Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Gonga94 ยท Stories

Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
,Malikia andwaa aliongea"
"Mfalme pamoja na Malikia mtoto wenu ni kipofu.....

KUPATA MWENDELEZO ZAIDI WA SEHEMU INAYOFYATA BONYEZA LINK YA HAPO CHINI ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ usisahau kunifollow ๐Ÿ™๐Ÿ™
https://www.facebook.com/profile.php?id=61550632115006

ENDELEA .........
"Mfalme pamoja na Malikia mtoto wenu ni kipofu hatoweza kuona na itakuwa ngumu kwake kuwa kiongonzi wa falme hii tukufu"
"Hapana haiwezekani tengua utabili wako"
"Mfalme ni wajibu wangu kuleta tarifa nilizopewa na miungu na nipo tayali kupokea adhabu yoyote ile kwa tarifa hii mbaya mtukufu mfalme"
"Mfalme umemsikia huyu mtabili haiwezekani mwanangu awe kipofu,siamini mambo ya utabili kabisa, naomba umtoe humu ndani,"Malikia andwaa aliongea.

Wakati maongezi hayo yanaendelea kulikuwa na watumishi katika jumba la kifalme wanaofanya kazi ya upelelezi wa siri pasipo mtu yoyote kujua.
Na moja ya mpelelezi katika jumba la kifalme ni Nzegi ambae ni mlinzi wa karibu na mfalme na alisikia maongenzi yote yaliyokuwa yanaendelea katika kile chumba .

Mfalme pamoja na Mtabili waliamua kutoka mle chumbani na kumuacha Malikia pamoja na mtoto bira kujua kama mlinzi mkuu Nzegi amesikia kila kitu.

Mfalme kojo alikuwa anaamini sana mambo ya utabili tofauti na Malikia andwaa.
"Mtabili hamna njia yoyote ya kumfanya mwanangu aweze kuona????"
"Mtukufu mfalme utanisamehe kwa haya maneno nitakayokuambia,
MIAKA MITATU IJAYO ATAZALIWA MTOTO WA KIKE KATIKA KIJIJI KILICHO NDANI YA FALME YETU NA HUYO NDIE ATAKAYE MFANYA MWANAO AWEZE KUONA".
"Miaka mitatu ijayo mbona mbali sana????"
"Ndio mfalme itabidi muwe wavumilivu na ni tarifa nilizopewa na miungu niwafikishie"
"Tutamjuaje huyo mtoto atakayezaliwa kama ndie mtu anayetakiwa amtibu mtoto wangu??????"
"Utanisamehe mfalme kwa hili Miungu yangu imenikataza kukweleza hili mfalme sitaweza kukuambia ni katika familia gani au ni kijiji kipi icho atakachozaliwa mtukufu mfalme"

Baada ya maongezi mtabili aliondoka katika jumba la kifalme na kuelekea katika makazi yake na kumuacha mfalme katika kipindi kigumu sana akitafakari maneno ya mtabili.

******************

Nyumba iliyo pembezoni na makazi ya watu,mtabili anafanyikiwa kufika salama usiku huo katika makazi yake baada ya kutoka katika jumba la kifalme.

"Tulijua tu lazima utarudi ndio mana tulikaa kukusuburi hapa"
"Ata mimi nilijua lazima nitawakuta tu ndio mana nimekuja"
"Anajifanya jeuli huyu mtabili aya mkamateni haraka twende nae mpaka kwa General haiwezekani atudanganye sisi,asikari kiongonzi aliongea".

Mtabili alikamatwa na kupelekwa kwa general ambae alikuwa na mipango mikubwa juu ya ufalme wa ADELI.

"Safi sana asikari wangu kwa kuniletea huyu mtabili,unajifanya mjanja sana wewe mtabili mpaka ukaamua kutudanganya juu ya mtoto atakayezaliwa"
"Hahahahaha nakuonea huruma sana general hutopata unachokitaka bora uendelee kuwa mtiifu tu kwa mfalme kojo"
"Niwe mtiifu????,mimi nautaka ufalme nimechoka kuwa mtumwa na nitakuwa mfalme ajaye wa ADELI mda sio mrefu".
"Pole sana general umeshachelewa mtoto aliyezaliwa ndie atakayekuwa mfalme wa ADELI katika miaka ijayo"
"hahaha utabili wako ni uongo tu hakuna chochote cha ukweli unachoongea watu kama nyinyi hamtakiwi kuishi kwenye hii dunia".
"Najua naenda kufa ila naishukuru miungu kwa kunipa nafasi ya kumuona mfalme wangu ajaye,mtabili yule aliongea akiimaanisha kuwa ameshaona dalili za yeye kufia katika mikono ya general"
Sawa kawasalimie kuzimu,General alinyenyua upanga wake na kukata kichwa cha mtabili yule na ukawa mwisho wa mtabili.
"Ni usiku sana kila mtu akapumzike sasa kesho nitaenda katika jumba la kifalme mwenyewe,General aliongea na kuwafanya asikari wake watii amri".

*********************

Ni asubuhi na mapema katika jumba la kifalme, Malikia andwaa ni mtu aliyekuwa na mawazo kutokana na tarifa aliyoipata juu ya mtoto wake kuwa kipofu, mfalme kojo alilitambua hilo kwa malikia wake.

"Malikia wangu hujalala tangu jana usiku ni vyema ukapumzika sasa"
"Naanzaje kulala mtukufu mfalme kwa kile mtabili alichotuambia usiku wa jana, mwangalie mtoto wetu ni mtoto mzuri na shupavu alafu leo hii et awe kipofu???,hii hapana"
"Hii ni siri ambayo hatakiwi mtu yoyote kuijua kama mtoto wetu ni kipofu,
Na kuanzia leo na miaka yote ya kukuwa kwake atakaa chumbani kwake humu,na haruhusiwi kutoka nje mpaka pale matibabu yake yatakapo patikana".

Malikia hakufurahishwa na maamuzi ya mfalme ila alikubaliana nayo na hii ikawa siri kati yao wawili bira kujua kuna mtu wa tatu ambae ni Nzegi nae anafahamu iyo siri.

***************
General akiwa katika maandalizi ya kuelekea katika jumba la kifalme gafra mpelelezi wake anafika.
"General kuna tarifa mpya na nzuri Nzegi kanipatia"
"Sema tarifa gani izo"
"Inasemekana mtoto aliyezaliwa hatokuwa na uwezo wa kuona, jana nzegi alimsikia mtabili akiwaambia mfalme kojo pamoja na malikia andawaa"
"Mimi nikajua ni tarifa za mhimu kumbe ni za kijinga ivyo, yule mtabili muongo tuliyemua jana hana utabili wowote ule"
Hapana General ni ukweli ninachoonge....
Kabra ata hajamaliza kuongeza neno lolote mpelelezi yule tayali mshale ulikuwa katika kolomeo lake nakushindwa kuendelea kuongea alianguka na kufa hapohapo.

"Huwa sipendi wapelelezi wajinga wajinga kama hawa, aya mimi nelekea katika jumba la kifalme mbebeni mkamtupe huko na asikari mwingine achukue nafasi yake ".

Huyo ndie general au kwa kirefu mwite General Tengeli,nimkatili asiye na huruma ata kidogo ndio mana akapatiwa nafasi kubwa katika jumba la kifalme ya kuongonza jeshi lote la mfalme Kojo,General Tengeli anataman kuwa mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi lake mwenyewe katikati ya msitu ili siku moja aje apindue ufalme na kukikalia kitu cha kifalme .....ITAENDELEA.

Hii si ya kukosa General anaelekea katika jumba la kifalme na vipi kuhusu siri ya mtoto kipofu je? watu wengine watafahamu kama mtoto yule ni kipofu tukutane hatua inayofata

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???

,Malikia andwaa aliongea"
"Mfalme pamoja na Malikia mtoto wenu ni kipofu.....

KUPATA MWENDELEZO ZAIDI WA SEHEMU INAYOFYATA BONYEZA LINK YA HAPO CHINI ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ usisahau kunifollow ๐Ÿ™๐Ÿ™
https://www.facebook.com/profile.php?id=61550632115006

ENDELEA .........
"Mfalme pamoja na Malikia mtoto wenu ni kipofu hatoweza kuona na itakuwa ngumu kwake kuwa kiongonzi wa falme hii tukufu"
"Hapana haiwezekani tengua utabili wako"
"Mfalme ni wajibu wangu kuleta tarifa nilizopewa na miungu na nipo tayali kupokea adhabu yoyote ile kwa tarifa hii mbaya mtukufu mfalme"
"Mfalme umemsikia huyu mtabili haiwezekani mwanangu awe kipofu,siamini mambo ya utabili kabisa, naomba umtoe humu ndani,"Malikia andwaa aliongea.

Wakati maongezi hayo yanaendelea kulikuwa na watumishi katika jumba la kifalme wanaofanya kazi ya...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-mfalme-kipofu-sehemi-ya-02-ilipoishia-sehemu-iliyopita-mbona-unazunguka-mtabili-emu-niambie-mw

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-mfalme-kipofu-sehemi-ya
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

890
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

467
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 17

290
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

80

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.74K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.59K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.43K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.38K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! Youโ€™ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibeโ€ฆ Kajol looking all fiery and expressiveโ€ฆ Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! Youโ€™ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibeโ€ฆ Kajol looking all fiery and expressiveโ€ฆ Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energyโ€ฆ and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest