REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*
biharusi wetu alitulizwa kwa staili tamu sana basi akajitoa kisha akashika shavu la fahima huku ameikamata vizuri maiki yani apo wambea wanapiga vigelegele vibaya mno tena john ndo kajiweka mbele kabisaaaaaaa anaruka ruka tu yeye na selina
""my lovely wife leo natimiza ahadi yako ambayo nilikuwa niisema kila siku kuwa nasuprize zako tamu za kukuonyesha nina upendo wa dhati kwako, ujue mke wangu wewe ndiye uliyeweza kunipa amani na furaha na ukaninyanyua nilipoanguka wewe ni nguzo kwangu sio ya umeme bali ya moyo watu waliangua kicheko hadi biharusi alishindwa kujizuia ni kicheko tu
*"nakuahidi nitakupenda nguzo yangu mpaka mwisho wa maisha yangu i swear my wife leo ninazawadi zako tatu tamu sana naimani ukizisikia utafurahi mno alisema fahim watu walishangilia na kupiga mayowe kutaka zitajwe zawadi hizo
*tajaaaaaa jamani taajaaaa taja tajaaa*** kelele za watu zilizidi kuchangamsha harusi hiyo.
"zawadi yako ya kwanza ni duka zuri languo za kike aina zooote nishalipa jina kabisa linaitwa FAHIMA FASHION lina kila aina ya nguo za mwanamke naimani utalipenda nimetimiza malengo yako ya kuwa mfanya biashara mkubwa mke wangu alisema fahima nyleeeeeeee shangwe zikazidiiiiiii fahima alimkumbatia mumewe kwa nguvu sana huku akilia kwa furaha mumewe akamuomba di aweke mziki wa diamond msumari ili amfute machozi mkewe
si Ikawekwa kipande kizuuuuuri sana alisema mimi sitompata wa thamani sasa hii ninini muulize huyu nani wamebaki kutabiri siku mbili tutaachana mana so kwa penzi hili mbona wataroga sana nyie nyie fahima alifutwa machozi na mumewe huku akiimbiwa kanyimbo kataaaam cha mahabbatt, langoni mwa kumbi hiyo alikuwa cathe akilia kweli kweli huku akikamatwa vizuri na walinzi, mara ya mwisho alikuwa nyumbani sasa sijui hata kamwambia nani mdada mwanga huyu alizuiliwa kuingia ndani akabaki kushuhudia tu aliliaaaaa nyieeee
aiseeeeee dundo likawashwa hapo tena
upande wa mama fatuma alikuwa anataka kujiandaa kutoka kwenda sokoni alivaa vizuri akatoka zake nje ndipo akamkuta fatuma akitapika alishangaa
***Munguuuuuuu kwahiyo na fatuma ushaibeba yalaaaaaaaaa alisema mama fatuma huku akiweka mikono yake juu kichwani
""nitalweka wapi sura yangu mimi jamani huyu mtoto jamani mimi nimpeleke wapi alisema mama fatuma kwa huzuni sana, ndipo futuma nae akanyanyuka na kutaka kuelekea ndani we paka haya sogea hapa sogea halafu mkavuuuuu kama chapati ya juzi nyoooo0 ushaibeba eeee sasa nakwambia mlete huyo kikaragosi wako alokubebesh hiyo mimba lasivyo utatafuta pa kukaa nyau wewe"" alisema mama fatuma mwa ukali
""yani mama unaniona naumwa lakini ndokwaanza unaanza kelele jamani ah"" alisema fatuma kisha akaingia ndani
"mbwa wewe nakwambia utatafuta kwa
kwenda nani anataka aibu nani he usinivuruge
wewe mtoto alisema mama fatuma kisha
akaondoka zake
upande wa harusi mambo bado yalikuwa moto dj akasimamisha mziki ili zawadi ziendeleeee
""zawadi yako ya pili ni gari safi kabisa lange rav4 sitaki upate tabu mke wangu usafiri wako upo tayari nisha kuandalia wife akisema fahima nyleeeeeeeeeee watu wakazidi kushangiliaaaa
""zawadi ya tatu na yamwisho nimekununulia nyumba safi sana nalmani utaipenda mke wangu ipo masaki wewe ndio mama mjengo rasmi kwenye nyumba hiyo nakupenda sana mke wangu imalizia kusema hivo aiseeeee 6 6 6 & & & & watu walishangilia agness rafiki wa fahima na selina we acheni tu walitamani kuvua nguo wakae uchi kabisa,
biharusi akaona usinitanieeeeeeee akashika maiki kumwambia dj weka zuchu raha nataka nimfurahishe mume wangu hadharani watu sasa ziki lishawashwa ืชืช biharusi akashika maiki uwanjani anamuimbia mumwewe kwa kunengua balaaaaaaaa yani kwanza kasema deka deka namimi
najlachiaaaa
hivo alivojiachia sasa hatariiiiiii
kanipa shuruti la kumteka teka silaha kanigawia, mapenzi kimara kunipeleka peleka peleka mpaka mwisho washuki hashukii ndiye ananipa raha kunipeleka peleka mara mwendo wa mashuti mashuti, aaaaah kaniweka gerezani kunifundisha vizuri mengi hayana lingani yataka kuyakaririr kanicholea ramani mpaka mjini kisiri kigundu nchi nanan rangi yake ni kizuri rahaaaaa kupendwa raha kupendwa raha biharusi alijuwa kuupatia wimbo huo alicheza vizuri sana na mumewe huyo hakika ilikuwa ni furaha kubwa sana
cathe alitoka mahali hapo akiwa na mawazo mengi sana na huzuni kubwa sana alikuwa anatembea barabarani akiwa na mawazo tu hakujuwa nini mwisho wa maisha yake alijutia sana kuyaharibu maisha yake alimlaani sana devi ambaye kwa wakati huo hakujuwa yupo wapi, alitembea njiani akiwa analia sana sana kutokana na kuwa na mawazo mengi alijikuta akiingia road barabarani bila kujitambua, kuna pikipiki ambayo ilikuwa inakuja kwa spidi sana haikujiandaa kama kutakuwa na mtu mbele yani ghafla tu ikamgonga catherini vibaya mno
ilimrusha vibaya sana akaangukia uapande mwingine pikipiki hiyo ikatoka spidi mia haikutaka kusimama hata watu wakashindwa kukariri namba za pikipiki hiyo, wasamalia mwema ikabidi wamsaidie cathe kumpeleka hospitari, alikuwa anavuja damu nyingi sana nyingi mno aliumia vibaya sana sehemu za tumbo
walijitahidi kunuwahisha hospitari walifika hospitari daktari alipomuangalia cathe tu akashtuka maana tayari alikuwa kashapoteza maisha, ilikuwa ni masikitiko makubwa sana, wasamalia hao wakaamua kumsachi kwa bahati nzuri wakakutana na bisness card ya baba yake wa kufikia mzee cryton, haraka wakampigia simu kumpa taarifa hizo
ilikuwa ni taarifa za kushtushwa sana hadi mzee cryton akapata presha na kuzimia, calor nae hakuamini kama amempoteza dada yake hata mama cathe nae alilia sana alilia vibaya mno nayeye akajikuta anazimia ghafla tu,
uku ukumbini hakuna aliyepata taarifa zozote kuhusu cathe, sherehe yao iliisha vizuri sana jioni hiyo watu wakawa wanamalizia kula chakula hapo ndipo mzee fahad akapigiwa simu na kupewa taarifa hizo, aiseeeee alishtuka vibaya sana mpaka akashindwa kula chakula
wanasemaga damu nzito kuliko maji hatakama alifanya mabaya atabaki kuwa mtoto wako tu na damu yako tu
Itaendelea.
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni