VYOTE NDANI GONGA94
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............01 Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
wanaonekana watumishi mbalimbali katika falme hiyo wakiwa wanahangaika huku na huku kutokana na jambo kubwa lililokuwa linaendelea usiku huo katika jumba hilo la kifalme.
"Kyaoooo mfalme,ni salamu iliyokuwa inatumika katika falme iyo ya ADELI
"Setuleeeeeee,mfalme aliitikia salamu"
"Mfalme Malikia Andwaa kajifungua mtoto wa kiume"
"Emesema????"
"Mfalme mkeo kajifungua mtoto wa kiume"
"Hahahahahaha ni furaha iliyoje katika jumba hili tukufu la kifalme ,pongenzi kubwa kwako bi yetunde kwa kazi kubwa uliyoifanya,umekuwa mkunga wa mda mrefu katika falme yetu hii na sasa ni mda wa wewe kupatiwa zawadi itakayofaa kwa kazi kubwa uliyoifanya"
"Mtukufu mfalme na fanya ivi kwa ajili ya kulinda ufalme wako, isingependeza kulipwa chochote kile, hii ni fahali kubwa kwangu mimi kama bi yetunde kuwa mkunga katika falme hii tukufu"
"Hii ni amri mimi kama mfalme nakupa ni lazima upoke zawadi nitakayokupa".
ilikuwa ni amri ambayo hutakiwi kuipinga kutoka kwa mfalme.
"Nitashukuru mtukufu mfalme kwa zawadi yoyote utakayonipa nami nitaipokea kwa kutii agizo lako"bi yetunde ilibidi akubali amri ya mfalme.
Mfalme pamoja na mkunga huyo walielekea kumwangalia Malikia andwaa baada ya kujifungua mtoto wa kiume kama tarifa zilivyomfikia mfalme .
Mwite mfalme kojo aliyekuwa na siku nzuri baada ya kupokea tarifa njema za Malikia andwaa kujifungua mtoto wa kiume.
"Malikia hongera kwa kujifungua mtoto wa kiume"
"Lindiwe mtumishi wangu nafikiri mfalme kojo atakuwa na furaha sana huko aliko alitamani mtoto wake wa kwanza awe wa kiume"
"Ndio malikia na mda sio mrefu atakuja kukuona yeye pamoja na bibi yetunde".
*****************
Polini anaonekana asikari akikimbia kwa kasi licha ya kuwa kuna giza lililotanda katika msitu huo ila hakujali alifika karibu na kambi waliyokuwa wameweka wenzake na kuanza kuita kwa nguvu na kuwafanya ata wale walinzi waliokuwa wamelala usiku huo kuamka kwa kelele za asikari yule,
"General,General,General kuna tarifa mbaya"
"Tarifa gani izo mpaka unawapigia kelele asikari wangu waliopumzika usiku huu?????"
"Katika jumba la kifalme, mfalme kojo amefanyikiwa kupata mtoto wa kiume tofauti na mtabili alivyotuambia"
"Ujinga gani huu unaniambia, general alikasilika kwa tarifa zile alizoletewa na mplelezi wake wa siri"
"Ndio general mtabili alitudanganya"
"Atafutwe popote alipo nataka kabra hapajakucha awe ameletwa hapa nikate kichwa chake kwa mikono yangu mwenyewe haiwezekani atudanganye sisi kuwa malikia atajifungua mtoto wa kike na sio wa kiume na pia wewe rudi katika jumba la kifalme uendelee kupokea habari kutoka kwa mpepelezi wetu"
General alichafukwa aligawa asikari wake waende kumtafuta mtabili upesi na haraka aletwe mbele yake kabra hapajakucha.
************
Katika jumba la kifalme mfalme kojo na bi yetunde wanafika kwa Malikia andwaa, na mfalme kojo anafurahi kumuona mtoto wake wa kiume alijikuta anacheza akiwa amemubeba mwanae mikononi na kushindwa kuizuia furaha yake mbele ya watumishi wake.
"Mfalme!!!! mtabili amekuja yupo hapa anahitaji kukuona,ilikuwa ni sauti ya mlinzi aliyeleta tarifa ile mbele ya mfalme kojo"
"Mwambie aingie,mfalme kojo alimjibu mlinzi yule".
"Kyaoooooo myukufu mfalme....."
"Setuleeeeee"
"Mfalme najua upo kwenye kipindi cha furaha kwa sasa ila kuna tatizo kubwa sana kwa huyo mtoto wako".
Mtabili aliongea na kuwafanya wote waliokuwa mle ndani wamwangalie mtabili yule.
"Tatizo kubwa???"
"Wote humu ndani naomba mtupishi,nibaki mimi,malikia pamoja na mtabili,sauti ya mfalme kojo ilisikika na kuwafanya watumishi watii amri ile ya mfalme wao"
"Mfalme mwanao anatatizo kubwa sana nimeonyeshwa na miungu"
"Tatizo gani hilo mtabili???""
"Mwanao itakuwa ngumu kuongonza ufalme huu wa ADELI mtukufu mfalme"
"Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???,Malikia andwaa aliongea"
"Mfalme pamoja na Malikia mtoto wenu ni kipofu hapo alipo.....ITAENDELEA
Ndio kwanza tumeanza je? Mfalme kojo pamoja na Malikia andwaa watachukua uamzi gani baada ya kusikia mtoto wao ni kipofu na je? General atafanyikiwa kumpata mtabili anayemtafuta kwa kitendo cha kumdanganya???. Tukutane sehem inayo fata
"Kyaoooo mfalme,ni salamu iliyokuwa inatumika katika falme iyo ya ADELI
"Setuleeeeeee,mfalme aliitikia salamu"
"Mfalme Malikia Andwaa kajifungua mtoto wa kiume"
"Emesema????"
"Mfalme mkeo kajifungua mtoto wa kiume"
"Hahahahahaha ni furaha iliyoje katika jumba hili tukufu la kifalme ,pongenzi kubwa kwako bi yetunde kwa kazi kubwa uliyoifanya,umekuwa mkunga wa mda mrefu katika falme yetu hii na sasa ni mda wa wewe kupatiwa zawadi itakayofaa kwa kazi kubwa uliyoifanya"
"Mtukufu mfalme na fanya ivi kwa ajili ya kulinda ufalme wako, isingependeza kulipwa chochote kile, hii ni fahali kubwa kwangu mimi kama bi yetunde kuwa mkunga katika falme hii tukufu"
"Hii ni amri mimi kama mfalme nakupa ni lazima upoke zawadi nitakayokupa".
ilikuwa ni amri ambayo hutakiwi kuipinga kutoka kwa mfalme.
"Nitashukuru mtukufu mfalme kwa zawadi yoyote utakayonipa nami nitaipokea kwa kutii agizo lako"bi yetunde ilibidi akubali amri ya mfalme.
Mfalme pamoja na mkunga huyo walielekea kumwangalia Malikia andwaa baada ya kujifungua mtoto wa kiume kama tarifa zilivyomfikia mfalme .
Mwite mfalme kojo aliyekuwa na siku nzuri baada ya kupokea tarifa njema za Malikia andwaa kujifungua mtoto wa kiume.
"Malikia hongera kwa kujifungua mtoto wa kiume"
"Lindiwe mtumishi wangu nafikiri mfalme kojo atakuwa na furaha sana huko aliko alitamani mtoto wake wa kwanza awe wa kiume"
"Ndio malikia na mda sio mrefu atakuja kukuona yeye pamoja na bibi yetunde".
*****************
Polini anaonekana asikari akikimbia kwa kasi licha ya kuwa kuna giza lililotanda katika msitu huo ila hakujali alifika karibu na kambi waliyokuwa wameweka wenzake na kuanza kuita kwa nguvu na kuwafanya ata wale walinzi waliokuwa wamelala usiku huo kuamka kwa kelele za asikari yule,
"General,General,General kuna tarifa mbaya"
"Tarifa gani izo mpaka unawapigia kelele asikari wangu waliopumzika usiku huu?????"
"Katika jumba la kifalme, mfalme kojo amefanyikiwa kupata mtoto wa kiume tofauti na mtabili alivyotuambia"
"Ujinga gani huu unaniambia, general alikasilika kwa tarifa zile alizoletewa na mplelezi wake wa siri"
"Ndio general mtabili alitudanganya"
"Atafutwe popote alipo nataka kabra hapajakucha awe ameletwa hapa nikate kichwa chake kwa mikono yangu mwenyewe haiwezekani atudanganye sisi kuwa malikia atajifungua mtoto wa kike na sio wa kiume na pia wewe rudi katika jumba la kifalme uendelee kupokea habari kutoka kwa mpepelezi wetu"
General alichafukwa aligawa asikari wake waende kumtafuta mtabili upesi na haraka aletwe mbele yake kabra hapajakucha.
************
Katika jumba la kifalme mfalme kojo na bi yetunde wanafika kwa Malikia andwaa, na mfalme kojo anafurahi kumuona mtoto wake wa kiume alijikuta anacheza akiwa amemubeba mwanae mikononi na kushindwa kuizuia furaha yake mbele ya watumishi wake.
"Mfalme!!!! mtabili amekuja yupo hapa anahitaji kukuona,ilikuwa ni sauti ya mlinzi aliyeleta tarifa ile mbele ya mfalme kojo"
"Mwambie aingie,mfalme kojo alimjibu mlinzi yule".
"Kyaoooooo myukufu mfalme....."
"Setuleeeeee"
"Mfalme najua upo kwenye kipindi cha furaha kwa sasa ila kuna tatizo kubwa sana kwa huyo mtoto wako".
Mtabili aliongea na kuwafanya wote waliokuwa mle ndani wamwangalie mtabili yule.
"Tatizo kubwa???"
"Wote humu ndani naomba mtupishi,nibaki mimi,malikia pamoja na mtabili,sauti ya mfalme kojo ilisikika na kuwafanya watumishi watii amri ile ya mfalme wao"
"Mfalme mwanao anatatizo kubwa sana nimeonyeshwa na miungu"
"Tatizo gani hilo mtabili???""
"Mwanao itakuwa ngumu kuongonza ufalme huu wa ADELI mtukufu mfalme"
"Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???,Malikia andwaa aliongea"
"Mfalme pamoja na Malikia mtoto wenu ni kipofu hapo alipo.....ITAENDELEA
Ndio kwanza tumeanza je? Mfalme kojo pamoja na Malikia andwaa watachukua uamzi gani baada ya kusikia mtoto wao ni kipofu na je? General atafanyikiwa kumpata mtabili anayemtafuta kwa kitendo cha kumdanganya???. Tukutane sehem inayo fata
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mfalme-kipofu-sehemi-ya
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???