MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya ngu. Ila uyu zayd alikuwa ni mbishi kwangu jamani. Yni akiniona atanisalimia . Atanichekea.mala atanikonyeza daah alikuwa ananikwaza na kuniboa sana . Yani ni hanielewi tu. Ila na mm sasa nilikuwa nusu nusu .mh uyu bwana akinikonyeza nachanganikiwa mnoo. Yani najikuta napata furaha moyoni ya ajabu. Ila nikikumbuka kuna mlige naishiwa nguvu kabisa moyoni. Basi nabaki kujinyamazia tu. Basi bwana tukangaziwa visiting day sasa. Yani wazazi waje kutetembelea shuleni. Ila kiukweli nilihisi mlige hatakauja et waliipanga j 5. Mm nilichukia namjua mlige atakuwa busy na kazi uko. Na uku kulivyo mbali. Basi siku iyo tukiwa tunaonge na simu ya mwalimu
Nikamwambia baby tuna visiting j 5. Ila we si utakuwa busy sana. Mlige kanmbia ahaa busy sio mbele yako. Ntakuja mama. Au nimpe nauli mama aje kukuona yeye. Mh nikasema hapana nimekumiss sana ww. Mama ntamuona likizo. Akanmbia basi sawa ntakuja kipnzi changu. Aya nambie nikuletee nini. Basi nikaanza kumwambia vya kuniletea nikamuolozeshea mavitu mengi mpka mlige akawa anacheka ananiuliza we uko shule umeenda kula ama. Mavitu yote ya kula aya mke wangu jamani. Mie nikasema ndo nataka sasa. Na nnavyodeka mie nikiongea na mlige. Basi akanmbia sawa ntakuletea iyo j 5. Basi tukaongea na mengine kisha tukaagana mie nikaendelea na masomo yangu. Jamani uyu zayd ni alikuwa ananifatilia sana. Yani mnooo mpaka sasa mashost zangu wakawa wanajua kuwa yule bwana ananitaka.
Kwanza ni mbishi. Hataki kuelewa. Yani akiniona ni moikonyezo tu. Nina mkwepa tu.mana daah sikuwa nataka shida na wanawake zake. Mana mtu mwenyewe nilisikia mpka anagombaniwa na madames wa hapa. Nikaona ebu nipambane na kusoma mie. Na apo pia napata changamoto za kutingizwa na wavulana wengi.na mpaka walimu wa kiume. Ila aliyekuwa anastua moyo wangu ni uyo zayd. Wengine awa wala hawanisumbui.Bas bwan kweli j 5 siku ya visitingi ikawa imefika. Asubuh niliamka nikajiandaa vizuri man nilikiw ana huwakika lazima mlige ajee. Basi shoga yangu zai akanambia aseeee mie mwenzenu leo na bahati mbaya wazazi wangu jana wamesafiri kwenda marekani kikazi hivyo sina ata mtu anakuja kwa ajili yangu leo.
Mie nikasema basi utakuwa na mie kaka yangu anakuja .na prisca akamwambia ata na mm mama yangu anakuja pia ukitaka utajoin na mm. Zai akasema sawa. Basi tukajiandaa tukatoka tu kaenda kungoja wazazi. Asee hii siku kulichangamka wazazi walikuwa wengi sana. Na zilipark gari za kustosha jamani . Si unajua tena. Basi bwana mie mpka saa 7 simuoni mlige nilishaanza na kununa pale. Mh kufika saa 7 na nusu . Naona kuna mwanfunzi kaja kuniita et kaka yako anakuita kule nyuma. Nyie nilifurahi.nikainuka nikaenda haraka ni kweli ni mlige alikuwa kapendeza mnooo. Kawaka kinoma uyu baba.nilimkumbatia kwa furahaaa. Basi na yeye akanikumbatia akanmbia ulizani sitakuja ama .nikasema wee usingekuja ningenuna mno. Mlige akasema na ungelia nakujua wewe. Basi tukacheka. Akanmbia jana nilikuwa wilayani bukoba kabisa. Nilikuwa busy sana .ila nilisema nisipokuja utalia . Ikabidi nifosi. Nikawa nacheka .mana anaielewa sana mkewe
Kisha sasa. Akanmbia aya twende basi kule. Na kweli akanishika mkono tukaemda . Alipopark gali yake .yeye hakupark parking mana gari zilijaa. Aseee kwanza kabadili gali.nikamuuliza mh mbona hukunambia kama unabadili gari. Akacheka akanmbia ahaa kwani shida nn mke wangu . Si nimekuja nayo uione. Alafu kuna kitu ntakuonesha ukiludi nyumbani. Kuna nyumba najenga nyamsebehi. Achana na ile ya kupanga runzewe. Uko ndo nataka tufanyae maisha yetu. Na familia yetu . Mm na ww na watto wetu. Mh nikasema sawa nikuulize kitu
. Akanambia niulize mke wangu eeh.
Nikasema kwani ukiacha na ualimu kuna kazi nyengine unafanya. Akanambia mh leo ndo umeuliza unakulaga hela tu we mrembo. Nikacheka sana. Akanmbia yaa nna duka la viatu kahama .dodoma na dar. Mi ni mfanya biashara wa vitu vingi mama. Sitegemi tu ualimu pekeee. Ualimu ni kitu napenda sana. Ila ni mfanya biashara mke wangu. So hutalala na njaa ata siku moja nitakapokuoa.nikajikuta nacheka tu mana mlige bwana.nikamuuliza hujanisaliti ew. Akasema haa wapi na funga na kufuri kabisa. Nailinda kwa ajili ya ww tu. Nikacheka yani uyu mlige bwana kuna mda anapenda sana makuzi asa tukiwa wawili. Basi akanmbia nimebeba kuku za kutosha ebu huna rafiki aje kukusaidia kula umalizi hizi. Nikasema naenda kumuita ni zai leo wazazi wake hajwajafika. Mlige akanmbia sawa kamuuite. Basi mie nikanyanyuka nikaondoka zangu nimamuacha pale ananisubir. Amekaa kwenye kiti. Mana vilipangwa sehemu mbali mbali kwa ajili ya wazazi wanaofika kukaa wakiwa wnaongea na watoto wao.
Basi bibi mie nikaludi mpaka alipo zai. Alikuwa tayar kashaenda kwa familia ya kina prisca nami nikaenda nikawaslimia wazazi wa prisca kisha nikamnong'oneza kwamba twende tukale kuku kaka kaleta nyingi. Mh zai akaaga pale pale . Tukaenda sasa kwa mlige. Na kweli mlige alimsalimia tu vizuri zai. Kisha sasa akatoa vyakula vya kula alivyokuja navyo vilikuwa vingi mnoo. Sijih kuku. Kabeba nyama choma.na soda . Chipss. Aseee tulikula.mnoo. mapaka vyengine tukafunga. Baada ya apo sasa . Zai akagaa akabeba na vile vyakula akapeleka bweni akaniacha na mlige tuliongea ongea sana mpka saa 10 sasa ndo akanmbia nataka kwenda mana mda wa mwisho wazazi kubaki na sisi ulikuwa saa11. Nikasema sawa ila akanmbia tuingie kwenye gali.nikaju uyu anataka kunikiss hana lolote. Anataka ivyo sasa tukachezeane kwenye gari tu
Mie nikaingia kwnye gari na yeye akingia. Kisha akafunga mlango wa gari
Mh baada ya kufunga mlango wa gari. Akaniangalia sana. Akaniuliza zayd ni nani yako. Nyie moyo wangu ulifanya paaah. Mambo ya zayd mlige kayajuaje tena .uyu baba mchawi nini. Mie nikasema.sio mtu wangu. Kabisa. Sio mtu wangu. Yani kma nilipanik.mlige akaningalia akasema kwani mm nimekwambia ni mtu wako. Si nimekuuliza ni nani wako. Mambo ya kusema sio mtu wako yamekujaje. Ebu nambie..nikasema.ahaaa samahani. Akanmbia nambie ni nn kinaendelea kati yako na uyo zayd. Apo alishakuwa serious jicho kalitoa si mnamjua mlige akishachukia. Mie nikasema.sio mtu wangu wa karibu. Mi namuonaga tu .ni kijana wa form six. Mlige akanmbia shuka kwenye gari yangu sasa hivi. Ntakuua umu. Mh nikatulia kwanza . Alishapanik na akawa na hasira . Mie nikasema.sikia mlige usipanik basi..akanmbia nisipanik kwa nn wakati unanaidanganya eeh. Amekuja mwanfunzi amenambia. Kabisa kuwa mdogo wako anatembea na mkaka apa shule anaitwa zayd mdo mana nakuuliza ni inakuwaje hii. Kisha ww unanijibu non sense faridah. Unataka nikuvunje.kiuno si ndio. Yani mi natupa pesa zangu we unakuja kufanya upumbavu shule si ndio. Mh nikaona ap kazi ishakiwa ngumu.
Nikasema baby nisikilize. Uyo zayd ni ananitaka tu . Ananintingoza sana. Lakini sina mahusiano naye mm. Ananifatilia tu mume wangu. Sio mtu wangu kabisa. Aseeee mlige akaniuliza umeenda kusema kwa mwalimu kuwa unatungozwa nakuuliza ww umenda .nikasema hapna . Akanmbia so unapenda kutongozwa sio unapenda anavyokufata fata. Na ankuuliza ni nani unasema huna unachikijua chochote unalimlinda eeeh. au mshaanza na kushikana shikana nambie we mpumbavu. Mh mnanijua shoga yenu kusemwa kidogo tu. Macho yakaanzaa kutoka machozi. Aseeee mlige alivyoona nalia tena..akanyamaza kuongea . Mie nikasema basi mi naludi bweni tutaongea mda mwengine. Mana nilishaona mwenzangu ana hasira sana. Basi nikafungua mlango akanishika mkono. Akasema nn sasa unaondoka unaenda wapi. Nimekwambia ushuke kwani au ushaanza kuwa na kiburi sa hiz. Mie nikanyamaza kimya nikawa nalia. Ahaa naona akajiikisikia vibaya. Akanikumbatia kwa nguvu. Akanmbia basi nisamhe ni hasira na wivu tu mke wangu. Ila naomba kesho mapema sana ufike ofisini ukamshtaki uyo mwanafunzi ntaongea na mwalimu wako sawa. Nikasema ndio . Akaaanza kujiongelesha ongelesha kuniweka sawa . Mie nikaamua tu kuyapotezea akataka kisss. Mie nikampa na apo hasira zote zikayeyeka.
Tulikisss mda mrefu mno. Mpaka kadindaa. Nikamuonea huruma ila kwa pale asingeweza kunifanya hivyo. Basi akanipa pesa . Nikabeba na mizigo yangu. Akaninga pale. Akanipiga mikwaara mno kuhusu uyo zayd akanmbia na ntafatilia nakwambia ole nijue chochote .hii itakuwa issue kubwa. Mie nikasema wala sina mahusiano naye akanmbia sawa. Bibie mie ndo nikaludi bwenini. Macho yamevimba .nyie mlige akikasilika hataki matani. Na aswa swala la wivu yani nilikuwa nawaza sijuh nani kamwambia mlige uo upumbavu mungi wangu. Daaah
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi