Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘18 "By Babie Love 0742133100"
Gonga94 · Stories

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘18 "By Babie Love 0742133100"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Kusamehe haraka hivo kwangu ni Big noo mpaka nihakikishe umeteseka na umejifunza ndo nitakusamehe..

Hizo za umekosea jana leo nakusamehe huo ujinga sifanyi😒😒😒hizo misamaha ya hara haraka utasamehewa na mamako siyo mimi..

Hayo niliyawaza kimoyomoyo na muda huo Rouhy alikuwa ananibembeleza nimsamehe lakini haikuwezekana...

Nilimwambia aendelee kula ujana siku akitosheka mengine yataendelea...

Yani nikusamehe kirahisi kesho ukachiti tena😒😒huu msamaha utauhangaikia miaka na miaka mshenzi wewe😒

Rouhy alivoona msamaha imeshindikana alinirudishia simu ila akaniomba nisimwambie yeyote kuhusu kilichotokea..

Nilimkwapua tu simu nikamuacha aongee na hewa huko chumbani😒 alikaa huko chumbani akawaza weee baada ya hapo akaenda Jikon akakuta chakula alichonipikia asubuhi kiko vilevile😂😂

Alichoka😝😝😝alikuja kuuliza kwanini sijala nikamwambia nilifikilia lbda umempikia lolo😝😝Rouhy aliumiaaaa...

Akaniambia siyo vizuri hivo unavonifanyia Maya I already said sorry please forgive sweetheart 🥹

Sijawahi hata kumfanya tangu nikuoe she is my ex girlfriend believe what I told you honey I love youuuuuu Maya 🧎🏻😰

Sema kubembelezwa na mtu unayempenda ni kutamu nyieeee😝😝kuna time unatamani unune tu bila sababu ili akubembeleze🙈

The way Rouhy alikuwa ananipigia magoti na kuniomba nimsamehe vile alikuwa akiniambia Maya I love you na ile sauti kama analia nilikuwa najisikia huruma sana juu yake🙈

Sikuonesha kama namhurumia😏😏bado niliendelea kukaza😝😝😝hakula hiyo siku mtoto wa mama mkwe🤣🤣🤣hata kazini hakurudi aliwadanganya anaumwa tumbo anaharisha🤣

Licha ya hayo yote bado nampenda tena sana🙈🙈 yani nampenda mpaka sielewi...

Hope ataacha ujinga maana akirudia kosa kama hili sitojali kitu chochote nitamuacha😞😞..

Rouhy alipoona bado nina hasira ilibidi tu akae kimya😓😓nilimuacha pale sebleni nikaenda chumbani

Nilizikuta zile zawadi alizoniletea nikasema ngoja nizifungue niangalie🙈🙈zawadi ilokuwemo kwenye box ilikuwa cake hahahaaaaa nilishangaa

Cake ilikuwa imeandikwa Dear wife I'm sorry...

niliiweka pembeni nikafungua la pili nikakuta kuna pesa na maua yameandikwa Maya i love you💃🏼💃🏼💃🏼

Pesa zote hizi ni za kwangu??. Nilijiuliza😂😂yani ni mipesa jamani nyekundu nyekundu nyingi vibunda vya kutosha😂

ndo maana wanawake wa matajiri wanachitiwa bado wapo tu kumbe mambo yenyewe ndo haya😂

Zawadi ilonishtua zaidi ni funguo zilizokuwemo kwenye kibox fulani hivi kidogo dogo ni funguo kama za gari vile🤔🤔

Nilitamani nikamuulize hizi funguo ni za nini badae nikakumbuka nimemnunia😂😂😂😂ilibidi nizirudishe kwenye kibox niendelee ku unbox zawadi nyieeeeee💃🏼💃🏼💃🏼

MaPerfume manguo machokuleti zawadi zilikuwa nyingi afu zile ninazozipenda🥰🥰🥰

Nilimaliza kuzikagua nikazitunza kabatini nikasema ngoja nijilaze zangu nipumzike🥰🥰

Nilijiegesha kitandani nikalala nilikuja shtuka saa 12 jioni nikaamka kucheki kwenye simu kuna missed call kibao😳😳😳

Afu namba ni ngeni mmhhh nikampigia huyo mtu nijue ni nani ana shida gani????

Simu ilipokelewa sauti ni ya mkaka nyooo niliogopa nikakata simu😂😂😂 shindwa pepo mi ni mke wa mtu😂😂😂

Nimemaliza kukata huyo mtu akapiga tena nikaogopa kupokea akuu😂 simu iliita sana tu lakini sikupokea...

Huyo mkaka alijiongeza akatuma msg hello madame sorry mimi ni mtu wa Derivery kuna mzigo wako nimepewa nikuletee toka upokee tuko nje ya nyumba yako hapa😳😳

Mzigo😳😳😳 mzigo gani??? Nani kawapa🙄

Itaendeleaaaaaaaaa

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


profile
majario 25 Aug 2025 17:25
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘18 "By Babie Love 0742133100" >>> https://gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-18-by-babie-love-0742133100

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war
profile
mjukuu 25 Aug 2025 18:56
muendelezo
Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘18 "By Babie Love 0742133100"



Kusamehe haraka hivo kwangu ni Big noo mpaka nihakikishe umeteseka na umejifunza ndo nitakusamehe..

Hizo za umekosea jana leo nakusamehe huo ujinga sifanyi😒😒😒hizo misamaha ya hara haraka utasamehewa na mamako siyo mimi..

Hayo niliyawaza kimoyomoyo na muda huo Rouhy alikuwa ananibembeleza nimsamehe lakini haikuwezekana...

Nilimwambia aendelee kula ujana siku akitosheka mengine yataendelea...

Yani nikusamehe kirahisi kesho ukachiti tena😒😒huu msamaha utauhangaikia miaka na miaka mshenzi wewe😒

Rouhy alivoona msamaha imeshindikana alinirudishia simu ila akaniomba nisimwambie yeyote kuhusu kilichotokea..

Nilimkwapua tu simu nikamuacha aongee na hewa huko chumbani😒 alikaa huko chumbani akawaza weee baada ya hapo akaenda Jikon akakuta chakula alichonipikia asubuhi kiko vilevile😂😂

Alichoka😝😝😝alikuja kuuliza kwanini sijala nikamwambia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-18-by-babie-love-0742133100

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi i-love-you-dady
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10
 I LOVE YOU DADY💘❤️💘17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘19 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY💘❤️💘19 "By Babie Love 0742133100"
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘09
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘09
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY💘❤️💘15
I LOVE YOU DADY💘❤️💘15
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘12
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘12
I LOVE YOU DADY💘❤️💘16
I LOVE YOU DADY💘❤️💘16
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘07
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘07
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘13
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘13
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘08
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘08
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘14
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘14
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘06
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘06
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘04
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘04
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘05
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘05
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

1.34K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

1.28K
LETICIA Sehemu ya 17 na 18

LETICIA Sehemu ya 17 na 18

336
IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10*

IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*

157
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

147
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15

93
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

17
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15

17
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14

15
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.96K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.65K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.89K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.55K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.71K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.69K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15
@majario LIVE

Sawa mke wangu kipenzi nashukuru kwa kunijali, Denis aliondoka hadi gari 🚙 lilivyokata kona na mimi nikaingia ndani nilibadilisha nguo nilizovaa nikaenda sokoni kununua nyama na mchele nikaja kupika chakula...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15
@mjukuu LIVE

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15 (🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Alex anazidi kumshindua kungwi kwa raha zake mpaka na yeye akakojoa... Alex alikaa kwa kungwi...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Mke wangu umeenda kijijini kumpa mwanangu mimba?. ( Yani aliongea uku amemkwida mama asma...na hapo akatokea msamalia mwema akamshika...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Siku ambayo kwakweli nilifanya mapenzi na asma kwa raha sana nilimlamba kila Kona na kiu aliitoa na yeye...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 12 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 12
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Asma akasogea yupo tayari kuvuliwa nguo nimpe utamu, Dah yani....👇 Kidume sikutaka kuchelewa maana penzi la wizi wizi hili, Nilimvua...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Unajua mbwana yule mjumbe anatoa...👇 Ushilikiano kitandani utasema kijana yani uno kama lote mpaka nasema kimoyoni enzi ya...

IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Upande wangu nilikuwa zangu chumbani, nikijiandaa kwa ajiri ya kutoka kwenda kurefresh kidogo, nikiwa najiandaa mara Ethan huyu hapa alikuwa mnyinge kweli "Vipi tena??" Nilimuuliza baada ya kumuona amekuwa mnyonge gafla "Acha...

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Ethan akazungumza "Hakuna cha kukata tamaa, kwani we nani amekwambia kuwa ameolewa..??" "Ni mama.." Nilimjibu huku nikiwa nimekata tamaa zaidi "Sasa mama wewe unamuamini vipi??, kama amekuongopea?? We cha kufanya anza kumtoa mtoto...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa...

LETICIA Sehemu ya 17 na 18 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 17 na 18
@majario LIVE

Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest