Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Gonga94 · Stories

Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



Ilipoishia sehemu iliyopita........
Maongezi yote yaliyokuwa yanaendelea pale Lindiwe alikuwa akisikia kila kitu..
"Hii haiwezekani yani mfalme ameamua aje amtafute Prince mwingine, hapana hii haiwezekani.....



ENDELEA NAYO.......
Hapana hii haiwezekani,Lindiwe alijikuta akiongea kwa nguvu na kuwafanya asikari wa ADELI pamoja na kijana Cheki wasogee eneo ilipotokea sauti ile na kuangalia ni nani huyo aliyeongea.

"Jamani emu tufanye mambo yaliyotuleta hapa ayo mengine hayatuhusu sisi, asikari mmoja aliongea"
"Wewe huoni kama huyu mtu alikuwa anasikiliza mazungumzo yetu????"
"Huo ni wasiwasi wako tu kama mtu mwenyewe ameshapatikana tuondoke nae tusipoteze mda".

Walikubaliana na wakaamua kuondoka maeneo yale na iyo ikawa ni ahueni kwa Lindiwe aliyerudi kwenye makazi yake kwa kasi sana kama mwizi anayekimbizwa.

"Mama mbona unahema ivyo tatizo nini???".
"Hamna tatizo lolote ila kuna sehemu tutaenda siku sio nyingi"
"Wapi tena huko???"
"Utafahamu tu mwanangu usiwe na haraka".
Lindiwe kuna kitu alichokifikilia nakuona ni sahihi kuja kukifanya kwa badae.

*******************
Katika jumba la kifalme Princess Yanite akiwa amekaa na mdogo wake Princess Yanni,
"Ivi dada kwel kaka atakuja tucheze nae wote???"
"Sahau kabisa kama una kaka,Yanite alimjibu mdogo wake".

"Ujinga gani huu unaondelea hapa,Malikia Andwaa aliingia baada ya kusikia mazungumzo ya mabinti zake"

"Mama huyu Yanite anasema nisahau kama nina kaka"

"Una matatizo gani wewe Princess Yanite na ndie mkubwa unaetakiwa uwe mfano kwa mwenzako????".

"Nini nifanye ikiwa mnatuficha sisi watoto wenu tusijue kinachoendelea"
"Nimekuambia kuwa na subra utajua kila kitu badae".
"Kwani kufahamu ndugu yetu yupo wapi limekuwa ni kosa nalo????".

Princess Yanite alinyenyuka kwa hasira na kuondoka, kitendo kilichomfanya Malikia Andwaa ashangae mana hajawahi kumuona binti yake akiwa kwenye hasira izo tangu alipo mzaa.

Upande mwingine Malikia Andwaa aliona wao wazazi ndio wenye makosa kwa kushindwa kuwaelezea ukweli mabinti zao kuhusu ndugu yao.

******************

Baada ya sherehe kumalizika ndani ya jumba la kifalme Princess Nailet hakuacha kumuwaza Prince Yao, sura ya kijana yule ilikuwa haifutiki katika ubongo wake,
Alimfata mtumishi wake aliyemuahidi atampeleka sehemu anayokaa Prince Yao.

"Lakini Princess ndio kwanza sherehe imeisha huoni kama mfalme Tengu atakuwa na hasira akisikia umetoka????"
"Naona tumeanza kupangiana sasa umesahau kati yangu mimi na wewe nani mkubwa???".
"Hapana princess"
"Aya ongoza njia".

Licha ya kigiza kuanza kuingia siku iyo Princess Nailet hakujali zaidi ya kutaka kufika nyumbani kwa Prince Yao safari ilianza akiwa na msaidizi wake mpaka nyumbani kwa Prince Yao.

Lindiwe akiwa ameka na Prince Yao alishangaa kusikia mtu akibisha hodii,alinyenyuka na kwenda kufungua mlango.
"Heeeeeeh Princess ni.... wewe???, aliinama ili atoe heshima kwa Princess lakini Nailet alimuwahi na kumshika.
"Hapana inatosha haina haja ya kutoa heshima kwangu".
"Ka...ribuni, Lindiwe aliwakalibisha kwa tabu Princess Nailet na msaidizi wake mpaka ndani".

Katika jumba la kifalme baada ya mfalme Tengu kugundua binti yake hayupo alipata mashaka na kujua, huenda atakuwa katika mikono isiyo salama sababu haikuwa kawaida kuondoka bira kuaga aliagiza vijana wake wamtafute haraka na upesi...........ITAENDELEA.

Tsh 1000 unapata mwendelezo mpaka mwisho wa simulizi hii tamu lipia sasa kupitia namba 0613083801 HALOPESA Jina john Bugumba kisha njoo WhatsApp kwa namba 0748697173 upate simulizi yako mpaka mwisho

Mfalme Tengu atafanya maamuzi gani akigundua kuwa binti yake Nailet yupo katika nyumba ya Lindiwe????sehemu inayofata inamajibu zaidi

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10




Ilipoishia sehemu iliyopita........
Maongezi yote yaliyokuwa yanaendelea pale Lindiwe alikuwa akisikia kila kitu..
"Hii haiwezekani yani mfalme ameamua aje amtafute Prince mwingine, hapana hii haiwezekani.....



ENDELEA NAYO.......
Hapana hii haiwezekani,Lindiwe alijikuta akiongea kwa nguvu na kuwafanya asikari wa ADELI pamoja na kijana Cheki wasogee eneo ilipotokea sauti ile na kuangalia ni nani huyo aliyeongea.

"Jamani emu tufanye mambo yaliyotuleta hapa ayo mengine hayatuhusu sisi, asikari mmoja aliongea"
"Wewe huoni kama huyu mtu alikuwa anasikiliza mazungumzo yetu????"
"Huo ni wasiwasi wako tu kama mtu mwenyewe ameshapatikana tuondoke nae tusipoteze mda".

Walikubaliana na wakaamua kuondoka maeneo yale na iyo ikawa ni ahueni kwa Lindiwe aliyerudi kwenye makazi yake kwa kasi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-mfalme-kipofu-sehemi-ya-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-mfalme-kipofu-sehemi-ya
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

897
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

479
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

412
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

298
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

200
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

85

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest