Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Story.....................MFALME KIPOFU 9
Gonga94 · Stories

Story.....................MFALME KIPOFU 9

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Ilipoishia sehemu iliyopita........
Mzee yule aliongea na kuondoka zake pamoja na mjukuu wake aliyekwisha kutibiwa na kuwacha Amma pamoja na baba yake katika maswali mengi yasiyo na majibu........

ENDELEA NAYO......
"Baba ivi umemuelewa yule mzee kanishika mkono na kuniangalia lakini cha ajabu kapiga magoti mbele yangu??"
"Binti yangu Amma huwezi jua hawa wazee wa zamani wanaona mambo mengi isivyo kawaida".
"Ni sawa baba lakini mimi naona kuna kitu ambacho itakuwa ameona kwangu na natamani nijue nikitu gani icho alichoona"
"Kila kitu kinakuja kwa sababu mda maalumu ukifika mambo yote yakuwa wazi binti yangu".

Amma aliona kuna kila sababu ya kufatilia kuona ni kitu gani kilichomfanya mzee yule aweze kupiga magoti baada ya kuutazama mkono wake.

Upande wa pili babu pamoja na mjukuu wake,
"Babu unajua umenishangaza sana wewe kupiga magoti mbele ya yule binti??"
"Huwezi kujua mjukuu wangu wewe bado mdogo"
"Mmmh sijaona cha ajabu alichonacho yule binti".
"Nyamaza kabisa yule ndio atakaye kuja kuwa malikia wa ADELI sikutaka kuongea mbele yao ila kwakuwa nipo na wewe ngoja nikuambie sasa"
"Mmmh babu bwana tangu lini ukawa mtabili wewe??".
"Ukikua utaelewa sasa ivi wewe baba mdogo".
"Sawa babu".

Ni mazungumzo ya mzee yule na mjukuu wake na hii ni baada ya kumpigia magoti Amma kitu kilichomshangaza mpaka mjukuu wake kwa kitendo alichokifanya mzee yule.

****************

Katika ufalme wa YUNDI leo ni sherehe ya kusherekea siku ya kuzaliwa kwa binti Mfalme aliyetambulika kwa jina la Princess Nailet,

Maonyesho na michezo mbalimbali ilikuwepo siku hiyo iliyowapendeza raia wengi katika ufalme ule na kuwafanya waone kama ni siku maalumu kwao,
Na raia wengi kusogea eneo la tukio kwa ajili ya kushuhudia maonyesho hayo.

Moja ya raia waliokuja kushuhudia maonyesho hayo ni Lindiwe pamoja na Prince Yao aliyekuwa haoni kinachoendelea ila mama yake mlezi Lindiwe alifanya kazi ya kumsimulia kila kilichokuwa kikiendelea pale.

Mfalme Tengu akiwa kama Mfalme wa YUNDI alisimama nakuanza kuongea mbele ya umati ule,
Watu wote walika kmya kumsikiliza mfalme wao aliyedumu kwenye uongonzi karibu miaka thelathini(30).

Lakini Princess Nailet katika kutazama umati wa watu uliofulika kushuhudia siku yake ile ndipo alipomuona Prince Yao akiwa amefungwa kitambaa machoni,
Nakumfanya kushangaa kidogo.

"Yule ni nani???,mbona kafungwa kitambaa machoni???,
alimuuliza mtumishi wake aliyekuwa nae karibu mtumishi alifata kidole cha Princess na kuelewa ni mtu gani aliyeulizwa.
"Yule ni kipofu".
Princess Nailet alimtazama kwa mara nyingine Prince Yao na hapo ndipo aliposhuhudia uzuri wa mwanaume yule licha upofu aliona nao.
"Sherehe ikiisha naomba unipeleke anapokaa"
"Sawa princess".

Sherehe ikiwa bado inaendelea katika ufalme huo wa YUNDI,
"Mama naomba tuelekee nyumbani sijisikii tena kuendelea kukaa hapa,Prince Yao aliongea na kumfanya Lindiwe afanye kile anachokitaka na safari ikaanza kuelekea katika makazi yao".

********************

Safari ilikuwa bado inaendelea ya asikari waliotumwa na Mfalme kwenda kumtafuta kijana na wanafanyikiwa kufika katika mipaka ya YUNDI,
"Nyie ni watu mnaotoka katika ufalme upi??,walinzi walinda mipaka waliwauliza asikari wale wa ADELI".

Hawakutaka maneno mengi walitoa barua maalumu waliyopewa na mfalme wao yenye mhuli na walipoisoma, waliwaruhusu kuingia katika ufalme wao.

"Sawa tumepita mipakani tunaanzia wapi sasa falme za watu hizi??, askari mmoja aliongea baada ya wao kufanyikiwa kufika katika ufalme wa YUNDI"
"Tupite huku tunaweza kupata tunachokitaka".
Walikubaliana na safari ikaanza kutafuta kilichowaleta katika falme hiyo.

Lindiwe anafanyikiwa kufika nyumbani akiwa na Prince Yao lakini alipogeuza shingo yake alishangaa kuona asikari wakipita wakiwa wamevaa nguo zilizowatambulisha kama asikari wa ADELI,
"Yao naomba ukae hapa nakuja sasa ivi tu"
"Aya mama".

Lindiwe alitoka nakuanza kuwafatilia kisirisiri asikari wale wa ADELI bira ya wao kujua ili ajue ni kitu gani kilichowaleta pale YUNDI.

Asikari wale wanakutana na Cheki kijana anayempenda binti Yunde na wana msimamisha,
"Habari yako "
"Salama sijui ni wasaidie nini???"
"Wew n mzaliwa wa falme hii tungependa kufahamu???"
"Ndio hamjakosea".

Walitazamana asikari wale nakupeana ishara ya kutoboa siri yao iliyo waleta pale.

"Kuna mpango ambao unaweza kubadilisha maisha yako".

Cheki baada ya kusikia mpango tena alitega masikio kwa umakini asikilize ni mpango gani huo.

Wale asikari walimweleza lengo kuu la wao kuja mpaka kwenye falme yao na kumwonyesha vipande vya dhahabu kama malipo ya awali endapo akikubali kufanya ile kazi.
Cheki hakutaka kuipoteza ile nafasi alikubali pasipo ata kufikili mara mbilimbili.

Maongezi yote yaliyokuwa yanaendelea pale Lindiwe alikuwa akisikia kila kitu..
"Hii haiwezekani yani mfalme ameamua aje amtafute Prince mwingine, hapana hii haiwezekani.........ITAENDELEA

Maamuzi gani atakayochukua Lindiwe baada ya kusikia kijana mwingine anatafutwa kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Prince Yao???? na vip kuhusu Princess Nailet atafanyikiwa kwenda kumuona Prince Yao????, karibu katika hatua inayofata

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story.....................MFALME KIPOFU 9


Ilipoishia sehemu iliyopita........
Mzee yule aliongea na kuondoka zake pamoja na mjukuu wake aliyekwisha kutibiwa na kuwacha Amma pamoja na baba yake katika maswali mengi yasiyo na majibu........

ENDELEA NAYO......
"Baba ivi umemuelewa yule mzee kanishika mkono na kuniangalia lakini cha ajabu kapiga magoti mbele yangu??"
"Binti yangu Amma huwezi jua hawa wazee wa zamani wanaona mambo mengi isivyo kawaida".
"Ni sawa baba lakini mimi naona kuna kitu ambacho itakuwa ameona kwangu na natamani nijue nikitu gani icho alichoona"
"Kila kitu kinakuja kwa sababu mda maalumu ukifika mambo yote yakuwa wazi binti yangu".

Amma aliona kuna kila sababu ya kufatilia kuona ni kitu gani kilichomfanya mzee yule...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-mfalme-kipofu-9

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-mfalme-kipofu
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU  Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa  mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi
Story.....................MFALME KIPOFU Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU 8
Story.....................MFALME KIPOFU 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

1.1K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.02K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.02K
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

203
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.

200
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

165
SHAMIRA Sehemu ya 47

SHAMIRA Sehemu ya 47

155
SHAMIRA Sehemu ya 46

SHAMIRA Sehemu ya 46

129
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

22
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

9

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.4K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS 🥰 yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest