Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Story.....................MFALME KIPOFU  Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa  mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi
Gonga94 · Stories

Story.....................MFALME KIPOFU Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
lake mwenyewe katikati ya msitu ili siku moja aje apindue ufalme na kukikalia kitu cha kifalme....

ENDELEA NAYO.....
General alipanda farasi wake na kuianza safari kuelekea katika jumba la kifalme.

Katika jumba la kifalme,
"Mfalme jopo la mawaziri na viongozi mbalimbali limeshafika katika sehemu ya mkutano wanakusubiri wewe tu,Mlinzi mkuu nzegi alimfikishia tarifa zile mfalme"
"Unajisahau sana Nzegi mlinzi wangu usisahau kama mimi ni mfalme wako salamu ni lazima"
"Nisamehe mtukufu mfalme,Nzegi aliongea lakini ndani ya moyo wake alizidi kujenga chuki zidi ya mfalme wake huyo".
"Aya twendeni".

Mfalme alielekea sehemu ya mkutano kuongea na jopo lake la mawaziri ambapo alikuta viongozi wote wapo kasolo general Tengeli tu.

"General yuko wapi mbona haonekani hapa???"
"Mfalme alienda kuangalia usalama siku mbili zilizopita kwenye mipaka yetu na siku ya leo atafika hapa"waziri mkuu aliongea.
"Mbona hakunipa tarifa????"
"Samahani mfalme ilikuwa ni dhalula,waziri mkuu aliongea kumtetea General Tengeli".

Mfalme hakuona sababu ya kuendelea kuhoji kuhusu General aliendelea na maongezi ya kikao husika.

"Kikubwa nilichowahitia hapa nikuwapa tarifa, Malikia amejifungua mtoto wa kiume salama na huyo ndiye atakayelithi kiti changu cha ufalme kwa kuwa ni mtoto wangu wa kwanza,
Na kutokana na sheria zetu za kifalme mtoto huyo atakuwa katika uangalizi mkubwa wa malezi kuanzia sasa na atapatiwa mafunzo maalumu".

"Hongeraaa mtukufu mfalme",mawaziri na viongozi mbalimbali walimpa pongezi mfalme wao isipokuwa waziri mkuu tu aliyeonesha kuchukizwa na tarifa zile.

"Bira shaka sijachelewa mtukufu mfalme,sauti ya General ilisikika"
"Ujachelewa general, ila ni vyema uwe unatoa tarifa".
"Nisamehe mfalme halitajitudia tena hili swala"
"Bira shaka general waweza kuketi,mflame alimjibu na kumruhusu kuketi".
General aliketi ila alimtazama waziri mkuu na kumkonyeza kuonyesha kuwa kuna siri kubwa kati yao inayoendelea katika ufalme huo wa ADELI.

Kikao kilimalizika salama na kila mumoja kuendelea na majukumu yake huku general na waziri mkuu wakionyesha kutokufurahishwa na tarifa zile za mfalme kupata mtoto wa kiume.

************************
MIAKA MITATU(3) BADAE

Ni miaka mitatu sasa imepita tangu mtoto wa mfalme azaliwe na walimpatia jina la Yao, Malikia Andwaa ndie aliyehusika kumulea mtoto wake katika chumba cha siri na miaka yote hiyo hamna mtu aliyefanyikiwa kumuona Prince Yao zaidi ya Malikia andwaa pamoja na Mfalme Kojo.

Katika kijiji cha Nyengweli kilicho ndani ya falme ya ADELI,
"Sukuma mke wangu, sukuma jitahidi mtoto anakaribia kutoka"
"Nimechoka mume wangu nguvu zimeisha za kusukuma hiiiiiiiiiii"
"Sukuma tena"
Ng'eee!!!! ng'eeeee!!!! Ng'eeeee!!!!, ni kelele za mtoto zilizokuwa zikisika baada ya mama huyo kufanyikiwa kujifungua akisaidiwa na mume wake .

"Mume wangu siamini kama nimejifungua salama naomba nimuone mtoto wangu"
"Umejifungua mtoto wa kike mke wangu"
" Utamwita AMMA (maana halisi ya hili jina ni jumamosi na leo ni jumamosi )"
"Mke wangu unaongea nini emu pumzika kwanza umepoteza damu nyingi sana ngoja nikuangalizie dawa".
'"Kabra hujaondoka mume wangu, naomba umtunze binti yetu Amma"
"Mke wangu nitakuja tuongee vzuri emu pumzika nifate dawa".

Bwana yule alitoka na kwenda kutafuta dawa kwa ajili ya mke wake ila aliporudi alikuta mtoto analia tu, lakini mke wake alikuwa kimya alitambua tayali ameshampoteza maisha.

ilikuwa ni huzuni kubwa kwa kumpoteza mke wake na kumuachia mtoto mchanga.
"Mke wangu lala salama nitamlea mtoto wetu na nitamsimulia sifa zako zote kipindi cha uhai wako".

Yalikuwa ni maneno ya mwisho kwa mke wake aliyeiaga dunia baada ya kupoteza damu nyingi kwa kujifungua kwake.

*****************

"Sasa nimeamini mwanangu Yao haoni maneno ya yule mtabili yametimia mtukufu mfalme, malikia aliongea kwa masikitiko"
"Yule mtabili huwa hadanganyi japo nina miaka mitatu simuoni na sina tarifa zake"
"Huenda kuna tatizo kubwa lilimpata mtabili"
"Nitatuma wapelelezi kufatilia ni wapi alipo"
"Ninaombi kwako mtukufu mfalme...."
"Ombi gani malikia andwaa???"
"Itakuwa ngumu kwetu kukaa na huyu mtoto katika jumba hili bira watu kujua, ivyo kama ikikupendeza ni vyema nikampatia mtumishi wangu Lindiwe akamlee mtoto wetu (Yao) katika nchi za mbali huko,malikia aliongea".

Maneno ya malikia yalimfanya mfalme aone ni wazo zuri mke wake amelitoa nae hakupingana na wazo hilo la malikia wake alikubaliana nalo.

Kijakazi aliyepewa jukumu la kwenda kumlea mtoto kipofu wa mfalme alijulikana kama Lindiwe, mtumishi aliyekuwa karibu na malikia miaka yote mpaka pale alipofanyikiwa kujifungua salama na walipanga siku maalumu ya kumtolosha Prince Yao katika jumba la kifalme.

Ni usiku wa manane,tukio lilipangwa kufanyika la kumtolosha Prince Yao katika jumba la kifalme.

"Lindiwe nakupa mwanangu huyu ukamlee kama mtoto wako licha ya upofu wake naomba uwe nae karibu na takupa chochote unachotaka niombi langu la mwisho kwako"
"Hapana malikia usiseme ivyo ulinichukulia kama ndugu nilipokuwa hapa na sio kama mtumishi ivyo sihitaji malipo yoyote kwenye malezi ya Prince Yao nitamlea bira kusuburi malipo yoyote yale".
"Hakikisha unatutumia tarifa pindi unapopata tatizo lolote lile,mfalme kojo alimwambia Lindiwe".
"Nitafanya ivyo mfalme".

Malikia andwaa alimkumbatia mwanae Yao kwa mara ya mwisho.

Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo hilo la kifalme kwa njia ya siri,ilikuwa ni huzuni kubwa sana kwa malikia pamoja na mfalme kutengana na mtoto wao......ITAENDELEA

Je? Mtumishi Lindiwe pamoja na prince yao wanaelekea wapi na je? watafanyikiwa kufika salama huko waendako na vip kuhusu binti Amma aliyezaliwa na siku iyoiyo ya kuzaliwa kwake mama yake akafariki??? tukutane hatua inayofata hii sio ya kukosa kabisa

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story.....................MFALME KIPOFU Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi

lake mwenyewe katikati ya msitu ili siku moja aje apindue ufalme na kukikalia kitu cha kifalme....

ENDELEA NAYO.....
General alipanda farasi wake na kuianza safari kuelekea katika jumba la kifalme.

Katika jumba la kifalme,
"Mfalme jopo la mawaziri na viongozi mbalimbali limeshafika katika sehemu ya mkutano wanakusubiri wewe tu,Mlinzi mkuu nzegi alimfikishia tarifa zile mfalme"
"Unajisahau sana Nzegi mlinzi wangu usisahau kama mimi ni mfalme wako salamu ni lazima"
"Nisamehe mtukufu mfalme,Nzegi aliongea lakini ndani ya moyo wake alizidi kujenga chuki zidi ya mfalme wake huyo".
"Aya twendeni".

Mfalme alielekea sehemu ya mkutano kuongea na jopo lake la mawaziri ambapo alikuta viongozi wote wapo kasolo general...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-mfalme-kipofu-ilipoishia-sehemu-iliyopita-general-tengeli-anataman-kuwa-mfalme-na-ndio-sababu-

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-mfalme-kipofu-ilipoishia-sehemu-iliyopita-general-tengeli-anataman-kuwa-mfalme-na-ndio-sababu-
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

890
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

467
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

290
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest