Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
Gonga94 · Stories

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.





Ilipoishia sehemu iliyopita......
Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira
"Nendeni mkawarudishe haraka"
"Mfalme tayali wameshavuka mpaka"
"Nimesema nendeni mkawarudishe"
Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea .....

SEHEMU YA 16
ENDELEA NAYO......
Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti yake huyo ,
"Chondechonde binti yangu ata kama akija naomba usiolewe na yule kipofu sitaki kuona ufalme wangu unaongonzwa na kipofu itakuwa vyepesi sana ufalme huu kuanguka".
"Lakini mimi nampenda sana Yao???, nataka awe mume wangu"
"Binti yangu sio kila unayempenda lazima uwe nae mda mwingine hatima huamua, ata mimi pia nilimpenda mwanamke mwingine lakini hatima ikaja kunikutanisha na marehemu mama yako"

Manane ya mfalme yalimfanya aelewe Princess Nailet.

"Sasa naomba tuweke makubaliano ata kama wakirudi lazima utii makubaliano yetu"
"Sawa baba nimakubali kiwekeana makubaliano"
"Sitaki kuona unakuwa karibu na Yao na nita kutafutia mtu mwingine wa kukuoa".

Princess Nailet hakuwa na jinsi kwakuwa alitaka Prince Yao na Lindiwe waweze kurudi aliamua kukubali tu.

"Sawa baba nimekubali,sitaki kuona mtu asiye na hatia anafukuzwa kwa ajili yangu nataka kumuona Yao akirudi hapa pamoja na mama yake.

******************

Prince Yao na Lindiwe wanakaribia kuingia katika ufalme wa ADELI,
"Yao huku ni kama nyumbani kwenu tunakoenda naamini utapapenda zaidi"
"Natamani ningekuwa na uwezo wa kuona nione kinacho endelea,Yao aliongea kwa huzuni".
"Ipo siku utaona".
"Ni miaka mingi sasa imepita, huwa unanipa tumaini la kuja kuona ila sioni izo dalili mama za kuona".
"Mungu anasababu zake Yao naamini ipo siku utaona tu".
Lindiwe aliendelea kumtia moyo japo ata yeye alijua ni ngumu kwa Yao kuweza kuona.

Lindiwe aliwaza ni sehemu gani ya kwenda atakapofika kwenye ufalme huo wa ADELI, baada ya kuondoka kwa mda Mrefu na sasa anarejea akiwa n Prince Yao.

**********
Majira ya usiku General pamoja na Nzegi wakijiandaa kwa ajili ya kwenda kutekeleza mipango yao katika nyumba ya waziri mkuu,
Waliondoka na kuelekea kwenye nyumba ya waziri mkuu.

Waziri mkuu ni mtu anayependa kulewa sana hawezi kulala bira kunywa pombe na siku iyo kama kawaida yake alikuwa amekaa peke yake akiburudika na kinywaji.

"Naona unafurahia maisha tu"
"General......ume..in..gia...je.humu"
"Leo naona umepatwa na tatizo la kigugumizi emu nimininie na mimi ninywe ni mda mrefu hatujanywa pamoja"

Waziri mkuu alikiona kifo kipo mbele yake pombe zote zilikata.
"Walin........,kabra ata hajamaliza kutamka neno walinzi upanga wa General ulipita kwenye kolomeo lake huo ndio ukawa mwisho wa waziri mkuu"

General alitoka na kumkuta Nzegi amesimama nje akiangalia usalama ili wasipate changamoto yoyote,
"Kazi tayali imeisha anayefata ni mfalme sasa ivi"
"Heeeeeh!! Mfalme!!!!!".
"Ndio mfalme mbona umeshangaa??"
"Kuna ulinzi wa kutosha sasa ivi katika jumba la kifalme ni njia gani tutatumia kuingia katika kasili hilo la kifalme"
"Ndio mana nilimwambia yule asikari amlete Prince feki".
General ni mtu hatari sana na anakila mbinu ya kufanya kitu pale anapozamilia.

****************
Mfalme Tengu na binti yake maelewano yalirudi na sasa Princess aliamini Yao atakuwa ameshapatikana na watafika mda wowote katika ufalme wao,
Wakiwa wameketi wanapata chakula cha usiku walinzi walioenda kuwatafuta Prince Yao na Lindiwe walifika na kuleta tarifa,

"Mfalme hatujafanyikiwa kuwaona tumeangalia kila sehemu"
"Nyie wajinga kweli mumeshindwa kufatilia njia inayoenda katika ufalme wa ADELI"
"Tusamehe Mfalme hatukujua"
"Pumbavu kabisa emu tokeni hapa"
"Baba kwahiyo watakuwa wameenda ADELI?????"
"Ndiko walikotokea nazani watakuwa wameelekea huko".

Binti mfalme alinyenyuka akutaka kuendelea tena kupata chakula alielekea chumbani kwake na alichokuwa anawaza kwenye kichwa chake ilikuwa ni siri yake mwenyewe.

*******************
Lindiwe na Prince Yao wanafanyikiwa kufika ADELI na walipitia njia iliyokaribu na msitu mkubwa wa ADELI unaotumiwa na General pamoja na Nzegi kama sehemu ya makazi yao ya muda.

Prince Yao kwa mbali alisikia sauti ya watu wakiongea,
"Mama nasikia sauti za watu kwani unawaona hao watu????:
Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ambayo ni ngumu kuonekana.
Namu sura ya General haikutoka
machoni mwake alimuona
General akiwa......ITAENDELEA.

Princess Nailet atafanya mamuzi gani??baada ya kuletewa tarifa za kukosekana kwa Yao na Lindiwe,na Mfalme Kojo atapokeaje tarifa za kifo cha Waziri mkuu?? sehemu inayofata inamajibu zaidi.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17






Ilipoishia sehemu iliyopita......
Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira
"Nendeni mkawarudishe haraka"
"Mfalme tayali wameshavuka mpaka"
"Nimesema nendeni mkawarudishe"
Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea .....

SEHEMU YA 16
ENDELEA NAYO......
Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti yake huyo ,
"Chondechonde binti yangu ata kama akija naomba usiolewe na yule kipofu sitaki kuona ufalme wangu unaongonzwa na kipofu itakuwa vyepesi sana ufalme huu kuanguka".
"Lakini mimi nampenda sana Yao???, nataka awe mume wangu"
"Binti yangu sio kila unayempenda lazima uwe nae mda mwingine hatima huamua, ata mimi pia nilimpenda mwanamke mwingine lakini hatima ikaja kunikutanisha na marehemu mama yako"

Manane ya mfalme yalimfanya aelewe Princess Nailet.

"Sasa naomba tuweke makubaliano ata kama...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mfalme-kipofu-mtunzizooper-sehemi-ya-16-17

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mfalme-kipofu-mtunzizooper-sehemi-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

364
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

334
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

319
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

174
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

76
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

52
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

43
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

31
MFALME KIPOFU  25 -- 26

MFALME KIPOFU 25 -- 26

31
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

29

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.69K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.9K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.65K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.09K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.87K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.85K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.7K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE
@majario LIVE

109 Mwenzenu nimechambwaaa, nishanangwa siamini kama ndiyi nilifunguliwa mlango mimi, nikapelekwa mtoko mimi, na nikawa natumiwa ujumbe. Leo hii kwa ukali nafokewa macho yametoka mpaka natetemeka. Nilikuwa nimechoka sana. Sijui nini kiliendelea,...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7
@majario LIVE

NO 06 Niliamka na kwenda sebleni nikakuta johari haha amka naona itakuwa nimeamka mapema sana ilibidi nikae nimsubiri maana sikuwa najua vifaa vya usafi vinatoka wapi .........nilikaa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108
@majario LIVE

:101 Nimeingia tu chumbani, rafiki yangu alikuwa amejilaza akakaa ananitazama, ni kweli alionekana kama vile katoka kulia. Hakunipa nafasi hata akasema “wewe mtoto, unanukia kama kajini kakitajiri.” Nikacheka nikisema “upoje jini la...

mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi hao ni Muhtasham na mkewe, Ihsan. Post Mpya
mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi hao ni Muhtasham na mkewe, Ihsan.
@majario LIVE

💥Kamera zilikuwa zikiwanasa mara nyingi wakiishangilia kwa pamoja katika klabu ya Uturuki ya Fenerbahçe, na wakawa kama moja ya kielelezo cha mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest