Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘20 "By Babie Love 0742133100"
Gonga94 · Stories

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘20 "By Babie Love 0742133100"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


First time in America🥰🥰🥰🥰tulipokelewa na familia ya aunt..yeye mme wake na watoto wao watatu wazuri hatari🤗..

Tulikaribishwa America kwa furaha🤗🤗🤗auntie alitupeleka nyumbani kwake tukakuta bufeee za kutosha pale tukajiseviaaaaaa🥰🥰..

Story za hapa na pale then tukaenda kupumzika siku iliyofuatia auntie na mme wake walitupeleka kutembea sehemu mbalimbali🤗🤗

Pazuri sana America jamani hahahaaa kila siku ilikuwa kuzurura mtaa kwa mtaaa..baada ya mwezi mmoja Rouhy aliondoka akarudi Tanzania kuendelea na kazi nikabaki America pake yangu🤗

Shangazi alinilea vizuri sanaaaa kunidekeza kama yai vile hahaaaa mimba ilipofika miezi tisa mama na bibi nao walikuja...

Tarehe yangu ya makadilio ilipowadia nilipelekwa hospital nikafanyiwa vipimo nikaanzishwa mazoezi ya hapa na pale kesho yake ndo nilijifungua kwa njia ya kawaida mtoto wa kiume very cute🤗

Familia walifurahi sana... mama, bibi auntie walimpokea mjukuu wao kwa furaha sana🥹❤️..

Bibi Rouhy alifurahi sana kupata kitukuu🥹 kumbuka kila siku alikuwa akiniambia siku nikimzalia kituu atanizawadia zawadi nyingi sana..

Ahadi yake ilitimia siku hiyo🥹🙌 mali zote alizokuwa akizimiliki bibi aliamuru mwanangu apewe alisema hata akifa sasa ni sawa mama amepata mmiliki wa vitu vyake🥹💖

Ile familia ina uwezo mkubwa sana wana mali mpaka za akiba🤣🤣🤣nilifurahi nikamshukuru bibi alichopewa mtoto ni cha mama hicho👌basi bwana hivo ndo ilivokuwa..

Rouhy alipewa tarifa njema za ujio wa Rouhy mdogo hahahaa namuita Rouhy mdogo maana mtoto alifanana naye sana...

Alifurahi sana🥹🥹🥹furaha yake ilichanganyikana na machozi ya furaha aliniliza mpaka mimi🥹❤️..

Alionyeshwa mtoto wake kwa njia ya video call alifurahi sana jamani alinishukuru kwa kumfanya kuwa baba nami nikamshukuru kwa kunifanye niwe mama...

Rouhy alitoa jina la mtoto akaniahidi visa ikitoka tu atakuja kutuona then atuchukue turudi wote Tanzania 🥰🥰🥰❤️

Nilifurahi sana... tuliruhusiwa kutoka hospital tukarudi kwa auntie baada ya two weeks Rouhy alipata visa akaja kutuona🤗🤗❤️

Zawadi nyingi alinibebea mimi na mtoto🥰🥰🥰nilisubiliwa nikamaliza uzazi miezi mitatu kwa auntie ndo tukarudi Tanzania....

Nilikanyonyesha katoto kangu kwa mwaka mmoja na nusu kwa muda huo Rouhy alinifungulia biashara mjini dodoma nikawa nasimamia🥹❤️..

Baada ya mwaka na nusu mama Rouhy alimchukua mtoto namimi nikarudi shule kumalizia masomo yangu..

Sikuweza kuendelea na form five kutokana na muda kunitupa mkono... niliappy chuo dodoma nikaanza course yangu hapooo...

Nilichukua course ya miaka mitatu nilijitahidi kubalance muda nikawa naenda kumuona mwanangu jijini Dar es salaam kila weekend..

Sikuwa naenda peke yangu nilikuwa naenda na mme wangu Rouhy🤗❤️❤️ niliendeleza pia biashara aliyonifungulia mme wangu na maisha ya ndoa kwa upande wangu yalizidi kuwa matamu sana..

Mwaka jana mwezi wa 11 niligraduate katika chuo kimoja hivi cha mjini Dodoma🥰🥰❤️

Baada ya kugraduate nilibahatika kupangiwa kazi katika taasisi fulani hivi jijini Dar es salaam🥰🥰ilinibidi nihamie jijini Dar es salaam lakini Rouhy hakupentaaa🥹

Ana wivu huyooo na kwa jinsi nilivo nawili hahahaaaa aliogopa kuibiwa maana na taasisi nilopangiwa kazi ina mibaba yenye mipunga si kidogo🤣

Nilimwambia mie sina tamaa na pesa maana na kwako ninazioga🤣🤣🤣natembelea gari nalolitaka namiliki biashara kubwa naishi kwenye mjengo wa kifahari..

Nina ajira nzuri nina mme handsome tajiri nina mtoto nitake nini tena huko nje??.hahaha Rouhy aliniambia fimbo ya mbali haiuwi nyoka alisema mapenzi ya mbali yatamtesa maana tyr ameshanizoea..

Ilibidi afanye mpango wa kuhamishiwa kikazi jijini Dar Mungu ni mwema maombi yalikubaliwa🥰 Rouhy alihamishiwa kikazi jijini Dar es salaam tukaendelea kuishi pamoja na mtoto wetu mama pamoja na bibi🥰🥰..

Mpaka leo hii tunaishi hapa Dar es salaam na familia yangu... nawapenda sana hawa watu naomba Mungu atulinde tuendelee kubakia pamoja❤️❤️❤️..

Nampenda sana Rouhy wangu naye ananipenda mnooo🥰🥰🥰tunampenda mno mtoto wetu Mungu akijaalia mwakani tutaongeza mtoto wapili🥰❤️

Namshukuru pia mama mkwe wangu ni moja kati ya wale mama mkwe bora zaidi Duniani hapa❤️❤️ naomba mwenyezi Mungu aendelee kumlinda ili aendelee kunilelea wanangu🤗❤️

Nampenda kipenzi chetu bibi hahahaaa anatupenda huyoo🥰🥰🥰mwenyezi Mungu aendelee kumuweka kwa ajili yetu...

Asante pia kwa wazazi wangu kwa kunizaa na kunilea vyema hapa nilipo ni kwa sababu ya malezi yao mazuri kwangu nawapenda sanaaa byeeeeeee🥰❤️❤️..

*mwisho*

Maoni

You're not logged in


profile
majario 27 Aug 2025 18:43
Toa Maoni yako hapa mpe hi babie Love 0742133100"
Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘20 "By Babie Love 0742133100"



First time in America🥰🥰🥰🥰tulipokelewa na familia ya aunt..yeye mme wake na watoto wao watatu wazuri hatari🤗..

Tulikaribishwa America kwa furaha🤗🤗🤗auntie alitupeleka nyumbani kwake tukakuta bufeee za kutosha pale tukajiseviaaaaaa🥰🥰..

Story za hapa na pale then tukaenda kupumzika siku iliyofuatia auntie na mme wake walitupeleka kutembea sehemu mbalimbali🤗🤗

Pazuri sana America jamani hahahaaa kila siku ilikuwa kuzurura mtaa kwa mtaaa..baada ya mwezi mmoja Rouhy aliondoka akarudi Tanzania kuendelea na kazi nikabaki America pake yangu🤗

Shangazi alinilea vizuri sanaaaa kunidekeza kama yai vile hahaaaa mimba ilipofika miezi tisa mama na bibi nao walikuja...

Tarehe yangu ya makadilio ilipowadia nilipelekwa hospital nikafanyiwa vipimo nikaanzishwa mazoezi ya hapa na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-20-by-babie-love-0742133100

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi i-love-you-dady
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10
 I LOVE YOU DADY💘❤️💘17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘19 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY💘❤️💘19 "By Babie Love 0742133100"
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘09
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘09
I LOVE YOU DADY💘❤️💘15
I LOVE YOU DADY💘❤️💘15
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘18 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘18 "By Babie Love 0742133100"
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘12
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘12
I LOVE YOU DADY💘❤️💘16
I LOVE YOU DADY💘❤️💘16
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘07
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘07
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘13
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘13
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘08
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘08
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘14
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘14
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘06
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘06
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘04
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘04
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘05
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘05
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

1.34K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

1.28K
LETICIA Sehemu ya 17 na 18

LETICIA Sehemu ya 17 na 18

335
IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10*

IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*

156
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

147
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15

93
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

17
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15

17
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14

15
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.96K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.65K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.89K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.55K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.71K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.69K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15
@majario LIVE

Sawa mke wangu kipenzi nashukuru kwa kunijali, Denis aliondoka hadi gari 🚙 lilivyokata kona na mimi nikaingia ndani nilibadilisha nguo nilizovaa nikaenda sokoni kununua nyama na mchele nikaja kupika chakula...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15
@mjukuu LIVE

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15 (🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Alex anazidi kumshindua kungwi kwa raha zake mpaka na yeye akakojoa... Alex alikaa kwa kungwi...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Mke wangu umeenda kijijini kumpa mwanangu mimba?. ( Yani aliongea uku amemkwida mama asma...na hapo akatokea msamalia mwema akamshika...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Siku ambayo kwakweli nilifanya mapenzi na asma kwa raha sana nilimlamba kila Kona na kiu aliitoa na yeye...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 12 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 12
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Asma akasogea yupo tayari kuvuliwa nguo nimpe utamu, Dah yani....👇 Kidume sikutaka kuchelewa maana penzi la wizi wizi hili, Nilimvua...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Unajua mbwana yule mjumbe anatoa...👇 Ushilikiano kitandani utasema kijana yani uno kama lote mpaka nasema kimoyoni enzi ya...

IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Upande wangu nilikuwa zangu chumbani, nikijiandaa kwa ajiri ya kutoka kwenda kurefresh kidogo, nikiwa najiandaa mara Ethan huyu hapa alikuwa mnyinge kweli "Vipi tena??" Nilimuuliza baada ya kumuona amekuwa mnyonge gafla "Acha...

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Ethan akazungumza "Hakuna cha kukata tamaa, kwani we nani amekwambia kuwa ameolewa..??" "Ni mama.." Nilimjibu huku nikiwa nimekata tamaa zaidi "Sasa mama wewe unamuamini vipi??, kama amekuongopea?? We cha kufanya anza kumtoa mtoto...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa...

LETICIA Sehemu ya 17 na 18 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 17 na 18
@majario LIVE

Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest