Menu






Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili

Story.....................MFALME KIPOFU 8

20th Dec, 2025 Views 22



Ilipoishia sehemu iliyopita........
"Tarifa gani???"
"Inasemekana baada ya siku tatu Prince atatambulishwa mbele ya wananchi wote wa ADELI,Nzegi alimpata tarifa zile general".
"Hahahahahahahaha mda ambao nilikuwa nikiusuburi kwa miaka ishirini (20) sasa umewadia....

ENDELEA NAYO......
"Hahahahahahahaha mda ambao nilikuwa nikiusuburi kwa miaka ishirini (20) sasa umewadia"
"Unamaana gani General kuongea ivyo??"
"Nzegi wewe ni mlinzi wa mda mrefu katika jumba la kifalme unajua siku zenye matukio makubwa ulinzi huimalishwa sehemu moja tu katika ufalme wetu huu"
"Hahahaha nimekuelewa General nasijui kwanini sikufikilia hili mapema".
"Mda wangu wa kutoka gerezani umefika bora wangeniua tu kile kipindi ila kuniacha hai ni kosa ambalo hawatokuja kulisahau".

Ni mpango uliokuwepo kati ya General pamoja na mlinzi mkuu Nzegi na hii ni hatari sana kwa familia ya kifalme kama General akifanyikiwa kutoroka gerezani.

*****************

Familia ya Mfalme Kojo ikiwa katika meza ya chakula.
"Mtukufu mfalme nimesikia tarifa za kutambulishwa kwa Prince,tarifa hizi zinaukweli wowote baba??, Princess mkubwa aliye fahamika kwa jina la Yanite alimuuliza baba yake au Mfalme kojo"
Mfalme kojo hakuwa na la kujibu zaidi ya kumtazama na kumfanya Princess Yanite anyamaze kimya.
"Ata mimi pia nataman nimjue kaka yangu tuwe tunacheza wote, mtoto wa mwisho wa mfalme kojo aliyefahamika kama Princess Yanni aliongea"

Mfalme kojo hakutaka tena kuendelea kukaa katika meza ile ya chakula alinyenyuka na kuondoka na kuiacha familia yake katika meza ya chakula.

"Huwa nawambia siku zote mda wa kula hamtakiwi kuongea ovyo,Malikia aliongea kwa hasira"
"Lakini mama sinikweli hichi tulicho kizungumza??, Princess Yanite aliongea".
"Mda ukifika mtajua kila kitu".

Mfalme Kojo akiwa anatembea baada ya kutoka katika meza ya chakula alikumbuka kuwa anasiku tatu alizo ahidi za kumtambulisha Prince mbele ya halaiki,
Palepale aliamua kuita asikari wake anao waamini na kuwapa kazi kwenda nchi za mbali kumtafuta kijana atakaye kuja kuchukua nafasi ya Prince kwa mda mfupi.

"Nimewaamini nyinyi na ndio mana sitaki kumhusisha Mlinzi mkuu Nzegi hili swala ivyo nendeni mkatekeleza maagizo yangu na yoyote atakayevujisha izi tarifa kifo kinamhusu"
"Tumekuelewa mtukufu mfalme".
"Na ivi ni vipande vya dhahabu ambavyo mtampatia huyo kijana kama malipo yake ya mwanzo badae nitamumalizia malipo yake mengine baada ya kazi".

Asikari waliondoka katika jumba la kifalme na kutekeleza jukumu walilopewa na mfalme wao,
Pia walipewa barua maalumu yenye muhuri wa kifalme kama ishara ya popote pale watakapofika kwenye mipaka ya falme zingine waweze kuingia bira kuwa na kipingamizi.

********************
Ndani ya kijiji cha Nyengweli kilicho katika ufalme wa ADELI,
"Nashukuru sana kwa matibabu ya mjukuu wangu sikutegemea kama atarudi katika hali yake"
"Usijali babu ni kazi yetu kusaidia watu kwa kuwatibu,binti Amma alimjibu mzee yule"
"Naomba nishike mkono wako nikuangalie inaonekana ni mtu mwenye bahati sana".
Binti Amma alimpatia mkono mzee yule.

Palepale yule mzee alipiga magoti chini na kumfanya mjukuu wake kushangaa!!!.

"Babu unamatatizo gani????"
Mjukuu wake alimuuliza baada ya kuona babu yake amepiga magoti mbele ya binti Amma.
"Mimi sipaswi kusimama mbele ya mtu mkubwa katika ufalme huu wa ADELI nakuomba upige magoti mjukuu wangu utoe heshima juu ya huyu binti".

Maneno yale yalimtoa ndani baba yake na Amma baada ya kusikia mazungumzo ya yule mzee.

"Mzee wangu emu amka haina haja ya kupiga magoti"
"unabahati sana katika uzao wako".Mzee yule aliongea.
"unamaana gani kusema ivyo???".
"Yakupaswa uelewe tu unabahati katika uzao wako na pia nashukuru kwa matibabu ya mjukuu wangu na sina cha kuongea zaidi ila najivunia kuona mtu ambae sikutegemea kama ipo siku nitafanyikiwa ata kumshika kwenye maisha yangu"

Mzee yule aliongea na kuondoka zake pamoja na mjukuu wake aliyekwisha kutibiwa na kuwaacha Amma pamoja na baba yake katika maswali mengi yasiyo na majibu......ITAENDELEA.

Kwa sh 1000 tu unajipatia mwendelezo huu mpaka mwisho lipia sasa kwa NAMBA 0613083801 HALOPESA jina John Bugumba, kisha nitumie SMS ya malipo kwa njia ya whatsapp namba 0748697173 upate Full simulizi 🙏🙏🙏🙏🙏.

Kipi ambacho mzee huyu amekiona kwa binti Amma mpaka kupelekea kupiga magoto mbele yake na je? asikari waliotumwa na Mfalme Kojo watafanyikiwa kumpata kijana atakayechukua nafasi ya Prince Yao kqa mda mfupi????, tukutane sehemu inayofata..
Tangazo - TAKE NOW

TAKE NOW
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story.....................MFALME KIPOFU 8



Ilipoishia sehemu iliyopita........
"Tarifa gani???"
"Inasemekana baada ya siku tatu Prince atatambulishwa mbele ya wananchi wote wa ADELI,Nzegi alimpata tarifa zile general".
"Hahahahahahahaha mda ambao nilikuwa nikiusuburi kwa miaka ishirini (20) sasa umewadia....

ENDELEA NAYO......
"Hahahahahahahaha mda ambao nilikuwa nikiusuburi kwa miaka ishirini (20) sasa umewadia"
"Unamaana gani General kuongea ivyo??"
"Nzegi wewe ni mlinzi wa mda mrefu katika jumba la kifalme unajua siku zenye matukio makubwa ulinzi huimalishwa sehemu moja tu katika ufalme wetu huu"
"Hahahaha nimekuelewa General nasijui kwanini sikufikilia hili mapema".
"Mda wangu wa kutoka gerezani umefika bora wangeniua tu kile kipindi ila kuniacha hai ni kosa ambalo hawatokuja kulisahau".

Ni mpango uliokuwepo kati ya General pamoja...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-mfalme-kipofu-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
MWENDELEZO SOMA HAPA

Maoni

You're not logged in


gonga94 official track
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-mfalme-kipofu
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU  Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa  mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi
Story.....................MFALME KIPOFU Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest