Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
Gonga94 · Stories

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

“ umefanya nini wewe, mbona umenibusu, ikabidi nimuulize Feisal ..
“ mbona nabil amekutamkia maneno yake ya ajabu na haujahoji, sasa mimi kukubusu kuna shida gani ? usijali sisi ni marafiki ambao tutatengeneza nguzo za mapenzi taratibu, akajibu Feisal

Kwa upande wa nabil sasa alikuwa anahisi kupasuka, moyo ulikuwa una muuma kupita kiasi cha kawaida, akawa anataka kuja tulipo ila akawa anaona aibu, akawa anazunguka zunguka tu, anawaza anitumie sms au aachane na mimi…

Chakula hakiliki, na kitu na kitanda kilikuwa kama kimemwagiwa misumari ya moto, vocation ikageuka connection, yaan akawa atulii, mara aende kwenye gari kana kwamba anataka kuondoka mara arudi, mama yake akamuona namna anavyo hangaika sana, ikabidi amfate kisha amuulize shida ni nini?..
“ hamna shida mama nipo sawa, akajibu nabil..

Karibu nusu saa nzima nakuona unahangaika tu, au unaumwa ? akaendelea kuuliza mama yake nabil..
“ hapana mama siumwi na nipo sawa, usiwe na mashaka na mimi, akaendelea kusema, mama yake akamuangalia kisha akasema “ usijali ukiwa na shida yoyote ile usiogope kunambia maana mimi ni mama yako na siku zote nipo kwa ajili yako, akasema mama yake nabil kisha akaondoka zake…

Sasa huku kwa mimi na Feisal tukawa kama hatuelewani, nilikuwa nashangaa kwanini apige video call kisha ndio anikiss, alikuwa na maana gani? Nikaanza kuona kama usalama wangu utaanza kuwa mgumu, nikataka kurudi zangu nyumban…
Feisal akaja kunishika mkono kisha akasema “ zinura naomba unisamehe na nakuahidi hili halitakaa litokee tena, ni wivu tu ndio ulikuwa unanisumbua mamaa, na sikuwa nimemaanisha chochote, yale maneno ya nabil yameniuma, maana nilishamfata na kumuuliza kama ana mahusiano na wewe akakataa na akasema hata hana hisia na wewe, sasa kama hajali kuhusu wewe kwanini azungumzd maneno kama yale, huoni alikuwa anataka kuniumiza tu, embu nambie ukweli, kwani umeshawah kulala nae?..

Kikawaida ukiangalia hilo swali ni lepesi lenye majibu ya ndio au hapana, ila kwa upande wangu lilikuwa ni swali gumu sana, kwa maana nililala nae, na nisiku moja tu nyuma, yaan hata harufu na msisimko wa joto lake bado haukuwa umeondoka mwilini mwangu moja kwa moja..
“ mbona kimya, una maanisha kuw mambo yote ambayo ameyasema nabil ni kweli? Akauliza tena kwa sauti ya msisitizo zaidi..
“ hapana, hapana sio kweli, il pia sitaki kuwa na mahusiano na wewe, naomba nirudishe nyumban tafadhali sitaki matatizo mimi, nimekuja huku kutafuta kazi na sio kutafuta mabwana, nikajibu, na Feisal akatangulia mbele ikabidi nimfate nyuma, tukaenda kupanda kwenye gari na safari ya kurudi nyumban ikaanza…….

Basi bana tumefika nyumba tukamkuta nabil anazunguka zunguka tu, alipotuona akatuangalia kwa hasira kisha akapitiliza moja kwa moja mpaka chumban kwake…

Mimi nimeingia ndani nashangaa sms inaingia kutoka kwake, “ usinambie na huyo umempa kama ulivyonipa mimi jana..
Nikashangaa huyu anasema nini? Yaan ananiona mimi kama Malaya tu si ndio, kwanini aniulize swali kama hilo, nikawa najiuliza maswali ambayo hata mimi mwenyewe sikuwa na majibu yake…

Siku mjibu, akatuma sms nyingine inasema “ au bado upon a huyo bebi wako mnapeana tu, ila ujue kuwa wewe sio mtamu hata kidogo kwa hio usidhan kama atainjoy…

Nilishikwa na hasira, nikataman nimfate chumban kwake nianze kumtukana, ila nikaona nitulie kwa sababu pale nilikuwa nyumban kwa watu na sikuona busara kuharibu furaha za watu kwa mambo yangu binafsi…

Basi bana baada ya nabil kuona sijibu sms zake akapiga, ila sikupokea, sikuwa nataka aanze kunihamishia kisirani chake mimi, alipoona sipokei akatoka, nilikuwa nimekaa ukumbini na ndugu zake wengine, kwa sababu tu;ikuwa tumekutana pale, familia kama nne, kwa ajili ya vocation na wakati tunaingia faisal nae alipitiliza chumban kwake, mimi nikaona nikae zangu ukumbini niendelee kujiburudisha na movie…

ITAENDELEA …

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8


“ umefanya nini wewe, mbona umenibusu, ikabidi nimuulize Feisal ..
“ mbona nabil amekutamkia maneno yake ya ajabu na haujahoji, sasa mimi kukubusu kuna shida gani ? usijali sisi ni marafiki ambao tutatengeneza nguzo za mapenzi taratibu, akajibu Feisal

Kwa upande wa nabil sasa alikuwa anahisi kupasuka, moyo ulikuwa una muuma kupita kiasi cha kawaida, akawa anataka kuja tulipo ila akawa anaona aibu, akawa anazunguka zunguka tu, anawaza anitumie sms au aachane na mimi…

Chakula hakiliki, na kitu na kitanda kilikuwa kama kimemwagiwa misumari ya moto, vocation ikageuka connection, yaan akawa atulii, mara aende kwenye gari kana kwamba anataka kuondoka mara arudi, mama...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-true-love-story-sehemu-ya-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-true-love-story-sehemu-ya
 MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY    SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

1.06K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

651
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

617
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

578
FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18

528
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

411
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

350
BLACK BUTTERFLY 🦋 3

BLACK BUTTERFLY 🦋 3

118
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

100
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.46K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.21K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.45K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.39K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest