Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
23 Aug 2025
740 views
VYOTE NDANI GONGA94
I LOVE YOU DADYπβ€οΈπ16
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
"By Babie Love 0742133100"
Nipokee au niache??... wakati naolewa nilisisitizwa sana kuiepuka simu ya mmeπππhata siku tunaondoka Dar kuja Dodoma bibi alisisitiza sana simu ya mme haishikwi..
Najua simu ya mme haishikwi ndiyo lakini kwa leo mtanisamehe lazima niishike na lazima npokee huyu lolo Dom nijue ni nani???..
Nilishika kile kidude cha kupokelea simu nikapiga tiki fyaaaaπ«°π«°baada ya hapo nikaweka simu sikioni ikasikika ya sauti ya mtoto wa kike ikiita taratibu kwa mahaba Hello Dady..
Mapigo ya moyo yalinienda mbio kuliko kawaida nilihisi roho inataka kuacha mwiliβΉοΈβΉοΈniliitoa ile simu sikioni nikataka kuitaka lakini hapana nilirudisha sikioni nikaendelea kusikiliza...
"Dady I miss youu.... have you returned from the trip???.vipi umesharudi kutoka safari nimekumiss et...
Dady why are you silentπ£ kwanini uko kimya Dady?.... uvumilivu ulinishinda nikamwambia yule dada subilia kidogo nimpelekee simu yuko bafuni..
Nilihisi maumivu makali asikwambie mtuπ₯Ίπ₯Ίyule dada alishtuka alivosikia sauti yanguπ₯Ίπ₯Ίakauliza wewe ni nani??. Who are you..
Anaonekana yuko vizuri kwenye lugha ya kizunguππnilimwambia mimi utanijua tu kwa sasa ongea na Dady..
Nilimgongea Rouhy mlango nikampatia ile simu alipoiona alishtuka mpaka akaidondosha...
Why are you dropping the phone?π€π€kwanini unadondosha simu???...
Akasema Maya I can explain π₯Ήπ₯Ή...about what ??... akasema kuhusu lolo...
Nilimwangalia sana Rouhy nilitamani nijikaze asijue vile nilivyoumia lakini nilishindwa machozi yalinisalitiππ...
Niliondoka haraka kule chumbani nikaenda sebleniπ₯Ήπ₯Ήπ₯Ήnilikuwa nalia kama nimefiwa vile..
Nilichukua simu yangu nikampigia mama mkwe wangu simu ilipokelewa ile tu naita mom π₯Ήπ₯Ήghafla nikanyakuliwa simuππ.
Rouhy ndo alininyakuwa simu akaikata kisha akaniambia please sweetheart I can explain alipiga magoti chini akinililia nimsikilizeπ₯Ί
Sikuwa tayari kumsikiliza nilihofia nitaumia zaidi...wakati Rouhy anaendelea kujaribu kuniomba nimsikilize ili ajielezee zaidi
ghafla nje getini tukasikia ni kama watu wanagombanaπ€ ni kama kuna mtu alikuwa anapigizana kelele na mlinzi..
Nilifungua pazia dirishani nikachungulia nje getini nikamuona mlinzi akiwa anapambana na mdada mmoja hivi kidogo dogo tu kama mimiπ₯Ίπ₯Ί..
Yule mdada alikuwa anashout kwa sauti sana.. alikuwa anamuita Rouhy anamuuliza why unamwamuru mlinzi anizuie kuingia???
π£π£Huwezi ukampa mwanamke simu anipokelee na bado unanisimamisha getini kama mwizi huu ni upuuzi gani unanifanyia Rouhyπ₯Ή
π£π£niache niingie ndani uniweke wazi what's going on....
Rouhy muda huo alikuwa anatetemeka hana la kuongeaπππ nilimwamuru yule mlinzi amwache yule msichana aingie ndani tujuane...
Itaendeleaaaaaa
WhatsApp 0742133100
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
*REALLY LOVE πππ* *1-5*
*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake am...
Nipokee au niache??... wakati naolewa nilisisitizwa sana kuiepuka simu ya mmeπππhata siku tunaondoka Dar kuja Dodoma bibi alisisitiza sana simu ya mme haishikwi..
Najua simu ya mme haishikwi ndiyo lakini kwa leo mtanisamehe lazima niishike na lazima npokee huyu lolo Dom nijue ni nani???..
Nilishika kile kidude cha kupokelea simu nikapiga tiki fyaaaaπ«°π«°baada ya hapo nikaweka simu sikioni ikasikika ya sauti ya mtoto wa kike ikiita taratibu kwa mahaba Hello Dady..
Mapigo ya moyo yalinienda mbio kuliko kawaida nilihisi roho inataka kuacha mwiliβΉοΈβΉοΈniliitoa ile simu sikioni nikataka kuitaka lakini hapana nilirudisha sikioni nikaendelea kusikiliza...
"Dady I miss youu.... have you...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-16