Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

.TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 14
Gonga94 · Stories

.TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋

Licha ya kukataliwa mara kadhaa, Salmon hakukata tamaa. Alikuwa anamfuata Noela chuoni kila mara ili ambembeleze. Pia alikuwa anampigia simu na kumtumia sms kiasi kwamba Noela akaamua kubadilisha namba ili aache kusumbuliwa🥱.

Na Kuhusu Iris, Salmon alimsahau kabisa. Uhusiano wao ukazidi kuwa mbaya maana kichwa cha Salmon kilijaa Noela tu na sio mwanamke mwingine👌

Katika yote haya, Noela akazidi kupendeza. Alibadilika sana hata kwenye mavazi yake. Alikuwa anavaa vizuri sana nani kwa sababu Mr. Marvel alijua kumchagulia nguo na viatu vizuri.

Pia alikuwa anatumia simu mpya na Kila wiki alikuwa anabadilisha hairstyle. Alipata pia marafiki wapya waliompenda na aliowaamini.

Kwa hiyo Noela wa zamani na Noela wa sasa walikuwa watu wawili tofauti. Noela wa sasa hakuruhusu watu wamtumie kwa sababu ya wema wake plus Wanafunzi wenzake darasani walimpenda sana.

Siku moja jioni baada ya vipindi, kama kawaida Noela akaingia kwenye gari na kuondoka eneo la chuo. Hakujua kuwa Iris alikuwa anamfuatilia nyuma kwa pikipiki😤.

Iris alitaka kujua Noela anaishi wapi na ni nani huyo mwanaume anayemhudumia hivyo. Alikuwa na hamu sana ya kujua kwaiyo alimfuata kila mahali, kuanzia alipopitia supermarket na sokoni kisha ndipo hapo Noela akaelekea nyumbani.

Nyumba aliyokuwa anaishi Noela ilikuwa nzuri sana na ya gharama kama nilivyosema mwanzo. Iris alipoiangalia akajaa wivu na hasira. Hakuamini kama Noela anaishi kwenye nyumba nzuri kiasi kile.

“What? Anaishi hapa? kwenye nyumba hii nzuri hivi? Mungu wangu, mimi bado niko hostel, nabembeleza mapenzi ya Salmon! Wallah Siwezi kubali kabisa. Huyu mwanaume anayemhudumia Noela lazima nimfanye wangu ili na mimi nianze kuishi maisha mazuri kama yake. Hilo lazima litokee….”😡

Akaamua kusubiri pale ili aone kama ataweza kumuona huyo mwanaume. Alijificha nje ya nyumba kwa masaa mawili au matatu kama sikosei.

Baadaye kabisa kuna gari lilifika aina ya G wagon! Ndani yake alikuwa yupo Mr. Marvel. Lili ingia ndani kisha Mr Marvel akashuka akitembea taratibu kuingia ndani.

Apo Iris anajitaidi kuchungulia mpaka akamuona alieshuka kwenye gari ni nani. Kwanza alishangaa, sababu ni mtu ambae uso kama anamfahamu au kuna mahali fulani alishawai kumuona.

Akafikiria kidogo ni wapi amewahi kumuona mtu huyoo ndipo kumbukumbu zikamrudisha siku ya birthday ya Salmon. Yule mwanaume alikuwa pale ndiye yule yule aliyemuona nyumbani kwa akina Salmon.

“Waiiiiit………si baba yake Salmon yuleeee!”😳

Hakuamini macho yake kuona kuwa mwanaume anayemhudumia Noela ni baba yake Salmon. Akajikuta Anacheka coz hakuamini kwamba Noela anaweza kuwa na mahusiano na baba pamoja na mtoto.

“Kumbe huyu siyo malaika kama nilivyodhani. Kwanza alikuwa na mtoto, sasa amehamia kwa baba. Lakini huyu baba yuko vizuri. Kama ningejua anapenda wasichana wadogo hata nisingepoteza muda na mwanae. Lakini hakuna kitu kitashindikana. Kwa huu utajiri na jinsi alivyo handsome lazima awe wangu….! Subiri mtaona…..”😠

Akajiapiza pale kisha akaondoka zake maana tayari alishajua alichotaka kujua.

Wakati huo, Noela alikuwa jikoni anaandaa chakula cha jioni. Alikuwa na furaha na alipanga kumpikia Mr. Marvel chakula kitamu👌.

Akiwa jikoni akahisi uwepo wa mtu pale jikoni. Akatabasamu na kugeuka, akamuona Mr Marvel amesimama mlangoni.

“Good evening, Noela! Siku yako ilikuwaje?”

Noela akajibu “Ilikuwa poa sana. Wewe je?”

“Niko sawa, ila nilikuwa na kazi na mikutano mingi sana leo”

“Aaaaaah ndiyo maana hukunipigia hata simu” Noela akajikuta ananuna! Kwa mbali alishaanza kuwa na kawivu na Mr Marvel🤣

“Sorry, nilikuwa busy sana Lakini haimaanishi nimekusahau. Nilijua tu ungekasirika ndiyo maana nimekuletea zawadi!” Akamwonyesha boksi zuri, ndani kulikuwa na mkufu pamoja na hereni zake.

“Itakua ni ghali sana”

“Hapana ni bei ya kawaida tu”

Noela akasema “Hapakuwa na sababu ya kuninunulia zawadi. Maelezo yako ya kwamba ulikua busy nimeyaelewa mbona”🙈

“I know lakini hii ni njia yangu ya kukuomba samahani. Basi fanya kama hii ndo zawadi yako ya kwanza ya birthday yako”

“Birthday yangu? Umejuaje inakuja?”

Mr. Marvel akatabasamu “Najua mambo mengi kukuhusu”😊

“Unanitisha sasa”

“HahahahahHahaha, usiogope. So una mpango gani na birthday yako? Unaonaje tukapumzike Zanzibar kidogo?”

“No! Birthday yangu itakua kwenye kipindi cha mitihani, nitakuwa busy sana”😔

“Sawa! Basi Zanzibar tutaenda wakati utakapokuwa free. Lakini siku ya birthday yako lazima tutoke, Huwezi kunikatalia”

“Sawa Maana najua hata nikikataa hutakubali”

Noela akatabasamu, kisha akaendelea kupika. Baada ya dakika chache, chakula kilikuwa tayari. Akaandaa mezani, Wakakaa pamoja na kula.

Baada ya chakula kama kawaida, wakaangalia movie, wakapiga stori nyingi wakawa hadi wanajisahau.

Mr Marvel alikuwa anamtazama Noela kwa hisia fulani iviii za mapenzi. Alitamani hata amlambe busu lakini alihisi bado ni mapema, kwa sababu Noela alikuwa bado hajapona vizuri maumivu ya mapenzi.

Uzuri baba wa watu alikuwa tayari kusubiri. Na kitu kizuri ni kwamba aliona matumaini kuwa wanaweza kuwa pamoja na hilo ndilo lililompa subira.

Sasa Siku iliyofuata, Mr. Marvel alikuwa na mkutano muhimu asubuhi sana, hivyo akaamka mapema akaondoka. Alikuwa na mkutano kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa tano. Baada ya hapo akaenda kula, kisha akarudi ofisini. Akiwa ofisini, secretary wake akaingia na kumwambia kuna mgeni anataka kumuona.

Mr. Marvel akamuuliza “Ni nani huyo?”

“Simfahamu lakini anasema anakujua. Ni rafiki wa mwanao”

Mr. Marvel akashangaa, “Rafiki wa mwanangu? Kwa nini aje ofisini kwangu?”😳

“Sijui ila anaonekana ana jambo muhimu sana la kukuambia”

“Sawa, mwache aingie”

Secretary akatoka na baada ya dakika chache akarudi na yule mgeni. Mgeni huyo hakuwa mwingine bali ni Iris. Dada ana heka heka huyuuu🙌

Je nini kitaendelea?
Nakuja……..

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

.TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 14


🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋

Licha ya kukataliwa mara kadhaa, Salmon hakukata tamaa. Alikuwa anamfuata Noela chuoni kila mara ili ambembeleze. Pia alikuwa anampigia simu na kumtumia sms kiasi kwamba Noela akaamua kubadilisha namba ili aache kusumbuliwa🥱.

Na Kuhusu Iris, Salmon alimsahau kabisa. Uhusiano wao ukazidi kuwa mbaya maana kichwa cha Salmon kilijaa Noela tu na sio mwanamke mwingine👌

Katika yote haya, Noela akazidi kupendeza. Alibadilika sana hata kwenye mavazi yake. Alikuwa anavaa vizuri sana nani kwa sababu Mr. Marvel alijua kumchagulia nguo na viatu vizuri.

Pia alikuwa anatumia simu mpya na Kila wiki alikuwa anabadilisha hairstyle. Alipata pia marafiki wapya waliompenda na aliowaamini.

Kwa hiyo Noela wa zamani...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 13
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 13
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29

901
*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*

*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*

733
* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO*     SEHEMU YA THELATHINI

* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* SEHEMU YA THELATHINI

618
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

281
SHAMIRA sehemu ya 40&41

SHAMIRA sehemu ya 40&41

208
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

166
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

160
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 13

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 13

132
.TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 14

.TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 14

94
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 18

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 18

68

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.57K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.31K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.25K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.77K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.66K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.64K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.58K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.5K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 19 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Mda ulienda na ratiba zangu zikisonga kama kawaida, jioni ikafika Samuel akatoka kazini ,naona leo mood yake ilikuwa vizuri maana alifika karibu yangu akasimama na kunisalimia . Kisirani nilichokua...

.TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 14 Post Mpya
.TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 14
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Licha ya kukataliwa mara kadhaa, Salmon hakukata tamaa. Alikuwa anamfuata Noela chuoni kila mara ili ambembeleze. Pia alikuwa anampigia simu na kumtumia sms kiasi kwamba Noela akaamua kubadilisha namba ili...

SWALI: (Aslm alkm:  swali langu nihv, Nn hukmu ya mwanamke mjamzito aliyepewa taraka katka sheria ya kiislami?) Post Mpya
SWALI: (Aslm alkm: swali langu nihv, Nn hukmu ya mwanamke mjamzito aliyepewa taraka katka sheria ya kiislami?)
@majario LIVE

JIBU LA SWALI KUTOKA MTANDAONI: SWALI: (Aslm alkm: swali langu nihv, Nn hukmu ya mwanamke mjamzito aliyepewa taraka katka sheria ya kiislami?) JIBU: Wa ‘alaykum salaam wa rahmatullah. Hukumu ya mwanamke mjamzito aliyepewa talaka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 13 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 13
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Dakika chache baada ya Noela kuondoka, Salmon aliingia akiwa anatoka jasho. Alimtazama Iris na kusema “Nimesikia Noela alikuwa hapa” “Nani amekuambia hivyo?”😳 “Nina watu wangu kila mahali, hivyo niambie ukweli, alikuwa hapa?” “Ndiyo,...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 18 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Basi bwana wiki kadhaa zilipita maandalizi yakaanza kufanyika na mwisho kila kitu kikawa tayari nikaanza kazi rasmi🥰. Kutokana na mazingira tuliyokuwepo ililazimika duka liwe kisasa zaidi, vitu vilivyowekewa kwaajili...

* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO*     SEHEMU YA THELATHINI Post Mpya
* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* SEHEMU YA THELATHINI
@majario LIVE

🦈 Nikamwambia sikia usilie mbeleya mtoto basi sio sawa , mana ummy alikuwa pale lale sebleni anamuangalia mma yake anavyolia, zena akanmbia swa nipeleke nyumbani kwngu tu, nikasema now ni usiku...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Nikasema sikia utakaaa apa, na usiwaze kabisa kuhusu kodi, mimi nipo na sina plan za kukuacha wewe kabisaa, nakupendaa sana, nakupenda kuliko chochote zena, siwez acha kukulipia kodi ata siku...

A rare and heartwarming moment with three generations of the Bachchan family in one frame — Harivansh Rai Bachchan, Amitabh Bachchan, and little Abhishek Bachchan. It’s the kind of picture that instantly feels special because it captures family, legacy, a Post Mpya
A rare and heartwarming moment with three generations of the Bachchan family in one frame — Harivansh Rai Bachchan, Amitabh Bachchan, and little Abhishek Bachchan. It’s the kind of picture that instantly feels special because it captures family, legacy, a
@majario LIVE

. Harivansh Rai Bachchan, one of India’s most respected Hindi poets, looks calm and dignified, while his son Amitabh stands beside him — a man who would go on to become...

*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*
@majario LIVE

zena alinikumbatia uku analia sikuelewa ni ule uchungu wa kutoa bikra yake au mahaba yamemzidia acheni kabisaaa ila nilimvuta kwa karibu nikamtuliza na nikambembeleza kweli kweli mpaka mchumba akatulia nilimwambia...

ALIMTOA MAMA YAKE KAFARA ILI AWE TAJIRI.  Elvin alikuwa kijana wa miaka 28 Post Mpya
ALIMTOA MAMA YAKE KAFARA ILI AWE TAJIRI. Elvin alikuwa kijana wa miaka 28
@majario LIVE

aliyeishi na mama yake mjane kwenye nyumba ya kupanga uswahilini. Mama yake, Mama Kelvin, alikuwa akijishughulisha na kuuza mbogamboga sokoni ili mwanawe apate chakula na mahitaji mengine. Kelvin alikuwa...

SHAMIRA sehemu ya 40&41 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 40&41
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Aisha akasema sasa sikia tuna kazi naye .si kafanya uo usenge kwaiyo zile laki 9 zako ulizomtunza kaona sisi mafala .sasa tutamuonesha kumamamke zake twende...

*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5 Post Mpya
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5
@majario LIVE

Mpyaaa 🔥🔥🔥  SEHEMU YA 1       😂😂😂😂Em kwanza nicheke mieee  , hivi mnakumbuka zile issue za yule baba wa kule sijui  wapi wapii  mi hata sijui bwana anatokea wapiii yulee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mr. Marvel akaendelea “Niliendelea kufanya kazi na wakati mwingine nilikuwa nambeba Salmon na kwenda naye kazini. Kwa sababu hiyo, nilipoteza baadhi ya kazi kwa sababu haikuruhusiwa kufanya kazi na mtoto....

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yake💔. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba...

SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest