudi nyuma huku akisema
β Samahan mdogo wangu ananihitaji sana na mpaka sahiz atakuwa na wasiwasi mno niache niende...!!!β
β Sawa ila Bado kidonga kibichi hichii huwezi ruhusiwa ..β
β Niachee kaka niachee...β Mariana alisisitizaa huku akitembea kwaajili ya kutoka nje kabisa huku brayton Bado akimfataa ili amzuie asiondoke ila Mariana hakujali alisimamisha taxi na kuondoka pale Hospitali
Brayton alibaki Alishangaa binti ni jasiri sana kiasi kwamba Bado anavuja damu ila aliondokaa hivyo hakuwa na namna alirudi kwenye gari yakee ili kwaajili ya kurudi nyumban
Ndipo alimhisi ujumbe kwenye simu yakee na alipotazama ni jumbe ya instagram hivyo akadharau na kuweka simu pembeni na kuwasha garii ili kuondokaa...
πΉπΉπΉπΉπΉπΉ
Mariana alifika nyumbani kwao haraka alishuka kwenye tax kisha akalipa nauli haraka haraka
β Dada Mzima lakini ?!?β Aliuliza dereva tax maana alimuona akitokwa damu usoni mwake
βAaah niko Sawa tu ..β alijibu Mariana na kuingia getini kwao na kufungua mlango taratibu ili asimuamshee mdogo wake akijua atakuwa amelala ila haikuwa hivyo alimkuta seblen akiwa macho kabisa
β Isabel..!?!?β Alijikuta akiita kwa mshangao na Isabel nae alistuka pindi alipomuona dada yakee Mariana akiwa ana jeraha kichwani mwake
β Dada nini shida?!?β Alimuulizaa huku akitaka akae kwanza chini
β Hapana kitu mdogo angu eeh kwanini hujalala et Mpaka sahzi!!??β Mariana aliuliza
β Achana na mimi wee hujioni ulivyo?!? Kwanini hujijalii wee mwenyew dada...β alisema Isabel huku akichukua box la dharura na kuchukua pamba kisha akaanza kumfuta zile damu pemben ya kidonda maana kilikuwa kishafungwa bendeji tayari
Mariana hakuamini kama mdogo wake atakuwa vile ndipo akasema
β Ni kidogo tu nimejigongaa na jiwe..β
β Sasa kwanini usibaki huko Hospitali?!?β
Aliulizaa Isabel huku akimuweka Sawaa
β Nilikuwa nakuwahi wewe mdogo wangu...β
β Sawa unaniwahi lakini vipi mimi ambae naogopa kukupoteza dada?!?β
Mariana alimtazama mdogo wake huku akitabasamuu kwa uchungu sanaa kisha akamkumbatia mdogo wakee hakika walipendana sana ndugu hawa ..
πΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉ
Palipokuchaa asubuh Brayton alistuliwa na mlio wa simu mkali sana ndipo akapapasa kitandani ndipo alipoiona akapokeaa
β Bro Bado umelala hadi sasa hivi ?!?β Ilikuwa sauti ya kiume
β Mmmh hamna Niambie gabby umechangamka vipi ?!?β
β Bro amka kaka yaan sijui nikwambie nini yaan broo ..β
Brayton alistukaa kusikia hivyo ikabidi akae kwanzaa ili kumsikilizaa rafik yakee Gabby
β Kuna nini eeh ?!? Ushaharibu wapii tena wewe?!?β
β Safari hii sio mimi kaka ni demu wako Camilla mimi sitaki kuongea mengi ingia Instagram utajionea.β
Brayton hakutaka kupoteza muda alikata simu na kuingia kwenye app ya instagram na kuanza kutafuta Account ya Camilla ndipo alipokutana na mambo yasio elezekaa
Brayton alistuka mno na kumfanya aanze kujiandaa haraka haraka na kutoka ili kwenda kwa Camilla
πΉπΉπΉπΉπΉπΉ
Upande wa Camilla hakuwa akielewa jambo lolote alikuwa zake bize ofisini kwake ndipo mfanyakaz kaz wake alipoingia na kumwambia
β Madam Camilla kuna mtu anahitaji kuingia ofisin kwako je nimruhusuu?!?β
β Nani?!?β Aliuliza Camilla
β Brayton...β
Camilla alistuka kidogo kisha kam jibu
β Mwambie aingiee...β
Yule mfanyakaz ndipo akatokaa na kumuacha Camilla ni mwenye maswali mno
β Brayton Anataka Nini tena hebu ngoja ....β
Camilla ndipo aliposhikaa simu ili ampigie kelvin kwanzaa ndipo alipokutana katumiwa picha zake yeye na kelvin wakiwa kitandani. Camilla alistuka sana ndipo alipompigia moja kwa moja kelvin
β Kelvin hebu pokea simu tafadhal....β alijisemea camilla maana simu iliita muda wote bila kupokelewaa alichanganyikiwa mno
Akiwa kwenye tafaruki Hiyo ndipo mlango ulipofunguliwaa na kuingia Brayton akiwa na uso tofauti kama alivyozoeaa.
Itaendeleaaa
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni