Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Gonga94 · Stories

Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
atatambulishwa mbele ya wananchi wote wa ADELI,Nzegi alimpata tarifa zile general".
"Hahahahahahahaha mda ambao nilikuwa nikiusuburi kwa miaka ishirini (20) sasa umewadia....

ENDELEA NAYO......
"Hahahahahahahaha mda ambao nilikuwa nikiusuburi kwa miaka ishirini (20) sasa umewadia"
"Unamaana gani General kuongea ivyo??"
"Nzegi wewe ni mlinzi wa mda mrefu katika jumba la kifalme unajua siku zenye matukio makubwa ulinzi huimalishwa sehemu moja tu katika ufalme wetu huu"
"Hahahaha nimekuelewa General nasijui kwanini sikufikilia hili mapema".
"Mda wangu wa kutoka gerezani umefika bora wangeniua tu kile kipindi ila kuniacha hai ni kosa ambalo hawatokuja kulisahau".

Ni mpango uliokuwepo kati ya General pamoja na mlinzi mkuu Nzegi na hii ni hatari sana kwa familia ya kifalme kama General akifanyikiwa kutoroka gerezani.

*****************

Familia ya Mfalme Kojo ikiwa katika meza ya chakula.
"Mtukufu mfalme nimesikia tarifa za kutambulishwa kwa Prince,tarifa hizi zinaukweli wowote baba??, Princess mkubwa aliye fahamika kwa jina la Yanite alimuuliza baba yake au Mfalme kojo"
Mfalme kojo hakuwa na la kujibu zaidi ya kumtazama na kumfanya Princess Yanite anyamaze kimya.
"Ata mimi pia nataman nimjue kaka yangu tuwe tunacheza wote, mtoto wa mwisho wa mfalme kojo aliyefahamika kama Princess Yanni aliongea"

Mfalme kojo hakutaka tena kuendelea kukaa katika meza ile ya chakula alinyenyuka na kuondoka na kuiacha familia yake katika meza ya chakula.

"Huwa nawambia siku zote mda wa kula hamtakiwi kuongea ovyo,Malikia aliongea kwa hasira"
"Lakini mama sinikweli hichi tulicho kizungumza??, Princess Yanite aliongea".
"Mda ukifika mtajua kila kitu".

Mfalme Kojo akiwa anatembea baada ya kutoka katika meza ya chakula alikumbuka kuwa anasiku tatu alizo ahidi za kumtambulisha Prince mbele ya halaiki,
Palepale aliamua kuita asikari wake anao waamini na kuwapa kazi kwenda nchi za mbali kumtafuta kijana atakaye kuja kuchukua nafasi ya Prince kwa mda mfupi.

"Nimewaamini nyinyi na ndio mana sitaki kumhusisha Mlinzi mkuu Nzegi hili swala ivyo nendeni mkatekeleza maagizo yangu na yoyote atakayevujisha izi tarifa kifo kinamhusu"
"Tumekuelewa mtukufu mfalme".
"Na ivi ni vipande vya dhahabu ambavyo mtampatia huyo kijana kama malipo yake ya mwanzo badae nitamumalizia malipo yake mengine baada ya kazi".

Asikari waliondoka katika jumba la kifalme na kutekeleza jukumu walilopewa na mfalme wao,
Pia walipewa barua maalumu yenye muhuri wa kifalme kama ishara ya popote pale watakapofika kwenye mipaka ya falme zingine waweze kuingia bira kuwa na kipingamizi.

********************
Ndani ya kijiji cha Nyengweli kilicho katika ufalme wa ADELI,
"Nashukuru sana kwa matibabu ya mjukuu wangu sikutegemea kama atarudi katika hali yake"
"Usijali babu ni kazi yetu kusaidia watu kwa kuwatibu,binti Amma alimjibu mzee yule"
"Naomba nishike mkono wako nikuangalie inaonekana ni mtu mwenye bahati sana".
Binti Amma alimpatia mkono mzee yule.

Palepale yule mzee alipiga magoti chini na kumfanya mjukuu wake kushangaa!!!.

"Babu unamatatizo gani????"
Mjukuu wake alimuuliza baada ya kuona babu yake amepiga magoti mbele ya binti Amma.
"Mimi sipaswi kusimama mbele ya mtu mkubwa katika ufalme huu wa ADELI nakuomba upige magoti mjukuu wangu utoe heshima juu ya huyu binti".

Maneno yale yalimtoa ndani baba yake na Amma baada ya kusikia mazungumzo ya yule mzee.

"Mzee wangu emu amka haina haja ya kupiga magoti"
"unabahati sana katika uzao wako".Mzee yule aliongea.
"unamaana gani kusema ivyo???".
"Yakupaswa uelewe tu unabahati katika uzao wako na pia nashukuru kwa matibabu ya mjukuu wangu na sina cha kuongea zaidi ila najivunia kuona mtu ambae sikutegemea kama ipo siku nitafanyikiwa ata kumshika kwenye maisha yangu"

Mzee yule aliongea na kuondoka zake pamoja na mjukuu wake aliyekwisha kutibiwa na kuwaacha Amma pamoja na baba yake katika maswali mengi yasiyo na majibu......ITAENDELEA.

Kwa sh 1000 tu unajipatia mwendelezo huu mpaka mwisho lipia sasa kwa NAMBA 0613083801 HALOPESA jina John Bugumba, kisha nitumie SMS ya malipo kwa njia ya whatsapp namba 0748697173 upate Full simulizi 🙏🙏🙏🙏🙏.

Kipi ambacho mzee huyu amekiona kwa binti Amma mpaka kupelekea kupiga magoto mbele yake na je? asikari waliotumwa na Mfalme Kojo watafanyikiwa kumpata kijana atakayechukua nafasi ya Prince Yao kqa mda mfupi????, tukutane sehemu inayofata.
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince

atatambulishwa mbele ya wananchi wote wa ADELI,Nzegi alimpata tarifa zile general".
"Hahahahahahahaha mda ambao nilikuwa nikiusuburi kwa miaka ishirini (20) sasa umewadia....

ENDELEA NAYO......
"Hahahahahahahaha mda ambao nilikuwa nikiusuburi kwa miaka ishirini (20) sasa umewadia"
"Unamaana gani General kuongea ivyo??"
"Nzegi wewe ni mlinzi wa mda mrefu katika jumba la kifalme unajua siku zenye matukio makubwa ulinzi huimalishwa sehemu moja tu katika ufalme wetu huu"
"Hahahaha nimekuelewa General nasijui kwanini sikufikilia hili mapema".
"Mda wangu wa kutoka gerezani umefika bora wangeniua tu kile kipindi ila kuniacha hai ni kosa ambalo hawatokuja kulisahau".

Ni mpango uliokuwepo kati ya General pamoja na mlinzi mkuu Nzegi na hii ni hatari...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-mfalme-kipofu-sehemi-ya-08-ilipoishia-sehemu-iliyopita-tarifa-gani-inasemekana-baada-ya-siku-t

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-mfalme-kipofu-sehemi-ya
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30

MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30

354
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33

MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33

305
MY WANGU❤️ sehemu ya 31

MY WANGU❤️ sehemu ya 31

224
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 16

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 16

138
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35

MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35

120
MFALME KIPOFU 11

MFALME KIPOFU 11

60
walio mpiga Murtaza Mangungu wakemewa

walio mpiga Murtaza Mangungu wakemewa

57

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.6K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.6K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.85K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.37K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.21K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.17K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.16K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.06K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest