Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  never give up harmonize

I LOVE YOU DADY💘❤️💘19 "By Babie Love 0742133100"

26th Aug, 2025 Views 172



Nilitoka kule chumbani nikashuka chini floor ya chini sebleni nikamkuta Rouhy bado yuko pale sebleni na amesinziaaa🙄 asa huo mzigo umetoka wapi???..

Nilitamani kumwamsha Rouhy nikasema hapana acha tu niende mwenyewe nikauangalie huo mzigo ni mzigo gani???

Nilifungua mlango nikatoka nje nikatembea mdogo mdogo mpaka getini nimefika getini mlinzi akaniambia madame kuna mgeni wako..

Nikasema okay mruhusu aingie... mlinzi alifungua geti tena geti kubwa mmhhh mbona anafungua geti kubwa inamaana huyo mtu ni mnene sana???

Baada ya geti kufunguliwa nikashangaa range nyieeeeeee😴😴😴niliikimbilia gari nikaenda kuiwow💃🏼💃🏼💃🏼

kumbe kweli zile funguo ni za hii gari🥰🥰🥰nilifurahi mnoooo yule mtu wa Derivery alinikabidhi funguo moja akaniambia funguo zingine zilichukuliwa na mme wangu..

Niliingia ndani ya gari nikatest mitambo sijui kuendesha nilikuwa naweka mapozi tu yule Derivery man ananipiga picha😂💃🏼

Nilipomaliza kuphotoa picha nikamwambia aje aliingize ndani likakae parking 🥰🥰🥰💃🏼

Basi bwana gari ya ndoto zangu iliingizwa ndani parking🥰🥰🥰nilipatiwa card ya gari aweeee💃🏼💃🏼 rahaaaaaa🙈🙈🙈

Hapa hata kama nimenunia Mr lazima nimuongelesheeeeee💃🏼 hapana chezea ranjiiiiiiiiii hizi ni za wachache wewe🤣🤣🤣🤣🙈🙈🙈..

Niliingia ndani nikakuta bado Rouhy amelala pale kwenye kochi🙈🙈🙈nilikwenda nikamkiss taratibu shavuni😝😝ile naondoka akanivuta mkono hahahaaaa🙈🙈

Alinilaza kifuani kwake akaomba nimkiss tena🙈nilimkiss mdomoni nikamwambia thank you babe🙈🙈🙈

Aliniromancee💋💋💋hahahaaa mpaka nyege zikanishika🙈🙈🙈aliniuliza kama nimemsamehe nikamwambia yes but promise me hutorudia kufanya makosa😰😰

Alinikumbatia kwa nguvu akaniambia nakuahidi mke wangu😰😰😰 basi bwana Mungu anasamehe mimi ni nani💃🏼🤣🤣

Tena nilimpa kabisa na kitumbua ajilie kwani kuna shido😝😝😝tulikulana pale pale sebleni afu ilikuwa tamu asikwambie mtu..

Baada ya kukulana tukaenda kuoga tumemaliza kuoga tukaenda kuhamisha vitu vyangu tukarudisha chumbani 😂😂😂

Hakukuwepo na mnuno tena ni raha raha🥰🥰🥰 nilipelekwa Veta kumbuka Rouhy aliwahi kunipeleka veta Dar es salaam nikachukua form ya kujiunga na course ya Driving..

Kumbe that time ndo aliniagizia gari nje🥰🥰🥰 niliambiwa kwa vile now tuko Dodoma ni vyema nisomee pale pale dodoma...

Nilienda nikachukua form nikajaza nikapewa taratibu week iliyofuata nikaanza course yangu ya Driving🥰

Ni raha sana kusomea Driving huku unasubiliwa na gari la ndoto zako ukaliendeshe😂😂🙈

Rouhy alizidi kuonesha upendo wake kwangu kwa vitendo wakati naendelea na masomo yangu ya udereva wazazi wangu waliniambia na wao kule nyumbani ujenzi umeshaanza..

Mama mkwe wangu aliwatuma mafundi huko kwa ajili ya kuwajengea wazazi wangu😰😰❤️nilimpigia mama nikamshukuru❤️❤️

Mama aliniambia hapo mbona bado Maya🤗🤗vitu nilivyojiandaa kukufanyia ni vikubwa sana kipenzi changu 🥰🥰

Naomba tu uendelee kuwa mke mwema kwa mtoto wangu❤️❤️❤️nilimwambia mama hilo halina shaka Rouhy niachieni mimi tu🥰

Maisha yaliendelea ujauzito wangu ulipofika miezi saba shangazi alinitaka niende America nikajifungulie ukooo🤗🤗🤗...

Rouhy alichukua likizo kazini kwa ajili ya kunisindikiza💃🏼💃🏼💃🏼tulifanya maandalizi baada ya hapo tukasafiri kutoka dodoma mpaka Dar..

Tulikaa week moja Dar es salaam then tukaondoka zetu kuelekea America...

Itaendeleaaaaaa....
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

I LOVE YOU DADY💘❤️💘19 "By Babie Love 0742133100"  >>> https://gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-19-by-babie-love-0742133100

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
profile
mjukuu 26 Aug 2025 17:47
I LOVE YOU DADY💘❤️💘19
"By Babie Love 0742133100"
never give up harmonize
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest