Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*   Chapter 7  Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii black coffee
Gonga94 · Stories

_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 7 Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii black coffee

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Inatengenezwaje? Na hili jiko linawashwaje? Nitamuambiaje huyu jamaa kichaa kuwa siwezi kutengeneza black coffee?"

Nilihangaika kidogo lakini nikajipa ujasiri, Nikasema ngoja niende nimwulize mwenyewe. Nikapiga hatua kurudi hadi store nilipomwacha, sikumkuta. Kumbe hakutaka hata kusubiri alienda zake kazini akiwa amekasirika. Kama bahati iyo ndo ikawa pona pona yangu

Baada ya hapo nikaanza kusafisha nyumba. Ile nyumba ilikuwa kubwa balaa, nikafanya usafi kama masaa matatu hivi. Na si kwamba kwa sababu ilikuwa kubwa tu, ila ni kwakua mimi nilikuwa sijaizoea kufanya usafi. Ndio maana ikanichukua muda mrefu

Nilikuwa nafanya kidogo, napumzika, kisha naendelea. Baada ya kumaliza ndani, nikaenda laundry room (chumba cha kufua nguo). Huko Nikakuta mashine ya kufua, sabuni, na kapu la nguo chafu

Kuitumia mashine haikuwa ngumu kwa sababu kulikuwa na maelekezo pale. Nikaweka nguo, nikapima sabuni, nikafungua maji, halafu mashine ikaanza kufua.

Wakati mashine inaendelea kulua nikatoka nje kwenda kufagia Uwanja uliokuwa mchafu sana. Nikiwa nafagia fagia kama sitaki mlinzi akaja akaniambia, "Mambo?"

Nikajibu "Poa"

"We ndo house girl mpya?"

"Ndiyo"

"Vizuri Maana nataka nikuambie kitu kuhusu boss wangu. Huyu boss hakal na house girl kwa

muda mrefu. Ni mtu wa hasira sana. Ukivunja kanuni zake, anakufukuza fasta. Kwa hiyo jitahidi ufuate kila kitu anachosema na usimbishie. Mimi ndio maana nimekaa muda mrefu hapa kwa sababu namtii

Nikamuuliza "Umekaa muda gani hapa?" "Kama miaka minne

"Basi Asante kwa ushauri, nitafuata sheria zake, alafu Wewe huwa unakula wapi?"

"Mimi nakula nyumbani. Naishi blocks mbili tu kutoka hapa, Dada yangu huwa ananiletea chakula"

Nikagundua kumbe ndio maana hapakua na haja ya mimi kupika, maana hata mlinzi hakua anakula pale. Nikatabasamu kidogo kisha. nikaendelea kufagia, nilipomaliza nikaingia zangu ndani.

Apo Nilikuwa na njaa mbaya, chakula pekee. nilichokuwa nacho ni mihogo na maji. Nikala. huku machozi yakinitoka, nikikumbuka home.

Nyumbani nilikuwa nakula vitu vizuri sijui kuku, sausage, samaki, mayai, juice, hata ice cream. Lakini huku, duh! Hakuna zaidi ya mihogo.

Nikakumbuka simu yangu, nikaitoa na kuanza

kuangalia picha zangu za zamani.

"Nikimaliza huu mwezi wa mateso, nitarudi home niombe msamaha. Hata kama ni kuolewa, bora nikaolewe kuliko kuteseka Ivii" nilijipa moyo

Baada ya hapo nikaenda kuoga, nikabadilisha nguo, nguo nyingine nikatandika chini kama godoro, huyco nikalala,

Nililala kuanzia mchana hadi jioni. Elton aliporudi alikua ana haraka kama kuna mahali alitaka kwenda. Cha kwanza aliniita mpaka. chumbani kwake..

"Nenda niletee shati langu"

"Shati gani?"

"Lile liko laundry, nataka kulivaa leo usiku. Chap!

Nikasema, "Ooh sawa

Nikatoka mbio mpaka laundry room, sasa hapo ndo nikakumbuka kumbe sikutoa nguo kwenye mashine tangu asubuhi.

Na mbaya zaidi, nilichanganya nguo nyeupe na za rangi! Ambazo nguo za rangi zilichuja kwenye zile nguo nyeupe na kuacha madoa ikiwemo shati lake alilotaka kuvaa. My God.

Mwili ukaanza kunitetemeka, Nikasema sasa huyu jamaa ataninyonga nikiwa najiona.

Nikabaki nimesimama pale kijasho kikitoka. Sasa Elton alipoona nimechelewa kupeleka shati lake akaja mwenyewe. Akanikuta nimesimama tu kama mshumaa

"We ni tapeli? Shati langu liko wapi?

Nikajibu "A-a... bado halijaksuka

"Halijakauka? Unamaanisha nini?"

Akaangalia kwenye mashine, akaona sijatoa nguo. Akafungua mashine, akaanza kutoa nguo moja baada ya nyingine mpaka akaliona shati lake lilivyo pendeza

Alipoliona uso wake ulibadilika. Akaniangalia nusu ya kunimeza akasema "Hii ni nini sasa? Ulishindwaje kutenganisha nguo za rangi na nyeupe? We uko sawa kichwani?"

"Pole, sikujua kama nguo zinatakiwa kutenganishwa.

"Una akili kweli wewe? Umetoka dunia gani usijue kitu simple kiasi hiki?...... Bahati yako nimechelewa kwenye kikao changu. Nikirudi, utanilipa hii hasara. Na sitani"

Akaenda chumbani, akachukua shati lingine akavaa kisha akaondoka zake. Mimi nilibaki nikiwa na wasiwasi, Nilimwomba Mungu asije akanitesa vibaya, maana nilikuwa nimechoka.

kwakwell

Elton Alirudi saa tano usiku, Akaja moja kwa moja store nilipokua nimelala Akaniamsha "Amka!"

Nilitii nikaamka kisha akanitoa nje. Huko akachukua ndoo ya maji baridiiii akanimwagia yote mwilini. Kisha akasema, roll....roll.....chap..chapi "Aya

Mweeeh! Nikaanza kujiviringisha chini kwenye. vumbi kama nipo jeshini. Kila niki roll anaenda kuchota ndoo nyingine ya maji ananimwagial

Niliroll kama mara kumi na tano mpaka alipotosheka Akaniambia "hakuna kubadilisha nguo, lala ivyo ivyo hadi asubuhi. Na Ukichelewa kuamka kesho, adhabu nyingine inakusubiri" kisha Akaingia zake ndani.

Hamuwezi amini nililala nikiwa mbichi nimejaa matope mpaka kwenye pua. Nililia sana lakini haikusaidia kitu. Kweli Elton alijua kunikomesha.

Basi asubui saa kumi na moja kamili nikamka, nikaoga kwanza nikabadili na nguo ndipo nianze majukumu. Nashukuru Mungu niliseti alamu lasivyo ningepitiliza kuamka tena.

Nilifanya usafi tena na Safari hil sikupoteza muda, nilisafisha sehemu chafu tu, ambazo zinaonekana kiurahisi. Na kwakua hapakua na nguo chafu, Tatizo kubwa lililobaki kwenye black

coffee.

Basi sikujua inatengenezwa ajel Na pia kuwasha jiko nacho ni kipengele kingine. Ghafla Nikamkumbuka mlinzi getini. Nikaona nimfuate

nimuashe.

Alilalamika "Unataka nini asubuhi hivi?" "Naomba unisaidie kuwasha jiko"

"Nini??? Jiko??? Ina maana huwezi??"

"Ndio siwezi...please nisaidie kabla Boss hajaamka

Nikamuuliza tena "Unajua kutengeneza black coffee?"

"Sawa" Alifungua mlango akatoka nje ya chumba chake akiwa amejaa usingizi

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 7 Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii black coffee

Inatengenezwaje? Na hili jiko linawashwaje? Nitamuambiaje huyu jamaa kichaa kuwa siwezi kutengeneza black coffee?"

Nilihangaika kidogo lakini nikajipa ujasiri, Nikasema ngoja niende nimwulize mwenyewe. Nikapiga hatua kurudi hadi store nilipomwacha, sikumkuta. Kumbe hakutaka hata kusubiri alienda zake kazini akiwa amekasirika. Kama bahati iyo ndo ikawa pona pona yangu

Baada ya hapo nikaanza kusafisha nyumba. Ile nyumba ilikuwa kubwa balaa, nikafanya usafi kama masaa matatu hivi. Na si kwamba kwa sababu ilikuwa kubwa tu, ila ni kwakua mimi nilikuwa sijaizoea kufanya usafi. Ndio maana ikanichukua muda mrefu

Nilikuwa nafanya kidogo, napumzika, kisha naendelea. Baada ya kumaliza ndani, nikaenda laundry room (chumba cha kufua...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/_-afande-nilegezee-kamba-chapter-7-siku-hiyo-ilikuwa-ngumu-sana-yani-hata-sijui-nilikuwa-nafanya-nin

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi _-afande-nilegezee-kamba-chapter
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

851
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

608
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

533
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

426
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

313
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

189
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

95
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.66K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.53K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest