Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*   Chapter 7  Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii black coffee
Gonga94 Β· Stories

_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 7 Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii black coffee

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Inatengenezwaje? Na hili jiko linawashwaje? Nitamuambiaje huyu jamaa kichaa kuwa siwezi kutengeneza black coffee?"

Nilihangaika kidogo lakini nikajipa ujasiri, Nikasema ngoja niende nimwulize mwenyewe. Nikapiga hatua kurudi hadi store nilipomwacha, sikumkuta. Kumbe hakutaka hata kusubiri alienda zake kazini akiwa amekasirika. Kama bahati iyo ndo ikawa pona pona yangu

Baada ya hapo nikaanza kusafisha nyumba. Ile nyumba ilikuwa kubwa balaa, nikafanya usafi kama masaa matatu hivi. Na si kwamba kwa sababu ilikuwa kubwa tu, ila ni kwakua mimi nilikuwa sijaizoea kufanya usafi. Ndio maana ikanichukua muda mrefu

Nilikuwa nafanya kidogo, napumzika, kisha naendelea. Baada ya kumaliza ndani, nikaenda laundry room (chumba cha kufua nguo). Huko Nikakuta mashine ya kufua, sabuni, na kapu la nguo chafu

Kuitumia mashine haikuwa ngumu kwa sababu kulikuwa na maelekezo pale. Nikaweka nguo, nikapima sabuni, nikafungua maji, halafu mashine ikaanza kufua.

Wakati mashine inaendelea kulua nikatoka nje kwenda kufagia Uwanja uliokuwa mchafu sana. Nikiwa nafagia fagia kama sitaki mlinzi akaja akaniambia, "Mambo?"

Nikajibu "Poa"

"We ndo house girl mpya?"

"Ndiyo"

"Vizuri Maana nataka nikuambie kitu kuhusu boss wangu. Huyu boss hakal na house girl kwa

muda mrefu. Ni mtu wa hasira sana. Ukivunja kanuni zake, anakufukuza fasta. Kwa hiyo jitahidi ufuate kila kitu anachosema na usimbishie. Mimi ndio maana nimekaa muda mrefu hapa kwa sababu namtii

Nikamuuliza "Umekaa muda gani hapa?" "Kama miaka minne

"Basi Asante kwa ushauri, nitafuata sheria zake, alafu Wewe huwa unakula wapi?"

"Mimi nakula nyumbani. Naishi blocks mbili tu kutoka hapa, Dada yangu huwa ananiletea chakula"

Nikagundua kumbe ndio maana hapakua na haja ya mimi kupika, maana hata mlinzi hakua anakula pale. Nikatabasamu kidogo kisha. nikaendelea kufagia, nilipomaliza nikaingia zangu ndani.

Apo Nilikuwa na njaa mbaya, chakula pekee. nilichokuwa nacho ni mihogo na maji. Nikala. huku machozi yakinitoka, nikikumbuka home.

Nyumbani nilikuwa nakula vitu vizuri sijui kuku, sausage, samaki, mayai, juice, hata ice cream. Lakini huku, duh! Hakuna zaidi ya mihogo.

Nikakumbuka simu yangu, nikaitoa na kuanza

kuangalia picha zangu za zamani.

"Nikimaliza huu mwezi wa mateso, nitarudi home niombe msamaha. Hata kama ni kuolewa, bora nikaolewe kuliko kuteseka Ivii" nilijipa moyo

Baada ya hapo nikaenda kuoga, nikabadilisha nguo, nguo nyingine nikatandika chini kama godoro, huyco nikalala,

Nililala kuanzia mchana hadi jioni. Elton aliporudi alikua ana haraka kama kuna mahali alitaka kwenda. Cha kwanza aliniita mpaka. chumbani kwake..

"Nenda niletee shati langu"

"Shati gani?"

"Lile liko laundry, nataka kulivaa leo usiku. Chap!

Nikasema, "Ooh sawa

Nikatoka mbio mpaka laundry room, sasa hapo ndo nikakumbuka kumbe sikutoa nguo kwenye mashine tangu asubuhi.

Na mbaya zaidi, nilichanganya nguo nyeupe na za rangi! Ambazo nguo za rangi zilichuja kwenye zile nguo nyeupe na kuacha madoa ikiwemo shati lake alilotaka kuvaa. My God.

Mwili ukaanza kunitetemeka, Nikasema sasa huyu jamaa ataninyonga nikiwa najiona.

Nikabaki nimesimama pale kijasho kikitoka. Sasa Elton alipoona nimechelewa kupeleka shati lake akaja mwenyewe. Akanikuta nimesimama tu kama mshumaa

"We ni tapeli? Shati langu liko wapi?

Nikajibu "A-a... bado halijaksuka

"Halijakauka? Unamaanisha nini?"

Akaangalia kwenye mashine, akaona sijatoa nguo. Akafungua mashine, akaanza kutoa nguo moja baada ya nyingine mpaka akaliona shati lake lilivyo pendeza

Alipoliona uso wake ulibadilika. Akaniangalia nusu ya kunimeza akasema "Hii ni nini sasa? Ulishindwaje kutenganisha nguo za rangi na nyeupe? We uko sawa kichwani?"

"Pole, sikujua kama nguo zinatakiwa kutenganishwa.

"Una akili kweli wewe? Umetoka dunia gani usijue kitu simple kiasi hiki?...... Bahati yako nimechelewa kwenye kikao changu. Nikirudi, utanilipa hii hasara. Na sitani"

Akaenda chumbani, akachukua shati lingine akavaa kisha akaondoka zake. Mimi nilibaki nikiwa na wasiwasi, Nilimwomba Mungu asije akanitesa vibaya, maana nilikuwa nimechoka.

kwakwell

Elton Alirudi saa tano usiku, Akaja moja kwa moja store nilipokua nimelala Akaniamsha "Amka!"

Nilitii nikaamka kisha akanitoa nje. Huko akachukua ndoo ya maji baridiiii akanimwagia yote mwilini. Kisha akasema, roll....roll.....chap..chapi "Aya

Mweeeh! Nikaanza kujiviringisha chini kwenye. vumbi kama nipo jeshini. Kila niki roll anaenda kuchota ndoo nyingine ya maji ananimwagial

Niliroll kama mara kumi na tano mpaka alipotosheka Akaniambia "hakuna kubadilisha nguo, lala ivyo ivyo hadi asubuhi. Na Ukichelewa kuamka kesho, adhabu nyingine inakusubiri" kisha Akaingia zake ndani.

Hamuwezi amini nililala nikiwa mbichi nimejaa matope mpaka kwenye pua. Nililia sana lakini haikusaidia kitu. Kweli Elton alijua kunikomesha.

Basi asubui saa kumi na moja kamili nikamka, nikaoga kwanza nikabadili na nguo ndipo nianze majukumu. Nashukuru Mungu niliseti alamu lasivyo ningepitiliza kuamka tena.

Nilifanya usafi tena na Safari hil sikupoteza muda, nilisafisha sehemu chafu tu, ambazo zinaonekana kiurahisi. Na kwakua hapakua na nguo chafu, Tatizo kubwa lililobaki kwenye black

coffee.

Basi sikujua inatengenezwa ajel Na pia kuwasha jiko nacho ni kipengele kingine. Ghafla Nikamkumbuka mlinzi getini. Nikaona nimfuate

nimuashe.

Alilalamika "Unataka nini asubuhi hivi?" "Naomba unisaidie kuwasha jiko"

"Nini??? Jiko??? Ina maana huwezi??"

"Ndio siwezi...please nisaidie kabla Boss hajaamka

Nikamuuliza tena "Unajua kutengeneza black coffee?"

"Sawa" Alifungua mlango akatoka nje ya chumba chake akiwa amejaa usingizi

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 7 Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii black coffee

Inatengenezwaje? Na hili jiko linawashwaje? Nitamuambiaje huyu jamaa kichaa kuwa siwezi kutengeneza black coffee?"

Nilihangaika kidogo lakini nikajipa ujasiri, Nikasema ngoja niende nimwulize mwenyewe. Nikapiga hatua kurudi hadi store nilipomwacha, sikumkuta. Kumbe hakutaka hata kusubiri alienda zake kazini akiwa amekasirika. Kama bahati iyo ndo ikawa pona pona yangu

Baada ya hapo nikaanza kusafisha nyumba. Ile nyumba ilikuwa kubwa balaa, nikafanya usafi kama masaa matatu hivi. Na si kwamba kwa sababu ilikuwa kubwa tu, ila ni kwakua mimi nilikuwa sijaizoea kufanya usafi. Ndio maana ikanichukua muda mrefu

Nilikuwa nafanya kidogo, napumzika, kisha naendelea. Baada ya kumaliza ndani, nikaenda laundry room (chumba cha kufua...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/_-afande-nilegezee-kamba-chapter-7-siku-hiyo-ilikuwa-ngumu-sana-yani-hata-sijui-nilikuwa-nafanya-nin

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending πŸ“ Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi _-afande-nilegezee-kamba-chapter
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

395
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

254
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

173
πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18

πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18

105
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

8

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

12.05K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.73K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.92K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

3.12K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.88K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.72K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe β€œBoss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu β€œsitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema β€œkamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice β€œkusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18 Post Mpya
πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏑. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani β€œniondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest