Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
Gonga94 · Stories

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Ni mwaka 1997 ndio mwaka niliokuwa naanza darasa la kwanza katika kijiji cha nduruma, shule ya msingi mlangarini..
Nilikuwa natoka kwenye familia yenye uafadhali wa maisha kidogo pale kijijini, kwa sababu kwanza nilienda shuleni nikiwa nina nguo za shule zote, na viatu vyeusi ambavyo vilikuwa vimepigwa kiwi vizuri na guo yangu ya shule iliyopasiwa kwenye pasi ya mkaa…

Ingawa tulikuwa bado tunaishi kwenye nyumba ya udongo, ila angalau nyumban kwetu kulikuwa na solar, hivyo ndio nyumba pekee ambayo ilikuwa inawaka taa tena vizuri sana, kuna baadhi ya watu wakawa wanatuita matajiri, kwa sababu baba ilikuwa kila jumapili analeta jenerator analiwasha kisha wanakijiji wanakuja kuangalia tamthili, kwa kipindi hicho zilikuwa zile za kina muhogo mchungu na mama kai za Itv, na matangazo yaliokuwa yanapita ni yale ya jambo, yaan watoto wa kijiji kizima nyimbo zao kuu zilikuwa ni chai jaba kikombe cha ubora, na ile ya mimi naitwa jambo kubwa, na wewe je, mimi naitwa jambo ndogo na wewe je, mimi naitwa jambo kati kati, yaan hizo nyimbo mbili zilikuwa kama nyimbo za kijiji na ulikuwa usipozijua unaonekana mshamba kwa sababu hauangaliag tv, yaan mpaka wale ambao hawakuwa wanakuja nyumban kwetu iliwalazimu kushika hizo nyimbo ili wasije kuchekwa na watoto wenzao..
Sasa Wakati naanza kusoma darasa la kwanza , kuna mwanafunzi wa kiume alikuwa anatoka kijiji jirani, alikuwa anaonekana kama anatoka kwenye maisha duni kuliko hata ambayo nilikuwa natoka mimi, kwa sababu sisi tunaanza la kwanza na viatu, angalau kidogo wasafi, ila yeye alikuwa anakuja peku…

Alikuwa mchangamfu sana, na kila mtu pale darasan alimpenda, licha ya kuwa na maisha duni, ila alihakikisha kuwa kila aliekuwa karibu yake ni lazima awe na furaha, alikuwa anaitwa omary ..
Katika kipindi kifupi toka tumeanza shule, tulijikuta tunakuwa marafiki wakubwa sana na omary kutokana na uchangamfu wake na upendo wake kwa watu wengine na adabu aliokuwa nayo kutoka kwa mkubwa na mdogo, yaan kila ambae alikaa karibu nae alijihisi amani na furaha ya kweli…

Nilikuwa naumia anavyotembea peku, zile hela zangu ambazo nilikuwa napewa kwa ajili ya kula shule, na wakati huo nilikuwa napewa shilling 50, nilikuwa sili, naweka mpaka ikajaga kufika shilling 750 kwa enzi hizo nikamnunulia viatu…

Yaan alilia kwa uchungu na kunambia hakika zinura sitakaa nikusahau kwenye maisha yangu yote..
Miaka ikaenda na sisi tukawa tunaendelea kukuwa kama kawaida, hatimae tukamaliza elimu ya msingi na urafiki wetu ukakuwa zaidi, na tukaanza kujihisi wenyewe kuwa hatukuwa na hisia za kawaida bali tulishaanza kutengeneza hisia za mapenzi kati yetu…
Hatukuwa na uhakika kwa sababu ya umri kuwa mdogo ila binafsi nilianza kujisikia vibayua kila nikiona ameongea na mwanafunzi wa kike, au mtu yoyote Yule wa kike, nay eye vile vile hakuwa anapenda kunona hata nikimsalimia mwanaume kwa bahati mbaya…

Miaka ikaenda, tukaanza kidato cha kwanza katika shule ya sekondari ya mlangarini, na mwaka ambao tulianza kidato cha kwanza ndio mwaka ambao nilivunja ungo, hivyo nikaanza kupendeza, kangozi kakaanza kuteleza, hips na tutako tukaanza kutoka, mvuto ukaanza kunijia, nikawa ni binti mwenye mvuto mno, nadhan katika shule ya mlangarin mimi ndio nilikuwa binti mrembo kuliko mabinti wote pale, na wivu kwa omary ndio ukazidi mara dufu, maana mara kadhaa alikuwa akinikuta naongea na mwanaume atanuna balaa…

Basi maisha yakaenda, na namshkuru Mungu mapenzi yetu yalikuwa ni yakuhamasishana kwenye mambo mazuri, na kusema ukweli pale shuleni sikuwa na rafiki wa kweli zaidi ya omari, kwa sababu nilitembea nae kila mahali, na hakuwah kutaka nikae pekee yangu kama yupo shuleni, na tukawa tunafundishana na hata waliokuwa wanatuona tupo karibu ni wanafunzi wenzetu walikuwa wanatufikiria vibaya ila watu wengine wote walikuwa wanadhan tulikuwa na ukaribu wa kusoma tu maana matokeo yalijieleza vyema…

Miaka ikaenda na hatimae tukaingia kidato cha nne mimi na omari wangu, na tulisoma mchepuo mmoja, na masomo sawa, hivyo tulikuwa tunakaa pamoja mpaka darasani, na tulikuwa tunakaa mbele kabisa yaan…
Nilivyofika kidato cha nne ndio kama uzuri wangu ulizidi mara dufu, usumbufu haukuwa wa kawaida, na wale vijana wa babe wa shule na mtaani wakaanza kumtishia omari kuwa akae mbali na mimi, ila haikuwa rahisi, kwa sababu kwa namna nilivyokuwa nampenda kukaa mbali na omari wangu ilikuwa kama adhabu kali sana yenye kuumiza vibaya sana…

Maneno na vitisho vya watu havikuwah kututeteresha hata kwa bahati mbaya, bali ndio kama vilizidi kutupa nguvu na kuchochea kwa kasi moto wa penzi letu, kwa sababu hatukutishiana hata kwa utani kuachana na omari wangu…

Maisha yakawa yanaendelea kama kawaida, na siku ya mahafali ya kuhitimu kidato cha nne ikafika, wazaz wa omari hawakuwa na uwezo wa kumfantia mahafali, ila nikakubali tufanye pamoja, na kwwa kuwa familia yangu ilikuwa inajua kuwa tulikuwa ni marafiki tu wa kawaida hakuna mtu hata mmoja ambae alishangaa…

Sasa kama tunavyojua mambo ya mahafali, kuna muda wa kucheza mziki ukafika, kuna muhuni mmoja wa pale kijiji akanifata na kutaka kucheza na mimi, nikakata akanilazimisha sana ila nikamsukuma huko na kumfata omari na kumueleza kilichonikuta…

Omary akanishika mkono kisha tukasogea pemben kidogo na shule, sehemu moja ambayo kulikuwa na mto nduruma, tukawa tumekaa kule mtoni tunapiga zetu story, na omary akawa ananiapia kuwa akija kufanikiwa atanijengea nyumba kubwa sana, na kuninunulia gari, anaamin atakuwa tajiri sana baadae na utajiri wake utakuwa ndio utajiri wangu…
Nilikubali maana ni kawaida yake kutoa ahadi kila siku na sikujua ni lini hizo ahadi zitaanza kutekelezwa…

Basi tukakaa hapo mtoni mpaka kagiza kalipoanza kuingia, tukaona turudi zetu nyumban, ila wakati tunajiinua maana tulikuwa tumekaa chini, tukasikia sauti inasema “ hawa huku…
Mara tukashangaa tunaona kundi la wahuni, walikuwa kama kumi hivi, wote nawajua ni vijana wa mtaani tu, basi wakaja mpaka tulipo, walimpiga sana omari, kisha wakaanza kuniingilia kwa fujo, mungu anisaidie mimi…’

Yaan vijana wote walinifanyia huo ukatili, sitaki kuamin kama usichana wangu ndio ulikuwa unatolewa kikatili namna ile, nilipiga kelele sana ila waliniweka mavitambaa mdomoni ili nisiweze kupiga kelele, na nikimuangalia omari kwa namna alivyochapika hakuwa anaweza kufanya jambo lolote lile zaidi ya kupepesa macho tu…
Alikuwa anaonekana kuumia sana kwa kitendo ambacho nilikuwa nafanyiwa, mpaka akawa anajikuta anatokwa na machozi bila kutegemea…

Wale ambao walimaliza kunifanyia ukatili wakamshika omari na kwenda kumtupa kwenye mto nduruma, na kipindi hicho kilikuwa ni kipindi cha mvua, hivyo mto ulikuwa umejaa, nikawa naona mwili wa omari wangu ukiwa unaenda na maji, nikajikuta nimepoteza fahamu

NAKUJA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1


Ni mwaka 1997 ndio mwaka niliokuwa naanza darasa la kwanza katika kijiji cha nduruma, shule ya msingi mlangarini..
Nilikuwa natoka kwenye familia yenye uafadhali wa maisha kidogo pale kijijini, kwa sababu kwanza nilienda shuleni nikiwa nina nguo za shule zote, na viatu vyeusi ambavyo vilikuwa vimepigwa kiwi vizuri na guo yangu ya shule iliyopasiwa kwenye pasi ya mkaa…

Ingawa tulikuwa bado tunaishi kwenye nyumba ya udongo, ila angalau nyumban kwetu kulikuwa na solar, hivyo ndio nyumba pekee ambayo ilikuwa inawaka taa tena vizuri sana, kuna baadhi ya watu wakawa wanatuita matajiri, kwa sababu baba ilikuwa kila jumapili analeta jenerator analiwasha kisha wanakijiji...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-true-love-story-sehemu-ya-1

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-true-love-story-sehemu-ya
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
 MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY    SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

1.06K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

649
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

616
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

578
FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18

528
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

408
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

347
BLACK BUTTERFLY 🦋 3

BLACK BUTTERFLY 🦋 3

118
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

100
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.46K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.21K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.45K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.39K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest