Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI   SEHEMU YA 4
Gonga94 ยท Stories

MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI SEHEMU YA 4

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

"Fredy, nini kuvutana bana!" Sada aliongea kwa maumivu mkononi...

"Sada, nisikilize: tabia ya kumpiga Kasie bila kosa lolote acha! Kuna siku utakuja umpige upate balaa!" Fredy alilalamika...

"Khaaaa! ๐Ÿ˜† Nicheke ninenepe mie! Kwanza huyo Kasie nimpige mimi wa umri wangu huu? Halafu tena, kama ningempiga wala asingesema lakini hajapigwa analeta shobo," Sada aliongea akiwa anautikisa mwili wake.

"Shenzi (Fredy alimtwika kibao da Sada), pumbavu wewe! Nisikilize: nikirudia kusikia umempiga Kesie utaujua undani wangu upoje," Fredy aligeuka akitaka kuondoka... Lakini na mimi nilimuwahi nikamuweka mtama kama alivyomuweka da Sada.

"Ukome kabisa! Da Sada, twende ndani!" nilimshika mkono da Sada tukaingia ndani.

"Kaka! Amekupiga ๐Ÿ˜ณ! Usikubali kaka," Kasie alisema huku akitaka kunifuata... Hapo nikamsukumiza da Sada ndani, kisha mimi nikasimama mlangoni.

"Unasemaje sasa! Sogea nikuchavue huo uso! Na kwavile umejichubua basi ndio hutokaa upone kenge wa njano! Ebu sogea uone!" nilisema nikiwa tayari kwa vita.

"Kasie, tuondoke!" Fredy aliongea huku akimvuta mdogo wake... Alikuwa akinitazama... Nadhani ni kwasababu hakuamini kuwa ningefanya kama nilichokifanya.

Niliingia ndani nakuta Sada kavuta mdomo... Nikakaa nae ili kujua shida...

"Da Sada, usiwe hivo nishalimaliza bana," nilisema kumgeukia Sada...

"Hivi Love: umepata aje ujasiri wa kumpiga Fredy? Yani uhhh
unawezaje kumpiga?" da sada alifoka sana
"Dada, nisingejizuia kuona anakudhalilisha mbele ya hiko kitoto bana!" nilisema nikiwa na hasira.
"Ugomvi wetu tuachie wenyewe!" da Sada alisema kisha akajitupa kitandani na kulala.

Asubuhi tuliona gari mlangoni wakati tunataka kwenda kazini. Mi nilijua tu huyu ni boss bana. Haya nikaona bora nichukuwe bajaji. Da Sada hakunielewa, ila nilimvuta kwenye tax tukaanza mwendo sasa. Alikuwa akitaka kuongea, ila mi niliona gari likianza kutufuata sasa nadhani alikuwa na maswali mengi: leo taxi mimi Love mmh maajabu.

To be continued......๐Ÿ’ฅ
Tangazo - General kumbe ulinipenda kweli eee
General kumbe ulinipenda kweli eee
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI SEHEMU YA 4


"Fredy, nini kuvutana bana!" Sada aliongea kwa maumivu mkononi...

"Sada, nisikilize: tabia ya kumpiga Kasie bila kosa lolote acha! Kuna siku utakuja umpige upate balaa!" Fredy alilalamika...

"Khaaaa! ๐Ÿ˜† Nicheke ninenepe mie! Kwanza huyo Kasie nimpige mimi wa umri wangu huu? Halafu tena, kama ningempiga wala asingesema lakini hajapigwa analeta shobo," Sada aliongea akiwa anautikisa mwili wake.

"Shenzi (Fredy alimtwika kibao da Sada), pumbavu wewe! Nisikilize: nikirudia kusikia umempiga Kesie utaujua undani wangu upoje," Fredy aligeuka akitaka kuondoka... Lakini na mimi nilimuwahi nikamuweka mtama kama alivyomuweka da Sada.

"Ukome kabisa! Da Sada, twende ndani!" nilimshika mkono da Sada tukaingia ndani.

"Kaka! Amekupiga ๐Ÿ˜ณ! Usikubali kaka,"...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mzungu-tulia-moyo-hauna-rangi-sehemu-ya-4

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mzungu-tulia-moyo-hauna-rangi-sehemu-ya
MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI   SEHEMU YA 5
MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI SEHEMU YA 5
MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI  SEHEMU YA 1
MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI SEHEMU YA 1
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

10K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.2K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.46K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.52K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.29K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.09K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.06K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.01K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.96K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.93K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest