I LOVE YOU DADY๐โค๏ธ๐17 "By Babie Love
Mlinzi ashaambiwa mimi ni mke ninatakiwa kuheshimiwa kama anavoheshimwa Rouhy...amri yangu aliitii haraka iwezekanavyo..
Alimwachia yule msichana akaja mpaka ndani.... alienda moja kwa moja alikosimama Rouhy akataka kumuwasha kibao Rouhy akamstopisha๐ค๐ค..
๐ฃ๐ฃRouhy wewe ni mbwa alianza kutukana๐๐then akamove kunifuata mimi Rouhy akamwambia usijaribu kumgusa mwanamke wangu nitakupoteza๐ซฐ..
What???... Rouhy akamwambia get out๐ซฐ๐ซฐ oh sijui nini akarudia ๐ฃ๐ฃget out na iwe mara yako ya mwisho kuleta sura yako hapa๐ฅบ๐ฅบ..
Rouhy I'm your wife๐ฅน๐ฅนuliniahidi utanioa sijui nini na nini lolo alianza kulia hataki kuondoka๐๐๐nacheka kama mazuri..
Rouhy alimuita mlinzi akamwambia beba hii takataka upeleke nje lolo usijaribu kucheza na ndoa yangu nitakuumiza..
Rouhy alimpiga lolo mkwara mzito na baada ya hapo mlinzi alimbebelea akamtoa nje..
Muda wote huo nilikuwa kimya t nawaangalia๐๐ lolo alipoondoka nilimuomba Rouhy anipe simu yangu...
Alikataa kunipa simu kwa madai et nina hasira ninaeza kuongea mambo mabaya kwawazazi ambayo sisi wenyewe tunaeza kuyasolve๐๐..
Nilichukia sana kiukweli nilikuwa na hasira sana ndo mara ya kwanza nimekuja hapa napokelewa na drama maisha ya hapa yatakuwaje??? Bora hata ningebakia Dar
Furaha nilokuwa nayo ilitoweka๐ด๐ด๐ดnilijuta kuja Dodoma ๐๐๐siku hiyo tulilala bila kula..
Tulipanga tukishafika nyumbani tuoge then tukale nje lakini mambo yalivurugika ikabidi tulale tu..
Nilikataa kulala kwenye chumba cha Rouhy nikaenda kulala chumba kingine๐๐๐...
Rouhy aliniacha hasira ziishe then tuongee siku iliyofuata aliwahi kuamka akaniandalia kiamsha kinywa akafanya usafi ndani baada ya hapo alioga akajiandaa kwenda kazini..
Kisha alikuja kunigongea lakini sikumfungulia mlango๐๐๐aliniambia chakula kiko tayari usafi tayari ameshafanya pesa ameniwekea mezani yeye anaenda kazini๐๐
Hata sikumsemesha aliondoka zake kwenda kazini nikabaki mwenyewe pale ndani๐๐..
Baada ya Rouhy kuondoka niliamka na mihasira yangu nikaenda chumbani kwake kuangalia kama ameacha simu yangu sikuikuta๐
Nilisikia hasira nikajifunika liblanket nikapiga kelele kwa nguvu๐๐๐baada ya hapo hasira zikanituma nihame kile chumba mazima๐๐๐
Nilibebelea nguo zangu na vitu vyangu nikahamishia chumba kingine๐๐
Yale mavyakula aliyopika Rouhy sikula nilipika cha kwangu nikala kile cha kwake nikakiacha๐๐..
Baada ya kushiba nikasema ngoja nikaangalie pesa niloachiwa๐๐๐๐nyieeee mezani ilikuwepo million moja๐๐๐
Pesa yote hii ni ya nini.???. Niliziacha kama zilivyo badae nikawaza hiyo pesa si niichukue nikatafute simu nyingine???.
Niliichukua ile pesa nikatoka kwenda kutafuta simu nimefika getini mlinzi akaniambia madame hauruhusiwi kutoka mheshimiwa amekataa๐
Nilirudi ndani na hasira kama zote nikatamani nivunje vunje vitu kule ndani aaaa bora tu nikalale hasira zitulie๐๐
Nimeingia chumbani ndani ya dakika 5 nikasikia get linafunguliwa kucheki ni Rouhy anashuka kwenye gari na vitu mkononi akawa anatembea kuja ndani๐คฃ
Nilikimbia mlangoni nijifungie ule mlango ukagoma kulock๐๐๐mpaka Rouhy anafika pale mlango haujilock alisukuma mlango akaingia kule chumbani..
Akaweka vitu kitandani kisha akanivuta karibu yake kwa nguvu akanikiss nikamsukuma๐๐๐ nikageukia upande mwingine akanikumbatia kwa nyuma akaniambia Maya I'm sorry๐ฅน..
Nimeshindwa kufanya kazi mke wangu sina amani naomba unisamehe nakupendaaaaa sitofanya ujinga tenaa๐ฅน
Itaendeleaaaaaaaaaa...
WhatsApp 0742133100
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi



.jpg)