Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7
Gonga94 · Stories

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

NO 06

Niliamka na kwenda sebleni nikakuta johari haha amka naona itakuwa nimeamka mapema sana ilibidi nikae nimsubiri maana sikuwa najua vifaa vya usafi vinatoka wapi .........nilikaa mda mrefu hatimae akaamka na kunikuta nimekaa ........
"Hee wewe ulikuwa kuwanga au "
"Shikamoo da johari"
"Shika yako Kama nimali alafu siongei Mara mbili hiyo dada ukamuite daa yako huko shamba sio mm"

"Samahani nimesahau"
"Haya nifate nikupe vutu uanze usafi"

"Alinipa vifaa vya kufanyia usafi nikaanza kufanya kazi pale mda huo yeye yuko anapika .......

" Nilimaliza kazi za asubuhi mda mfupi watu wanaanza kuamka ........ Nicole ndio alikuwa wakwanza kushuka.........."mambo soni"
"Poa umeamkaje"
"Salama"....... ......
"Sinimemaliza kufanya usafi"
"Ndio "
"Haya fanya haraka basi maana tunakula pamoja "
"Haya"


"Alafu johari utampa mwenzako nguo basi maana Hana nguo"

"Nimpe nguo kwamba huko alikokuwa alikuwa anashinda uchi au kaona anakuja kiwandani "

"Sema moja unampa au haumpi nasio maneno mengi"
"Mpe wewe mm sivaliani na mtu kwanza mtu mwenyewe amekaukiana kama mgonjwa wa kisonono "

"Johar kauli gani hizo"alikuwa mama mwenye nyumba...... johari alinyea huyo

"Nifate"aliniambia Nicole ......tuliongozana Hadi chumbani kwake ........mmm humu analal mtu au malaika maana sio kwa chumba hiki

"Haya chugua nguo unayoona inakufaa hapa "alisema Nicole baada ya kufungua kabati la nguo

Mmmmh hizo nguo ni fupi balaa .......
Nilichagua lakini hazikunitosha

"Heee pole, ngoja nikaongee na mama ukanunue baadae sawaee"

"Sawa"
Tulishuka chini na kukuta watu wako mezani ....... Aloo
Hawa ni watu au majini .......niliwaza baada ya kuona waka watatu wamekaa mezani huku kila mmoja Yuko bz na sm yake......

Tulifika mezani Nicole akakaa....... Mimi nikabaki nimesimama

"VP mwanangu mbona umesimama,kaa"
Aliposema hivyo nikisogeza kiti ili nikae mda wote wale wakaka wako bz na sm zao,

"Nyie wekeni sm zenu pembeni ni mda wa chai"alisema Yule mama na wote wakaweka sm pembeni Kisha wakanigeukia alafu wakamuangalia mama yao,

"Sonia"aliniita yule mama
"Abee boss"
"Niite mama inatosha, Sasa Hawa unaowaona hapa ni wanangu,na tunaishi nao hapa wote isipokuwa huyu alievaa blue sawae "

"Na nyie big boy's huyu ni Sonia ni dada mpya atakuwa anahusika na mambo yote humu ndani isipokuwa kupika maana hiyo ni kazi ya johari , hope mtaishi nae vizur sawae"

"Nice to meet you"alisema mmoja wa wale vijana Mara Nicole akadakia............"alafu ni mhindi mwenzio".........
Aliposema hivyo nikakumbuka kuwa alisema kaka (Rahul)yake atafurahi kupata mwenzake.........so huyu ndio Rahul (niliwaza)

"Asante"

"Nimefurahi kusikia kuwa na wewe una damu ya kihindi so Nani muhindi Kati ya baba yako na mama yako"
"Baba"nilijibu mkato
"Okay vizur unamacho mazuri hongera sana"

"Mmmmmmmmmmmm Mara hii"waliguna wote tena kwa pamoja

Nilihisi aibu nikaangalia chini
"What kwani uongo "
"No sio uongo,Ila Mimi nimependa kila kitu 👌"aliongea Nicole
"Mimi nimependa pua"alisema (mkorea) lee
"Mimi lips"alisema (Wang)mchina
"Mimi sauti"(Salim) mwarabu

"Haya inatosha "aliongea mama
"Mara akaja mkaka mwingine nyie huyu alikuwa handsome kuliko wote pale alishtuka akiwa kaweka uso wambuzi blaa,alipofika wote wakaa kimya alivuta kiti na kukaa

"Berat,huyu ni Sonia mdada mpya ndio anashika nafasi ya Victoria".......mama alimwambia Yule kaka aliefika

"Okay"alijibu na kuanza kula

Mmm mbona kauzu hivi na kafika tu watu wote wamekaa kwa adabu ,.......

Berat:"thanks"...... aliongea na kuondoka. Baada ya kuondoka tu Nicole alishusha pumzi Kama vile mtu aliyekuwa amebeba mzigo mkubwa

"Uuuuuuuu"

SEHEMU YA 07


"Nyie mtu Kama Askari wa motoni yaani akija tu kunakuwa na joto"aliongea Nicole

"Afadhali amenisaidia kuwanyoosha".....mama mtu alijibu

"Amesaidia kutunyoosha?badala umuombee awe mtu was kwaida eti unafurahia, nakwambia usipoangalia atakufa single huyo maana hakuna mwanamke mwenye akili zake akaolewe na jitu Kama Hilo"........ alijibu Nicole

"Nicole acha kumuita kaka yako jitu sawa"
"🙄Okay mamy sorry"
Aliinuka na kuondoka,......basi na wengine waliinuka nikabaki Mimi Rahul na johari, Sasa mda huo Johari akaanza kujichekesha pale

"So Sonia unajua kuongea kihindi"
"Hapana kaka"
"Okay nitakufundisha Kama ukipenda"

"Namm utanifundishae"aliongea Johari
"Ili uongee na Nani? Rahul aliuliza

"Jamani sininaongea na wewe "
"Tutaongea nn Mimi nawew ?"
"Kama tunavyoongea hapa "
"Sonia byee tutaonana baadae "
"Sawa kaka baadae"

Aliinuka na kuondoka basi Johari alibaki amevimba Kama andazi lililozidi amira 😏 niliamka nikaondoka akabaki amekaa pekee yake...........

Basi mida ya jioni wote walirudi kutoka kazini

Mimi mda huo nikiwa bz na kazi zangu

"Mamboo Nia"alinisalimia Lee
"Poa shikamoo kaka"
"Wewe ukijibu poa inatosha sijawa mzee kiasi hicho"
"Sawa kaka"

Akaondoka kuelekea chumbani kwake

Walipita wang, Salim. Nao wakanisalimia na kwenda chumbani kwao

Mara Rahul alirudi na kuja mahari nilipokuwa napasi

"Hi Sonia"
"Shikamoo kaka"
"Marahabaa hujambo😁"aliitkia na kucheka,

🤔Sasa kwann anacheka au nachekesha

"Aaaa nimekuletea zawadi hope utaipenda"

Nilipokea na kumshukuru
"Asante"
"Karibu"alijibu na kuondoka
Sasa nilifungua ilikuwa ni chocolate nilitabasamu na kufungua mdomo ili Nile alikuja Johari akanikwapua na kuiweka mdomoni kwake

😳😳
"Unashangaa Nini, sinilikwambia ukae mbali na mwanaume wangu"

🙄 Mwanaume wangu miguu yangu angekuwa mwanaume wako siangekuletea mwenyewe 😏(niliwaza hivyo)

"Kama hauta sikia nitakunyoo......kabla hajamaliza kuongea alipita uso wambuzi aka Berat na ukauzu wake akatupita shwaaa

Alitupita na Kama upepo bila hata salamu ............wote tukibaki 😦😦

"Yaani huyu kauzu utafikili bluce Lee sijui hata nani ataolewa na kauzu hivyo"

Aliongea Johari na kuondoka

Mda wakula ulifika wote tulikaa mezani mda huo hamna hata anae kohowa kila mtu kainama kwenye sahani yake ,........Kama kawaida kauzu akawahi kumaliza na kuondoka yaani aliinuka tu watu wakashusha pumzi na kuonza kuongea

Mmmm🤔kwani nin huyu kaka anaogopeka hivi (nilijiuliza)

"Nicole inabidi kesho uende na Sonia kununua nguo"

"Mama nitaenda nae Mimi"alidakia Rahul
"VP hauendi kazini au"
"Nitaenda Ila nitawahi kurudi"
"Sawa"
"Mama na mm nimeishiwa nguo"aliongea Johari
"Haya na wewe utaenda"mama alimjibu
"Ataenda mwenyewe sianayajua maduka yalipo"
"Heee kwaiyo tutatoka tofaut"
"Hilo sio swali ni sentence, asanteni kwa chakula"
Alijibu na kuondoka Sasa Johari alinigeuki na kunipiga jicho hilo
Mimi nikajifanya biz kula

Tulimaliza kulamm nikaenda kuosha vyombo mda huo Johari akaja

"Kesho ukatae kuwa hautaki kwenda na Rahul"
Heee huyu dada vp

"Kwanin"
"Wee kam unataka kukaa humu ndani fanya ninachokuambia laaa sivyo utarudi polini kwenu

🥺🥺 Jamani

Nilimaliza kazi nikaenda chumbani kwangu nilifika na kujitupa kitandani Mara nikaona kikaratasi kimeandikwa (good night)sikuwa najua kusoma kilichoandikwa hivyo nikaishia kukiweka pembeni tu na kulala zangu

Asubuhi na mapema niliamka na kuanza usafi kama kawaida mara kauzu akaja nilipo na kusema.........."ufue nguo zangu na ubadilishe mashuka"

Mimi nikajifanya najua sana heshima nikamwamkia

"Shikamoo kaka" hakuitika badala yake aligeuka na kuondoka

Hivi huyu kaka anamajini au sio mtu wa kawaida ...........mara nikasikia mtu ananijibu nyuma yangu

"Hana majini ila sio mtu wa kawaida huyu"niligeuka alikuwa Nicole

"Mamboo"nilimsalimia
"Poa, yaani Kati ya mtu unaetakiwa kumuogopa na kukaa nae mbali ni Berat huyu kiumbe Hana matani wala hataki mazoea na mtu yoyote kwanza haoni ajabu kukufukuza

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Sasa nakupenda fully episode
Sasa nakupenda fully episode
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7


NO 06

Niliamka na kwenda sebleni nikakuta johari haha amka naona itakuwa nimeamka mapema sana ilibidi nikae nimsubiri maana sikuwa najua vifaa vya usafi vinatoka wapi .........nilikaa mda mrefu hatimae akaamka na kunikuta nimekaa ........
"Hee wewe ulikuwa kuwanga au "
"Shikamoo da johari"
"Shika yako Kama nimali alafu siongei Mara mbili hiyo dada ukamuite daa yako huko shamba sio mm"

"Samahani nimesahau"
"Haya nifate nikupe vutu uanze usafi"

"Alinipa vifaa vya kufanyia usafi nikaanza kufanya kazi pale mda huo yeye yuko anapika .......

" Nilimaliza kazi za asubuhi mda mfupi watu wanaanza kuamka ........ Nicole ndio alikuwa wakwanza...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chaguo-la-moyo-6-7

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chaguo-la-moyo
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

434
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

321
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

99
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

96
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

83
MFALME KIPOFU  17 -- 18

MFALME KIPOFU 17 -- 18

61
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

58
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

55
MFALME KIPOFU  25 -- 26

MFALME KIPOFU 25 -- 26

55
MFALME KIPOFU  23 -- 24

MFALME KIPOFU 23 -- 24

41

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.03K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.71K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.91K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.1K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.9K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.86K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.71K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE
@majario LIVE

109 Mwenzenu nimechambwaaa, nishanangwa siamini kama ndiyi nilifunguliwa mlango mimi, nikapelekwa mtoko mimi, na nikawa natumiwa ujumbe. Leo hii kwa ukali nafokewa macho yametoka mpaka natetemeka. Nilikuwa nimechoka sana. Sijui nini kiliendelea,...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7
@majario LIVE

NO 06 Niliamka na kwenda sebleni nikakuta johari haha amka naona itakuwa nimeamka mapema sana ilibidi nikae nimsubiri maana sikuwa najua vifaa vya usafi vinatoka wapi .........nilikaa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest