Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya ngu. Ila uyu zayd alikuwa ni mbishi kwangu jamani. Yni akiniona atanisalimia . Atanichekea.mala atanikonyeza daah alikuwa ananikwaza na kuniboa sana . Yani ni hanielewi tu. Ila na mm sasa nilikuwa nusu nusu .mh uyu bwana akinikonyeza nachanganikiwa mnoo. Yani najikuta napata furaha moyoni ya ajabu. Ila nikikumbuka kuna mlige naishiwa nguvu kabisa moyoni. Basi nabaki kujinyamazia tu. Basi bwana tukangaziwa visiting day sasa. Yani wazazi waje kutetembelea shuleni. Ila kiukweli nilihisi mlige hatakauja et waliipanga j 5. Mm nilichukia namjua mlige atakuwa busy na kazi uko. Na uku kulivyo mbali. Basi siku iyo tukiwa tunaonge na simu ya mwalimu

Nikamwambia baby tuna visiting j 5. Ila we si utakuwa busy sana. Mlige kanmbia ahaa busy sio mbele yako. Ntakuja mama. Au nimpe nauli mama aje kukuona yeye. Mh nikasema hapana nimekumiss sana ww. Mama ntamuona likizo. Akanmbia basi sawa ntakuja kipnzi changu. Aya nambie nikuletee nini. Basi nikaanza kumwambia vya kuniletea nikamuolozeshea mavitu mengi mpka mlige akawa anacheka ananiuliza we uko shule umeenda kula ama. Mavitu yote ya kula aya mke wangu jamani. Mie nikasema ndo nataka sasa. Na nnavyodeka mie nikiongea na mlige. Basi akanmbia sawa ntakuletea iyo j 5. Basi tukaongea na mengine kisha tukaagana mie nikaendelea na masomo yangu. Jamani uyu zayd ni alikuwa ananifatilia sana. Yani mnooo mpaka sasa mashost zangu wakawa wanajua kuwa yule bwana ananitaka.

Kwanza ni mbishi. Hataki kuelewa. Yani akiniona ni moikonyezo tu. Nina mkwepa tu.mana daah sikuwa nataka shida na wanawake zake. Mana mtu mwenyewe nilisikia mpka anagombaniwa na madames wa hapa. Nikaona ebu nipambane na kusoma mie. Na apo pia napata changamoto za kutingizwa na wavulana wengi.na mpaka walimu wa kiume. Ila aliyekuwa anastua moyo wangu ni uyo zayd. Wengine awa wala hawanisumbui.Bas bwan kweli j 5 siku ya visitingi ikawa imefika. Asubuh niliamka nikajiandaa vizuri man nilikiw ana huwakika lazima mlige ajee. Basi shoga yangu zai akanambia aseeee mie mwenzenu leo na bahati mbaya wazazi wangu jana wamesafiri kwenda marekani kikazi hivyo sina ata mtu anakuja kwa ajili yangu leo.

Mie nikasema basi utakuwa na mie kaka yangu anakuja .na prisca akamwambia ata na mm mama yangu anakuja pia ukitaka utajoin na mm. Zai akasema sawa. Basi tukajiandaa tukatoka tu kaenda kungoja wazazi. Asee hii siku kulichangamka wazazi walikuwa wengi sana. Na zilipark gari za kustosha jamani . Si unajua tena. Basi bwana mie mpka saa 7 simuoni mlige nilishaanza na kununa pale. Mh kufika saa 7 na nusu . Naona kuna mwanfunzi kaja kuniita et kaka yako anakuita kule nyuma. Nyie nilifurahi.nikainuka nikaenda haraka ni kweli ni mlige alikuwa kapendeza mnooo. Kawaka kinoma uyu baba.nilimkumbatia kwa furahaaa. Basi na yeye akanikumbatia akanmbia ulizani sitakuja ama .nikasema wee usingekuja ningenuna mno. Mlige akasema na ungelia nakujua wewe. Basi tukacheka. Akanmbia jana nilikuwa wilayani bukoba kabisa. Nilikuwa busy sana .ila nilisema nisipokuja utalia . Ikabidi nifosi. Nikawa nacheka .mana anaielewa sana mkewe

Kisha sasa. Akanmbia aya twende basi kule. Na kweli akanishika mkono tukaemda . Alipopark gali yake .yeye hakupark parking mana gari zilijaa. Aseee kwanza kabadili gali.nikamuuliza mh mbona hukunambia kama unabadili gari. Akacheka akanmbia ahaa kwani shida nn mke wangu . Si nimekuja nayo uione. Alafu kuna kitu ntakuonesha ukiludi nyumbani. Kuna nyumba najenga nyamsebehi. Achana na ile ya kupanga runzewe. Uko ndo nataka tufanyae maisha yetu. Na familia yetu . Mm na ww na watto wetu. Mh nikasema sawa nikuulize kitu
. Akanambia niulize mke wangu eeh.

Nikasema kwani ukiacha na ualimu kuna kazi nyengine unafanya. Akanambia mh leo ndo umeuliza unakulaga hela tu we mrembo. Nikacheka sana. Akanmbia yaa nna duka la viatu kahama .dodoma na dar. Mi ni mfanya biashara wa vitu vingi mama. Sitegemi tu ualimu pekeee. Ualimu ni kitu napenda sana. Ila ni mfanya biashara mke wangu. So hutalala na njaa ata siku moja nitakapokuoa.nikajikuta nacheka tu mana mlige bwana.nikamuuliza hujanisaliti ew. Akasema haa wapi na funga na kufuri kabisa. Nailinda kwa ajili ya ww tu. Nikacheka yani uyu mlige bwana kuna mda anapenda sana makuzi asa tukiwa wawili. Basi akanmbia nimebeba kuku za kutosha ebu huna rafiki aje kukusaidia kula umalizi hizi. Nikasema naenda kumuita ni zai leo wazazi wake hajwajafika. Mlige akanmbia sawa kamuuite. Basi mie nikanyanyuka nikaondoka zangu nimamuacha pale ananisubir. Amekaa kwenye kiti. Mana vilipangwa sehemu mbali mbali kwa ajili ya wazazi wanaofika kukaa wakiwa wnaongea na watoto wao.

Basi bibi mie nikaludi mpaka alipo zai. Alikuwa tayar kashaenda kwa familia ya kina prisca nami nikaenda nikawaslimia wazazi wa prisca kisha nikamnong'oneza kwamba twende tukale kuku kaka kaleta nyingi. Mh zai akaaga pale pale . Tukaenda sasa kwa mlige. Na kweli mlige alimsalimia tu vizuri zai. Kisha sasa akatoa vyakula vya kula alivyokuja navyo vilikuwa vingi mnoo. Sijih kuku. Kabeba nyama choma.na soda . Chipss. Aseee tulikula.mnoo. mapaka vyengine tukafunga. Baada ya apo sasa . Zai akagaa akabeba na vile vyakula akapeleka bweni akaniacha na mlige tuliongea ongea sana mpka saa 10 sasa ndo akanmbia nataka kwenda mana mda wa mwisho wazazi kubaki na sisi ulikuwa saa11. Nikasema sawa ila akanmbia tuingie kwenye gali.nikaju uyu anataka kunikiss hana lolote. Anataka ivyo sasa tukachezeane kwenye gari tu
Mie nikaingia kwnye gari na yeye akingia. Kisha akafunga mlango wa gari

Mh baada ya kufunga mlango wa gari. Akaniangalia sana. Akaniuliza zayd ni nani yako. Nyie moyo wangu ulifanya paaah. Mambo ya zayd mlige kayajuaje tena .uyu baba mchawi nini. Mie nikasema.sio mtu wangu. Kabisa. Sio mtu wangu. Yani kma nilipanik.mlige akaningalia akasema kwani mm nimekwambia ni mtu wako. Si nimekuuliza ni nani wako. Mambo ya kusema sio mtu wako yamekujaje. Ebu nambie..nikasema.ahaaa samahani. Akanmbia nambie ni nn kinaendelea kati yako na uyo zayd. Apo alishakuwa serious jicho kalitoa si mnamjua mlige akishachukia. Mie nikasema.sio mtu wangu wa karibu. Mi namuonaga tu .ni kijana wa form six. Mlige akanmbia shuka kwenye gari yangu sasa hivi. Ntakuua umu. Mh nikatulia kwanza . Alishapanik na akawa na hasira . Mie nikasema.sikia mlige usipanik basi..akanmbia nisipanik kwa nn wakati unanaidanganya eeh. Amekuja mwanfunzi amenambia. Kabisa kuwa mdogo wako anatembea na mkaka apa shule anaitwa zayd mdo mana nakuuliza ni inakuwaje hii. Kisha ww unanijibu non sense faridah. Unataka nikuvunje.kiuno si ndio. Yani mi natupa pesa zangu we unakuja kufanya upumbavu shule si ndio. Mh nikaona ap kazi ishakiwa ngumu.

Nikasema baby nisikilize. Uyo zayd ni ananitaka tu . Ananintingoza sana. Lakini sina mahusiano naye mm. Ananifatilia tu mume wangu. Sio mtu wangu kabisa. Aseeee mlige akaniuliza umeenda kusema kwa mwalimu kuwa unatungozwa nakuuliza ww umenda .nikasema hapna . Akanmbia so unapenda kutongozwa sio unapenda anavyokufata fata. Na ankuuliza ni nani unasema huna unachikijua chochote unalimlinda eeeh. au mshaanza na kushikana shikana nambie we mpumbavu. Mh mnanijua shoga yenu kusemwa kidogo tu. Macho yakaanzaa kutoka machozi. Aseeee mlige alivyoona nalia tena..akanyamaza kuongea . Mie nikasema basi mi naludi bweni tutaongea mda mwengine. Mana nilishaona mwenzangu ana hasira sana. Basi nikafungua mlango akanishika mkono. Akasema nn sasa unaondoka unaenda wapi. Nimekwambia ushuke kwani au ushaanza kuwa na kiburi sa hiz. Mie nikanyamaza kimya nikawa nalia. Ahaa naona akajiikisikia vibaya. Akanikumbatia kwa nguvu. Akanmbia basi nisamhe ni hasira na wivu tu mke wangu. Ila naomba kesho mapema sana ufike ofisini ukamshtaki uyo mwanafunzi ntaongea na mwalimu wako sawa. Nikasema ndio . Akaaanza kujiongelesha ongelesha kuniweka sawa . Mie nikaamua tu kuyapotezea akataka kisss. Mie nikampa na apo hasira zote zikayeyeka.

Tulikisss mda mrefu mno. Mpaka kadindaa. Nikamuonea huruma ila kwa pale asingeweza kunifanya hivyo. Basi akanipa pesa . Nikabeba na mizigo yangu. Akaninga pale. Akanipiga mikwaara mno kuhusu uyo zayd akanmbia na ntafatilia nakwambia ole nijue chochote .hii itakuwa issue kubwa. Mie nikasema wala sina mahusiano naye akanmbia sawa. Bibie mie ndo nikaludi bwenini. Macho yamevimba .nyie mlige akikasilika hataki matani. Na aswa swala la wivu yani nilikuwa nawaza sijuh nani kamwambia mlige uo upumbavu mungi wangu. Daaah
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60


Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya ngu. Ila uyu zayd alikuwa ni mbishi kwangu jamani. Yni akiniona atanisalimia . Atanichekea.mala atanikonyeza daah alikuwa ananikwaza na kuniboa sana . Yani ni hanielewi tu. Ila na mm sasa nilikuwa nusu nusu .mh uyu bwana akinikonyeza nachanganikiwa mnoo. Yani najikuta napata furaha moyoni ya ajabu. Ila nikikumbuka kuna mlige naishiwa nguvu kabisa moyoni. Basi nabaki kujinyamazia tu. Basi bwana tukangaziwa visiting day sasa. Yani wazazi waje kutetembelea shuleni. Ila...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-59-na-60

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 19  na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 19 na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

597
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

545
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

376
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

374
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

322
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

52
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

41
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

37

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.99K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.26K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest