I LOVE YOU DADY πβ€οΈπ18 "By Babie Love 0742133100"
Kusamehe haraka hivo kwangu ni Big noo mpaka nihakikishe umeteseka na umejifunza ndo nitakusamehe..
Hizo za umekosea jana leo nakusamehe huo ujinga sifanyiπππhizo misamaha ya hara haraka utasamehewa na mamako siyo mimi..
Hayo niliyawaza kimoyomoyo na muda huo Rouhy alikuwa ananibembeleza nimsamehe lakini haikuwezekana...
Nilimwambia aendelee kula ujana siku akitosheka mengine yataendelea...
Yani nikusamehe kirahisi kesho ukachiti tenaππhuu msamaha utauhangaikia miaka na miaka mshenzi weweπ
Rouhy alivoona msamaha imeshindikana alinirudishia simu ila akaniomba nisimwambie yeyote kuhusu kilichotokea..
Nilimkwapua tu simu nikamuacha aongee na hewa huko chumbaniπ alikaa huko chumbani akawaza weee baada ya hapo akaenda Jikon akakuta chakula alichonipikia asubuhi kiko vilevileππ
Alichokaπππalikuja kuuliza kwanini sijala nikamwambia nilifikilia lbda umempikia loloππRouhy aliumiaaaa...
Akaniambia siyo vizuri hivo unavonifanyia Maya I already said sorry please forgive sweetheart π₯Ή
Sijawahi hata kumfanya tangu nikuoe she is my ex girlfriend believe what I told you honey I love youuuuuu Maya π§π»π°
Sema kubembelezwa na mtu unayempenda ni kutamu nyieeeeππkuna time unatamani unune tu bila sababu ili akubembelezeπ
The way Rouhy alikuwa ananipigia magoti na kuniomba nimsamehe vile alikuwa akiniambia Maya I love you na ile sauti kama analia nilikuwa najisikia huruma sana juu yakeπ
Sikuonesha kama namhurumiaππbado niliendelea kukazaπππhakula hiyo siku mtoto wa mama mkweπ€£π€£π€£hata kazini hakurudi aliwadanganya anaumwa tumbo anaharishaπ€£
Licha ya hayo yote bado nampenda tena sanaππ yani nampenda mpaka sielewi...
Hope ataacha ujinga maana akirudia kosa kama hili sitojali kitu chochote nitamuachaππ..
Rouhy alipoona bado nina hasira ilibidi tu akae kimyaππnilimuacha pale sebleni nikaenda chumbani
Nilizikuta zile zawadi alizoniletea nikasema ngoja nizifungue niangalieππzawadi ilokuwemo kwenye box ilikuwa cake hahahaaaaa nilishangaa
Cake ilikuwa imeandikwa Dear wife I'm sorry...
niliiweka pembeni nikafungua la pili nikakuta kuna pesa na maua yameandikwa Maya i love youππΌππΌππΌ
Pesa zote hizi ni za kwangu??. Nilijiulizaππyani ni mipesa jamani nyekundu nyekundu nyingi vibunda vya kutoshaπ
ndo maana wanawake wa matajiri wanachitiwa bado wapo tu kumbe mambo yenyewe ndo hayaπ
Zawadi ilonishtua zaidi ni funguo zilizokuwemo kwenye kibox fulani hivi kidogo dogo ni funguo kama za gari vileπ€π€
Nilitamani nikamuulize hizi funguo ni za nini badae nikakumbuka nimemnuniaππππilibidi nizirudishe kwenye kibox niendelee ku unbox zawadi nyieeeeeeππΌππΌππΌ
MaPerfume manguo machokuleti zawadi zilikuwa nyingi afu zile ninazozipendaπ₯°π₯°π₯°
Nilimaliza kuzikagua nikazitunza kabatini nikasema ngoja nijilaze zangu nipumzikeπ₯°π₯°
Nilijiegesha kitandani nikalala nilikuja shtuka saa 12 jioni nikaamka kucheki kwenye simu kuna missed call kibaoπ³π³π³
Afu namba ni ngeni mmhhh nikampigia huyo mtu nijue ni nani ana shida gani????
Simu ilipokelewa sauti ni ya mkaka nyooo niliogopa nikakata simuπππ shindwa pepo mi ni mke wa mtuπππ
Nimemaliza kukata huyo mtu akapiga tena nikaogopa kupokea akuuπ simu iliita sana tu lakini sikupokea...
Huyo mkaka alijiongeza akatuma msg hello madame sorry mimi ni mtu wa Derivery kuna mzigo wako nimepewa nikuletee toka upokee tuko nje ya nyumba yako hapaπ³π³
Mzigoπ³π³π³ mzigo gani??? Nani kawapaπ
Itaendeleaaaaaaaaa
WhatsApp 0742133100
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi

.jpg)

.jpg)