Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 37*
Gonga94 ยท Stories

REALLY LOVE* *SEHEMU YA 37*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



basi ikabidi mzee fahad awaeleze wote juu ya taarifa za msiba huo, kwakuwa harusi ilikuwa Imeisha haraka watu walijiandaa kwenda hospitari, familia ya cathe ilikuwa na majonzi sana haikuamini kama imempoteza cathe,

mama cathe alilia sana alijiona yeye ndio sababu ya kila kitu, sababu ya kumpoteza mwanae kipenzi alilia sana, basi ikabidi kesho yake waandae mazishi hakuna aliyekuwa na furaha siku hiyo,

hata fahim hakupata furaha ndio alikosewa sana na cathe lakini sio kufa aliumia sana sana mno, nafahima nae pia aliumia kwasababu bado cathe atabaki kuwa mdogo wake tu japokuwa hakuwa na mema

basi mazishi yalifanyika watu wote walimuaga cathe familia ilitawala na majonzi makubwa sana, baada ya mazishi kila kitu watu walisambaratika, ilipita wiki moja kidogo ikawa anafuu watu wakaanza kuchangamka kama zamani huku maisha yakisonga mbele

mzee fahad aliamua kuoa mke mwingine yote. sababu hakupata amani kabisa akiwa na mama. fatuma, basi furaha ilizidi kutawala sana katika familia hizo

fatuma nae alikuwa na majanga tu alibebeshwa mimba na mwanaume ambaye hakuwa anamuhudumia chochote wakawa wanahangaika. tu kuhudumia wenyewe, kutokana na vitimbi vya mama fatuma mzee fahad akaamua kumuacha kabisa mama fatuma huku akabaki na mkewe wakati huo aliweza kujimudu kutokana na kazi zake

fahim alizidisha mapenzi sana kwa mkewe fahima, alikuwa anampenda sana kupitiliza, selina nae aliwafanyia sapraiz kuwatambulisha mpenzi wake ambaye ni john aisee wengi hawakuamini

""dah ila john wewe ni msiri sana unaweza kupindua nchi alsee" alisema fahim baada ya john kumvisha pete selina

***hahaahaha mapenzi usiri ndugu yangu:*** alisema john basi siku hiyo furaha ilizidi kutawala sana, baada ya miezi mitano selina akafunga ndoa na john kwa uhalali kabisa rasmi akawa mke wa john,

hatimae miezi ikasonga mbele fahima. akajifungua mtoto wa kiume yaaani copy na fahim furaha ikazidi sana hususani kwa mama fahim kwa kupata mjukuu jembe, mtoto akapewa jina la fahari, jamani yani mama fahima baba fahim na mtoto fahari aiseeee walijua sana kumetisha,

miezi ikazidi kusonga mbele huku kwa mama fatuma hali yao ya kimaisha ilikuwa ngumu sana wakaamua tu kurudi kijijini kwao tanga ili wakalime angalau iwe nafuu maana hata kula yao ilikuwa shida sana, basi wakaamua kisafiri wakaondoka mjini hapo,

baada ya miezi mitatu siku moja fahima na mumewe wakaamua kwenda nyumbani kwa mama fahim kusalimia, siku hiyo walipanga familia zote ziwe hapo hata selina na mumewe wakaja na mzee fahad na mkewe pia basi wakapika chakula kizuri san mazagazaga kama yote,

mara katika story walishangaa mtu akija akiwa amechakaa sana alifika na kusimama mlangoni hapo, watu wote walishangaa ninani maan hawakumjua kabisa kwajinsi alivyo chakaa mwili pia alikuwa ananuka sana mara akaja mlinzi kutaka kumtoa akidai kwamba alilazimisha kuingia ndani lakini fahim akamwambia amuache ili aeleze shida yake

seven mimi ni devi aiseeeeeeeeee watu. wote walishangaa hawakuamini kama ni devi kwajinsi alivyochakaa hadi wakamsahau kabisa

""fahima najutia sana makosa yangu nimekuja hapa ili kukuomba msamaha maana sikuwahi kabisa kukiri kosa langu, nikweli nilitembea na cathe nisamehe sana maana dunia imenifunza nilipata bahati nikaichezea leo najuta najuta mara elfu najuta mimi, napia naomba mnielekeze kwakina cathe maana nimeenda nimeambiwa wamehama mda sasa sijui anakaa wapi maana niliikataa mimba nikaikataa damu yangu kwakweri mimi sina akili nimekili naomba mnisamehe sana wote aiseee devi aliongea kwa huruma sana kwakweli alijutia sana

""sawa tushakusamehe lakini huyo cathe unayemzungumzia hapa tayari alishatangulia mbele za haki ulimuacha akapitia magumu akateseka sana mwishowe akaenda zake muombee dua huko alipo aiseeeee maneno ya fahim yalimchoma sana devi alijikuta akidondoka chini hakuamini kabisa alichoambiwa,

devi akaanza kulia sana kwa uchungu akajikuta akiwahadithia maisha yake baada ya kuikataa mimba mpaka kuingiliwa kinyume mpaka. kutupwa akajikuta hospitari kutoka na kusaidiwa na watu wema hapo ndo akaanzisha maisha mapya ya kuokota makopo hakuw na pesa hata ya nauli kwenda kwao aliliaa sana

cathe najua nimekukosea sana mama nisamehe mama najuwa nimekosa mimi. ndosababu ya yote mama nimekuua wewe na mwanangu mama sirudii tena** aiseee devi alijuwa kulia nyieeee mpaka huruma

ikabidi fahim ampe pesa ya nauli arudi kwao maana hakutaka tena ukaribu na devi hata kidogo basi devi alishukuru tu kisha akaondoka na kurudi kwao kijijini

maisha yaliendelea familia hizo zilipendana, urafiki wa fahima na agness ulikuwa zaidi ya ndugu wakati huo agness nae aliolewa na kuzaa mtoto mmoja basi furaha iilizidi kutawala katika maisha yao

asiyefunzwa na mamae hufunzwa na ulimwengu, ukiendekeza tamaa Inaweza kusababisha kuharibu maisha yako na kuja kujutia sana wakati huo tayari ushachelewa, chunga tamaa mbaya, ukipendwa pendeka...

MWISHOOO

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

REALLY LOVE* *SEHEMU YA 37*




basi ikabidi mzee fahad awaeleze wote juu ya taarifa za msiba huo, kwakuwa harusi ilikuwa Imeisha haraka watu walijiandaa kwenda hospitari, familia ya cathe ilikuwa na majonzi sana haikuamini kama imempoteza cathe,

mama cathe alilia sana alijiona yeye ndio sababu ya kila kitu, sababu ya kumpoteza mwanae kipenzi alilia sana, basi ikabidi kesho yake waandae mazishi hakuna aliyekuwa na furaha siku hiyo,

hata fahim hakupata furaha ndio alikosewa sana na cathe lakini sio kufa aliumia sana sana mno, nafahima nae pia aliumia kwasababu bado cathe atabaki kuwa mdogo wake tu japokuwa hakuwa na mema

basi mazishi yalifanyika watu wote walimuaga cathe familia ilitawala...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/really-love-sehemu-ya-37

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi really-love-sehemu-ya
REALLY LOVE*  *   *SEHEMU YA 34*
REALLY LOVE* * *SEHEMU YA 34*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*
REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 33*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA 33*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*

862
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*

632
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*

335
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*

280
REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 37*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA 37*

224
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*

224
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15

155
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5

122
THE SECRET MESSAGE  3 to 4

THE SECRET MESSAGE 3 to 4

88
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14

44

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.35K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.1K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.73K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.17K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.57K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.36K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.3K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*
@majario LIVE

"Habari za hapa?" Aliuliza Suzy baada ya kutufikia Mimi na pili. "Salama" Alijibu pili na Mimi Nikabaki nikimuangalia Suzy kwa dharau sana Maana huyu msichana amejua kuninyanyasa sana NYUMBANI kwao. "Nikusaidie nini Nilimuuliza Hapo pili akaniangalia...

So excited to see Akshay Kumar and Saif Ali Khan coming back together on screen! Post Mpya
So excited to see Akshay Kumar and Saif Ali Khan coming back together on screen!
@majario LIVE

If you grew up in the 90s, you know this duo was pure entertainment. From Main Khiladi Tu Anari to Yeh Dillagi, Tu Chor Main Sipahi, and Keemat, they gave...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15
@majario LIVE

D alitoka hukoo kasi akataka kumpiga Veda Tinner akazuiaaa nae alitoka .. "Veda wewe kumbe ni mshenziii eeeh!!" Veda yupo kimyaa ananikata jichoo kaliii yaani hamtazami D anaembwatukia jicho lote lipo...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5
@majario LIVE

Sehemu ya 1 Aseeee bwana.. mie nilipozi kwanza . Nikaamuangalia uyu demu mkari kisenge. Yani mtoto mzuri mzuri kwli. Sio masihara. Kisha sasa ana vitu. Vyaangu. Bwana mi sjawaahi kumuangalia mwanamke...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14
@majario LIVE

Nikasogea hadi karibu na Geti yeye alikuwa kwa nje akanifanya na mie nivuke geti kidogo yaani mguu mmoja ukawa nje ya Geti mwingine ndani "Enhee" yaani nilikuwa makini nae mno "Aunt, Unaitwa...

REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 37* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA 37*
@majario LIVE

basi ikabidi mzee fahad awaeleze wote juu ya taarifa za msiba huo, kwakuwa harusi ilikuwa Imeisha haraka watu walijiandaa kwenda hospitari, familia ya cathe ilikuwa na majonzi sana haikuamini kama...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*
@majario LIVE

Nilipanda kwenye gari ya Enzo, nikiwa na hasira ya usoni tu lakini nilikuwa Nina Furaha sana moyoni kwangu, my zangu huyu kaka nampenda na sio utani, Yaani nampenda kutoka moyoni,...

IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS Post Mpya
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS
@majario LIVE

First and foremost, this collaboration hurt many Kenyans. They didnโ€™t see me coming. No one from Kenya or Tanzania pulled this project together. The entire thing was organized by...

๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League Post Mpya
๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League
@majario LIVE

๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Arsenal ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Chelsea FC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Liverpool FC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Manchester City ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Newcastle United ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Tottenham Hotspur ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Barcelona ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Real Madrid ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Atletico Madrid ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Bayern Munich ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Bayer...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*
@majario LIVE

biharusi wetu alitulizwa kwa staili tamu sana basi akajitoa kisha akashika shavu la fahima huku ameikamata vizuri maiki yani apo wambea wanapiga vigelegele vibaya mno tena john ndo kajiweka mbele...

THE SECRET MESSAGE  3 to 4 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 3 to 4
@majario LIVE

๐Ÿ’ฌ03 Sina sababu ya kukuficha lolote. Lazima nikuambie ukweli. Rashid wewe Mungu anakupenda sana, mwenyezi Mungu anakupenda mno. Unafanya kazi zako vizuri kabisa mwanangu, lakini cha ajabu mwanangu kila nguo mpya...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
@majario LIVE

Pully alishtuka sana baada ya kuniona akabaki akinitolea macho akiwa na wasiwasi sana, macho yake tu yaliweza kueleza Kuwa kuna kitu akiko Sawa kabisa. "ISHANI umemuona amina wangu?" Mama amina aliniuliza kwa...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*
@majario LIVE

alishangaa mno ikabidi amuulize maswali mengi mpambaji hii ni harusi ya shemeji sasa mbona unanipamba kama biharusฤฑ?": aliuliza fahima usijari maana nimepeewa maelekezo kuwa wewe utakuwa kama mlinzi wa bibi harusi hiva utapambwa kama...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 13 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 13
@majario LIVE

Nikasikia kuna nini hapoo???" Halafu muda huo Veda alikuwa ananitazama machoni na mie nimtazama yaani tunatazamana nina uhakima mioyo yetu ilikuwa inaongea maana kwa yale macho ya veda daah achaaaa Nikageuka...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana baada ya kukutana na madam groly Tena NYUMBANI kwangu. "Amepajuaje hapa ? Au amekuja na pully?" Nilijiuliza kimoyamoyo uku nikimuangalla madam Groly kwa wasiwasi uku nikiwaza amekuja kufanya nini...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest