Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI   SEHEMU YA 5
Gonga94 · Stories

MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI SEHEMU YA 5

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Sikusubiri Sada aniulize nilizama ndani ya gari nae akanifuata.
"Love, kuna nini lakini?" aliniuliza baada ya kunikuta mule
"Ah! da Sada jamani🤦! hii kazi balaa! dereva ebu ongeza mwendo basi!" nilisema kwa upole. Yule kijana alitabasamu kisha akalipiga gari fimbo. Punde tuliwasili hapo kazini. Tukashuka na kuanza majukumu yetu sasa. Niwe mkweli, maandazi yangu yaliopendwa sana kiasi ya kwamba nilikuwa napika hadi napika tena. Ila kulikuwa na wanaume wanakanda unga, ni mimi nawaelekeza viungo. Sasa kuna mdada akaja, Zai kama mnakumbuka alinikuta jikoni.
"Love, samahani! naona una kazi lakini kuna mtu anataka kukuona" Zai alisema akiashiria kule nje
"Zai nani tena na unaona kabisa kuna wateja bado wanahitaji maandazi" nilisema nikimuonyeshea maandazi
"Nae pia ni mteja ila ameshakula tayari" alisema Zai. Nikatoka hivo hivo na dera langu. Lakini kumbuka msomaji kuwa: boss alinisainisha mkataba, kisha akasema kama nataka kubaki na dera kazini, nijitahidi nsitoke jikoni hadi nitakapo maliza kazi. Sasa hapo masharti shwaaa yanavunjika.
"Ndio, nimeitikia wito" nilisema baada ya kumfikiliza mteja huyo. Alikuwa mzee hivi wa kizungu. Akanisifia pale kwa kingereza kisha akanipa pesa. Nilikataa ila baadae nikachukuwa. Nikarudi zangu jikoni.

Nikiwa naendelea na kazi, simu yangu iliita namba ngeni, nikapokea.
"Njoo haraka ofisini" alisema boss, na ndie alikuwa kanipigia simu. Tena hakusubiri jibu langu, alikata moja kwa moja. Nishaanza kumzoea boss wangu hivo hakunipa shida. Nilimkuta ofinisi, akiwa na Sonia tena Sonia, alikuwa kamkalia boss mapajani.
"Wewe tena! unaingia bila kubisha hodi" kilisema ki Sonia. Yaani jibu ningekuwa hili: sasa boss wako si aliniita na alikuwa anajua kuwa nakuja. Hapo nilijibu kimoyomoyo, sikutaka kujibu kwa sauti mwisho nigombezwe na hili li boss.
"Samahani madam haitajirudia tena!" nilisema kwa upole
"Okey. Baby umemwita huyu au?" Sonia alimuuliza boss
"Yeah tuna kikao kidogo" alisema boss. Sonia alituacha, tukiwa na boss. Jamani fanyeni maombi sasa.
"Naam boss, nakusikiliza" niliketi nikiwa mwoga sana lakini hata hakuongea, zaidi alinisogelea akiwa na mfuko; akanikabidhi.
"Ya nini hii boss?" nilimuuliza huku nikimtazama
"Nimechoka kukuona na hizo dera mbili kila siku, haya kuanzia leo uniform zako ni hizo" alisema hivo kisha akaendelea kuangalia laptop yake. Nilifurahi kupata nguo mpya, nikamshukuru kisha nikaondoka zangu. Sada alinikuta nabadili mavazi, kwenye chumba husika.
"Haya naona ndio unajiandaa, mi naondoka" alisema akiwa anasubiri jibu langu
"Sawa ila uniwekee ugali kipenzi" nilimwambia hivo Sada. Nilimsindikiza hadi zilipo boda, akaondoka ndio nikarudi.

Nilijielekeza moja kwa moja hadi kwenye chumba nilichoelekezwa kuna mgonjwa...natakiwa kumfanyia massage.

Niliingia moja kwa moja bila kubisha hodi maana niliambiwa kuwa ni mgonjwa kalala tu kitandani. Ghafla namkuta Sonia.

"Khaaa! we binti, mbona unanifuata sana?" aliniuliza Sonia
"Mimi nakufuata wewe? kwa lipi hasa?" nilimjibu kwa jeuri sasa.

Tuliendelea kuzozana hadi tukasikia kitu kinaanguka chini kama mzigo. Tukageuka kutazama tobaaaa😳 bibi!

To be continued.....💥

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI SEHEMU YA 5


Sikusubiri Sada aniulize nilizama ndani ya gari nae akanifuata.
"Love, kuna nini lakini?" aliniuliza baada ya kunikuta mule
"Ah! da Sada jamani🤦! hii kazi balaa! dereva ebu ongeza mwendo basi!" nilisema kwa upole. Yule kijana alitabasamu kisha akalipiga gari fimbo. Punde tuliwasili hapo kazini. Tukashuka na kuanza majukumu yetu sasa. Niwe mkweli, maandazi yangu yaliopendwa sana kiasi ya kwamba nilikuwa napika hadi napika tena. Ila kulikuwa na wanaume wanakanda unga, ni mimi nawaelekeza viungo. Sasa kuna mdada akaja, Zai kama mnakumbuka alinikuta jikoni.
"Love, samahani! naona una kazi lakini kuna mtu anataka kukuona" Zai alisema akiashiria kule nje
"Zai nani tena na unaona kabisa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mzungu-tulia-moyo-hauna-rangi-sehemu-ya-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mzungu-tulia-moyo-hauna-rangi-sehemu-ya
MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI   SEHEMU YA 4
MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI SEHEMU YA 4
MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI  SEHEMU YA 1
MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI SEHEMU YA 1
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39

1K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38

985
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40

754
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16

401
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18

351
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18

302
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18

190
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20

167
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇

AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇

82
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14

39

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.64K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.37K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.8K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.28K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.87K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.79K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.62K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.56K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18
@majario LIVE

“Dad, Ninakupa masaa 24 Uchague. Ukimchagua Noela, huta niona tena. Lakini Ukinichagua mimi, utaachana na Noela then tutaendelea na maisha yetu kama zamani” Baada ya kusema hivyo, Salmon na mama yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
@majario LIVE

Basi mimi nikaludi nyumbani nipo stressed kinoma , yani mawazo yamenijaa mnoo, nawaza inakuwaje sasa demu ndo kashanikazia ,ila naumia mnoo kwa ile hali yake na bado anaendelea kufanya biashara...

AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇 Post Mpya
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇
@majario LIVE

Kila mwanamke ana mzunguko wake lakini hii ndiyo mizunguko ambayo kila mwanamke lazima awe na mzunguko mmoja kati ya hizi:👇 1. MZUNGUKO WA SIKU 22. Huu ndo mzunguko mfupi kuliko mizunguko yote...

Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC Post Mpya
Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC
@majario LIVE

Baada ya jana klabu ya Simba kutangaza kumuongezea mkataba mpya wa mwaka mmoja beki wao kitasa Rushine De Reuck, baadhi ya mashabiki wa soka nchini 🇿🇦Afrika Kusini haswa wa Kaizer...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

ENDELEA....... Madame Yustar alitoa amri mimba itolewe ili kuepusha laana kwenye ukoo wao. "Hapana siwezi kutoa mimba hata iweje" Mellisa alimvimbia mama yake. Saa ngapi asilukiwe akaanza kutembezewa kichapo. Nae hakukubali apigwe kilahisi,...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

ENDELEA......... Mipango yangu iliendelea kwenda vizuri. Nilifanikiwa kufungua duka langu la spea za magari mke wangu alikuwa nsimamizi mzuri. Japo hakuwa na elimu ila alikuwa na akili ya biashara sana na...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa 😂 Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia " Nasrat wangu, yupo wapi mtoto...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata, Noela alipofika chuoni alihisi hali si ya kawaida. Watu walikuwa wanamuangalia kwa macho ya ajabu, wengine wakinong’ona pembeni yake. Alijaribu kupuuza lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipoingia darasani😭. Mwishowe,...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Salmon alisimama pale akimtazama Noela na baba yake kwa macho yaliyojaa hasira na maumivu. Hakutegemea kabisa kumuona Noela akiwa kwenye dinner ya kimapenzi na baba yake mwenyewe. Iris yeye alisimama pembeni,...

Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie) Post Mpya
Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)
@majario LIVE

lazima baadhi ya mambo tuambiane ukweli mchungu hili uwe tiba kwa vizazi vijavyo pamoja na wasanii chipukizi. Hili swala la Chado Masta kuzaa na Kidemu Jau kuna namna sio salama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
@majario LIVE

Daaah unajua mtoto alibaki kashangaaa ,et akasogea nyuma yangu akajificha, aseeee zena akainuka kwa kwa hasira ,akaja akamvuta mtoto, akamipiga konde moja la mgongo zito kwei kweli ,yani hii siku...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi nikasema ummy upo mama, ummya kanmbia ndio baba nimekumiss, kila siku niktaka kuongea na wewe mama ananikatazia, nikasema ooh sawa mama ndo mana leo nimekuja kukuona mama sawa, basi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi zena akanmbia ni sawa pia, nikasema powa ibraa twenzetu, ibra akanmbia mh millan usipanic bwana ,uyu mwanamke alafu sa hizi ana hasira, ebu tulia tuongee vizuri kaka, mbona...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
@majario LIVE

ENDELEA......... Tuliingia room tulifanya yetu baada ya hapo tulitoka mie nililudi kazini na Mellisa aliludi nyumbani. Majira ya jioni nilimpitia Madame Yustar kazini kwake. Aiseeee nae akataka yaani nilikuwa nachoka kinouma asikwambia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15
@majario LIVE

ENDELEA.......... Ndani ya masaa kadhaaa niliingiza mkwanja wa milioni tatu na nusu kutoka kwa jimama la mjini. "Hata Madame Yustar hajawaibkunipa pesa nyingi hivi kwa muda mchache. Huyu nimkubalie nini?" Nilijiuliza mwenyewe....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest