I LOVE YOU DADY๐โค๏ธ๐19 "By Babie Love 0742133100"
Nilitoka kule chumbani nikashuka chini floor ya chini sebleni nikamkuta Rouhy bado yuko pale sebleni na amesinziaaa๐ asa huo mzigo umetoka wapi???..
Nilitamani kumwamsha Rouhy nikasema hapana acha tu niende mwenyewe nikauangalie huo mzigo ni mzigo gani???
Nilifungua mlango nikatoka nje nikatembea mdogo mdogo mpaka getini nimefika getini mlinzi akaniambia madame kuna mgeni wako..
Nikasema okay mruhusu aingie... mlinzi alifungua geti tena geti kubwa mmhhh mbona anafungua geti kubwa inamaana huyo mtu ni mnene sana???
Baada ya geti kufunguliwa nikashangaa range nyieeeeeee๐ด๐ด๐ดniliikimbilia gari nikaenda kuiwow๐๐ผ๐๐ผ๐๐ผ
kumbe kweli zile funguo ni za hii gari๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐnilifurahi mnoooo yule mtu wa Derivery alinikabidhi funguo moja akaniambia funguo zingine zilichukuliwa na mme wangu..
Niliingia ndani ya gari nikatest mitambo sijui kuendesha nilikuwa naweka mapozi tu yule Derivery man ananipiga picha๐๐๐ผ
Nilipomaliza kuphotoa picha nikamwambia aje aliingize ndani likakae parking ๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ๐๐ผ
Basi bwana gari ya ndoto zangu iliingizwa ndani parking๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐnilipatiwa card ya gari aweeee๐๐ผ๐๐ผ rahaaaaaa๐๐๐
Hapa hata kama nimenunia Mr lazima nimuongelesheeeeee๐๐ผ hapana chezea ranjiiiiiiiiii hizi ni za wachache wewe๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐..
Niliingia ndani nikakuta bado Rouhy amelala pale kwenye kochi๐๐๐nilikwenda nikamkiss taratibu shavuni๐๐ile naondoka akanivuta mkono hahahaaaa๐๐
Alinilaza kifuani kwake akaomba nimkiss tena๐nilimkiss mdomoni nikamwambia thank you babe๐๐๐
Aliniromancee๐๐๐hahahaaa mpaka nyege zikanishika๐๐๐aliniuliza kama nimemsamehe nikamwambia yes but promise me hutorudia kufanya makosa๐ฐ๐ฐ
Alinikumbatia kwa nguvu akaniambia nakuahidi mke wangu๐ฐ๐ฐ๐ฐ basi bwana Mungu anasamehe mimi ni nani๐๐ผ๐คฃ๐คฃ
Tena nilimpa kabisa na kitumbua ajilie kwani kuna shido๐๐๐tulikulana pale pale sebleni afu ilikuwa tamu asikwambie mtu..
Baada ya kukulana tukaenda kuoga tumemaliza kuoga tukaenda kuhamisha vitu vyangu tukarudisha chumbani ๐๐๐
Hakukuwepo na mnuno tena ni raha raha๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ nilipelekwa Veta kumbuka Rouhy aliwahi kunipeleka veta Dar es salaam nikachukua form ya kujiunga na course ya Driving..
Kumbe that time ndo aliniagizia gari nje๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ niliambiwa kwa vile now tuko Dodoma ni vyema nisomee pale pale dodoma...
Nilienda nikachukua form nikajaza nikapewa taratibu week iliyofuata nikaanza course yangu ya Driving๐ฅฐ
Ni raha sana kusomea Driving huku unasubiliwa na gari la ndoto zako ukaliendeshe๐๐๐
Rouhy alizidi kuonesha upendo wake kwangu kwa vitendo wakati naendelea na masomo yangu ya udereva wazazi wangu waliniambia na wao kule nyumbani ujenzi umeshaanza..
Mama mkwe wangu aliwatuma mafundi huko kwa ajili ya kuwajengea wazazi wangu๐ฐ๐ฐโค๏ธnilimpigia mama nikamshukuruโค๏ธโค๏ธ
Mama aliniambia hapo mbona bado Maya๐ค๐คvitu nilivyojiandaa kukufanyia ni vikubwa sana kipenzi changu ๐ฅฐ๐ฅฐ
Naomba tu uendelee kuwa mke mwema kwa mtoto wanguโค๏ธโค๏ธโค๏ธnilimwambia mama hilo halina shaka Rouhy niachieni mimi tu๐ฅฐ
Maisha yaliendelea ujauzito wangu ulipofika miezi saba shangazi alinitaka niende America nikajifungulie ukooo๐ค๐ค๐ค...
Rouhy alichukua likizo kazini kwa ajili ya kunisindikiza๐๐ผ๐๐ผ๐๐ผtulifanya maandalizi baada ya hapo tukasafiri kutoka dodoma mpaka Dar..
Tulikaa week moja Dar es salaam then tukaondoka zetu kuelekea America...
Itaendeleaaaaaa...
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi

.jpg)

.jpg)