Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia tu pale kitandani mpaka mama akaja chumbani akanmbia ebu acha kulia na utulie sawa. Nimeshaongea na mlige. Amesema kwa sasa hayupo sawa. Atakapokuwa sawa mtayaongea sawa tu. Nazani unajua ulivyomuumiza yule baba. Na anakupenda mno so tuliza kichw chako kabisaaa. Yani tuliza kichwa. Na utulie mlige mm ntaongea nae sawa mwanangu. Nikasema sawa mama. Basi nilijiliza apo mpka nikalala.

Aseeee ilikata na week ya pili. Mlige hajanitafuta kabisa na wala hajakuja nyumbani. Nikaona eeh ngoja tu nijichanganye . Mana mda wote kumuwaza tu mlige.nikaona hapana. Siku iyo mie nikatoka . Nikaenda apo centre. Ni sehemu amabayo kwa kijijini kwetu imechangamka sana. Na kuna kabinti flani pale tulimaliza nae shule anaitwa jamila. Ila yeye alifeli.so kuna duka kubwa apa kijiji lilifunguliwa ndo yeye akawa anauza bwana. Basi mie ndo nikaenda pale kuongea ongea. Mana nilimzoea tu uyu jamila. Japo hakuwa rafiki yangu sana. Basi nimefika pale. Tukaongea ongea sana. Jamila akaniuliza shogaaa mbona nakuona siku hizi si unasoma ww.nikamwmabia nimesimamaishwa shoga kuna kitu nimezingua acha kabisa tu.

Kanmbia mh sawa bwana pole . Nikasema.asante bwana .ndo mambo ya shule . Kisha Nikamuuliza kwani hili duka kubwa la hapa kijijini la nani . Mbona gafra naona duka kubwa hilo. Jamila akacheka akasema si la mwalimu wako bwana hili. Nikamuuliza mwalimu gani? Akasema.si mlige kwani hujui. Au ujamuuliza mama yako. Nikasema hapana. Akanmbia ahaa la mlige bwana hili. Kawekeza kijijini. Na ana nyumba yake kule mbele umeiona dada ndo inaishia. Nikasema hapana. Akasema acha kabisa. Kaachia mjengo shoga wa maana na sikia uko mbele. Mie ndo kaniweka apa .nashukuru ananilipa vizur tu. Na hana shida kabisa. Mh nikamuuliza anakulipa sh ngapi kwani akasema laki 2 kwa mwez. Mh na kweli jamila apa anauza mana ananipa.story mda wote ananyanyuka nyanyuka kuhudumia wateja.yani duka la kila kitu mpaka vyakula na kubwa tu. Na fremu kajenga mwenyewe sio ya kukodi.

Nikamuuliza kwani pale shule si alikuwa anatembea na madame zahara. Jamila akacheka akasema mh shogaaaaa zahara nilisikia ata ile mimba ilikuw yake now nasikia anatembea na kamadame kipya kinaitwa madame milia madame zahara si aliamishwa. Ni kamekuja apoo kapyaa na kun mda anapitaga nacho apa. Tena aswaa jioni. Anakashusha kwenye gari yake. Kembembe hivi ila kazuri. Nyie moyo ukaanza kwenda mbio.nikasema ya kweli ayo. Jamila akasema.ila mie sina uwakika nasikia za chini chini na vile namuonaga anapitaga nae apa ndo kabisa mie ata siwaelewi. Nyieeeee moyo uliniuma sanaaa. Nikaona uyu mpumbavu ndo mana kanichunia week 2 hizi kimbe ana uyo maraya wake ngojaaaaaaa

Nikakaa pale najifanya napiga story kumbe namvizia mlige aje. Basi bwana kweli. Mida ya sa 11 jion. Gali ya mlige ikapaki pale. Ilivyopak mlige akashuka. Nikaona kama.kastuka kuniona pale. Ila akajifanya kama hanijuh et anamwambia jamila. Jamila hii ni sehemj ya biashara mbona kama ulikuwa unapiga stiry na uyu mtu. Jamila ndo anamuelekeza sir uyu si faridah yule alikuwa anaongoza darasani amaekuja mala moja kunisalimia. Mie kimya namuangalia tu.nikanyanyuka kisha nikaenda kwenye gari yake nikafungua mlango. Khaa kweli bwana kampakaiza kamadame kazuri chembamba. Karefu. Nilimind nikajua uyu ndo mwanamke wake maraya uyu.

Nikamzungukia upande alipo. Ila mlige alishaniona kabla sijafungua mlango wa gari wa upendo aliekuwepo yule mdada .mlige akanistopisha kwa harkaa .akanmbia nn. Nikamuuliza kumbe kwa ajili ya uyu maraya ndo unanaikaushia mm si ndio si ndio mlige. Mlige akanmbia niheshimu apa ni bala balani sina mda wa kukuelezea kitu sawa ww mjinga.khaa kisha akanisukuma akaingia ndani ya gari yake. Nyieee nilikuwa na hasira. Yeye kaaanza kutoa gari yake pale et..niliokota jiwe nikapasua kioo cha nyuma chotee. Mlige akasimamisha gari kisha akashuka akaja kuangalia nyuma. Aseee nilipasua sehemu kubwa.akaningalia sana. Kisha akawa hajaongea kitu akaingia ndani ya gari yake akasepa..nilichukia . Nilimind kinoma.nikasema.uyu kanizalau namfata uko uko kwake runzewe naenda kumuwashia moto anaijue vizuri. Mda wote uo jamila na baadhi ya watu walokuwa kalibu walikuwa wanashangaaa

Jamila akanambia we faridah umechanganikiwa .nikasema niache. Shoga yenu nikachukua boda. Mana mkononi nilikuwa na pesa kama.elfu 20.nikamwambia nipeleke runzewe.basi yule bodaa akanipeka mpaka runzewe kwa mlige. Nimefika pale kafunga geti . Yani bado hajaludi.nikajua kampeleka maraya wake kwanza. Nilikaa nje mnoo. Yani mpaka saa 3 usiku ndo mlige anaingia na gari yake. Nikaangalia kwa nyuma kashaitengeneza kiooo. Basi alivyoniona akashuka nikamuanziashia pale.pale. nikamuuliza madame milia ndo nani. Nambie ndo nani ndo mwanamke wako si ndio. Mlige akaningalia aknmbia ludi kwenu ntakufanya kitu kibaya sana. Wazazi wako wanichukie nikasema wewe mjinga nn. Unaniona mm mjinga eeeh kumbe ulitafutia sabbau juu ya kosa langu ili upate mda zaidi wakuwa na yule kimbao mbao chako si ndio.

Mlige akanyamaza kimya akafungua geti. Akaingia katika gari yake akaingiza gari ndani.niliona ni zalau.na moyo unauma sana. Kashuka akafunga geti lake. Alafu akawa hanisemeshi anaongia ndani kwake et . Khaaa nilivua kiatu changi nikamlushia nacho cha mgongoni. Apo ndo nilimchokoza akanifta akaniwasha mabao mawili ya nguvu. Sijakaa sawa akaanza kunivuta akanipeleka ndani. Aseeee kaaanza kunipigaa. Yani alinipiga hii siku mligeee. Ahaaaaa mpaka nilijuta kwa nn nilikuja .akawa ananambia unaniona mm msenge sio. Unahisi unanaiweza sana. We si umekutwa shule unapiga kiss na mwanaume wako yule zayd..mi nimeongea nn. We nani unanaifatilia maisha yangu mpumbavu ww sasa ndio ninae mwanamke uyo mdamae milia ndo mwanamke wangu na sikutaki maraya ww. Nyieee apo ni anaongea uku ananipiga nililia mnoo. Ata kumludishia kwani naweza..akasema.alafu unakuja kunitia hasara za jioni unapasua gari yangu kiooo.leo nakuuaa.nyieee mbona nilianza kuita msaada mlige aalinipiga mpka mkono uligokaa.nikaanza kumuomba msamaha. Aseeee aliniwasha mnoo. Nikawa sasa ata kuona mbele sioni. Kishs akanisukuma njeee akanmbia nenda kwenu maraya ww sikutaki ntakuja kukua. Uo mda ni usiku kama.saa 4. Mwili umetutumka ata mkono haufanyi kazi nyieeee. Nilijalibu kunyanyka ila.sikuweza nilianguka kwa nguvu mpka chini.

Oyaaaaaaaaaa weeeeeeeeeeeee . Watu wana mapenzi ya hasiraaa. Aseeee season 3 ya uhuu mzigo ndo tinaishia apa.lakini bado faridaha ana mengi ya kutusimulia. Ebu tuungane nae season ya 4 soon itakuwa tayari . Nawapenda❤️

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65


Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia tu pale kitandani mpaka mama akaja chumbani akanmbia ebu acha kulia na utulie sawa. Nimeshaongea na mlige. Amesema kwa sasa hayupo sawa. Atakapokuwa sawa mtayaongea sawa tu. Nazani unajua ulivyomuumiza yule baba. Na anakupenda mno so tuliza kichw chako kabisaaa. Yani tuliza kichwa. Na utulie mlige mm ntaongea nae sawa mwanangu. Nikasema sawa mama. Basi nilijiliza apo mpka nikalala.

Aseeee ilikata na week ya pili. Mlige hajanitafuta kabisa na wala hajakuja...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-64-na-65

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

915
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

717
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

691
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

505
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

395
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

251
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

175
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

104
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

81
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

70

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.56K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest