VYOTE NDANI GONGA94
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘04
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
My wenu mimi hivo vitu sijawahi kabisa🙈🙈yani hayo mambo ya chumbani cjy romance kiss kwich kwich mie bado😴
Rouhy alivoanza kunipapasa mama weee mie nikasimama nikasogea pembeni mbali kule kwenye kona😂😂😂🙈
Akanifuata akaniambia naomba uniruhusu nikuvue hii gauni malkia wangu lol nyieee the way he talk😴unaeza jikuta utelezi umekudondoka bila habari...
Nilimuomba aniache nivue peke yangu😂😂😂yani ana mpango gani huyu jamaa anivue gauni anione uchi thubutu🙈😂..
Nilimuomba anipishe nivue akaniambia it's okay nitafumba macho sitakuangalia mke wangu..
Sema kuitwa mke wangu kwa sauti fulani hivi ya chini alafu nzito kuna namna fulani hivi mtu unajisikia utamu🙈
Rouhy aligeukia upande mwingine akaniacha nivue nguo🤣🤣🤣nilianza kupambana na lile gauni kwanza lilikuwa zitoo🙌
Nimepambana nalo weee likanishinda Zile kamba za mgongoni zilinishinda kufungua😂😂jamaa amefumba macho weee karibia lisaa lizima anakuja fumbua macho akanikuta vilevile🤣🤣🤣
Alinisogelea akaniomba at least anisaidie kufungua kamba basi nikatulia tu anifungulie🥰🥰🥰yuko romantic mpaka raha nyieeeeee😂😂..
Yani the way alikuwa ananigusa hapo mgongoni mpaka vichuchu vyangu vikaanza kuniwasha..
Rouhy alinifungulia kamba za gauni then akaanza kulishusha mdogo mdogo nikamzuia🙈🙈
Nikamwambia no Daddy naomba nivue mwenyewe🙈🙈cjy hata hiyo Daddy ilitokea wapi😂😂😂
Nilivua ile gauni nikafunga kitenge🙈🙈humo ndani nilikuwa na chupi tu🙈 Rouhy aliniambia tukaoge..
Nyieee kwani kuna kuoga pamoja🥺🥺🙈nilimwambia mi siogi nasikia baridi😔
Usijali sweetheart nitakuosha na maji ya moto right???.. hee akaanza ku.ibembeleza tuingie bafuni muda huo mwenzangu kavaa bukta tu..
Nilimkatalia nikamwambia Daddy mi naogopa🙈🙈 ni lichompendea Rouhy ni mwelewa sana maskini alf anaonekana mpole sana..
Aliniambia sawa ngoja mi nikaoge basi then utafuata wewe sweetheart okay.. nikamwambia sawa Daddy..
Nilisubilia pale chumbani mpaka Rouhy akamaliza kuoga...akaniomba namimi nikaogee..
Niliingia bafuni kuzuri😂😂😂my wenu nilikuwa sijui maji yanafunguliwa wapi🙈😂
Nimefika bafuni nikatulia sielewi nifanye nini... kama nusu saa nzima bado niko bafuni jamaa akashtuka mmhhh kulikoni..
Ilibidi aje kuniangalia afu muda huo niko zangu uchi sina nguo yoyote mwilini uuuwww nyieeeee🙌
Itaendeleaaaaaaa
Tusichoke kamchango ketu kale
0681 581 560 airtel money jina john
KWETU morogoro
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi i-love-you-dady
.jpg)


.jpg)