Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee nakumalizia we mpumbavu nyanyuka usepe apo. Yani nikitoka nikakukuta faridah nakuua nakwambia. Mh kiukweli nilijikokota mnoo. Nilinyanyuka kwa kupepesuka. Nilitembea na ukuta .mpaka nikatoka njee ya geti. Njlivyotoka sasa kama bahati boda inapita . Mh nikaisimamisha kwanza .nikamwambia nipeleke nyantakara. Yule boda akaniuliza kwani unaumwa dada .nikasema.hapana. sikuwa sawa kabisa. Yule boda aliniangakia sana akanmbia panda. Yani kupanda boda tu ata siwez. Ikabidi anisaidie. Ila mh akaona sitafika.mana ata kujishikilia tu siwez. Ikanipeleka hospital apo runzewe . Inaitwa chares kurwa hospital. Ni ya private ila sio kubwa . Ni ya kawaoda tu . Basi akaniacha pale. Nilikuwa na hali mbaya mnoo. Ila tu nilipata akiri ya kumuomba simu yule boda na nikampigia simu mama. Nikamwmabia tu mama mi nipo hospital runzewe

Nyieeee sikuweza tena kuongea. Nikaona nguvu zinaisha. Nikawa sijajitambua tena. Nikalazwa pale. Kiukweli akiri ilikudi usiku saa 8 pembeni namuona mama yangu pale anafuta machozi. Akaningalia akanmbia unaendeleaje mwanangu. Nikasema naendelea sawa mama. Niko sawa kabisa. Mama akanambia ulienda kwa uyo mwana haramu kufanya nn. Eeeh umeenda kufanya nn. Anakupiga kama hivi ww ni mkewe . Au kisa kukulipia iyo ada yake. Uhai wako ni muhimu kuliko chochote . Nimeshaongea nae na nishamwambia kama ni shule nitakuludisha ile ile uliyofaulia na utasoma tu. Sitaki tena msaada wake. Kupiga gani uku eeeh . Ni kupiga gani uku. Sitaki nasema .apo mama alikuwa anaongea uku analia. Aseee na mlige alinipiga. Ahaaa hii siku alinipiga. Basi mama alikaaa pale mpaka asubhh. Ndo tukaruhusiwa. Nikaambiwa tu wala mkono sijavunjika ila umestuka tu. Basi gharama zote mama akalipia ndo tukalidi nyumbani.

Nyie nilijiuguza nyumbani kalibia week. Mlige hakunipigia wala hakuniulizia hali. Na mama alinambia marufuku kwenda kwake kujiombesha msamaha. Sasa nenda akakumalizie uo mkono. Basi mie niliona mh kwa kunipiga kule .ataniua kweli. Alafu anajua kaniumiza mpka mama kamsema . Lakini ata sms ya samahani yule bwana hakunitumia .nikajua aya bwana . Alompata sa hivi kamshikilia. Basi mie na mlige tukakaushiana hivyo. Na wala hakuja nyumbani kabisa. Wala hakumpigia tena simu mama. Na kuna jinsi mma alichukia sana ile mlige kunipiga. Ata kumuongelea akawa hamuongelei. Nazani si mnawaelewa wazazi. Hawezi kufurahi kupigiwa mwanae ata kama kakosea ndo ipo hivyo. Basi shoga yenu nilikaaa mno nyumbani . Mpaka wenzangu wa kuludi rikizo wakanikuta nyumbani nimejaa tele. Niliposikia yusta kaludi nilifurahi sana. Nilienda kwao kumuona kwa shangwe. Na alinifurahia sana. Basi akawa anazani na mm ndo nimeludi kumbe mie nyumbani nna mwez naaaaa.

Sikutaka kumficha shoga yangu. Nilimueleza yote .kuanzia upumbavu nilofanya shule . Kila kitu mpaka kupigwa na mlige nusu aniue. Na mpaka mama kugombana na mlige yote nilimueleza .mh yusta alinionea huruma sana . Akanmbia pole sana. Nikasema nishapoa. Ata shule mama kanmbia zinavyofunguliwa . Ananiludsha shule ile ile niliyopangiwa mwanzo. Mh yusta kanambia na mlige akikasilika anabadilika anakuwa chui kabisa. Nikasema ndo hivyo. Na ana madame ana tembea nae . Anaitwa madame milia nasikia ndo mwanamke wake. Hawezi kunikumbuka mie . Mtoto mdogo. Yusta akanmbia basi kuwa na amani na maisha yaende. Kila kitu kitakaa sawa. Nikasema powa

Apo kidogo nikwa na rahaa .na vile yusta karudi .rafiki yangu nimemzoea sana. Mala tukazulule uku. Mala kesho kule. Yani nilichangamka sana. Kuna siku tunapita mpaka kwenye iyo nyumba mpya ya mlige. Nyieee uko nyamsebehi aliachia nyumba. Yani mpaka roho inauma ..na wivu unakuja. Kuwa apa atakuwa anakuja na mwanamke wake mwengine .wakati ningekua naletwa mimi. Ila ndo hivyo . Rohoo inauma sana ila haina jinsi. Yusta akawa ananitia ngivu sana. Kuna mda nilikuwa namuona sana center pale dukani kwake kwa jamila. Ila sikuwa nataka kuwa karibu nae tena..yani nakata zangu kona kabisa.

Ikawa hivyo. Na yeye wala hakuwa ananitafuta ata pesa hakuna. Yani nilikiwa natumia viakiba vyangu tu. Sikuwa na pesa kama mwanzo mpaka.rikizo ikakata. Wenzangu wakaanza kufanya mchakato wa kuludi shule mie nikamuuliza mama akanambia ningoje . Mwanza mpaka tuvune kwa sasa yeye hana pesa. Rohoo inauma unazani nafanyeje. Basi wenzangu wakaondoka mie wakaniacha.nikajuta ata kwenda kusoma shule ya private.bola ningeenda zangu ya serikali tu. Basi ikavuka week mie nipo nyumbani. Apo baba bado hajaludi. Na mama hakumueleza shida zangu. Alinionea aibu na aliona kama atanidhalilisha tu kwa baba. So hakumuambia kabisa. Basi siku uyo. Mie nimetoka zangu kijiji cha pili mama alinituma nipeleke mchele kwa shoga yake uko. Nimeludi nafika pale .namkuta mama anambia mlige kaja apa. Mh moyo ukafanya paaah

Mama akanmbia amesema ujiandae kesho unaludi shule. Mh nikasema mama we umekubali tena. Si ningojee tu unipeleke kule kwa mwanzo mama . Mama akanmbia nenda ukasome mwanangu. Usingoje ambayo ata hatuyajuhi yatakuaje. Naona kasafisha moyo wake. Na kajiludisha nyuma na kaomba msamaha apa. Kuwa zilikuwa hasira. Ila nenda tu ukasome. Nikasema sawa mama . Basi nikaingia ndani nikaanza kujiandaa. Mama akanmbia kasema usibebe hivi vya zamani. Kama fomu mana anakuhamisha shule..mh nikasema ananihamisha. Mama kasema ndio. Anakupeleka shule nyengine ipo kahama apo . Nikasema sawa mama. Basi mie nikaingia ndani kwangu. Ndo nakuta hii siku ndo kanitumia sms

Kanmbia tu vitu ambavyo natakiwa kubeba na vpi niache. Haina ata mambo .sms ni kavu. Mie nikamjibu sawa. Hakunijibu tena.nikapanga tu vitu vyangu. Mama akaja chumbani akaongea sana na mm. Alinambia uyu mwanaume msome. Ni mtu amabea ana hasira sana .ila anakupenda so kuwa nae makini sana. Alafu ela inauma mwanangu .si unaona anakuhamisha shule so kule katupa milion 7 . Anakuhamisha anakupeleka kwengine. Akikukuta na kosa lazima atake kukua. Kuwa makini sana mwanangu shuleni . Naomba ukasome.mie nikasema sawa ntasoma mama. Hakuna shida. Yani hatukalala mama anaongea na mie mpka asubuh kunakucha. Basi mlige aknitumia sms. Nakufata saa 4 asubuh. Mie nikasema sawa. Nikajiandaa tu vizuri. Na saa 4 asubuh mlige akaingia na gari yake

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67


Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee nakumalizia we mpumbavu nyanyuka usepe apo. Yani nikitoka nikakukuta faridah nakuua nakwambia. Mh kiukweli nilijikokota mnoo. Nilinyanyuka kwa kupepesuka. Nilitembea na ukuta .mpaka nikatoka njee ya geti. Njlivyotoka sasa kama bahati boda inapita . Mh nikaisimamisha kwanza .nikamwambia nipeleke nyantakara. Yule boda akaniuliza kwani unaumwa dada .nikasema.hapana. sikuwa sawa kabisa. Yule boda aliniangakia sana akanmbia panda. Yani kupanda boda tu ata siwez. Ikabidi anisaidie. Ila mh akaona sitafika.mana ata kujishikilia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-66-na-67

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

915
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

719
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

691
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

505
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

398
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

251
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

175
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

104
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

89
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

70

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.56K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest