Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜18 "By Babie Love 0742133100"
Gonga94 Β· Stories

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜18 "By Babie Love 0742133100"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Kusamehe haraka hivo kwangu ni Big noo mpaka nihakikishe umeteseka na umejifunza ndo nitakusamehe..

Hizo za umekosea jana leo nakusamehe huo ujinga sifanyiπŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’hizo misamaha ya hara haraka utasamehewa na mamako siyo mimi..

Hayo niliyawaza kimoyomoyo na muda huo Rouhy alikuwa ananibembeleza nimsamehe lakini haikuwezekana...

Nilimwambia aendelee kula ujana siku akitosheka mengine yataendelea...

Yani nikusamehe kirahisi kesho ukachiti tenaπŸ˜’πŸ˜’huu msamaha utauhangaikia miaka na miaka mshenzi weweπŸ˜’

Rouhy alivoona msamaha imeshindikana alinirudishia simu ila akaniomba nisimwambie yeyote kuhusu kilichotokea..

Nilimkwapua tu simu nikamuacha aongee na hewa huko chumbaniπŸ˜’ alikaa huko chumbani akawaza weee baada ya hapo akaenda Jikon akakuta chakula alichonipikia asubuhi kiko vilevileπŸ˜‚πŸ˜‚

Alichoka😝😝😝alikuja kuuliza kwanini sijala nikamwambia nilifikilia lbda umempikia lolo😝😝Rouhy aliumiaaaa...

Akaniambia siyo vizuri hivo unavonifanyia Maya I already said sorry please forgive sweetheart πŸ₯Ή

Sijawahi hata kumfanya tangu nikuoe she is my ex girlfriend believe what I told you honey I love youuuuuu Maya 🧎🏻😰

Sema kubembelezwa na mtu unayempenda ni kutamu nyieeee😝😝kuna time unatamani unune tu bila sababu ili akubembelezeπŸ™ˆ

The way Rouhy alikuwa ananipigia magoti na kuniomba nimsamehe vile alikuwa akiniambia Maya I love you na ile sauti kama analia nilikuwa najisikia huruma sana juu yakeπŸ™ˆ

Sikuonesha kama namhurumia😏😏bado niliendelea kukaza😝😝😝hakula hiyo siku mtoto wa mama mkwe🀣🀣🀣hata kazini hakurudi aliwadanganya anaumwa tumbo anaharisha🀣

Licha ya hayo yote bado nampenda tena sanaπŸ™ˆπŸ™ˆ yani nampenda mpaka sielewi...

Hope ataacha ujinga maana akirudia kosa kama hili sitojali kitu chochote nitamuacha😞😞..

Rouhy alipoona bado nina hasira ilibidi tu akae kimyaπŸ˜“πŸ˜“nilimuacha pale sebleni nikaenda chumbani

Nilizikuta zile zawadi alizoniletea nikasema ngoja nizifungue niangalieπŸ™ˆπŸ™ˆzawadi ilokuwemo kwenye box ilikuwa cake hahahaaaaa nilishangaa

Cake ilikuwa imeandikwa Dear wife I'm sorry...

niliiweka pembeni nikafungua la pili nikakuta kuna pesa na maua yameandikwa Maya i love youπŸ’ƒπŸΌπŸ’ƒπŸΌπŸ’ƒπŸΌ

Pesa zote hizi ni za kwangu??. NilijiulizaπŸ˜‚πŸ˜‚yani ni mipesa jamani nyekundu nyekundu nyingi vibunda vya kutoshaπŸ˜‚

ndo maana wanawake wa matajiri wanachitiwa bado wapo tu kumbe mambo yenyewe ndo hayaπŸ˜‚

Zawadi ilonishtua zaidi ni funguo zilizokuwemo kwenye kibox fulani hivi kidogo dogo ni funguo kama za gari vileπŸ€”πŸ€”

Nilitamani nikamuulize hizi funguo ni za nini badae nikakumbuka nimemnuniaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ilibidi nizirudishe kwenye kibox niendelee ku unbox zawadi nyieeeeeeπŸ’ƒπŸΌπŸ’ƒπŸΌπŸ’ƒπŸΌ

MaPerfume manguo machokuleti zawadi zilikuwa nyingi afu zile ninazozipendaπŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°

Nilimaliza kuzikagua nikazitunza kabatini nikasema ngoja nijilaze zangu nipumzikeπŸ₯°πŸ₯°

Nilijiegesha kitandani nikalala nilikuja shtuka saa 12 jioni nikaamka kucheki kwenye simu kuna missed call kibao😳😳😳

Afu namba ni ngeni mmhhh nikampigia huyo mtu nijue ni nani ana shida gani????

Simu ilipokelewa sauti ni ya mkaka nyooo niliogopa nikakata simuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ shindwa pepo mi ni mke wa mtuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nimemaliza kukata huyo mtu akapiga tena nikaogopa kupokea akuuπŸ˜‚ simu iliita sana tu lakini sikupokea...

Huyo mkaka alijiongeza akatuma msg hello madame sorry mimi ni mtu wa Derivery kuna mzigo wako nimepewa nikuletee toka upokee tuko nje ya nyumba yako hapa😳😳

Mzigo😳😳😳 mzigo gani??? Nani kawapaπŸ™„

Itaendeleaaaaaaaaa

WhatsApp 0742133100
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜18 "By Babie Love 0742133100"



Kusamehe haraka hivo kwangu ni Big noo mpaka nihakikishe umeteseka na umejifunza ndo nitakusamehe..

Hizo za umekosea jana leo nakusamehe huo ujinga sifanyiπŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’hizo misamaha ya hara haraka utasamehewa na mamako siyo mimi..

Hayo niliyawaza kimoyomoyo na muda huo Rouhy alikuwa ananibembeleza nimsamehe lakini haikuwezekana...

Nilimwambia aendelee kula ujana siku akitosheka mengine yataendelea...

Yani nikusamehe kirahisi kesho ukachiti tenaπŸ˜’πŸ˜’huu msamaha utauhangaikia miaka na miaka mshenzi weweπŸ˜’

Rouhy alivoona msamaha imeshindikana alinirudishia simu ila akaniomba nisimwambie yeyote kuhusu kilichotokea..

Nilimkwapua tu simu nikamuacha aongee na hewa huko chumbaniπŸ˜’ alikaa huko chumbani akawaza weee baada ya hapo akaenda Jikon akakuta chakula alichonipikia asubuhi kiko vilevileπŸ˜‚πŸ˜‚

Alichoka😝😝😝alikuja kuuliza kwanini sijala nikamwambia...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-18-by-babie-love-0742133100

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi i-love-you-dady
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10
 I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜19 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜19 "By Babie Love 0742133100"
 I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜09
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜09
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜15
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜15
 I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜12
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜12
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜16
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜16
 I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜07
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜07
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜13
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜13
 I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜08
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜08
 I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜14
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜14
 I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜06
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜06
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜04
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜04
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜05
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜05
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

552
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

538
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

440
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

391
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

309
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

246
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

189
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

137
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

102
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

95

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.02K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.26K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest