MY WANGU❤️ sehemu ya 58
Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu. Nikasema nilisikia zayd ila sikutaka kuitikia . Akanmbia kwa nn. Kwani kuna kitu nimekukosea mrembo wa form five nzima.nikatasamu kwa hasira nikasema unajua ww zayd utakuja kunisababishia mm matatizo kutokana na tabia zako ebu naomba ukae mbbali na mm. Tena kaa mbali na maisha gangu kabisa nakwambia. Akanmbia ahaa mbona umekuwa mkari gafra faridaha kwani nnimekufanya nn..nikasema ile siku umenipa pesa ya kula chipsi.nilifatwa na wanawake wa3 wote wanasema ww ni mtu wao na nikae na ww mbali watakuja kunidhuru so sitaki matatizo na mtu kabisa. Naomba ukae mbali na mm.
Zayd akacheka akasema.kumbe hilo tu. Itakuwa umewazidi vingi wanabaabika na ww. Mana ww ni mzuri sana acha wapagawr na wakuseme..ila mm sitaacha kuongea na ww ama kukusalimia .mh nikasema.ebu ondoka basi si ushanisalimia ama. Zayd akasema hee ndo hutaki ata kukaa na mm sababu unaogopa watu. Kwanza mm hii shule sina demu. Ni wao ndo wanashoboka na mm..mimi kuna kademu flani ndo nimakaelewa kazuri sna . Kapole. Kanapenda kulia kakichapwa( sikuacha tabia yangu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌) kanavutia na nyuma kafungasha kweli kweli. Ako kademu sasa ndo nakapenda sana. Alafu kademu kenyewe kapo mbele yangu .kanalalamika kweli kweli. Alafu mm ndo nimeoza kinoma kwake yani nampenda kweli kweli. Moyo wote anauvuruga. Mh uyu kaka ana swaga na anavyoongea sasa kwa swaga. nilibaki namtazama tu yani kama ana uchawi nilitulia tu hasira zote hazipo.wakati nilikuw namlalamikia mda sio mrefu.
Akaningalia sana kisha akanmbia faridah usisikilize maneno ya watu. Mie mwenzio nakupenda ww .nikikuona daah moyo unakimbia speed sana mama. Naomba tywe pamoja.nikaoe uyu sasa anataka kunitafutia matatizo mlige si ataniua mm. Ila moyo kuna jinsi ulimuelewa uyu mkaka licha ya scandals zake zote. Mie nikamwambia ebu ondoka mm sikutaki. Zayd akasema doooh sijawahi kutongoza mwanamke kisha nikakataliwa we ndo wa kwanza. Ina maana hujavutiwa na mm kwani farida.nikasema zayd naomba uwe na adabu na tuheshimiane mimi apa nimefata shule na sio mapenzi. Naomba ulizingatie na ulijue hilo. Zayd akatabasamu akasema umezidi kufanya nikupende na univutie zaidi. Ntazidi kukufatilia faridah sababu nimeona kitu kikubwa kwako. Alafu usisahau we ni mzuri sana. Kisha akanyanyuka akanisogela akanibusu shavuni. Nilimshangaaa yani kama niliduwa kisha akatoka darasani .ile anatoka tu. Na priscca ndo alikuwa anaingia mule darasani..yani wakapishana mlangoni pale.
Prisca akasema ww uyu kaka mbona anatokea umu . Hujakoma tu . Unaendelea kuongea nae. Nikasema hpana ni msumbufu sana amekuja kunambia et ananitaka . Mi naogopa ataniletea shida. Prisca akasema ww amekutongoza uyu kaka. Nikasema ndio .. prisca akanmbia mh ila shoga yangu faridaha na ww ni mzuri na uo mtako acha apagawe. Ila yule mwanume shida yake ni maraya ana wanawsake wengi sna . Ila anavutia wwow. Nachanganikiwa ata sijuh nakushaur nn kati ya umkubali au umkatae.nikasema mi simtaki kabisa. Yani simtaki. Prisca akanmbia we nae usiwe mjinga kwani mume wa mtu yule .mkubali utambe nae. Kaka la kiarabu lilivyo zuli hulioni . Au hakustui moyo. Mana mie nikimuona tu. Chupi yangu inaloa yenyewe ata hajanigusa. Mh zaayd handsome bwana
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi