Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*   Chapter 7  Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii black coffee
Gonga94 Β· Stories

_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 7 Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii black coffee

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Inatengenezwaje? Na hili jiko linawashwaje? Nitamuambiaje huyu jamaa kichaa kuwa siwezi kutengeneza black coffee?"

Nilihangaika kidogo lakini nikajipa ujasiri, Nikasema ngoja niende nimwulize mwenyewe. Nikapiga hatua kurudi hadi store nilipomwacha, sikumkuta. Kumbe hakutaka hata kusubiri alienda zake kazini akiwa amekasirika. Kama bahati iyo ndo ikawa pona pona yangu

Baada ya hapo nikaanza kusafisha nyumba. Ile nyumba ilikuwa kubwa balaa, nikafanya usafi kama masaa matatu hivi. Na si kwamba kwa sababu ilikuwa kubwa tu, ila ni kwakua mimi nilikuwa sijaizoea kufanya usafi. Ndio maana ikanichukua muda mrefu

Nilikuwa nafanya kidogo, napumzika, kisha naendelea. Baada ya kumaliza ndani, nikaenda laundry room (chumba cha kufua nguo). Huko Nikakuta mashine ya kufua, sabuni, na kapu la nguo chafu

Kuitumia mashine haikuwa ngumu kwa sababu kulikuwa na maelekezo pale. Nikaweka nguo, nikapima sabuni, nikafungua maji, halafu mashine ikaanza kufua.

Wakati mashine inaendelea kulua nikatoka nje kwenda kufagia Uwanja uliokuwa mchafu sana. Nikiwa nafagia fagia kama sitaki mlinzi akaja akaniambia, "Mambo?"

Nikajibu "Poa"

"We ndo house girl mpya?"

"Ndiyo"

"Vizuri Maana nataka nikuambie kitu kuhusu boss wangu. Huyu boss hakal na house girl kwa

muda mrefu. Ni mtu wa hasira sana. Ukivunja kanuni zake, anakufukuza fasta. Kwa hiyo jitahidi ufuate kila kitu anachosema na usimbishie. Mimi ndio maana nimekaa muda mrefu hapa kwa sababu namtii

Nikamuuliza "Umekaa muda gani hapa?" "Kama miaka minne

"Basi Asante kwa ushauri, nitafuata sheria zake, alafu Wewe huwa unakula wapi?"

"Mimi nakula nyumbani. Naishi blocks mbili tu kutoka hapa, Dada yangu huwa ananiletea chakula"

Nikagundua kumbe ndio maana hapakua na haja ya mimi kupika, maana hata mlinzi hakua anakula pale. Nikatabasamu kidogo kisha. nikaendelea kufagia, nilipomaliza nikaingia zangu ndani.

Apo Nilikuwa na njaa mbaya, chakula pekee. nilichokuwa nacho ni mihogo na maji. Nikala. huku machozi yakinitoka, nikikumbuka home.

Nyumbani nilikuwa nakula vitu vizuri sijui kuku, sausage, samaki, mayai, juice, hata ice cream. Lakini huku, duh! Hakuna zaidi ya mihogo.

Nikakumbuka simu yangu, nikaitoa na kuanza

kuangalia picha zangu za zamani.

"Nikimaliza huu mwezi wa mateso, nitarudi home niombe msamaha. Hata kama ni kuolewa, bora nikaolewe kuliko kuteseka Ivii" nilijipa moyo

Baada ya hapo nikaenda kuoga, nikabadilisha nguo, nguo nyingine nikatandika chini kama godoro, huyco nikalala,

Nililala kuanzia mchana hadi jioni. Elton aliporudi alikua ana haraka kama kuna mahali alitaka kwenda. Cha kwanza aliniita mpaka. chumbani kwake..

"Nenda niletee shati langu"

"Shati gani?"

"Lile liko laundry, nataka kulivaa leo usiku. Chap!

Nikasema, "Ooh sawa

Nikatoka mbio mpaka laundry room, sasa hapo ndo nikakumbuka kumbe sikutoa nguo kwenye mashine tangu asubuhi.

Na mbaya zaidi, nilichanganya nguo nyeupe na za rangi! Ambazo nguo za rangi zilichuja kwenye zile nguo nyeupe na kuacha madoa ikiwemo shati lake alilotaka kuvaa. My God.

Mwili ukaanza kunitetemeka, Nikasema sasa huyu jamaa ataninyonga nikiwa najiona.

Nikabaki nimesimama pale kijasho kikitoka. Sasa Elton alipoona nimechelewa kupeleka shati lake akaja mwenyewe. Akanikuta nimesimama tu kama mshumaa

"We ni tapeli? Shati langu liko wapi?

Nikajibu "A-a... bado halijaksuka

"Halijakauka? Unamaanisha nini?"

Akaangalia kwenye mashine, akaona sijatoa nguo. Akafungua mashine, akaanza kutoa nguo moja baada ya nyingine mpaka akaliona shati lake lilivyo pendeza

Alipoliona uso wake ulibadilika. Akaniangalia nusu ya kunimeza akasema "Hii ni nini sasa? Ulishindwaje kutenganisha nguo za rangi na nyeupe? We uko sawa kichwani?"

"Pole, sikujua kama nguo zinatakiwa kutenganishwa.

"Una akili kweli wewe? Umetoka dunia gani usijue kitu simple kiasi hiki?...... Bahati yako nimechelewa kwenye kikao changu. Nikirudi, utanilipa hii hasara. Na sitani"

Akaenda chumbani, akachukua shati lingine akavaa kisha akaondoka zake. Mimi nilibaki nikiwa na wasiwasi, Nilimwomba Mungu asije akanitesa vibaya, maana nilikuwa nimechoka.

kwakwell

Elton Alirudi saa tano usiku, Akaja moja kwa moja store nilipokua nimelala Akaniamsha "Amka!"

Nilitii nikaamka kisha akanitoa nje. Huko akachukua ndoo ya maji baridiiii akanimwagia yote mwilini. Kisha akasema, roll....roll.....chap..chapi "Aya

Mweeeh! Nikaanza kujiviringisha chini kwenye. vumbi kama nipo jeshini. Kila niki roll anaenda kuchota ndoo nyingine ya maji ananimwagial

Niliroll kama mara kumi na tano mpaka alipotosheka Akaniambia "hakuna kubadilisha nguo, lala ivyo ivyo hadi asubuhi. Na Ukichelewa kuamka kesho, adhabu nyingine inakusubiri" kisha Akaingia zake ndani.

Hamuwezi amini nililala nikiwa mbichi nimejaa matope mpaka kwenye pua. Nililia sana lakini haikusaidia kitu. Kweli Elton alijua kunikomesha.

Basi asubui saa kumi na moja kamili nikamka, nikaoga kwanza nikabadili na nguo ndipo nianze majukumu. Nashukuru Mungu niliseti alamu lasivyo ningepitiliza kuamka tena.

Nilifanya usafi tena na Safari hil sikupoteza muda, nilisafisha sehemu chafu tu, ambazo zinaonekana kiurahisi. Na kwakua hapakua na nguo chafu, Tatizo kubwa lililobaki kwenye black

coffee.

Basi sikujua inatengenezwa ajel Na pia kuwasha jiko nacho ni kipengele kingine. Ghafla Nikamkumbuka mlinzi getini. Nikaona nimfuate

nimuashe.

Alilalamika "Unataka nini asubuhi hivi?" "Naomba unisaidie kuwasha jiko"

"Nini??? Jiko??? Ina maana huwezi??"

"Ndio siwezi...please nisaidie kabla Boss hajaamka

Nikamuuliza tena "Unajua kutengeneza black coffee?"

"Sawa" Alifungua mlango akatoka nje ya chumba chake akiwa amejaa usingizi
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 7 Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii black coffee

Inatengenezwaje? Na hili jiko linawashwaje? Nitamuambiaje huyu jamaa kichaa kuwa siwezi kutengeneza black coffee?"

Nilihangaika kidogo lakini nikajipa ujasiri, Nikasema ngoja niende nimwulize mwenyewe. Nikapiga hatua kurudi hadi store nilipomwacha, sikumkuta. Kumbe hakutaka hata kusubiri alienda zake kazini akiwa amekasirika. Kama bahati iyo ndo ikawa pona pona yangu

Baada ya hapo nikaanza kusafisha nyumba. Ile nyumba ilikuwa kubwa balaa, nikafanya usafi kama masaa matatu hivi. Na si kwamba kwa sababu ilikuwa kubwa tu, ila ni kwakua mimi nilikuwa sijaizoea kufanya usafi. Ndio maana ikanichukua muda mrefu

Nilikuwa nafanya kidogo, napumzika, kisha naendelea. Baada ya kumaliza ndani, nikaenda laundry room (chumba cha kufua...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/_-afande-nilegezee-kamba-chapter-7-siku-hiyo-ilikuwa-ngumu-sana-yani-hata-sijui-nilikuwa-nafanya-nin

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi _-afande-nilegezee-kamba-chapter
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

545
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

484
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

438
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

362
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

183
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

168
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

98
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

89
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

86
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

77

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.25K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest