Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
30 Nov -0001
719 views
VYOTE NDANI GONGA94
I LOVE YOU DADY πβ€οΈπ07
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
"By Babie Love 0742133100"
Basi bwana mimi na Rouhy tuliondoka kuelekea hospital kwa ajili ya kufanya chekapu tujue afya kabla ya kukulana jamani hahahaa afya muhimu..
Tulienda kwenye hospital fulani hapa jijini Dar es salaam tukachukuliwa vipimo kibao ikiwemo virusi vya ukimwiπ₯°π₯°
Katoto cha watu nilikuwa safi hata UTI tu sikuwa nayo πππ hata mme wangu hakuwa na tatizo lolote la kiafya ni jambo la kumshukuru Mungu...
Tulipita mlimani City my wenu nikafanyiwa shopping nikanunuliwa na simu ππmjue sijawahi kumiliki simu tangu nizaliwe ndo nilikuja kuimiliki baada ya kuolewa..
Kipindi hicho ndo zimetoka iPhone 12πππnikainunuliwa promax allooh kumbe kuwa na mme ndo utamu hiviπ..
Nilinunuliwa na nguo tamu tamu viatu mikoba naye honey wangu akachukua nguo na viatu tukapita sehemu wanauza maua humo humo mlimani City bae akaninunulia nikajikuta tu naanza kumpenda na moyo woteβ€οΈβ€οΈ
Kabla hatujaondoka kurudi nyumbani bae akaniambia tupite kwenye ice cream π¦ β₯οΈ akaninunulia ice cream.... then tukaondoka kurudi nyumbani..
Wakati tuko kwenye gari akawa anadrive mkono mmoja kanishikilia dahππnilijikuta naanza kumuwazia na moyoni nikawa najiambia...
Rouhy anaonekana ni mwanaume na nusu I think of loving him with all my heart πππ...
Niliendelea kula ice cream yangu badae nikawaza kumlambisha na yeyeππtulifika sehemu ya mataa tukasimamaπ₯°π₯°
nikamsogezea bae ice cream mdomoni akainyonya then akaninyonya namm mdomoniππnilisikia utamu nikaziba macho kwa aibuππalinikiss na kuondoa gari..
Tulikwenda mpaka nyumbani tukaanza kupima nguo zetu tulizonunua mara bibi akaja kutugongea ...
Tulimfungulia akaingia pale chumbani... Rouhy aliniambia huyo ni bibi yake mzaa baba wanaishi naye pale nyumbani...
Aliniambia pia baba yake alifariki kwa ajali ya gari miaka kadhaa iliyopita...
Rouhy ni mtoto pekee kwao amezaliwa peke yake...
baada ya bibi kuingia pale chumbani alikaa kitandani...
Then akatuuliza kitanda mbona hakijavurugika mlifanya kweliπ³π³π³au lnaogopana??.khaaπ
Yani nilivyo na aibu nilitamani kujificha bibi hata haogopiπππ Rouhy alicheka tu akamwambia bibi sitomfanyia huku nitaenda kumfanyia huko mbali mpaka azoeeππ
Heee mbali wapi nasisi tunataka kwanza tuone kama yaliyomo yamo tuongeze mahariπ³π³
Basi bwana mimi na Rouhy tuliondoka kuelekea hospital kwa ajili ya kufanya chekapu tujue afya kabla ya kukulana jamani hahahaa afya muhimu..
Tulienda kwenye hospital fulani hapa jijini Dar es salaam tukachukuliwa vipimo kibao ikiwemo virusi vya ukimwiπ₯°π₯°
Katoto cha watu nilikuwa safi hata UTI tu sikuwa nayo πππ hata mme wangu hakuwa na tatizo lolote la kiafya ni jambo la kumshukuru Mungu...
Tulipita mlimani City my wenu nikafanyiwa shopping nikanunuliwa na simu ππmjue sijawahi kumiliki simu tangu nizaliwe ndo nilikuja kuimiliki baada ya kuolewa..
Kipindi hicho ndo zimetoka iPhone 12πππnikainunuliwa promax allooh kumbe kuwa na mme ndo utamu hiviπ..
Nilinunuliwa...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-07