Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MFALME KIPOFU  17 -- 18
Gonga94 · Stories

MFALME KIPOFU 17 -- 18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Sehemi..ya............17
Ilipoishia sehemu iliyopita......
Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana.
Namu sura ya General haikutoka
machoni mwake alimuona
General akiwa......

ENDELEA NAYO..........
General akiwa pamoja na mlinzi mkuu kwa wakati huo ambae ni Nzegi, alijiuliza ni kipi kilichowaleta usiku ule katika msitu huo ila hakupata majibu sahihi, walivyopotea machoni mwake na yeye alimchukua Prince Yao na kuondoka nae.

Akiwa njiani Lindiwe alitafakari ni sehemu gani atafikia kwa ajili ya kupumzika usiku huo, na ndipo kumbukumbu za rafiki yake waliyewahi kufanya kazi pamoja katika jumba la kifalme zilimjia na kuamua kuongoza njia kwenda kwenye makazi ya rafiki yake huyo wa enzi izo.

Lindiwe anafanyikiwa kufika akiongonzana na Prince Yao mpaka katika nyumba ya rafiki yake na kubisha hodi.

"Nani tena huyo anayebisha hodi usiku huu ????",sauti ya kike ilisikika.

Alinyenyuka na kufungua mlango, hakuamini macho yako baada ya kufungua mlango mtu aliyepotezana nae zaidi ya miaka 20 anamuona kwa mara nyingine tena.

"Ni wewe Lindiwe??"
"Ndio, ni mimi"
" basi karibu ndani".
Walikalibishwa vizuri na rafiki yake huyo baada ya kutokuonana kwa mda mrefu marafiki hao wawili na Lindiwe hakutaka kumtambulisha Prince Yao kama Mwana wa Mfalme bali alimtambulisha kama mtoto wake kwa rafiki yake huyo.

*****************

Tarifa zilimfikia Mfalme usiku huohuo juu ya kifo cha waziri mkuu na alijua lazima atakuwa General aliyehusika na kifo hicho.

Ilikuwa ni huzuni kubwa kwa familia ya waziri mkuu kutokana na kifo chake kuwa cha kikatili zaidi na hii ikawafanya viongonzi wote waimalishe ulinzi katika makazi yao,
Na katika jumba la kifalme ulinzi uliimalishwa mara mbili zaidi.

Cheki akiwa katika jumba la kifalme alishangaa kuvutwa pembeni na asikari wa jumba hilo la kifalme,
"Siri yako naijua wewe sio mtoto wa mfalme"
"Mimi ni Prince,nani kakwambia mimi sio Prince???
"Usijifanye hujui, hukumu yake ni kifo kama uki gundulika sio Prince kwahiyo fanya ninacho taka ili uendelee kuishi kwa amani humu ndani, alikuwa ni rafiki wa Nzegi aliyeamua kumtisha Cheki kama alivyotumwa na General".
"Kwani unahitaji nini kutoka kwangu?
"Kesho uongozane na mimi majira ya jioni utajua nini nahitaji kutoka kwako" aliondoka pasipo kusubiri jibu kutoka kwa cheki kama kakubali au la

. ****************
Kukiwa bado na masiba wa Wazari mkuu asubuhi ya siku inayofata General aliamua kumpa mbinu atakayo tumia kumu angamiza mfalme pasipo kutumia nguvu yoyote,

"Hapa inatakiwa tutafute watu mashuhuli wanaotengeneza dawa"
"Kwani unaumwa general mpaka utafute dawa??".
"Itakuwa dawa ya mfalme itakayomfanya aondoke duniani"
"General unaongea kimafumbo bado sijaelewa"
"Tunaitaji tutengeneze sumu maalum ambayo itamuangamiza mfalme ndani ya siku tano tu na watu peke wanaoweza kutusaidia ni hawa wanaotibu watu kwa dawa za hasili".

Nzegi alielewa mipango ya General na walianza kuulizia wanapopatikana matabibu hao wa dawa za hasili, maeneo yaliyo pembezoni mwa mji walielekezwa sehemu wanayopatikana.

Katika kijiji cha Nyengweli,
Binti Amma akiwa anatengeza dawa alipata ugeni ulio mfanya awakalibishe kwa hekima watu wale sababu ilikuwa ni kawaida watu kufika pale kwa ajili ya matibabu,

Na watu hao hawakuwa wengine bali ni General pamoja na Nzegi,
"Binti unatufahamu sisi???, General aliuliza ili kuona kama binti atakuwa amegundua kama wao ndio wanaotafutwa na mfalme"
"Hapana".
"Sawa mhusika wa hapa yupo wapi???"
"Ni mimi hapa nasaidizana na baba yangu???.

General aliangaza kuona kama kuna watu wengine wanaowaona alivyojihakikishia hakuna alimwomba binti amwite baba yake naye akatii maagizo yale,

"Karibuni", ni sauti ya baba yake na Amma.
"Asante, mzee mwenzangu tunaomba ututengezee sumu inayoweza kumuua mtu ndani ya siku tano tu yani akinywa ugonjwa unampata kuanzia masaa 4 yajayo"
"Siwezi kutengeneza sumu ya kumuangamiza binadamu mimi"
"Aaah huwezi sawa".

Palepale General alimkamata Amma aliyekuwa amesimama pembeni na kumuweka upanga kwenye shingo yake,

"Sasa chagua afe binti yako au utengeza sumu"
Baba Amma hakuwa na jinsi na ukizingatua ndie mtoto peke aliyenae
"Nipeni masaa 2 tu sumu itakuwa tayali".
"Sawa lasivyo......ITAENDELEA

Kwa 500 tu ya kitanzania unapata mwendelezo mpaka mwisho wa simulizi hii tamu lipia sasa kupitia namba 0613083801 HALOPESA Jina john Bugumba kisha njoo WhatsApp kwa namba 0748697173 upate simulizi yako mpaka mwisho

Nini hatima ya Prince Yao baada ya kufika katika ufalme wao?? na je? General atamuua binti Amma baada ya kumuwekea upanga shingoni mwake? Tukutane sehemu ya 18 inamajibu zaidi
[12/12/2025, 6:40 AM] zooper simulizi2: Story.....................MFALME KIPOFU
Mtunzi...................Zooper
Sehemi..ya............18
Whatsapp.............0748697173

Ilipoishia sehemu iliyopita......
Sasa chagua afe binti yako au unatengeza sumu"
Baba Amma hakuwa na jinsi na ukizingatia ndie mtoto peke aliyenae
"Nipeni masaa 2 tu sumu itakuwa tayali".
"Sawa lasivyo........

ENDELEA NAYO.....
"Nipeni masaa mawili(2) tu sumu itakuwa tayali"
"Sawa lasivyo mwanao utampoteza".
"Baba bora mimi nife kuliko utengeneze sumu ya mtu mwingine kwenda kufa asiye na hatia"
"Unajifanya unajua kuongea sana wewe binti",
General alimchoma kidogo Amma sehemu ya bega na kumfanya apige kele.
"Baba inaumaaa"
"Binti yangu tulia utakufa kuwa muelewa nione huruma mimi baba yako",aliongea kwa masikitiko makubwa na kumfanya Amma awe mpole mbele ya General.

********************
Katika Ufalme wa YUNDI Mfalme Tengu anabisha hodi chumbani kwa binti yake pasipo kuwa na majibu yoyote ya mtu kufungua mlango,Temu hii ana sukuma mlango na unafunguka,
Hakuamini baada ya kuto kumuona binti yake ndani ya chumba chake icho ila alipotazama pembeni alikutana na barua,

"KWAKO BABA KIPENZI, WEWE NI BABA BORA KWENYE HII DUNIA, NAJIVUNIA KUPATA BABA MWENYE UPENDO KAMA WEWE NIMEAMUA KWENDA KUITAFUTA FURAHA YA MTU NINAYE MPENDA KWA DHATI, KWANGU FURAHA NI MHIMU KULIKO KUWA MALIKIA NISIYE KUWA NA FURAHA NISAMEHE SANA BABA YANGU NIMEAMUA KWENDA KUMTAFUTA YAO NA SIWEZI KUISHI BIRA YEYE".
Alimaliza kuisoma ile barua huku machozi yakimtoka tu,
"Huenda nilikudekeza sana binti yangu ndio mana leo hii hutaki kunisikiliza mimi baba yako,Mfalme Tengu aliongea kwa uchungu sana baada ya kusoma ujumbe ule."

Maneno ya kwenye barua yalimuumiza sana mfalme na hakutaka tena kutuma watu wamfatilie binti yake, aliamua kuacha afanye kitu anachoona ni sahihi kwenye maisha yake.

***************

Masaa mawili yalikuwa yameshakatika na sumu tayali ilikuwa imeshatengenezwa na kuwekwa kwenye chupa maalumu,
Baba Amma alimpatia General sumu ile na kumfanya amwachie binti yake.

"Unabahati sana kuwa hai mpaka sasa ivi", Nzegi alimwambia Amma kisha wakatoka eneo lile

"Mwanangu unatoka damu"
"Hapa umi sana ila namuonea huruma huyo mtu anaye enda kupewa iyo sumu mpaka sisi tu tulio tengeneza ndio tunaweza kumtibu"
"Ni kweli unachosema na hapa tungekuwa tunamjua basi tungeenda kumsaidia najihisi mwenye hatia ya kuua mtu kwa utalamu wangu mwenyewe"

General na Nzegi wakiwa njiana baada ya kutoka kwao Amma,
"General sio kwamba tungeenda kuwamaliza kabisa moja kwa moja"
"Hapana, lengo letu sisi afe Mfalme tu kumbuka na sisi tunataka kile kiti tukianza kuua raia tutamwongoza nani???".
"Sawa general"
"Hapa sasa ana hitajika mtu wa kuipeleka hii sumu na mwenye ushawishi mkubwa kwa wapishi wa jumba la kifalme ndio mana namtaka Prince feki aje hapa afanye hii kazi"

Mipango yote ilikuwa tayali na walibakiza kidogo tu kukamilisha jambo walilokusudia kulifanya juu ya Mfalme Kojo.

*********************
Wakiwa kwenye maombolezo ya waziri mkuu,
Malikia Andwaa akiwa ameketi na mabinti zake Yanite pamoja na Yanni alifika Cheki au Prince feki na kujichekesha mbele ya Malikia Andwaa ambae hakuonyesha utani ata kidogo zaidi ya kumsihi afate kilichompeleka pale.
Cheki aliona sasa mambo yatabadilika mda sio mrefu.

"Hapa inatakiwa jioni niongozane tu na yule asikari mana hawa sura zao zipo tofauti hawataki mazoea na mimi kabisa au wamesha nishitukia nini??,
Cheki alijiwazia baada ya kuona mabadiliko makubwa kwa Yanite,Yanni na Malikia Andwaa"

Baada ya maombolezo ya mda mfupi mfalme alirudi katika jumba la kifalme akiwa na familia yake,
Alikuwa ni mtu mwenye mawazo sana hali iliyopelekea kuzimia gafra kwa kuanguka chini,

"Mfalme!!!!!!!!!!!"
"Mwiteni daktari wa kifalme"
Daktari alikuja na hakukuta tatizo kubwa kwa mfalme zaidi ya msongo wa mawazo uliompelekea kuzimia . alipumzika kwa mda badae akawa amerudi kwenye hali yake ya kawaida

******************

Princess Nailet licha ya kuchoka kwa kutembea umbali murefu wa safari na hakuwa mzoefu wa safari ndefu ila hakukata tamaa aliendelea na safari kwa kutumia farasi wake ya kuelekea katika ufalme wa ADELI.

"Nakuja Yao najua sijawahi kukutamkia neno nakupenda lakini nipo njiani nakuja kwa ajili yako,
Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake....ITAENDELEA.

Mfalme Tengu atafanya maamuzi gani baada ya Princess Nailet kuondoka katika jumba la kifalme???,na je? Nailet atafanyikiwa kumpata Yao sehemu ya 19 inamajibu zaidi hii si ya kukosa ndugu msomaji

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MFALME KIPOFU 17 -- 18



Sehemi..ya............17
Ilipoishia sehemu iliyopita......
Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana.
Namu sura ya General haikutoka
machoni mwake alimuona
General akiwa......

ENDELEA NAYO..........
General akiwa pamoja na mlinzi mkuu kwa wakati huo ambae ni Nzegi, alijiuliza ni kipi kilichowaleta usiku ule katika msitu huo ila hakupata majibu sahihi, walivyopotea machoni mwake na yeye alimchukua Prince Yao na kuondoka nae.

Akiwa njiani Lindiwe alitafakari ni sehemu gani atafikia kwa ajili ya kupumzika usiku huo, na ndipo kumbukumbu za rafiki yake waliyewahi kufanya kazi pamoja katika jumba la kifalme zilimjia na kuamua...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mfalme-kipofu-17-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mfalme-kipofu
MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............01  Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............01 Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU  Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa  mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi
Story.....................MFALME KIPOFU Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
MFALME KIPOFU 12 na13
MFALME KIPOFU 12 na13
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
MFALME KIPOFU 11
MFALME KIPOFU 11
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU 9
Story.....................MFALME KIPOFU 9
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
Story.....................MFALME KIPOFU 8
Story.....................MFALME KIPOFU 8
MFALME KIPOFU  27
MFALME KIPOFU 27
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
MFALME KIPOFU  25 -- 26
MFALME KIPOFU 25 -- 26
MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............14
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
MFALME KIPOFU  19 -- 20
MFALME KIPOFU 19 -- 20
MFALME KIPOFU  21 -- 22
MFALME KIPOFU 21 -- 22
MFALME KIPOFU  23 -- 24
MFALME KIPOFU 23 -- 24
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

364
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

334
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

319
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

174
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

77
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

57
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

44
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

31
MFALME KIPOFU  25 -- 26

MFALME KIPOFU 25 -- 26

31
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

29

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.69K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.9K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.65K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.09K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.87K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.85K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.7K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE
@majario LIVE

109 Mwenzenu nimechambwaaa, nishanangwa siamini kama ndiyi nilifunguliwa mlango mimi, nikapelekwa mtoko mimi, na nikawa natumiwa ujumbe. Leo hii kwa ukali nafokewa macho yametoka mpaka natetemeka. Nilikuwa nimechoka sana. Sijui nini kiliendelea,...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7
@majario LIVE

NO 06 Niliamka na kwenda sebleni nikakuta johari haha amka naona itakuwa nimeamka mapema sana ilibidi nikae nimsubiri maana sikuwa najua vifaa vya usafi vinatoka wapi .........nilikaa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108
@majario LIVE

:101 Nimeingia tu chumbani, rafiki yangu alikuwa amejilaza akakaa ananitazama, ni kweli alionekana kama vile katoka kulia. Hakunipa nafasi hata akasema “wewe mtoto, unanukia kama kajini kakitajiri.” Nikacheka nikisema “upoje jini la...

mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi hao ni Muhtasham na mkewe, Ihsan. Post Mpya
mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi hao ni Muhtasham na mkewe, Ihsan.
@majario LIVE

💥Kamera zilikuwa zikiwanasa mara nyingi wakiishangilia kwa pamoja katika klabu ya Uturuki ya Fenerbahçe, na wakawa kama moja ya kielelezo cha mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest