Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Gonga94 · Stories

Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
hilo la kifalme kwa njia ya siri,ilikuwa ni huzuni kubwa sana kwa malikia pamoja na mfalme kutengana na mtoto wao......................

ENDELEA ...............
ilikuwa ni huzuni kubwa sana kwa malikia pamoja na mfalme kutengana na mtoto wao,hawajua ni lini tena watamuona.
"Mtukufu mfalme naomba tuelekee katika jumba la kifalme".
Malikia andwaa aliongea baada ya kuhisi upye ndani yake sababu alimzoea sana mwanae
"Ni wakati mgumu sana unaopitia malikia wangu kwa kutengana na kijana wako".
"Mda mwingine kwenye maisha ni kawaida kupitia jambo usilolitarajia mfalme,ilikuwa ni lazima nitengane na Prince Yao mtukufu mfalme,
Utawaambia nini watu wako utakapofika mda wa kumtambulisha prince????"
"Mimi ni mfalme wa ADELI hakuna wa kupinga kauli yangu tutajua cha kufanya".

Mfalme pamoja na malikia andwaa walirejea katika jumba la kifalme baada ya kumkabizi prince Yao mikononi mwa mtumishi wao Lindiwe aliyefanyikiwa kuondoka na Prince Yao katika jumba la kifalme.

*********************

"Ni miaka mitatu sasa tunaanda jeshi la kuja kupindua huu ufalme general huoni kama ni mda sahihi huu wa sisi kuchukua huu utawala?????".
"Wazari mkuu, upo sawa kwa ulichokiongea idadi ya jeshi letu ni kubwa kuliko jeshi la mfalme,na nikiwa kama General nitaliondoa jeshi analolitegemea mfalme nilipeleke mipakani siku ambayo tutauvamia huu ufalme".
"Lakini wewe ni general kwanini usiwashawishi wanajeshi wote wakawa upande wako????".
"Huwa sipendi mtu mwenye mawazo ya kijinga,siku nyingine nitakukata kichwa sitajali kama wewe ni wazari mkuu na upo katika mipango yangu,
Wewe ni waziri mkuu tumia akili, mfalme anawapelelezi wa siri ivyo itakuwa ni vyepesi tarifa kumfikia na iyo itakuwa hatari kwetu,General aliongea"

Hapo ndipo waziri mkuu alipojua kuwa ameingia kwenye mipango na mtu hatari sana na anatakiwa awe makini mana general alionekana hana utani ata kidogo.

Licha ya general kumkalipia waziri mkuu bado waliendelea na mipango yao ya kupindua ufalme na hawakutaka kupoteza mda tena baada ya kuandaa jeshi lao kwa miaka mitatu,walipanga kuvamia usiku unaofata.

**********************

Ni siku nyingine tena Lindiwe akiwa na prince Yao anafanyikiwa kuvuka mpaka wa falme ya ADELI na anaingia kwenye mipaka ya falme nyingine.

"Mbona tangu jana tupo kwenye farasi kwani tunaenda wapi na wewe ni nani???",
Japo kuwa alikuwa haoni na ni mtoto mdogo prince Yao alijaliwa ufahamu wa hali ya juu
"Usijali mtoto mzuri nakupeleka sehemu nzuri ya wewe kutibiwa uweze kuona"
"Unasema kweli????,"
"Ndio mtoto mzuri"
"basi wewe ni mtu mzuri sana na endesha farasi haraka tuwahi kufika nataka nione sura ya mama inafananaje"

Kwa maneno aliyokuwa anaongea prince yao Lindiwe alijikuta anatoa machozi ni huzuni kwa mtoto kama yule kuwa na tatizo la kutokuona.

"Nisamehe sana Prince sikuwa na kingine cha kuongea zaidi ya kukudanganya natamani uweze kuona ila sina uwezo wa kukufanya uone,yalikuwa ni maneno aliyoongea ndani ya moyo wake mwenyewe".

Wakiwa bado wanaendelea na safari na kuzungumza,gafra walizungukwa na kundi kubwa la vijana wenye mikuki na mishale.
Lindiwe na mtoto Prince Yao walishuka kutoka kwenye farasi wakawa wameingia mikononi mwa vijana wale.

"Nyie ni kina nani??, na mnatokea wapi????,moja ya vijana wale aliuliza"
"Tunatokea katika ufalme wa ADELI na huyu ni mtoto wangu haoni nimekuja nchi za mbali kumtafutia dawa ya kumfanya aweze kuona"
Prince Yao alisikia sauti ya Lindiwe akimtambulisha kama mtoto wake ila hakutaka kutia neno lolote lile.
"wakamateni tuwapeleke kwa mfalme".

Lindiwe hakuweza kufanya chochote mbele ya vijana wale zaidi ya kutii amri ya kukamatwa na kupelekwa kwa mfalme wao.

*********************

Baada ya mihangaiko ya kutwa nzima mfalme kojo akiwa amepumzika na Malikia Andwaa katika kitanda usiku wa siku hiyo, walisikie kelele upande wa nje na kumfanya mfalme amke na kutoka nje kuangalia kunatatizo gani.

"Mfalme!!!mfalme!!!!!!mfalme!!!!! tumevamiwa,zilikuwa ni kelele ambazo zilimfanya Mfalme Kojo atambue kuwa tayali hali imechafuka alirudi katika chumba chake".
"Wewe nenda katika chumba cha siri ukatulie huko acha nikamalizane nae huyu mpuuzi alijua mimi ni mjinga kama yeye"
"inamaana ulikuwa unajua mfalme kama kuna huu mpango wa kuja kuvamiwa usiku wa leo???"
Malikia alimuuliza mfalme baada kuona kama hajashitushwa na kuvamiwa kwao.
"Ndio nilikuwa najua kila kitu ila sio mda sahihi huu wa kuongea wewe nenda"

Mfalme alitoka na kuelekea sehemu ya mapambano na kumuacha malikia akiwa na maswali mengi kichwani.

Shambuliaaaaaaaaa!!!! General alitoa amri kwa wanajeshi wake ambao tayali walikuwa wameingia katika jumba la kifalme kupitia geti kuu.
"Nasema shambulia",
Alitoa amri nyingine tena kwa wanajeshi wake cha ajabu walitulia tu wakimwangalia general wao huyo.
"Ivi mumepatwa na nini nyinyi??,"
Hamsikii amri yangu General Tengeli aliongea baada ya kuona wanajeshi wake hawafanyi chochote kile licha ya kuingia kwa bwebwe zote katika jumba la kifalme.
"Kwa mara ya mwisho nasema shambulieniiiii........."

"Hawawezi kutii amri yako hao ata siku moja general",
ilisikika sauti na kumfanya General kugeuka nyuma kuangalia ni nani huyo aliyeongea kwa kujiamini mbele yake tena mbele ya wanajeshi wake na ukizingatia wanajeshi amewafundisha mwenyewe.............ITAENDELEA.

Ni kwanini wanajeshi wa General hawataki kutii amri ya kiongonzi wao??? na vip kuhusu hatima ya Lindiwe na Prince Yao tukutane sehemu ya 05 inamajibu zaidi

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo

hilo la kifalme kwa njia ya siri,ilikuwa ni huzuni kubwa sana kwa malikia pamoja na mfalme kutengana na mtoto wao......................

ENDELEA ...............
ilikuwa ni huzuni kubwa sana kwa malikia pamoja na mfalme kutengana na mtoto wao,hawajua ni lini tena watamuona.
"Mtukufu mfalme naomba tuelekee katika jumba la kifalme".
Malikia andwaa aliongea baada ya kuhisi upye ndani yake sababu alimzoea sana mwanae
"Ni wakati mgumu sana unaopitia malikia wangu kwa kutengana na kijana wako".
"Mda mwingine kwenye maisha ni kawaida kupitia jambo usilolitarajia mfalme,ilikuwa ni lazima nitengane na Prince Yao mtukufu mfalme,
Utawaambia nini watu wako utakapofika mda wa kumtambulisha prince????"
"Mimi ni mfalme wa ADELI...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-mfalme-kipofu-sehemi-ya-04-ilipoishia-sehemu-iliyopita-farasi-ilifika-lindiwe-pamoja-na-prince

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-mfalme-kipofu-sehemi-ya
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

890
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

467
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

290
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest