Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia tu pale kitandani mpaka mama akaja chumbani akanmbia ebu acha kulia na utulie sawa. Nimeshaongea na mlige. Amesema kwa sasa hayupo sawa. Atakapokuwa sawa mtayaongea sawa tu. Nazani unajua ulivyomuumiza yule baba. Na anakupenda mno so tuliza kichw chako kabisaaa. Yani tuliza kichwa. Na utulie mlige mm ntaongea nae sawa mwanangu. Nikasema sawa mama. Basi nilijiliza apo mpka nikalala.

Aseeee ilikata na week ya pili. Mlige hajanitafuta kabisa na wala hajakuja nyumbani. Nikaona eeh ngoja tu nijichanganye . Mana mda wote kumuwaza tu mlige.nikaona hapana. Siku iyo mie nikatoka . Nikaenda apo centre. Ni sehemu amabayo kwa kijijini kwetu imechangamka sana. Na kuna kabinti flani pale tulimaliza nae shule anaitwa jamila. Ila yeye alifeli.so kuna duka kubwa apa kijiji lilifunguliwa ndo yeye akawa anauza bwana. Basi mie ndo nikaenda pale kuongea ongea. Mana nilimzoea tu uyu jamila. Japo hakuwa rafiki yangu sana. Basi nimefika pale. Tukaongea ongea sana. Jamila akaniuliza shogaaa mbona nakuona siku hizi si unasoma ww.nikamwmabia nimesimamaishwa shoga kuna kitu nimezingua acha kabisa tu.

Kanmbia mh sawa bwana pole . Nikasema.asante bwana .ndo mambo ya shule . Kisha Nikamuuliza kwani hili duka kubwa la hapa kijijini la nani . Mbona gafra naona duka kubwa hilo. Jamila akacheka akasema si la mwalimu wako bwana hili. Nikamuuliza mwalimu gani? Akasema.si mlige kwani hujui. Au ujamuuliza mama yako. Nikasema hapana. Akanmbia ahaa la mlige bwana hili. Kawekeza kijijini. Na ana nyumba yake kule mbele umeiona dada ndo inaishia. Nikasema hapana. Akasema acha kabisa. Kaachia mjengo shoga wa maana na sikia uko mbele. Mie ndo kaniweka apa .nashukuru ananilipa vizur tu. Na hana shida kabisa. Mh nikamuuliza anakulipa sh ngapi kwani akasema laki 2 kwa mwez. Mh na kweli jamila apa anauza mana ananipa.story mda wote ananyanyuka nyanyuka kuhudumia wateja.yani duka la kila kitu mpaka vyakula na kubwa tu. Na fremu kajenga mwenyewe sio ya kukodi.

Nikamuuliza kwani pale shule si alikuwa anatembea na madame zahara. Jamila akacheka akasema mh shogaaaaa zahara nilisikia ata ile mimba ilikuw yake now nasikia anatembea na kamadame kipya kinaitwa madame milia madame zahara si aliamishwa. Ni kamekuja apoo kapyaa na kun mda anapitaga nacho apa. Tena aswaa jioni. Anakashusha kwenye gari yake. Kembembe hivi ila kazuri. Nyie moyo ukaanza kwenda mbio.nikasema ya kweli ayo. Jamila akasema.ila mie sina uwakika nasikia za chini chini na vile namuonaga anapitaga nae apa ndo kabisa mie ata siwaelewi. Nyieeeee moyo uliniuma sanaaa. Nikaona uyu mpumbavu ndo mana kanichunia week 2 hizi kimbe ana uyo maraya wake ngojaaaaaaa

Nikakaa pale najifanya napiga story kumbe namvizia mlige aje. Basi bwana kweli. Mida ya sa 11 jion. Gali ya mlige ikapaki pale. Ilivyopak mlige akashuka. Nikaona kama.kastuka kuniona pale. Ila akajifanya kama hanijuh et anamwambia jamila. Jamila hii ni sehemj ya biashara mbona kama ulikuwa unapiga stiry na uyu mtu. Jamila ndo anamuelekeza sir uyu si faridah yule alikuwa anaongoza darasani amaekuja mala moja kunisalimia. Mie kimya namuangalia tu.nikanyanyuka kisha nikaenda kwenye gari yake nikafungua mlango. Khaa kweli bwana kampakaiza kamadame kazuri chembamba. Karefu. Nilimind nikajua uyu ndo mwanamke wake maraya uyu.

Nikamzungukia upande alipo. Ila mlige alishaniona kabla sijafungua mlango wa gari wa upendo aliekuwepo yule mdada .mlige akanistopisha kwa harkaa .akanmbia nn. Nikamuuliza kumbe kwa ajili ya uyu maraya ndo unanaikaushia mm si ndio si ndio mlige. Mlige akanmbia niheshimu apa ni bala balani sina mda wa kukuelezea kitu sawa ww mjinga.khaa kisha akanisukuma akaingia ndani ya gari yake. Nyieee nilikuwa na hasira. Yeye kaaanza kutoa gari yake pale et..niliokota jiwe nikapasua kioo cha nyuma chotee. Mlige akasimamisha gari kisha akashuka akaja kuangalia nyuma. Aseee nilipasua sehemu kubwa.akaningalia sana. Kisha akawa hajaongea kitu akaingia ndani ya gari yake akasepa..nilichukia . Nilimind kinoma.nikasema.uyu kanizalau namfata uko uko kwake runzewe naenda kumuwashia moto anaijue vizuri. Mda wote uo jamila na baadhi ya watu walokuwa kalibu walikuwa wanashangaaa

Jamila akanambia we faridah umechanganikiwa .nikasema niache. Shoga yenu nikachukua boda. Mana mkononi nilikuwa na pesa kama.elfu 20.nikamwambia nipeleke runzewe.basi yule bodaa akanipeka mpaka runzewe kwa mlige. Nimefika pale kafunga geti . Yani bado hajaludi.nikajua kampeleka maraya wake kwanza. Nilikaa nje mnoo. Yani mpaka saa 3 usiku ndo mlige anaingia na gari yake. Nikaangalia kwa nyuma kashaitengeneza kiooo. Basi alivyoniona akashuka nikamuanziashia pale.pale. nikamuuliza madame milia ndo nani. Nambie ndo nani ndo mwanamke wako si ndio. Mlige akaningalia aknmbia ludi kwenu ntakufanya kitu kibaya sana. Wazazi wako wanichukie nikasema wewe mjinga nn. Unaniona mm mjinga eeeh kumbe ulitafutia sabbau juu ya kosa langu ili upate mda zaidi wakuwa na yule kimbao mbao chako si ndio.

Mlige akanyamaza kimya akafungua geti. Akaingia katika gari yake akaingiza gari ndani.niliona ni zalau.na moyo unauma sana. Kashuka akafunga geti lake. Alafu akawa hanisemeshi anaongia ndani kwake et . Khaaa nilivua kiatu changi nikamlushia nacho cha mgongoni. Apo ndo nilimchokoza akanifta akaniwasha mabao mawili ya nguvu. Sijakaa sawa akaanza kunivuta akanipeleka ndani. Aseeee kaaanza kunipigaa. Yani alinipiga hii siku mligeee. Ahaaaaa mpaka nilijuta kwa nn nilikuja .akawa ananambia unaniona mm msenge sio. Unahisi unanaiweza sana. We si umekutwa shule unapiga kiss na mwanaume wako yule zayd..mi nimeongea nn. We nani unanaifatilia maisha yangu mpumbavu ww sasa ndio ninae mwanamke uyo mdamae milia ndo mwanamke wangu na sikutaki maraya ww. Nyieee apo ni anaongea uku ananipiga nililia mnoo. Ata kumludishia kwani naweza..akasema.alafu unakuja kunitia hasara za jioni unapasua gari yangu kiooo.leo nakuuaa.nyieee mbona nilianza kuita msaada mlige aalinipiga mpka mkono uligokaa.nikaanza kumuomba msamaha. Aseeee aliniwasha mnoo. Nikawa sasa ata kuona mbele sioni. Kishs akanisukuma njeee akanmbia nenda kwenu maraya ww sikutaki ntakuja kukua. Uo mda ni usiku kama.saa 4. Mwili umetutumka ata mkono haufanyi kazi nyieeee. Nilijalibu kunyanyka ila.sikuweza nilianguka kwa nguvu mpka chini.

Oyaaaaaaaaaa weeeeeeeeeeeee . Watu wana mapenzi ya hasiraaa. Aseeee season 3 ya uhuu mzigo ndo tinaishia apa.lakini bado faridaha ana mengi ya kutusimulia. Ebu tuungane nae season ya 4 soon itakuwa tayari . Nawapenda❤️
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65


Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia tu pale kitandani mpaka mama akaja chumbani akanmbia ebu acha kulia na utulie sawa. Nimeshaongea na mlige. Amesema kwa sasa hayupo sawa. Atakapokuwa sawa mtayaongea sawa tu. Nazani unajua ulivyomuumiza yule baba. Na anakupenda mno so tuliza kichw chako kabisaaa. Yani tuliza kichwa. Na utulie mlige mm ntaongea nae sawa mwanangu. Nikasema sawa mama. Basi nilijiliza apo mpka nikalala.

Aseeee ilikata na week ya pili. Mlige hajanitafuta kabisa na wala hajakuja...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-64-na-65

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 19  na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 19 na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

596
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

545
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

375
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

374
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

322
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

52
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

40
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

37

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.99K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.26K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest