MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia tu pale kitandani mpaka mama akaja chumbani akanmbia ebu acha kulia na utulie sawa. Nimeshaongea na mlige. Amesema kwa sasa hayupo sawa. Atakapokuwa sawa mtayaongea sawa tu. Nazani unajua ulivyomuumiza yule baba. Na anakupenda mno so tuliza kichw chako kabisaaa. Yani tuliza kichwa. Na utulie mlige mm ntaongea nae sawa mwanangu. Nikasema sawa mama. Basi nilijiliza apo mpka nikalala.
Aseeee ilikata na week ya pili. Mlige hajanitafuta kabisa na wala hajakuja nyumbani. Nikaona eeh ngoja tu nijichanganye . Mana mda wote kumuwaza tu mlige.nikaona hapana. Siku iyo mie nikatoka . Nikaenda apo centre. Ni sehemu amabayo kwa kijijini kwetu imechangamka sana. Na kuna kabinti flani pale tulimaliza nae shule anaitwa jamila. Ila yeye alifeli.so kuna duka kubwa apa kijiji lilifunguliwa ndo yeye akawa anauza bwana. Basi mie ndo nikaenda pale kuongea ongea. Mana nilimzoea tu uyu jamila. Japo hakuwa rafiki yangu sana. Basi nimefika pale. Tukaongea ongea sana. Jamila akaniuliza shogaaa mbona nakuona siku hizi si unasoma ww.nikamwmabia nimesimamaishwa shoga kuna kitu nimezingua acha kabisa tu.
Kanmbia mh sawa bwana pole . Nikasema.asante bwana .ndo mambo ya shule . Kisha Nikamuuliza kwani hili duka kubwa la hapa kijijini la nani . Mbona gafra naona duka kubwa hilo. Jamila akacheka akasema si la mwalimu wako bwana hili. Nikamuuliza mwalimu gani? Akasema.si mlige kwani hujui. Au ujamuuliza mama yako. Nikasema hapana. Akanmbia ahaa la mlige bwana hili. Kawekeza kijijini. Na ana nyumba yake kule mbele umeiona dada ndo inaishia. Nikasema hapana. Akasema acha kabisa. Kaachia mjengo shoga wa maana na sikia uko mbele. Mie ndo kaniweka apa .nashukuru ananilipa vizur tu. Na hana shida kabisa. Mh nikamuuliza anakulipa sh ngapi kwani akasema laki 2 kwa mwez. Mh na kweli jamila apa anauza mana ananipa.story mda wote ananyanyuka nyanyuka kuhudumia wateja.yani duka la kila kitu mpaka vyakula na kubwa tu. Na fremu kajenga mwenyewe sio ya kukodi.
Nikamuuliza kwani pale shule si alikuwa anatembea na madame zahara. Jamila akacheka akasema mh shogaaaaa zahara nilisikia ata ile mimba ilikuw yake now nasikia anatembea na kamadame kipya kinaitwa madame milia madame zahara si aliamishwa. Ni kamekuja apoo kapyaa na kun mda anapitaga nacho apa. Tena aswaa jioni. Anakashusha kwenye gari yake. Kembembe hivi ila kazuri. Nyie moyo ukaanza kwenda mbio.nikasema ya kweli ayo. Jamila akasema.ila mie sina uwakika nasikia za chini chini na vile namuonaga anapitaga nae apa ndo kabisa mie ata siwaelewi. Nyieeeee moyo uliniuma sanaaa. Nikaona uyu mpumbavu ndo mana kanichunia week 2 hizi kimbe ana uyo maraya wake ngojaaaaaaa
Nikakaa pale najifanya napiga story kumbe namvizia mlige aje. Basi bwana kweli. Mida ya sa 11 jion. Gali ya mlige ikapaki pale. Ilivyopak mlige akashuka. Nikaona kama.kastuka kuniona pale. Ila akajifanya kama hanijuh et anamwambia jamila. Jamila hii ni sehemj ya biashara mbona kama ulikuwa unapiga stiry na uyu mtu. Jamila ndo anamuelekeza sir uyu si faridah yule alikuwa anaongoza darasani amaekuja mala moja kunisalimia. Mie kimya namuangalia tu.nikanyanyuka kisha nikaenda kwenye gari yake nikafungua mlango. Khaa kweli bwana kampakaiza kamadame kazuri chembamba. Karefu. Nilimind nikajua uyu ndo mwanamke wake maraya uyu.
Nikamzungukia upande alipo. Ila mlige alishaniona kabla sijafungua mlango wa gari wa upendo aliekuwepo yule mdada .mlige akanistopisha kwa harkaa .akanmbia nn. Nikamuuliza kumbe kwa ajili ya uyu maraya ndo unanaikaushia mm si ndio si ndio mlige. Mlige akanmbia niheshimu apa ni bala balani sina mda wa kukuelezea kitu sawa ww mjinga.khaa kisha akanisukuma akaingia ndani ya gari yake. Nyieee nilikuwa na hasira. Yeye kaaanza kutoa gari yake pale et..niliokota jiwe nikapasua kioo cha nyuma chotee. Mlige akasimamisha gari kisha akashuka akaja kuangalia nyuma. Aseee nilipasua sehemu kubwa.akaningalia sana. Kisha akawa hajaongea kitu akaingia ndani ya gari yake akasepa..nilichukia . Nilimind kinoma.nikasema.uyu kanizalau namfata uko uko kwake runzewe naenda kumuwashia moto anaijue vizuri. Mda wote uo jamila na baadhi ya watu walokuwa kalibu walikuwa wanashangaaa
Jamila akanambia we faridah umechanganikiwa .nikasema niache. Shoga yenu nikachukua boda. Mana mkononi nilikuwa na pesa kama.elfu 20.nikamwambia nipeleke runzewe.basi yule bodaa akanipeka mpaka runzewe kwa mlige. Nimefika pale kafunga geti . Yani bado hajaludi.nikajua kampeleka maraya wake kwanza. Nilikaa nje mnoo. Yani mpaka saa 3 usiku ndo mlige anaingia na gari yake. Nikaangalia kwa nyuma kashaitengeneza kiooo. Basi alivyoniona akashuka nikamuanziashia pale.pale. nikamuuliza madame milia ndo nani. Nambie ndo nani ndo mwanamke wako si ndio. Mlige akaningalia aknmbia ludi kwenu ntakufanya kitu kibaya sana. Wazazi wako wanichukie nikasema wewe mjinga nn. Unaniona mm mjinga eeeh kumbe ulitafutia sabbau juu ya kosa langu ili upate mda zaidi wakuwa na yule kimbao mbao chako si ndio.
Mlige akanyamaza kimya akafungua geti. Akaingia katika gari yake akaingiza gari ndani.niliona ni zalau.na moyo unauma sana. Kashuka akafunga geti lake. Alafu akawa hanisemeshi anaongia ndani kwake et . Khaaa nilivua kiatu changi nikamlushia nacho cha mgongoni. Apo ndo nilimchokoza akanifta akaniwasha mabao mawili ya nguvu. Sijakaa sawa akaanza kunivuta akanipeleka ndani. Aseeee kaaanza kunipigaa. Yani alinipiga hii siku mligeee. Ahaaaaa mpaka nilijuta kwa nn nilikuja .akawa ananambia unaniona mm msenge sio. Unahisi unanaiweza sana. We si umekutwa shule unapiga kiss na mwanaume wako yule zayd..mi nimeongea nn. We nani unanaifatilia maisha yangu mpumbavu ww sasa ndio ninae mwanamke uyo mdamae milia ndo mwanamke wangu na sikutaki maraya ww. Nyieee apo ni anaongea uku ananipiga nililia mnoo. Ata kumludishia kwani naweza..akasema.alafu unakuja kunitia hasara za jioni unapasua gari yangu kiooo.leo nakuuaa.nyieee mbona nilianza kuita msaada mlige aalinipiga mpka mkono uligokaa.nikaanza kumuomba msamaha. Aseeee aliniwasha mnoo. Nikawa sasa ata kuona mbele sioni. Kishs akanisukuma njeee akanmbia nenda kwenu maraya ww sikutaki ntakuja kukua. Uo mda ni usiku kama.saa 4. Mwili umetutumka ata mkono haufanyi kazi nyieeee. Nilijalibu kunyanyka ila.sikuweza nilianguka kwa nguvu mpka chini.
Oyaaaaaaaaaa weeeeeeeeeeeee . Watu wana mapenzi ya hasiraaa. Aseeee season 3 ya uhuu mzigo ndo tinaishia apa.lakini bado faridaha ana mengi ya kutusimulia. Ebu tuungane nae season ya 4 soon itakuwa tayari . Nawapenda❤️
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi