VYOTE NDANI GONGA94
I LOVE YOU DADY πβ€οΈπ04
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
My wenu mimi hivo vitu sijawahi kabisaππyani hayo mambo ya chumbani cjy romance kiss kwich kwich mie badoπ΄
Rouhy alivoanza kunipapasa mama weee mie nikasimama nikasogea pembeni mbali kule kwenye konaππππ
Akanifuata akaniambia naomba uniruhusu nikuvue hii gauni malkia wangu lol nyieee the way he talkπ΄unaeza jikuta utelezi umekudondoka bila habari...
Nilimuomba aniache nivue peke yanguπππyani ana mpango gani huyu jamaa anivue gauni anione uchi thubutuππ..
Nilimuomba anipishe nivue akaniambia it's okay nitafumba macho sitakuangalia mke wangu..
Sema kuitwa mke wangu kwa sauti fulani hivi ya chini alafu nzito kuna namna fulani hivi mtu unajisikia utamuπ
Rouhy aligeukia upande mwingine akaniacha nivue nguoπ€£π€£π€£nilianza kupambana na lile gauni kwanza lilikuwa zitooπ
Nimepambana nalo weee likanishinda Zile kamba za mgongoni zilinishinda kufunguaππjamaa amefumba macho weee karibia lisaa lizima anakuja fumbua macho akanikuta vilevileπ€£π€£π€£
Alinisogelea akaniomba at least anisaidie kufungua kamba basi nikatulia tu anifungulieπ₯°π₯°π₯°yuko romantic mpaka raha nyieeeeeeππ..
Yani the way alikuwa ananigusa hapo mgongoni mpaka vichuchu vyangu vikaanza kuniwasha..
Rouhy alinifungulia kamba za gauni then akaanza kulishusha mdogo mdogo nikamzuiaππ
Nikamwambia no Daddy naomba nivue mwenyeweππcjy hata hiyo Daddy ilitokea wapiπππ
Nilivua ile gauni nikafunga kitengeππhumo ndani nilikuwa na chupi tuπ Rouhy aliniambia tukaoge..
Nyieee kwani kuna kuoga pamojaπ₯Ίπ₯Ίπnilimwambia mi siogi nasikia baridiπ
Usijali sweetheart nitakuosha na maji ya moto right???.. hee akaanza ku.ibembeleza tuingie bafuni muda huo mwenzangu kavaa bukta tu..
Nilimkatalia nikamwambia Daddy mi naogopaππ ni lichompendea Rouhy ni mwelewa sana maskini alf anaonekana mpole sana..
Aliniambia sawa ngoja mi nikaoge basi then utafuata wewe sweetheart okay.. nikamwambia sawa Daddy..
Nilisubilia pale chumbani mpaka Rouhy akamaliza kuoga...akaniomba namimi nikaogee..
Niliingia bafuni kuzuriπππmy wenu nilikuwa sijui maji yanafunguliwa wapiππ
Nimefika bafuni nikatulia sielewi nifanye nini... kama nusu saa nzima bado niko bafuni jamaa akashtuka mmhhh kulikoni..
Ilibidi aje kuniangalia afu muda huo niko zangu uchi sina nguo yoyote mwilini uuuwww nyieeeeeπ
Itaendeleaaaaaaa
Tusichoke kamchango ketu kale
0681 581 560 airtel money jina john
KWETU morogoro
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
*REALLY LOVE πππ* *1-5*
*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake am...
Maleesha Kharwa is a young girl from Mumbai, India, who grew up in the slum area of Dharavi. Her family lived in difficult conditions
, and her father worked as a clown at childrenβs parties to support the family. Life in the slum meant dealing with limi...
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 19 - 20
Yule baba alikuwa anaongea kwa upole na kwa busara ya hali ya juu, yaan maneno yake yote tuliyaelewa vyema kabisa, nabi...
Lata jiβs voice was soft, pure, and almost heavenly. She could express every emotion β love, pain, devotion, happiness
β with so much grace and ease. Her voice had a sweetness that instantly touched the heart. She didnβt just sing songs, ...
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
Naona niwaambie ukweli wa kila kitu, najua kuna baadhi ya vitu mnavijua na kuna baadhi ya vitu hamjavifahamu bado na mi...
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 17
Baada ya kumaliza kufunga ndoa akaniita kisha akasema β naomba niongee hili mbele ya kila mmoja , akanishika mkono kish...
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 16
Mama yake akamfata na kuanza kuongea nae, ila ni kama nabil hakuwa anajali kabisa, ikabidi mama yake amuache, ila pia s...
1942: A Love Story β A Timeless Tale of Love, Courage & Revolution β¨
β1942: A Love Storyβ is more than just a film β it is an emotional journey set against the flames of Indiaβs freedom st...
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 15
Basi nabil alikuwa anakuja kulala na mimi usiku licha ya shenaiza kulala nae chumba kimoja, ila alikuwa anaenda kule ku...
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
I LOVE YOU DADY πβ€οΈπ04
My wenu mimi hivo vitu sijawahi kabisaππyani hayo mambo ya chumbani cjy romance kiss kwich kwich mie badoπ΄
Rouhy alivoanza kunipapasa mama weee mie nikasimama nikasogea pembeni mbali kule kwenye konaππππ
Akanifuata akaniambia naomba uniruhusu nikuvue hii gauni malkia wangu lol nyieee the way he talkπ΄unaeza jikuta utelezi umekudondoka bila habari...
Nilimuomba aniache nivue peke yanguπππyani ana mpango gani huyu jamaa anivue gauni anione uchi thubutuππ..
Nilimuomba anipishe nivue akaniambia it's okay nitafumba macho sitakuangalia mke wangu..
Sema kuitwa mke wangu kwa sauti fulani hivi ya chini alafu nzito kuna namna fulani hivi mtu unajisikia utamuπ
Rouhy aligeukia upande mwingine akaniacha nivue nguoπ€£π€£π€£nilianza kupambana na...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-04
#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral
Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi i-love-you-dady